JIFUNZE KILIMO CHA UYOGA
> Mdau wa JamiiForums.com anadai kuwa aina za uyoga zinazofaa kulimwa Tanzania ni zile zinazostawi vizuri kwenye maeneo ya joto la wastani wa nyuzi joto 20c hadi 33
> Ili kuzalisha uyoga inabidi kuwa na chumba chenye paa na sakafu inayohifadhi unyevunyevu pamoja na sehemu ya giza ambayo ni muhimu kwa kuotesha utando wa uyoga
> Malighafi zitumikazo kuzalisha uyoga ni pamoja na mabua, majani ya mpunga, ngano, pumba za mpunga au mahindi, masalia ya miwa baada ya kukamua ambayo hukatwa, huchemshwa na kutandazwa kwaajili ya mbengu kupandwa
> Uyoga huwa tayari kuchumwa siku tatu baada ya vichwa/pini kuonekana. Uyoga uvunwe kwa mkono kwa kushika katikati ya shina la uyoga kisha zungusha hadi uyoga ung’oke
Fahamu zaidi, soma - https://jamii.app/KilimoUyoga
> Mdau wa JamiiForums.com anadai kuwa aina za uyoga zinazofaa kulimwa Tanzania ni zile zinazostawi vizuri kwenye maeneo ya joto la wastani wa nyuzi joto 20c hadi 33
> Ili kuzalisha uyoga inabidi kuwa na chumba chenye paa na sakafu inayohifadhi unyevunyevu pamoja na sehemu ya giza ambayo ni muhimu kwa kuotesha utando wa uyoga
> Malighafi zitumikazo kuzalisha uyoga ni pamoja na mabua, majani ya mpunga, ngano, pumba za mpunga au mahindi, masalia ya miwa baada ya kukamua ambayo hukatwa, huchemshwa na kutandazwa kwaajili ya mbengu kupandwa
> Uyoga huwa tayari kuchumwa siku tatu baada ya vichwa/pini kuonekana. Uyoga uvunwe kwa mkono kwa kushika katikati ya shina la uyoga kisha zungusha hadi uyoga ung’oke
Fahamu zaidi, soma - https://jamii.app/KilimoUyoga
SANTIAGO, CHILE: ZAIDI YA WATU MILIONI 1 WAANDAMANA
> Ni maandamano makubwa kuwahi kutokea baada ya yale ya mwaka 1988 dhidi ya utawala wa kidikteta wa Pinochet
> Ni maandamano makubwa kuwahi kutokea baada ya yale ya mwaka 1988 dhidi ya utawala wa kidikteta wa Pinochet
ZIMBABWE WAANDAMANA KUPINGA VIKWAZO VYA MAREKANI NA UMOJA WA ULAYA
> Marekani na Ulaya imewawekea vikwazo maafisa wengi waandamizi wa Zimbabwe pamoja na Rais Mnangagwa kwa madai ya kukiuka haki za binadamu na udanganyifu katika Uchaguzi Mkuu, miaka iliyopita
> Rais Mnangagwa amesema vikwazo hivyo vimeathiri kwa kiasi kikubwa uchumi wa Zimbabwe
Soma - https://jamii.app/ZBWProtestSASanctions
> Marekani na Ulaya imewawekea vikwazo maafisa wengi waandamizi wa Zimbabwe pamoja na Rais Mnangagwa kwa madai ya kukiuka haki za binadamu na udanganyifu katika Uchaguzi Mkuu, miaka iliyopita
> Rais Mnangagwa amesema vikwazo hivyo vimeathiri kwa kiasi kikubwa uchumi wa Zimbabwe
Soma - https://jamii.app/ZBWProtestSASanctions
MVUA MKOANI TANGA: TAKRIBAN WATU 8 WAFARIKI
> Takriban Watu nane (8) wamefariki dunia usiku wa kuamkia leo baada ya gari aina ya Noah kutumbukia kwenye daraja ktk eneo la Sindeni barabara kuu ya Handeni - Korogwe, kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha Mkoani Tanga
> Takriban Watu nane (8) wamefariki dunia usiku wa kuamkia leo baada ya gari aina ya Noah kutumbukia kwenye daraja ktk eneo la Sindeni barabara kuu ya Handeni - Korogwe, kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha Mkoani Tanga
ABIRIA WANAOSAFIRI DAR, ARUSHA NA KILIMANJARO WAKWAMA NJIANI KWA SAA 20
> Abiria waliokuwa wanasafiri kutoka Arusha, Kilimanjaro na nchi jirani na waliotoka Dar es Salaam kuelekea mikoa mbalimbali wamekwama tangu jana, saa 5 asubuhi Wilayani Korogwe na Handeni kutokana na maji yaliyotokana na mvua kupita juu ya daraja la Mandera na kulisomba daraja la Handeni
Soma - https://jamii.app/AbiriaWakwamaMvua
> Abiria waliokuwa wanasafiri kutoka Arusha, Kilimanjaro na nchi jirani na waliotoka Dar es Salaam kuelekea mikoa mbalimbali wamekwama tangu jana, saa 5 asubuhi Wilayani Korogwe na Handeni kutokana na maji yaliyotokana na mvua kupita juu ya daraja la Mandera na kulisomba daraja la Handeni
Soma - https://jamii.app/AbiriaWakwamaMvua
HOJA: FANI YA UFUNDI WA MAGARI IMEJAA WATU WASIO NA ELIMU HIYO, WASOMI TUNAKWAMA WAPI?
