AFRIKA KUSINI: ALIYEAJIRI MAJAMBAZI KWA AJILI YA KUMUUA BABA YAKE AFUNGWA MAISHA
> Brutus Mhlanga alitaka kumuua Baba yake kwa sababu amekuwa akimsumbua kwa kumshauri kuhusu madhara ya #DawaZaKulevya
> Mwaka 2017 aliajiri majambazi 3
Soma > https://jamii.app/MhlangaAfungwa
> Brutus Mhlanga alitaka kumuua Baba yake kwa sababu amekuwa akimsumbua kwa kumshauri kuhusu madhara ya #DawaZaKulevya
> Mwaka 2017 aliajiri majambazi 3
Soma > https://jamii.app/MhlangaAfungwa
CPJ IMEITAKA BURUNDI KUWAACHIA WANAHABARI 4 INAOWASHIKILIA
> Waliokamatwa ni Christine Kamikazi, Agnès Ndirubusa, Egide Harerimana, Térence Mpozenzi na dereva wao Adolphe Masabarikiza
> Walikuwa wakiripoti uwepo wa ghasia nchini humo
Soma > https://jamii.app/IwacuCPJ
> Waliokamatwa ni Christine Kamikazi, Agnès Ndirubusa, Egide Harerimana, Térence Mpozenzi na dereva wao Adolphe Masabarikiza
> Walikuwa wakiripoti uwepo wa ghasia nchini humo
Soma > https://jamii.app/IwacuCPJ
MISRI YAKUMBWA NA MAFURIKO, WATU 11 WAPOTEZA MAISHA
> Takriban watu 11 wamefariki wakiwemo watoto 4 na wengine kadhaa hawajulikani walipo, baada ya mafuriko makubwa yaliyotokana na mvua kunyesha Jumanne na Jumatano kuikumba nchi ya Misri hasa katika mji wa Alexandria
> Mamia ya watu wamelazimika kubaki katika nyumba zao baada ya mitaa mingi ya mji huo kujaa maji na kushindwa kupitika
Soma - https://jamii.app/DisasterEgyptFloods
> Takriban watu 11 wamefariki wakiwemo watoto 4 na wengine kadhaa hawajulikani walipo, baada ya mafuriko makubwa yaliyotokana na mvua kunyesha Jumanne na Jumatano kuikumba nchi ya Misri hasa katika mji wa Alexandria
> Mamia ya watu wamelazimika kubaki katika nyumba zao baada ya mitaa mingi ya mji huo kujaa maji na kushindwa kupitika
Soma - https://jamii.app/DisasterEgyptFloods
UTAMADUNI WA KIAFRIKA NA MWANAMKE KUMTONGOZA MWANAUME
> Katika utamaduni wetu kama Waafrika/Watanzania, Mwanaume ndio huwa wa kwanza siku zote kueleza hisia zake kwa binti kama anamuhitaji kimapenzi
> Inaonekana kama vile Msichana anayemtaka kimapenzi Mwanaume ni muhuni/mapepe/malaya. Tabia hii bado watu wanaona kama si tabia ya kawaida
> Je, wewe unaona ni sawa kwa msichana kumtongoza mwanaume au bado tubaki na mila/utamaduni wetu wa mwanaume kumtongoza mwanamke?
Kwa mjadala zaidi - https://jamii.app/MwanamkeKutongozaMwanaume
#JFMahusiano
> Katika utamaduni wetu kama Waafrika/Watanzania, Mwanaume ndio huwa wa kwanza siku zote kueleza hisia zake kwa binti kama anamuhitaji kimapenzi
> Inaonekana kama vile Msichana anayemtaka kimapenzi Mwanaume ni muhuni/mapepe/malaya. Tabia hii bado watu wanaona kama si tabia ya kawaida
> Je, wewe unaona ni sawa kwa msichana kumtongoza mwanaume au bado tubaki na mila/utamaduni wetu wa mwanaume kumtongoza mwanamke?
