KISUTU, DAR: MAHAKAMA YATAKA HAKI ITENDEKE KATIKA KESI YA MHASIBU WA TAKUKURU
> Godfrey Gugal pamoja na wenzake wanatuhumiwa kwa kumiliki mali zeye thamani ya zaidi ya Shilingi bilioni 3.6 kinyume na kipato chake halali
Zaidi, soma => https://jamii.app/KesiMhasibuPCCB
> Godfrey Gugal pamoja na wenzake wanatuhumiwa kwa kumiliki mali zeye thamani ya zaidi ya Shilingi bilioni 3.6 kinyume na kipato chake halali
Zaidi, soma => https://jamii.app/KesiMhasibuPCCB
RUVUMA: BINTI WA MIAKA 26 AUAWA KWA KUPIGWA RISASI NA 'BOYFRIEND' WAKE
> Aliyeuawa ni Beata Kafuru aliyepigwa risasi 3 za kichwani na James Paul (27), anayeelezwa kuwa ni mpenzi wake
> Chanzo cha mauaji hayo ni wivu wa kimapenzi
Soma > https://jamii.app/RIPBeataKafuru
> Aliyeuawa ni Beata Kafuru aliyepigwa risasi 3 za kichwani na James Paul (27), anayeelezwa kuwa ni mpenzi wake
> Chanzo cha mauaji hayo ni wivu wa kimapenzi
Soma > https://jamii.app/RIPBeataKafuru
AFYA: FAIDA ZA KUNYWA MAJI YA MOTO YENYE LIMAO ASUBUHI
> Maji hayo huongeza Kinga ya mwili hasa kupambana na magonjwa madogo, husafisha mfumo wa chakula, na kuondoa sumu mwilini
> Pia, huleta hewa/harufu safi kinywani
Kwa faida zaidi, soma => https://jamii.app/MajiLimao
#JFAfya
> Maji hayo huongeza Kinga ya mwili hasa kupambana na magonjwa madogo, husafisha mfumo wa chakula, na kuondoa sumu mwilini
> Pia, huleta hewa/harufu safi kinywani
Kwa faida zaidi, soma => https://jamii.app/MajiLimao
#JFAfya
Treni imeacha njia maeneo ya Buguruni Chama na kusababisha msongamano mkubwa.
> Dereva unayetumia njia hiyo asubuhi hii, unashauriwa kutumia njia mbadala
Fuatilia zaidi > https://jamii.app/TreniImeachaNjiaBuguruni
> Dereva unayetumia njia hiyo asubuhi hii, unashauriwa kutumia njia mbadala
Fuatilia zaidi > https://jamii.app/TreniImeachaNjiaBuguruni
KENYA: SERIKALI YAONDOA AMRI YA KUFUNGWA KWA TAASISI YA 'MARIE STOPES'
> Serikali ya Kenya imeondoa marufuku hiyo baada ya takwimu kuonesha kuwa Wanawake 320 wanalazwa na 7 wanafariki kila siku kwa kujaribu kutoa mimba kiholela
Zaidi, soma > https://jamii.app/MarieStopesKenya
> Serikali ya Kenya imeondoa marufuku hiyo baada ya takwimu kuonesha kuwa Wanawake 320 wanalazwa na 7 wanafariki kila siku kwa kujaribu kutoa mimba kiholela
Zaidi, soma > https://jamii.app/MarieStopesKenya
IPTL INADAI FIDIA YA TSH. TRILIONI 6.5 BENKI YA STANDARD CHARTERED
> IPTL imeiomba Mahakama Kuu itamke rasmi kwamba Standard Chartered Bank (Hong Kong) si wadai wake na ibatilishe tuzo ilizopewa Ulaya bila kuwepo mhusika mkuu katika migogoro hiyo
> IPTL imeifungulia SCBHK kesi mbalimbali za madai ktk Mahakama Kuu, Dar
Soma - https://jamii.app/IPTLKudaiFidiaSCBHK
> IPTL imeiomba Mahakama Kuu itamke rasmi kwamba Standard Chartered Bank (Hong Kong) si wadai wake na ibatilishe tuzo ilizopewa Ulaya bila kuwepo mhusika mkuu katika migogoro hiyo
> IPTL imeifungulia SCBHK kesi mbalimbali za madai ktk Mahakama Kuu, Dar
