KENYA: BASI LA KANISA LAKAMATWA LIKISAFIRISHA MISOKOTO YA BANGI
> Polisi wamekamata basi la Kanisa la PEFA likiwa na Misokoto 230 ya bangi iliyokuwa imesundwa kama mizigo
> Bangi hiyo inakadiriwa kuwa na thamani ya zaidi ya Tsh. Milioni 1
Soma - https://jamii.app/KanisaKusafirishaBangi
> Polisi wamekamata basi la Kanisa la PEFA likiwa na Misokoto 230 ya bangi iliyokuwa imesundwa kama mizigo
> Bangi hiyo inakadiriwa kuwa na thamani ya zaidi ya Tsh. Milioni 1
Soma - https://jamii.app/KanisaKusafirishaBangi
SERIKALI YASHINDA RUFAA YA KUPINGA WAKURUGENZI KUSIMAMIA UCHAGUZI
> Mahakama ya rufaa imetoa uamuzi huo baada ya kujiridhisha na hoja za Serikali kuwa Wakurugenzi hao kabla ya kuwa wasimamizi wa uchaguzi hula viapo vya kukana uanachama wao
> Kesi hiyo ilifunguliwa na Bob Wangwe
Soma - https://jamii.app/WakurugenziUsimamiziUchaguzi
#JFLeo
> Mahakama ya rufaa imetoa uamuzi huo baada ya kujiridhisha na hoja za Serikali kuwa Wakurugenzi hao kabla ya kuwa wasimamizi wa uchaguzi hula viapo vya kukana uanachama wao
> Kesi hiyo ilifunguliwa na Bob Wangwe
Soma - https://jamii.app/WakurugenziUsimamiziUchaguzi
#JFLeo
KIWANGO CHA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI KITAIFA CHASHUKA
> Kiwango kimeshuka kutoka 7% mwaka 2003/04 hadi kufikia 4.7% 2016/17 huku maambukizi kwa wanaume ikiwa ni 3.4% na wanawake ni 6.3%
> Hatua zilichochangia ni pamoja na huduma za ushauri nasaha na upimaji, tohara kwa wanaume, huduma za kondomu
Soma https://jamii.app/KushukaMaambukiziVVU
> Kiwango kimeshuka kutoka 7% mwaka 2003/04 hadi kufikia 4.7% 2016/17 huku maambukizi kwa wanaume ikiwa ni 3.4% na wanawake ni 6.3%
> Hatua zilichochangia ni pamoja na huduma za ushauri nasaha na upimaji, tohara kwa wanaume, huduma za kondomu
Soma https://jamii.app/KushukaMaambukiziVVU
MGOGORO TANESCO NA IPTL: TANZANIA YAAMRIWA KULIPA DOLA MILIONI 185
> Mahakama ya Migogoro ya Kimataifa (ICSID), imeamuru Serikali ya Tanzania kulipa Dola 185.4 milioni (zaidi ya Tsh. Bilioni 426) kwa kukiuka mkataba
> TANESCO liliingia makubaliano ya kuzalisha umeme na IPTL 1995 lakini 2013 kukatokea kutoelewana
Soma - https://jamii.app/TzMalipoIPTL
> Mahakama ya Migogoro ya Kimataifa (ICSID), imeamuru Serikali ya Tanzania kulipa Dola 185.4 milioni (zaidi ya Tsh. Bilioni 426) kwa kukiuka mkataba
> TANESCO liliingia makubaliano ya kuzalisha umeme na IPTL 1995 lakini 2013 kukatokea kutoelewana
Soma - https://jamii.app/TzMalipoIPTL
WADAIWA SUGU WASABABISHIA UMOJA WA MATAIFA UKATA
- Inadaiwa Umoja huo unaweza kushindwa lipa Wafanyakazi na Watoa Huduma wake iwapo wadaiwa wasipolipa kufikia Oktoba 31
- Wadaiwa hao ni US, Argentina, Mexico, Israel, Iran, Venezuela na Brazil
Soma https://jamii.app/UkataUmojaWaMataifa
- Inadaiwa Umoja huo unaweza kushindwa lipa Wafanyakazi na Watoa Huduma wake iwapo wadaiwa wasipolipa kufikia Oktoba 31
- Wadaiwa hao ni US, Argentina, Mexico, Israel, Iran, Venezuela na Brazil
Soma https://jamii.app/UkataUmojaWaMataifa
WAFANYABIASHARA WA VYUMA CHAKAVU WALIOKIUKA MAELEKEZO YA SERIKALI KUFUTIWA VIBALI
- Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mh. George Simbachawene ameagiza kufutwa kwa vibali vya wafanyabiashara wote wanaosafirisha vyuma chakavu ambao hawakufuata maelekezo ya Serikali
- Kampuni ambazo makontena yake yalikuwa yakifanyiwa uchunguzi ni J. M Kambi and General Services ( makontena 88), JBR Group of Companies ( makontena 35), Villa Plast Ltd ( makontena 3) , Three Star Metal Group ( makontena 12) na Steel Com Ltd ( makontena 2)
Soma - https://jamii.app/WafanyabiasharaVyumaChakavuWafutiwaVibali
- Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mh. George Simbachawene ameagiza kufutwa kwa vibali vya wafanyabiashara wote wanaosafirisha vyuma chakavu ambao hawakufuata maelekezo ya Serikali
- Kampuni ambazo makontena yake yalikuwa yakifanyiwa uchunguzi ni J. M Kambi and General Services ( makontena 88), JBR Group of Companies ( makontena 35), Villa Plast Ltd ( makontena 3) , Three Star Metal Group ( makontena 12) na Steel Com Ltd ( makontena 2)
