MDAU: MKE WANGU NI LAZIMA AMPENDE MAMA YANGU
- Mdau wa JamiiForums anaeleza kuwa sababu zinazoweza kumfanya akamfukuza mke wake bila hata kuwaza mara mbili ni pale atakapogundua mama yake anateswa na Mkewe
- Anadai mkewe hawezi kumchezea Mwanamke ambaye bila yeye asingekuwepo alipo sasa na pengine hata huyo mke asingemfahamu kama isingekuwa kuzaliwa na kulelewa na huyo Mwanamke
Kujadili, tembelea https://jamii.app/MkeVsMamaMkwe
- Mdau wa JamiiForums anaeleza kuwa sababu zinazoweza kumfanya akamfukuza mke wake bila hata kuwaza mara mbili ni pale atakapogundua mama yake anateswa na Mkewe
- Anadai mkewe hawezi kumchezea Mwanamke ambaye bila yeye asingekuwepo alipo sasa na pengine hata huyo mke asingemfahamu kama isingekuwa kuzaliwa na kulelewa na huyo Mwanamke
Kujadili, tembelea https://jamii.app/MkeVsMamaMkwe
BARRICK NA TANZANIA ZAUNDA KAMPUNI YA UBIA
- Waziri Prof. Palamagamba Kabudi amesema Serikali na Barrick Gold Corporation wameunda kampuni inayoitwa Twiga Minerals Corporation
- Katika kampuni hiyo Serikali ina hisa 16% na Barrick 84%
Zaidi, soma https://jamii.app/Kampuni-SerikaliBarrick
- Waziri Prof. Palamagamba Kabudi amesema Serikali na Barrick Gold Corporation wameunda kampuni inayoitwa Twiga Minerals Corporation
- Katika kampuni hiyo Serikali ina hisa 16% na Barrick 84%
Zaidi, soma https://jamii.app/Kampuni-SerikaliBarrick
IKULU: RAIS MAGUFULI KUWAAPISHA VIONGOZI ALIOWATEUA
- Majira ya saa tisa na nusu, Rais Magufuli anatarajiwa kuwaapisha Viongozi mbalimbali aliowateua jana
- Miongoni mwa viongozi atakaowaapisha ni Mtendaji Mkuu wa Mahakama
Fuatilia https://jamii.app/UapishoViongozi-Okt20
- Majira ya saa tisa na nusu, Rais Magufuli anatarajiwa kuwaapisha Viongozi mbalimbali aliowateua jana
- Miongoni mwa viongozi atakaowaapisha ni Mtendaji Mkuu wa Mahakama
Fuatilia https://jamii.app/UapishoViongozi-Okt20
IKULU: RAIS MAGUFULI AWAAPISHA VIONGOZI MBALIMBALI
- Amemwapisha Mathias Kabunduguru kuwa Mtendaji Mkuu wa Mahakama Tanzania
- Aidha, amemwapisha Godfrey Mweli kuwa Naibu Katibu Mkuu TAMISEMI na Ali Sakila kuwa Balozi
Zaidi, soma https://jamii.app/UapishoViongozi-Okt20
- Amemwapisha Mathias Kabunduguru kuwa Mtendaji Mkuu wa Mahakama Tanzania
- Aidha, amemwapisha Godfrey Mweli kuwa Naibu Katibu Mkuu TAMISEMI na Ali Sakila kuwa Balozi
Zaidi, soma https://jamii.app/UapishoViongozi-Okt20
KASHMIR: WATU 7 WAUAWA KWENYE MAPIGANO YA INDIA NA PAKISTAN
> Makabiliano kati ya wanajeshi wa Pakistan na India ktk eneo la Kashmir yamesababisha mauaji ya watu 7 kutoka pande zote mbili
> India imeyaita mashambulizi hayo kama hujuma isiyozuilika inayokiuka makubaliano ya kusitisha mapigano ya mwaka 2003 kati ya India na Pakistan
Soma - https://jamii.app/DeathKashmirAttack