Soma - https://jamii.app/IPTLKudaiFidiaSCBHK
NDEGE YA AUSTRALIA YAFANYA MAJARIBIO YA SAFARI NDEFU BILA KUSIMAMA
- Qantas imekamilisha safari yake ya kibiashara ya maili 10,066 bila kusimama, ikifanya utafiti wa athari za safari ndefu zinazoweza kutokea kwa Marubani, Wafanyakazi na Abira
Soma https://jamii.app/NdegeAustraliaSafariNdefu
- Qantas imekamilisha safari yake ya kibiashara ya maili 10,066 bila kusimama, ikifanya utafiti wa athari za safari ndefu zinazoweza kutokea kwa Marubani, Wafanyakazi na Abira
Soma https://jamii.app/NdegeAustraliaSafariNdefu
KENYA: AJISALIMISHA POLISI BAADA YA KUMUUA MWENZAKE WAKIGOMBEA KUMBIKUMBI
> Muriungi Kiyogere (35), mkazi wa Kaunti ya Tharaka-Nithi anadaiwa kumchoma kisu mara nne Daniel Mutiria Cece (36), kutokana na mzozo wa kugombea Kumbikumbi Jumapili jioni
> Alikimbilia Polisi kuwakwepa wanakijiji waliokuwa wakitaka kumuua
Soma - https://jamii.app/KifoUgomviKumbikumbi
> Muriungi Kiyogere (35), mkazi wa Kaunti ya Tharaka-Nithi anadaiwa kumchoma kisu mara nne Daniel Mutiria Cece (36), kutokana na mzozo wa kugombea Kumbikumbi Jumapili jioni
> Alikimbilia Polisi kuwakwepa wanakijiji waliokuwa wakitaka kumuua
Soma - https://jamii.app/KifoUgomviKumbikumbi
HOJA: JE, NI AIBU KWA KIJANA MWENYE MIAKA ZAIDI YA 35 KUISHI KWA WAZAZI WAKE?
> Mdau wa JamiiForums anasema anasema wazazi wanashindwa kuishi kwa uhuru kwa sababu ya uwepo wako
> Anahoji, unawezaje kuendelea kula ugali wa shikamoo kwa umri huo?
Shiriki mjadala, hapa > https://jamii.app/JFHoja
> Mdau wa JamiiForums anasema anasema wazazi wanashindwa kuishi kwa uhuru kwa sababu ya uwepo wako
> Anahoji, unawezaje kuendelea kula ugali wa shikamoo kwa umri huo?
Shiriki mjadala, hapa > https://jamii.app/JFHoja
UMUHIMU WA KUWASILIANA NA MWANAO
> Iwapo wazazi watadumisha mawasiliano ya karibu na watoto, hapatakuwa na haja ya kutumia nguvu nyingi kumjenga mtoto
> Tumia muda kuwasimulia watoto hadithi za chimbuko la familia yao. Hii itawapa nafasi ya kujivunia utu wao
> Jenga tabia ya kuandikiana jumbe za maneno kwenye karatasi. Hii inakupa fursa ya kujua kama anaweza kusoma na vilevile utapata kuuona mwandiko wake
> Kuwa na subira katika maongezi na mwanao. Mvumilie na jitahidi usiwe mwongeaji sana bali msikilizaji
Zaidi, soma - https://jamii.app/MbinuMawasilianoMtoto
#JFMalezi
> Iwapo wazazi watadumisha mawasiliano ya karibu na watoto, hapatakuwa na haja ya kutumia nguvu nyingi kumjenga mtoto
> Tumia muda kuwasimulia watoto hadithi za chimbuko la familia yao. Hii itawapa nafasi ya kujivunia utu wao
> Jenga tabia ya kuandikiana jumbe za maneno kwenye karatasi. Hii inakupa fursa ya kujua kama anaweza kusoma na vilevile utapata kuuona mwandiko wake
> Kuwa na subira katika maongezi na mwanao. Mvumilie na jitahidi usiwe mwongeaji sana bali msikilizaji
Zaidi, soma - https://jamii.app/MbinuMawasilianoMtoto
#JFMalezi
MADHARA YA MVUA AFRIKA MASHARIKI: WATU 105 WAPOTEZA MAISHA
