MWANZA: MAFURIKO YACHIMBUA MAKABURI
- Mafuriko yaliyotokana na mvua kubwa iliyonyesha kwa zaidi ya saa moja jana, yamefukua zaidi ya makaburi 20 ya Waislam eneo la Mswahili katika Kata ya Mkuyuni
Zaidi, soma https://jamii.app/MafurikoYachimbuaMakaburi-MWZ
- Mafuriko yaliyotokana na mvua kubwa iliyonyesha kwa zaidi ya saa moja jana, yamefukua zaidi ya makaburi 20 ya Waislam eneo la Mswahili katika Kata ya Mkuyuni
Zaidi, soma https://jamii.app/MafurikoYachimbuaMakaburi-MWZ
WHO: MAAMBUKIZI YA EBOLA DRC YAPUNGUA, HALI BADO SIO SALAMA
> Takwimu zinaonesha idadi ya wagonjwa sasa ni 3,228 na kati ya hao 3,114 wamethibitishwa kuugua na 114 wanashukiwa kuwa na maambukizi
> Changamoto kubwa ni ukosefu wa fedha, kwani kati ya dola zaidi ya milioni 66.6 zinazohitajika kukabiliana na ugonjwa huo, ni dola milioni 4.5 zilizoahidiwa
Soma - https://jamii.app/WHOMaambukiziEbola
> Takwimu zinaonesha idadi ya wagonjwa sasa ni 3,228 na kati ya hao 3,114 wamethibitishwa kuugua na 114 wanashukiwa kuwa na maambukizi
> Changamoto kubwa ni ukosefu wa fedha, kwani kati ya dola zaidi ya milioni 66.6 zinazohitajika kukabiliana na ugonjwa huo, ni dola milioni 4.5 zilizoahidiwa
Soma - https://jamii.app/WHOMaambukiziEbola
IKULU: RAIS MAGUFULI AFANYA TEUZI MBALIMBALI
- Miongoni mwao, Mathias Kabunduguru ameteuliwa kuwa Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania
- Pia, amemteua Hashim Abdallah Komba kuwa Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea akichukua nafasi ya Rukia Muwango
Zaidi, soma https://jamii.app/MagufuliTeuziMbalimbali
- Miongoni mwao, Mathias Kabunduguru ameteuliwa kuwa Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania
- Pia, amemteua Hashim Abdallah Komba kuwa Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea akichukua nafasi ya Rukia Muwango
Zaidi, soma https://jamii.app/MagufuliTeuziMbalimbali
VIONGOZI 99 WA AMCOS MBARONI KWA KUWADHULUMU WAKULIMA
- Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) inawashikilia viongozi 99 wa Vyama 31 vya Msingi vya Ushirika (AMCOS) wanaodaiwa kuwadhulumu Wakulima wa ufuta Tsh. Bilioni 1.2
Zaidi, soma https://jamii.app/Viongozi99AMCOSMbaroni
- Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) inawashikilia viongozi 99 wa Vyama 31 vya Msingi vya Ushirika (AMCOS) wanaodaiwa kuwadhulumu Wakulima wa ufuta Tsh. Bilioni 1.2
Zaidi, soma https://jamii.app/Viongozi99AMCOSMbaroni
LIGI KUU ENGLAND: CHELSEA YASHINDA, TOTTENHAM YABANWA
- Michezo kadhaa za Ligi Kuu za mzunguko wa 9 zimemaliza huku klabu ya Tottenham ikiwa nyumbani ikitoka sare ya goli 1-1 na klabu ya Watford
- Klabu ya Chelsea ikiwa nyumbani imepata ushindi mwembamba wa goli 1-0 dhidi ya Newcastle United huku Leicester City nayo ikipata ushindi wa goli 2-1 dhidi ya Burnley
- Michezo kadhaa za Ligi Kuu za mzunguko wa 9 zimemaliza huku klabu ya Tottenham ikiwa nyumbani ikitoka sare ya goli 1-1 na klabu ya Watford
- Klabu ya Chelsea ikiwa nyumbani imepata ushindi mwembamba wa goli 1-0 dhidi ya Newcastle United huku Leicester City nayo ikipata ushindi wa goli 2-1 dhidi ya Burnley