> Makabiliano kati ya wanajeshi wa Pakistan na India ktk eneo la Kashmir yamesababisha mauaji ya watu 7 kutoka pande zote mbili
> India imeyaita mashambulizi hayo kama hujuma isiyozuilika inayokiuka makubaliano ya kusitisha mapigano ya mwaka 2003 kati ya India na Pakistan
Soma - https://jamii.app/DeathKashmirAttack
MAREKANI: Baadhi ya Washindi wa tuzo za African Entertainment Awards USA (AEAUSA), zilizotolewa usiku wa kuamkia leo Jumapili ya Oktoba 20, 2019 nchini Marekani
- Tuzo hizo zinazotolewa kila mwaka zilianza kutolewa Mwaka 2015 zikiheshimu ubora katika nyanja mbalimbali hususan Burundani, Uongozi wa Kijamii na Ujasiriamali ndani ya bara la Afrika
- Tuzo hizo zinazotolewa kila mwaka zilianza kutolewa Mwaka 2015 zikiheshimu ubora katika nyanja mbalimbali hususan Burundani, Uongozi wa Kijamii na Ujasiriamali ndani ya bara la Afrika
UN: ZAIDI YA WATOTO NA VIJANA MILIONI 1.3 DUNIANI KOTE NI WAFUNGWA
> Ripoti iliyotolewa na wataalamu wa Umoja wa Mataifa imesema kiasi cha watoto na vijana milioni 1.3 wako kizuizini ambapo kati yao 410,000 wapo chini ya umri wa miaka 18
> Vijana 330,000 wako kizuizini ulimwenguni kote wakihusishwa na uhamiaji haramu
Soma - https://jamii.app/RipotiWatotoWafungwa
> Ripoti iliyotolewa na wataalamu wa Umoja wa Mataifa imesema kiasi cha watoto na vijana milioni 1.3 wako kizuizini ambapo kati yao 410,000 wapo chini ya umri wa miaka 18
> Vijana 330,000 wako kizuizini ulimwenguni kote wakihusishwa na uhamiaji haramu
Soma - https://jamii.app/RipotiWatotoWafungwa
MAREKANI: DAKTARI AKIRI KUUA KWA UZEMBE MTU ALIYETAKA KUONGEZA MAKALIO
> Donna Francis amekiri mashtaka ya mauaji yaliyotokana na uzembe wakati wa kumfanyia upasuaji mwanamke (34) ambaye alienda kwake kwa ajili ya kuongeza makalio
> Tukio hilo lilitokea Mei 2015, ambapo mgonjwa alipatwa na mshtuko wa moyo baada ya kuchomwa dawa husika
Soma - https://jamii.app/DeathBotchedButt
> Donna Francis amekiri mashtaka ya mauaji yaliyotokana na uzembe wakati wa kumfanyia upasuaji mwanamke (34) ambaye alienda kwake kwa ajili ya kuongeza makalio
> Tukio hilo lilitokea Mei 2015, ambapo mgonjwa alipatwa na mshtuko wa moyo baada ya kuchomwa dawa husika
Soma - https://jamii.app/DeathBotchedButt
TANZANIA MWENYEJI WA MKUTANO WA MAWAZIRI SEKTA ZA MAZINGIRA, MALIASILI NA UTALII SADC
> Mkutano huo unafanyika jijini Arusha na utajadili mwenendo wa hali ya mazingira, mabadiliko ya hali ya hewa na hali ya utalii na misitu katika nchi za SADC
> Pia, utajadili juu ya utekelezaji wa mikakati ya hifadhi na usimamizi wa mazingira
Soma - https://jamii.app/MkutanoSADCMazingira
> Mkutano huo unafanyika jijini Arusha na utajadili mwenendo wa hali ya mazingira, mabadiliko ya hali ya hewa na hali ya utalii na misitu katika nchi za SADC
> Pia, utajadili juu ya utekelezaji wa mikakati ya hifadhi na usimamizi wa mazingira