> Nchini Tanzania, takriban watu 16 wamefariki, Sudan Kusini, watu zaidi ya 200,000 wameathiriwa na Kenya, zaidi ya watu 1,000 wameyakimbia makazi yao
> Rwanda, watu 70 wamefariki na 177 kujeruhiwa. Nyumba 4,095 na hekta 6,708 zimeharibiwa huku wanyama 167 wakifa
Soma - https://jamii.app/MadharaMvuaEAC
> Nchini Tanzania, takriban watu 16 wamefariki, Sudan Kusini, watu zaidi ya 200,000 wameathiriwa na Kenya, zaidi ya watu 1,000 wameyakimbia makazi yao
> Rwanda, watu 70 wamefariki na 177 kujeruhiwa. Nyumba 4,095 na hekta 6,708 zimeharibiwa huku wanyama 167 wakifa
Soma - https://jamii.app/MadharaMvuaEAC
CCM YAFUTA KURA ZA MAONI BAADHI YA SEHEMU, UCHAGUZI KURUDIWA
> Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally amesema kumekuwa na madai ya rushwa, upendeleo na kanuni za kuchuja wagombea hazikuzingatiwa kwenye baadhi ya maeneo
> Pia, kulikuwa na rafu za kuchomoa majina kwenye masanduku ya kura na masanduku kubomolewa
Soma - https://jamii.app/MarudioKuraMaoniCCM
> Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally amesema kumekuwa na madai ya rushwa, upendeleo na kanuni za kuchuja wagombea hazikuzingatiwa kwenye baadhi ya maeneo
> Pia, kulikuwa na rafu za kuchomoa majina kwenye masanduku ya kura na masanduku kubomolewa
Soma - https://jamii.app/MarudioKuraMaoniCCM
RUKWA: RC AAGIZA KUKAMATWA KWA WALIMU 2 WANAOTUHUMIWA KUBAKA NA KUWAPA MIMBA WANAFUNZI
> RC Joachim Wangabo ameagiza kukamatwa kwa Mkuu wa Shule ya Sekondari Mzindakaya, Dastan Mlelwa na Mwalimu mmoja wa Shule ya Sekondari Mpui
Zaidi, soma => https://jamii.app/RCRukwaVsWalimu
> RC Joachim Wangabo ameagiza kukamatwa kwa Mkuu wa Shule ya Sekondari Mzindakaya, Dastan Mlelwa na Mwalimu mmoja wa Shule ya Sekondari Mpui
Zaidi, soma => https://jamii.app/RCRukwaVsWalimu
ZIMBABWE: TEMBO 55 WAPOTEZA MAISHA KUTOKANA NA UKAME
> Tembo 55 wamekufa njaa tangu Septemba 2019 katika Mbuga ya Taifa ya Hwange kutokana na ukame wa zaidi ya miezi 2
> Theluthi moja ya watu nchini humo wameripotiwa kukabiliwa na uhaba wa chakula
Soma - https://jamii.app/UkameVifoTembo
> Tembo 55 wamekufa njaa tangu Septemba 2019 katika Mbuga ya Taifa ya Hwange kutokana na ukame wa zaidi ya miezi 2
> Theluthi moja ya watu nchini humo wameripotiwa kukabiliwa na uhaba wa chakula
Soma - https://jamii.app/UkameVifoTembo
UGANDA: AFISA WA MAGEREZA (MWANAMKE) APORWA SILAHA, ALIKUWA AKIPIGA SOGA WHATSAPP
> Hadijah Katono ameporwa silaha na kijana aliyekuwa amejihami kwa Mkuki
> Kijana huyo alimpiga mara 2 kisha kuchukua bunduki hiyo aina ya AK-47 na kutokomea
Soma https://jamii.app/MpigiPrisonOfficer
> Hadijah Katono ameporwa silaha na kijana aliyekuwa amejihami kwa Mkuki
> Kijana huyo alimpiga mara 2 kisha kuchukua bunduki hiyo aina ya AK-47 na kutokomea
Soma https://jamii.app/MpigiPrisonOfficer
TTCL YAKUBALI KUPELEKA HUDUMA YA INTANETI BURUNDI
> Shirika la TTCL limesaini mkataba huo na Kampuni ya Mawasiliano ya Mkongo wa Taifa ya Burundi (BBS) wenye thamani ya Tsh. bilioni 13.8