UINGEREZA: WABUNGE WAPIGA KURA KUCHELEWESHA MPANGO WA BREXIT
> Wabunge wamepiga kura 322 dhidi ya 306 za kuchelewesha mpango wa Waziri Mkuu, Boris Johnson wa kujiondoa Umoja wa Ulaya
> Wametaka muda zaidi kusoma na kuyaelewa vizuri yaliyomo ndani ya mpango huo kabla ya tarehe ya mwisho, Oktoba 31
Soma - https://jamii.app/UKMPsDelayBrexit
> Wabunge wamepiga kura 322 dhidi ya 306 za kuchelewesha mpango wa Waziri Mkuu, Boris Johnson wa kujiondoa Umoja wa Ulaya
> Wametaka muda zaidi kusoma na kuyaelewa vizuri yaliyomo ndani ya mpango huo kabla ya tarehe ya mwisho, Oktoba 31
Soma - https://jamii.app/UKMPsDelayBrexit
LEBANON: WANANCHI WAANDAMANA KUIPINGA SERIKALI
- Maelfu ya Waandamanaji wameingia katika mitaa ya Lebanon jana, ikiwa ni siku ya tatu ya maandamano ya kuipinga Serikali, wakiwalenga vingozi wao juu ya kuporomosha Uchumi
Zaidi, soma https://jamii.app/MaandamanoLebanon
- Maelfu ya Waandamanaji wameingia katika mitaa ya Lebanon jana, ikiwa ni siku ya tatu ya maandamano ya kuipinga Serikali, wakiwalenga vingozi wao juu ya kuporomosha Uchumi
Zaidi, soma https://jamii.app/MaandamanoLebanon
MDAU: MKE WANGU NI LAZIMA AMPENDE MAMA YANGU
- Mdau wa JamiiForums anaeleza kuwa sababu zinazoweza kumfanya akamfukuza mke wake bila hata kuwaza mara mbili ni pale atakapogundua mama yake anateswa na Mkewe
- Anadai mkewe hawezi kumchezea Mwanamke ambaye bila yeye asingekuwepo alipo sasa na pengine hata huyo mke asingemfahamu kama isingekuwa kuzaliwa na kulelewa na huyo Mwanamke
Kujadili, tembelea https://jamii.app/MkeVsMamaMkwe
- Mdau wa JamiiForums anaeleza kuwa sababu zinazoweza kumfanya akamfukuza mke wake bila hata kuwaza mara mbili ni pale atakapogundua mama yake anateswa na Mkewe
- Anadai mkewe hawezi kumchezea Mwanamke ambaye bila yeye asingekuwepo alipo sasa na pengine hata huyo mke asingemfahamu kama isingekuwa kuzaliwa na kulelewa na huyo Mwanamke
Kujadili, tembelea https://jamii.app/MkeVsMamaMkwe
BARRICK NA TANZANIA ZAUNDA KAMPUNI YA UBIA
- Waziri Prof. Palamagamba Kabudi amesema Serikali na Barrick Gold Corporation wameunda kampuni inayoitwa Twiga Minerals Corporation
- Katika kampuni hiyo Serikali ina hisa 16% na Barrick 84%
Zaidi, soma https://jamii.app/Kampuni-SerikaliBarrick
- Waziri Prof. Palamagamba Kabudi amesema Serikali na Barrick Gold Corporation wameunda kampuni inayoitwa Twiga Minerals Corporation
- Katika kampuni hiyo Serikali ina hisa 16% na Barrick 84%
Zaidi, soma https://jamii.app/Kampuni-SerikaliBarrick
IKULU: RAIS MAGUFULI KUWAAPISHA VIONGOZI ALIOWATEUA
- Majira ya saa tisa na nusu, Rais Magufuli anatarajiwa kuwaapisha Viongozi mbalimbali aliowateua jana
- Miongoni mwa viongozi atakaowaapisha ni Mtendaji Mkuu wa Mahakama
Fuatilia https://jamii.app/UapishoViongozi-Okt20
- Majira ya saa tisa na nusu, Rais Magufuli anatarajiwa kuwaapisha Viongozi mbalimbali aliowateua jana
- Miongoni mwa viongozi atakaowaapisha ni Mtendaji Mkuu wa Mahakama
Fuatilia https://jamii.app/UapishoViongozi-Okt20
IKULU: RAIS MAGUFULI AWAAPISHA VIONGOZI MBALIMBALI