Soma - https://jamii.app/MkutanoSADCMazingira
MWILI WA KIJANA WAKUTWA VICHAKANI BAADA YA KUPOTEA KWA SIKU 8
> Mwili wa Noel Jengeni Mlilo (27) umepatikana kichakani ukiwa na jeraha mgongoni ambalo linaonesha kusababishwa na kitu chenye ncha kali
> Pia, mwili wake ulionesha hali ya kukosa hewa na kuachana kwa mifupa ambayo ilisababishwa na mkabo uliokusudiwa kutenganisha kichwa na kiwiliwili
Soma - https://jamii.app/MwiliWaokotwaKichakani
> Mwili wa Noel Jengeni Mlilo (27) umepatikana kichakani ukiwa na jeraha mgongoni ambalo linaonesha kusababishwa na kitu chenye ncha kali
> Pia, mwili wake ulionesha hali ya kukosa hewa na kuachana kwa mifupa ambayo ilisababishwa na mkabo uliokusudiwa kutenganisha kichwa na kiwiliwili
Soma - https://jamii.app/MwiliWaokotwaKichakani
TBS YAONDOA VIPODOZI AINA 16 VYENYE SUMU SOKONI
> Vipodozi vilivyoondolewa vinaelezwa kuwa na viambata vyenye sumu hivyo kuhatarisha afya kwa watumiaji.
> Baadhi ni Carolight, Movate, Diproson,Viva White, Bronz na Eclair, Citrolight, Tent Clear, Light up, Dermotyl na Top Lemon
Soma - https://jamii.app/TBSVipondoziSumu
> Vipodozi vilivyoondolewa vinaelezwa kuwa na viambata vyenye sumu hivyo kuhatarisha afya kwa watumiaji.
> Baadhi ni Carolight, Movate, Diproson,Viva White, Bronz na Eclair, Citrolight, Tent Clear, Light up, Dermotyl na Top Lemon
Soma - https://jamii.app/TBSVipondoziSumu
MACHAFUKO CHILE: ABIRIA WAZUILIWA UWANJA WA NDEGE WA SANTIAGO NA SAFARI ZAFUTWA
> Safari hizo zimesitishwa kutokana na vurugu zinazoendelea kwa siku 3 mfululizo na kusababisha vifo vya watu 7 mpaka sasa
> Serikali imetangaza hali ya dharura katika Majimbo matano, ikiwa ni pamoja na Mji Mkuu wenye wakaazi milioni 7
Soma - https://jamii.app/SantiagoFlightsSuspended
> Safari hizo zimesitishwa kutokana na vurugu zinazoendelea kwa siku 3 mfululizo na kusababisha vifo vya watu 7 mpaka sasa
> Serikali imetangaza hali ya dharura katika Majimbo matano, ikiwa ni pamoja na Mji Mkuu wenye wakaazi milioni 7
Soma - https://jamii.app/SantiagoFlightsSuspended
AJALI YA NYUMBA KUUNGUA: WATOTO WAWILI WAPOTEZA MAISHA
> Jaksoni Kebini (4) na Deograta Kebini (1) wakazi wa Halmashauri ya Muleba Mkoani Kagera wameteketea kwa moto baada ya kibatari kusababisha nyumba yao kuungua wakati wakiwa wamelala
> Wazazi wao walikuwa kwenye biashara wakati ajali hiyo ikitokea
Soma - https://jamii.app/VifoNyumbaMoto
> Jaksoni Kebini (4) na Deograta Kebini (1) wakazi wa Halmashauri ya Muleba Mkoani Kagera wameteketea kwa moto baada ya kibatari kusababisha nyumba yao kuungua wakati wakiwa wamelala
> Wazazi wao walikuwa kwenye biashara wakati ajali hiyo ikitokea
Soma - https://jamii.app/VifoNyumbaMoto
USHAURI KWA TRA: WANAOAGIZA MIZIGO NJE WAPEWE UNAFUU KATIKA KULIPA KODI
-