> Mkataba huo utatekelezwa nchini Burundi kwa miaka 10
Soma > https://jamii.app/TTCLVsBSS
> Shirika la TTCL limesaini mkataba huo na Kampuni ya Mawasiliano ya Mkongo wa Taifa ya Burundi (BBS) wenye thamani ya Tsh. bilioni 13.8
> Mkataba huo utatekelezwa nchini Burundi kwa miaka 10
Soma > https://jamii.app/TTCLVsBSS
VLADMIR PUTIN: TUNAWEZA KUISAIDIA AFRIKA BILA MASHARTI YA NCHI ZA MAGHABIRI
> Rais wa Urusi amesema nchi yake inaweza kuisaidia Afrika bila masharti ambayo huambatanishwa kwenye misaada ya Mataifa ya Magharibi
> Amesema, Mataifa ya Magharibi yanatoa mashinikizo na vitisho dhidi ya Serikali Huru za Kiafrika ili kurejesha utawala wa kikoloni na kulinyonya Bara la Afrika
Soma - https://jamii.app/PutinMisaadaAfrika
> Rais wa Urusi amesema nchi yake inaweza kuisaidia Afrika bila masharti ambayo huambatanishwa kwenye misaada ya Mataifa ya Magharibi
> Amesema, Mataifa ya Magharibi yanatoa mashinikizo na vitisho dhidi ya Serikali Huru za Kiafrika ili kurejesha utawala wa kikoloni na kulinyonya Bara la Afrika
Soma - https://jamii.app/PutinMisaadaAfrika
SAME: WANANCHI WALALAMIKA WAJAWAZITO KUTUMIA CHUMBA KIMOJA NA WANAOSAFISHWA VIDONDA
> Inadaiwa ukosefu wa Wodi ya Wajawazito katika Zahanati ya Lugulu iliyopo Wilaya ya Same, umesababisha wanaotaka kujifungua watumie chumba kimoja na wagonjwa wanaosafishwa vidonda
> Aidha, baada ya kujifungua wanawake walikuwa wakibebeshwa uchafu kutokana na kukosekana kwa shimo maalum la kutupia taka zitokanazo na Uzazi
Soma - https://jamii.app/UkosefuWodiWajawazito
> Inadaiwa ukosefu wa Wodi ya Wajawazito katika Zahanati ya Lugulu iliyopo Wilaya ya Same, umesababisha wanaotaka kujifungua watumie chumba kimoja na wagonjwa wanaosafishwa vidonda
> Aidha, baada ya kujifungua wanawake walikuwa wakibebeshwa uchafu kutokana na kukosekana kwa shimo maalum la kutupia taka zitokanazo na Uzazi
Soma - https://jamii.app/UkosefuWodiWajawazito
KUSUASUA KWA UJENZI WA KIWANDA CHA TANGA FRESH: SERIKALI YAUNDA TUME YA UCHUNGUZI
> Serikali imebaini mtambo wa kusindika maziwa ya muda mrefu ulionunuliwa, ulikwishatumika na umenunuliwa kwa zaidi ya Shilingi Bilioni 6
Kwa habari zaidi, soma > https://jamii.app/UchunguziTangaFresh
> Serikali imebaini mtambo wa kusindika maziwa ya muda mrefu ulionunuliwa, ulikwishatumika na umenunuliwa kwa zaidi ya Shilingi Bilioni 6
Kwa habari zaidi, soma > https://jamii.app/UchunguziTangaFresh
MAREKANI: RAIS MSTAAFU JIMMY CARTER AANGUKA NA KUVUNJIKA NYONGA, AKIMBIZWA HOSPITALI
> Jimmy Carter(95) sasa amelazwa katika Kituo cha Afya cha Phoebe Sumter baada ya kuanguka na kuvunjika nyonga
> Aliiongoza Marekani mwaka 1977 hadi 1981
Soma > https://jamii.app/JimmyCarterPelvic
> Jimmy Carter(95) sasa amelazwa katika Kituo cha Afya cha Phoebe Sumter baada ya kuanguka na kuvunjika nyonga
> Aliiongoza Marekani mwaka 1977 hadi 1981
Soma > https://jamii.app/JimmyCarterPelvic