- Amemwapisha Mathias Kabunduguru kuwa Mtendaji Mkuu wa Mahakama Tanzania
- Aidha, amemwapisha Godfrey Mweli kuwa Naibu Katibu Mkuu TAMISEMI na Ali Sakila kuwa Balozi
Zaidi, soma https://jamii.app/UapishoViongozi-Okt20
- Amemwapisha Mathias Kabunduguru kuwa Mtendaji Mkuu wa Mahakama Tanzania
- Aidha, amemwapisha Godfrey Mweli kuwa Naibu Katibu Mkuu TAMISEMI na Ali Sakila kuwa Balozi
Zaidi, soma https://jamii.app/UapishoViongozi-Okt20
KASHMIR: WATU 7 WAUAWA KWENYE MAPIGANO YA INDIA NA PAKISTAN
> Makabiliano kati ya wanajeshi wa Pakistan na India ktk eneo la Kashmir yamesababisha mauaji ya watu 7 kutoka pande zote mbili
> India imeyaita mashambulizi hayo kama hujuma isiyozuilika inayokiuka makubaliano ya kusitisha mapigano ya mwaka 2003 kati ya India na Pakistan
Soma - https://jamii.app/DeathKashmirAttack
> Makabiliano kati ya wanajeshi wa Pakistan na India ktk eneo la Kashmir yamesababisha mauaji ya watu 7 kutoka pande zote mbili
> India imeyaita mashambulizi hayo kama hujuma isiyozuilika inayokiuka makubaliano ya kusitisha mapigano ya mwaka 2003 kati ya India na Pakistan
Soma - https://jamii.app/DeathKashmirAttack
MAREKANI: Baadhi ya Washindi wa tuzo za African Entertainment Awards USA (AEAUSA), zilizotolewa usiku wa kuamkia leo Jumapili ya Oktoba 20, 2019 nchini Marekani
- Tuzo hizo zinazotolewa kila mwaka zilianza kutolewa Mwaka 2015 zikiheshimu ubora katika nyanja mbalimbali hususan Burundani, Uongozi wa Kijamii na Ujasiriamali ndani ya bara la Afrika
- Tuzo hizo zinazotolewa kila mwaka zilianza kutolewa Mwaka 2015 zikiheshimu ubora katika nyanja mbalimbali hususan Burundani, Uongozi wa Kijamii na Ujasiriamali ndani ya bara la Afrika
UN: ZAIDI YA WATOTO NA VIJANA MILIONI 1.3 DUNIANI KOTE NI WAFUNGWA
> Ripoti iliyotolewa na wataalamu wa Umoja wa Mataifa imesema kiasi cha watoto na vijana milioni 1.3 wako kizuizini ambapo kati yao 410,000 wapo chini ya umri wa miaka 18
> Vijana 330,000 wako kizuizini ulimwenguni kote wakihusishwa na uhamiaji haramu
Soma - https://jamii.app/RipotiWatotoWafungwa
> Ripoti iliyotolewa na wataalamu wa Umoja wa Mataifa imesema kiasi cha watoto na vijana milioni 1.3 wako kizuizini ambapo kati yao 410,000 wapo chini ya umri wa miaka 18
> Vijana 330,000 wako kizuizini ulimwenguni kote wakihusishwa na uhamiaji haramu
Soma - https://jamii.app/RipotiWatotoWafungwa
MAREKANI: DAKTARI AKIRI KUUA KWA UZEMBE MTU ALIYETAKA KUONGEZA MAKALIO
> Donna Francis amekiri mashtaka ya mauaji yaliyotokana na uzembe wakati wa kumfanyia upasuaji mwanamke (34) ambaye alienda kwake kwa ajili ya kuongeza makalio
> Tukio hilo lilitokea Mei 2015, ambapo mgonjwa alipatwa na mshtuko wa moyo baada ya kuchomwa dawa husika
Soma - https://jamii.app/DeathBotchedButt
> Donna Francis amekiri mashtaka ya mauaji yaliyotokana na uzembe wakati wa kumfanyia upasuaji mwanamke (34) ambaye alienda kwake kwa ajili ya kuongeza makalio
> Tukio hilo lilitokea Mei 2015, ambapo mgonjwa alipatwa na mshtuko wa moyo baada ya kuchomwa dawa husika
Soma - https://jamii.app/DeathBotchedButt