Mdau wa JamiiForums.com anasema TRA iwape nafuu wafanyabiashara wanaoagiza mizigo nje, baada ya makadirio ya kodi wapewe nafasi ya kulipa kwa awamu au muda hata miezi sita katika kumaliza kulipa hiyo kodi
-
Anaongeza kuwa, kama wanavyofanya kwenye makadirio ya Kodi ya mwaka kwamba unalipa kwa awamu nne basi ifanye na hapa pia kwani itawasaidia wafanyabiashara na wananchi wa kawaida kuweza kufikia malengo yao na kukuza uchumi
-
Anasema, baadhi ya bidhaa kutoka nje huuzwa kwa bei ndogo lakini kodi inakuwa kubwa zaidi hata ya mara mbili ya bei ulionunulia. Serikali iangalie hili ili kuwapa unafuu wa maisha wananchi wake
Tembelea - https://jamii.app/HojaMalipoKodiMizigo
#JFHoja
-
Mdau wa JamiiForums.com anasema TRA iwape nafuu wafanyabiashara wanaoagiza mizigo nje, baada ya makadirio ya kodi wapewe nafasi ya kulipa kwa awamu au muda hata miezi sita katika kumaliza kulipa hiyo kodi
-
Anaongeza kuwa, kama wanavyofanya kwenye makadirio ya Kodi ya mwaka kwamba unalipa kwa awamu nne basi ifanye na hapa pia kwani itawasaidia wafanyabiashara na wananchi wa kawaida kuweza kufikia malengo yao na kukuza uchumi
-
Anasema, baadhi ya bidhaa kutoka nje huuzwa kwa bei ndogo lakini kodi inakuwa kubwa zaidi hata ya mara mbili ya bei ulionunulia. Serikali iangalie hili ili kuwapa unafuu wa maisha wananchi wake
Tembelea - https://jamii.app/HojaMalipoKodiMizigo
#JFHoja
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
MOROGORO: MKUU WA MKOA AAGIZA KUKAMATWA WATUMISHI 5
> RC Loata Ole Sanare, ametaka watumishi hao wahojiwe kwa tuhuma za matumizi mabaya ya edha za ujenzi wa Kituo cha Afya cha Kata ya Mkuyuni na hospitali ya Wilaya ya Mvomero
Zaidi, soma => https://jamii.app/RCMoroWatumishi
> RC Loata Ole Sanare, ametaka watumishi hao wahojiwe kwa tuhuma za matumizi mabaya ya edha za ujenzi wa Kituo cha Afya cha Kata ya Mkuyuni na hospitali ya Wilaya ya Mvomero
Zaidi, soma => https://jamii.app/RCMoroWatumishi
TAARIFA KUHUSU KUKATIKA KWA UMEME
-
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetangaza kukatika kwa umeme katika baadhi ya maeneo ya Wilaya ya Ilala na Temeke, jijini Dar es Salaam kesho, Oktoba 22 kuanzia saa 2:30 asubuhi hadi 10:30 jioni
-
Maeneo yatakayokumbwa na usumbufu huo ni pamoja na Buguruni, Vingunguti, Tazara, Gongo la Mboto, Ukonga, Mombasa, Mzambarauni, Pugu, Yombo, Kitunda, Machimbo, Mwanagati, Mbondole pamoja na baadhi ya maeneo ya Tabata
-
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetangaza kukatika kwa umeme katika baadhi ya maeneo ya Wilaya ya Ilala na Temeke, jijini Dar es Salaam kesho, Oktoba 22 kuanzia saa 2:30 asubuhi hadi 10:30 jioni
-
Maeneo yatakayokumbwa na usumbufu huo ni pamoja na Buguruni, Vingunguti, Tazara, Gongo la Mboto, Ukonga, Mombasa, Mzambarauni, Pugu, Yombo, Kitunda, Machimbo, Mwanagati, Mbondole pamoja na baadhi ya maeneo ya Tabata