Kwa mjadala zaidi - https://jamii.app/MwanamkeKutongozaMwanaume
#JFMahusiano
SABABU 4 ZA KWANINI UACHE AU UPUNGUZE KUTUMIA BIDHAA ZA PLASTIKI
> Plastiki ina sumu inayoweza kukufanya uugue, huathiri afya ya uzazi, huongeza unene na kuharibu mazingira
> Inashauriwa kutumia vyombo vya udongo, kioo, mbao au hata vya aluminiamu
Soma > https://jamii.app/AthariPlastiki
> Plastiki ina sumu inayoweza kukufanya uugue, huathiri afya ya uzazi, huongeza unene na kuharibu mazingira
> Inashauriwa kutumia vyombo vya udongo, kioo, mbao au hata vya aluminiamu
Soma > https://jamii.app/AthariPlastiki
MAHAKAMA YAWATAKA POLISI KUELEZA SABABU ZA KUKAA NA MTUHUMIWA SIKU 14
> Mahakama ya Kisutu imewataka Wakuu wa vituo vya Polisi Kijitonyama na Oysterbay kufika Mahakamani hapo leo, Oktoba 25 kueleza sababu za kukaa na Elizabeth Balali kwa siku 14 badala ya kumpeleka Gereza la Segerea kama Mahakama ilivyoagiza
> Elizabeth anakabiliwa na mashtaka ya kujipatia Tsh. Milioni 25 kwa njia ya udanganyifu na utakatishaji fedha
Soma - https://jamii.app/PolisiKujielezaMahakamani
> Mahakama ya Kisutu imewataka Wakuu wa vituo vya Polisi Kijitonyama na Oysterbay kufika Mahakamani hapo leo, Oktoba 25 kueleza sababu za kukaa na Elizabeth Balali kwa siku 14 badala ya kumpeleka Gereza la Segerea kama Mahakama ilivyoagiza
> Elizabeth anakabiliwa na mashtaka ya kujipatia Tsh. Milioni 25 kwa njia ya udanganyifu na utakatishaji fedha
Soma - https://jamii.app/PolisiKujielezaMahakamani
MAHAKAMA KUU YAKUBALI ACT-WAZALENDO KUJIUNGA KWENYE KESI KUHUSU UKOMO WA URAIS
> Imekubali ombi la Chama cha ACT-Wazalendo kujiunga kama Washtakiwa kwenye kesi ya Kikatiba iliyofunguliwa na Dezydelius Mgoya, maarufu kama Mkulima, kuhusu Ukomo wa Urais
> Mgoya anahoji Ibara ya 40 (20) ya Katiba ambayo imeweka ukomo wa mihula miwili tu ya miaka 5-5 ya uongozi
Soma - https://jamii.app/ACTKesiUkomoRais
> Imekubali ombi la Chama cha ACT-Wazalendo kujiunga kama Washtakiwa kwenye kesi ya Kikatiba iliyofunguliwa na Dezydelius Mgoya, maarufu kama Mkulima, kuhusu Ukomo wa Urais
> Mgoya anahoji Ibara ya 40 (20) ya Katiba ambayo imeweka ukomo wa mihula miwili tu ya miaka 5-5 ya uongozi
Soma - https://jamii.app/ACTKesiUkomoRais
RIPOTI YA BENKI YA DUNIA (WB) YATAJA VIKWAZO 12 VYA UFANYAJI BIASHARA TANZANIA
> Vikwazo hivyo ni mazingira ya kuanzisha biashara, kupata kibali cha ujenzi, upatikanaji wa umeme, usajili wa bidhaa, kuwalinda wawekezaji, makato katika kodi, uingizaji wa bidhaa mipakani, uingiaji wa mikataba, kuajiri wafanyakazi, pamoja na mikataba kati ya wawekezaji na Serikali
Soma - https://jamii.app/WBVikwazoBiasharaTZ
> Vikwazo hivyo ni mazingira ya kuanzisha biashara, kupata kibali cha ujenzi, upatikanaji wa umeme, usajili wa bidhaa, kuwalinda wawekezaji, makato katika kodi, uingizaji wa bidhaa mipakani, uingiaji wa mikataba, kuajiri wafanyakazi, pamoja na mikataba kati ya wawekezaji na Serikali
Soma - https://jamii.app/WBVikwazoBiasharaTZ
DODOMA: ASKARI WA FFU KIZIMBANI KWA JARIBIO LA KUUA MTOTO
> Aliyekuwa Askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU), Christopher Charles (23) amefikishwa Mahakamani akishitakiwa kwa kosa la kujaribu kumuua mpwa wake
> Kesi imeahirishwa mpaka Novemba 7, 2019 na Mshtakiwa amerudishwa rumande
Soma - https://jamii.app/MjombaKuuaMpwa
> Aliyekuwa Askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU), Christopher Charles (23) amefikishwa Mahakamani akishitakiwa kwa kosa la kujaribu kumuua mpwa wake