> Mdau wa JamiiForums amesema yeye ni Mhitimu wa Mechanical Engineering na amejikita katika Ufundi wa Magari
> Anasema, watu mahiri katika fani hiyo ni wale ambao hawakwenda shule
Kwa mjadala, fungua > https://jamii.app/UfundiMagariElimu
> Mdau wa JamiiForums amesema yeye ni Mhitimu wa Mechanical Engineering na amejikita katika Ufundi wa Magari
> Anasema, watu mahiri katika fani hiyo ni wale ambao hawakwenda shule
Kwa mjadala, fungua > https://jamii.app/UfundiMagariElimu
WATU 10 WAPOTEZA MAISHA KUTOKANA NA MAFURIKO YA MVUA JAPAN
> Mito 15 imefurika kwasababu ya mvua hiyo, watu 800 wameokolewa kutoka katika nyumba zao, wanafunzi elfu 2 wamenasa katika shule
> Safari nyingi za ndege zimeahirishwa na Hospitali kadhaa zimefurika maj
Soma - https://jamii.app/MadharaVifoMafuriko
> Mito 15 imefurika kwasababu ya mvua hiyo, watu 800 wameokolewa kutoka katika nyumba zao, wanafunzi elfu 2 wamenasa katika shule
> Safari nyingi za ndege zimeahirishwa na Hospitali kadhaa zimefurika maj
Soma - https://jamii.app/MadharaVifoMafuriko
BREAKING NEWS: Reports suggest leader of Islamic State (IS), Abu Bakr al Baghdadi has been killed in a raid conducted by the U.S. military in northwest Syria
> The final confirmation is pending while DNA and biometric testing is conducted
> The final confirmation is pending while DNA and biometric testing is conducted
JamiiForums
Photo
DEVELOPING: The raid was carried out by special operations forces after they received "actionable intelligence"
> The defense official said it appears that Baghdadi detonated a suicide vest during the raid
> The CIA assisted in locating the ISIS leader
> The defense official said it appears that Baghdadi detonated a suicide vest during the raid
> The CIA assisted in locating the ISIS leader
MGOGORO CATALONIA: MAELFU WAENDELEA KUHIMIZA KUJITENGA
- Wameandamana Barcelona wakipinga kuhukumiwa kwa Viongozi wa kujitenga huku wakisisitiza kujitenga
- Viongozi 9 wa Mpango huo walihukumiwa Oktoba 14 na Mahakama Kuu kwa kosa la uasi
Zaidi, soma https://jamii.app/SeparatistsProtestCatalonia
- Wameandamana Barcelona wakipinga kuhukumiwa kwa Viongozi wa kujitenga huku wakisisitiza kujitenga
- Viongozi 9 wa Mpango huo walihukumiwa Oktoba 14 na Mahakama Kuu kwa kosa la uasi
Zaidi, soma https://jamii.app/SeparatistsProtestCatalonia
MAREKANI YAFUTA SAFARI ZA NDEGE KWENDA CUBA
> Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Mike Pompeo amesema uamuzi huo umechukuliwa kama muendelezo wa vikwazo dhidi ya utawala huo kukandamiza raia wake na kuunga mkono utawala wa Rais Nicolas Maduro, nchini Venezuela
Soma - https://jamii.app/USBanFlightsCuba
> Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Mike Pompeo amesema uamuzi huo umechukuliwa kama muendelezo wa vikwazo dhidi ya utawala huo kukandamiza raia wake na kuunga mkono utawala wa Rais Nicolas Maduro, nchini Venezuela
Soma - https://jamii.app/USBanFlightsCuba
MUDA MREFU WA KUJAMIIANA NI DAKIKA 13, USIJIUE KWA KUTUMIA MADAWA
> Ujumbe huu ni mahususi kwa Wanandoa, utafiti uliofanywa na wataalamu kutoka nchini Marekani na Canada umeeleza kuwa dakika 13 ni sawa kwa tendo hilo
Kwa ufafanuzi zaidi, fungua > https://jamii.app/SaxRange
> Ujumbe huu ni mahususi kwa Wanandoa, utafiti uliofanywa na wataalamu kutoka nchini Marekani na Canada umeeleza kuwa dakika 13 ni sawa kwa tendo hilo
Kwa ufafanuzi zaidi, fungua > https://jamii.app/SaxRange
RAIS WA ZANZIBAR AITAKA JUMUIYA YA MAJAJI EAC KUANDIKA SHERIA KWA KISWAHILI
> Rais Dkt. Ali Mohamed Shein amesema hatua hiyo itawasaidia na kuwarahisishia wananchi kupata haki zao sambamba na kuzifahamu vyema sheria za nchi zao kwani jambo hilo lina umuhimu mkubwa katika kutafuta haki kwa wananchi hali itakayowafanya kuwa Raia Bora na wenye kutii Sheria za Nchi
Soma - https://jamii.app/LughaSheriaKiswahili
> Rais Dkt. Ali Mohamed Shein amesema hatua hiyo itawasaidia na kuwarahisishia wananchi kupata haki zao sambamba na kuzifahamu vyema sheria za nchi zao kwani jambo hilo lina umuhimu mkubwa katika kutafuta haki kwa wananchi hali itakayowafanya kuwa Raia Bora na wenye kutii Sheria za Nchi
Soma - https://jamii.app/LughaSheriaKiswahili