> Kesi imeahirishwa mpaka Novemba 7, 2019 na Mshtakiwa amerudishwa rumande
Soma - https://jamii.app/MjombaKuuaMpwa
MARA: AMKATA MASIKIO MKEWE BAADA YA KUPOTEZA SIMU YAKE
> Polisi Mkoani Mara wanamsaka Bwana Magori, Mkazi wa Serengeti, akidaiwa kumkata masikio yote Mkami Mwitonyi (22) kwa madai ya kupoteza simu yake
> Alimning’iniza Mkewe juu ya dari na kumkata masikio huku akimtishia kumchinja
Soma - https://jamii.app/MeAkataMasikioKe
> Polisi Mkoani Mara wanamsaka Bwana Magori, Mkazi wa Serengeti, akidaiwa kumkata masikio yote Mkami Mwitonyi (22) kwa madai ya kupoteza simu yake
> Alimning’iniza Mkewe juu ya dari na kumkata masikio huku akimtishia kumchinja
Soma - https://jamii.app/MeAkataMasikioKe
ZIMBABWE: WABUNGE WA UPINZANI WAZUIWA KUWAHOJI MASWALI MAWAZIRI HADI WAKUBALI KUWA MNANGAGWA NI RAIS HALALI
> Kiongozi wa Chama cha MDC, Nelson Chamisa alikataa kuukubali ushindi wa Emmerson Mnangagwa baada ya uchaguzi 2018
Zaidi, soma > https://jamii.app/WapinzaniZimb
> Kiongozi wa Chama cha MDC, Nelson Chamisa alikataa kuukubali ushindi wa Emmerson Mnangagwa baada ya uchaguzi 2018
Zaidi, soma > https://jamii.app/WapinzaniZimb
SERENGETI: ASKARI WA HIFADHI AKATWA MKONO NA JANGILI ALIYEMKAMATA AKICHUNGA NG'OMBE MBUGANI
- Askari Deus Mwakajegera(35) amekatwa mkono wa kushoto na Mtu huyo aliyetajwa kuwa jangili aliyeingia ndani ya Hifadhi katika Kijiji cha Bisarara
Soma > https://jamii.app/AskariTANAPAMkono
- Askari Deus Mwakajegera(35) amekatwa mkono wa kushoto na Mtu huyo aliyetajwa kuwa jangili aliyeingia ndani ya Hifadhi katika Kijiji cha Bisarara
Soma > https://jamii.app/AskariTANAPAMkono
SOMALIA YAIKABIDHI KENYA WANAMGAMBO WA AL-SHABAAB
> Polisi kutoka Somalia wamewakabidhi Polisi wa Kenya watuhumiwa 2 wa ugaidi wa Kundi la Al-Shabaab, ikiwa ni sehemu ya juhudi za pamoja za kuzuia mashambulizi ya kuvuka mipaka
> Polisi wamesema, wapiganaji hao walihusika na shambulizi lililotokea Oktoba 12 huko Liboi, ambapo Polisi 11 waliuawa
Soma - https://jamii.app/SomaliaWanamgamboAlshabaab
> Polisi kutoka Somalia wamewakabidhi Polisi wa Kenya watuhumiwa 2 wa ugaidi wa Kundi la Al-Shabaab, ikiwa ni sehemu ya juhudi za pamoja za kuzuia mashambulizi ya kuvuka mipaka
> Polisi wamesema, wapiganaji hao walihusika na shambulizi lililotokea Oktoba 12 huko Liboi, ambapo Polisi 11 waliuawa
Soma - https://jamii.app/SomaliaWanamgamboAlshabaab
ZAMBIA: MGONJWA WA KWANZA WA POLIO ARIPOTIWA TANGU MWAKA 1995
- Mtoto wa Kiume wa miaka 2 amebainika kupooza baada ya chanjo ya Polio kushindwa kufanya kazi vizuri
- 2015 Tanzania ilipongezwa na UNICEF kwa kutokuwa na Wagonjwa wa Polio
Zaidi, soma > https://jamii.app/PolioZambia2
- Mtoto wa Kiume wa miaka 2 amebainika kupooza baada ya chanjo ya Polio kushindwa kufanya kazi vizuri
- 2015 Tanzania ilipongezwa na UNICEF kwa kutokuwa na Wagonjwa wa Polio
Zaidi, soma > https://jamii.app/PolioZambia2
CONAKRY, GUINEA: WANANCHI WAANDAMANA KUPINGA RAIS CONDE KUWANIA MUHULA WA TATU, 9 WAUAWA
- Maelfu ya Wananchi wameandamana wakipinga mkakati wa kubadili kifungu cha Katiba ili kutoa nafasi kwa Alpha Conde kuwania muhula wa 3
Zaidi, soma => https://jamii.app/MaandamanoGuinea
- Maelfu ya Wananchi wameandamana wakipinga mkakati wa kubadili kifungu cha Katiba ili kutoa nafasi kwa Alpha Conde kuwania muhula wa 3
Zaidi, soma => https://jamii.app/MaandamanoGuinea
KISUTU, DAR: WATU WATATU WAFIKISHWA MAHAKAMANI KWA TUHUMA ZA KUIBA TAUSI WA IKULU
- Waliofikishwa Mahakamani ni Mohamed Hatibu, Mohamed Ally na David Graha na kushtakwia kwa kutenda kosa hilo kati ya Julai 1, 2015 na Oktoba 14, 2019
Zaidi, soma > https://jamii.app/WiziTausi
- Waliofikishwa Mahakamani ni Mohamed Hatibu, Mohamed Ally na David Graha na kushtakwia kwa kutenda kosa hilo kati ya Julai 1, 2015 na Oktoba 14, 2019
Zaidi, soma > https://jamii.app/WiziTausi
WATOTO 3 KATI YA 1000 HUZALIWA NA ULEMAVU WA KICHWA KIKUBWA NA MGONGO WAZI
> Watoto 1000 wanaozaliwa kila siku Tanzania, 3 kati yao huzaliwa na matatizo ya ulemavu wa kichwa kikubwa na mgongo wazi, idadi ambayo kwa mwaka hufikia watoto 4800
> Chanzo ni upungufu wa madini ya 'Folic Acid' na virutubisho muhimu wakati wa ujauzito
Soma - https://jamii.app/MaadhimishoMgongoWaziKichwaKikubwa
> Watoto 1000 wanaozaliwa kila siku Tanzania, 3 kati yao huzaliwa na matatizo ya ulemavu wa kichwa kikubwa na mgongo wazi, idadi ambayo kwa mwaka hufikia watoto 4800
> Chanzo ni upungufu wa madini ya 'Folic Acid' na virutubisho muhimu wakati wa ujauzito
Soma - https://jamii.app/MaadhimishoMgongoWaziKichwaKikubwa
WAPINZANI WAPINGA MPANGO WA SILAHA ZA NYUKLIA RWANDA
> Kiongozi wa chama cha upinzani cha Green nchini Rwanda, Frank Habineza amepinga mpango wa nchi yake kujenga kiwanda cha nyuklia kwa ushirikiano na Urusi akisema utakuwa na athari mbaya kwa wananchi pamoja na Taifa lenyewe
Soma - https://jamii.app/OppositionRejectsNuclearDeal
> Kiongozi wa chama cha upinzani cha Green nchini Rwanda, Frank Habineza amepinga mpango wa nchi yake kujenga kiwanda cha nyuklia kwa ushirikiano na Urusi akisema utakuwa na athari mbaya kwa wananchi pamoja na Taifa lenyewe
Soma - https://jamii.app/OppositionRejectsNuclearDeal
JIFUNZE KILIMO CHA UYOGA
> Mdau wa JamiiForums.com anadai kuwa aina za uyoga zinazofaa kulimwa Tanzania ni zile zinazostawi vizuri kwenye maeneo ya joto la wastani wa nyuzi joto 20c hadi 33
> Ili kuzalisha uyoga inabidi kuwa na chumba chenye paa na sakafu inayohifadhi unyevunyevu pamoja na sehemu ya giza ambayo ni muhimu kwa kuotesha utando wa uyoga
> Malighafi zitumikazo kuzalisha uyoga ni pamoja na mabua, majani ya mpunga, ngano, pumba za mpunga au mahindi, masalia ya miwa baada ya kukamua ambayo hukatwa, huchemshwa na kutandazwa kwaajili ya mbengu kupandwa
> Uyoga huwa tayari kuchumwa siku tatu baada ya vichwa/pini kuonekana. Uyoga uvunwe kwa mkono kwa kushika katikati ya shina la uyoga kisha zungusha hadi uyoga ung’oke
Fahamu zaidi, soma - https://jamii.app/KilimoUyoga
> Mdau wa JamiiForums.com anadai kuwa aina za uyoga zinazofaa kulimwa Tanzania ni zile zinazostawi vizuri kwenye maeneo ya joto la wastani wa nyuzi joto 20c hadi 33
> Ili kuzalisha uyoga inabidi kuwa na chumba chenye paa na sakafu inayohifadhi unyevunyevu pamoja na sehemu ya giza ambayo ni muhimu kwa kuotesha utando wa uyoga
> Malighafi zitumikazo kuzalisha uyoga ni pamoja na mabua, majani ya mpunga, ngano, pumba za mpunga au mahindi, masalia ya miwa baada ya kukamua ambayo hukatwa, huchemshwa na kutandazwa kwaajili ya mbengu kupandwa
> Uyoga huwa tayari kuchumwa siku tatu baada ya vichwa/pini kuonekana. Uyoga uvunwe kwa mkono kwa kushika katikati ya shina la uyoga kisha zungusha hadi uyoga ung’oke
Fahamu zaidi, soma - https://jamii.app/KilimoUyoga