Soma - https://jamii.app/WafanyabiasharaVyumaChakavuWafutiwaVibali
Mfanyabiashara Mohamed Yusufali, aliyekuwa akikabiliwa na kesi mbili za Uhujumu Uchumi, arejea Uraiani
- Aliwahi kutajwa na Rais Magufuli kuwa alikuwa akiibia Serikali Tsh. milioni 7 kwa dakika kupitia Mashine za Kodi za Kielektroniki (EFD)
Soma > https://jamii.app/MohamedYusufaliIsFree
- Aliwahi kutajwa na Rais Magufuli kuwa alikuwa akiibia Serikali Tsh. milioni 7 kwa dakika kupitia Mashine za Kodi za Kielektroniki (EFD)
Soma > https://jamii.app/MohamedYusufaliIsFree
WATUMIAJI WA VIDEO ZA NGONO ZA KUDHALILISHA WATOTO MBARONI
- Watu 337 kutoka Nchi 38 wamekamatwa kufuatia kugundulika na kufungwa kwa moja ya mtandao mkubwa wa udhalilishaji Watoto Duniani unaotengeneza video za ngono za Watoto
Soma https://jamii.app/DarkWebChildAbuse-Arrest
- Watu 337 kutoka Nchi 38 wamekamatwa kufuatia kugundulika na kufungwa kwa moja ya mtandao mkubwa wa udhalilishaji Watoto Duniani unaotengeneza video za ngono za Watoto
Soma https://jamii.app/DarkWebChildAbuse-Arrest
WAFANYAKAZI WA TIGO WAHUKUMIWA KIFUNGO CHA NJE KWA KUWATAPELI WATEJA
> Mahakama ya Kisutu, Dar imewahukumu wafanyakazi 3 wa Kampuni ya Tigo na wafanyabiashara 2 kifungo cha nje cha miezi 6 kwa kutapeli wateja kwa ujumbe wa maandishi
> Pia imetaifisha simu 31 na laini zake pamoja na sare ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi la Tanzania (JWTZ)
Soma - https://jamii.app/WafanyakaziTigoJela
> Mahakama ya Kisutu, Dar imewahukumu wafanyakazi 3 wa Kampuni ya Tigo na wafanyabiashara 2 kifungo cha nje cha miezi 6 kwa kutapeli wateja kwa ujumbe wa maandishi
> Pia imetaifisha simu 31 na laini zake pamoja na sare ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi la Tanzania (JWTZ)
Soma - https://jamii.app/WafanyakaziTigoJela
MUUGUZI ADAIWA KUMBAKA BINTI WA MIAKA 16 ALIYEKUWA AKIMUUGUZA MAMA YAKE
- Ni katika Hospitali ya Wilaya ya Igunga, Mkoani Tabora
- Mganga Mkuu wa Wilaya, Dr. Ruta Deus amethibitisha kutokea kwa tukio hilo lililotokea Oktoba 10, 2019
Soma https://jamii.app/MuuguziAbakaBintiMiaka16
- Ni katika Hospitali ya Wilaya ya Igunga, Mkoani Tabora
- Mganga Mkuu wa Wilaya, Dr. Ruta Deus amethibitisha kutokea kwa tukio hilo lililotokea Oktoba 10, 2019
Soma https://jamii.app/MuuguziAbakaBintiMiaka16
WANAFUNZI 30,675 KUNUFAIKA NA MKOPO KWA AWAMU YA KWANZA 2019/20
- Mkopo wenye thamani ya Tsh. Bilioni 113.5 umetolewa kwa Wanafunzi wa mwaka wa kwanza
- Wanafunzi waliopata mkopo wanatakiwa kuingia katika akaunti zao walizoombea mkopo
Zaidi, soma https://jamii.app/MkopoAwamu1-2019-20
- Mkopo wenye thamani ya Tsh. Bilioni 113.5 umetolewa kwa Wanafunzi wa mwaka wa kwanza
- Wanafunzi waliopata mkopo wanatakiwa kuingia katika akaunti zao walizoombea mkopo
Zaidi, soma https://jamii.app/MkopoAwamu1-2019-20
SERIKALI YASEMA HAIHUSIKI NA HUKUMU ILIYOTOLEWA NA BARAZA LA ICSID
> Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbasi, amesema Serikali haihusiki na hukumu iliyotolewa na Baraza la Kimataifa la Usuluhishi wa Migogoro ya Biashara (ICSID), ambayo imetaka Benki ya Standard Chartered (Hong Kong) Ltd ilipwe dola milioni 185
> Amesema Msingi wa kesi zote mdaiwa si Serikali wala TANESCO ila ni deni la benki dhidi ya IPTL
Soma - https://jamii.app/SerikaliHaidaiwiIPTL
> Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbasi, amesema Serikali haihusiki na hukumu iliyotolewa na Baraza la Kimataifa la Usuluhishi wa Migogoro ya Biashara (ICSID), ambayo imetaka Benki ya Standard Chartered (Hong Kong) Ltd ilipwe dola milioni 185
> Amesema Msingi wa kesi zote mdaiwa si Serikali wala TANESCO ila ni deni la benki dhidi ya IPTL
Soma - https://jamii.app/SerikaliHaidaiwiIPTL
NDAYIRAGIJE: TANZANIA ‘TUTAPINDUA MEZA’ KWA SUDAN
- Kaimu Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars', Etienne Ndayiragije amewatoa wasiwasi mashabiki wa Stars kwa kusema wana kila sababu ya kupindua matokeo kutokana na maandalizi
Zaidi, soma https://jamii.app/StarsKuifungaSudan
- Kaimu Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars', Etienne Ndayiragije amewatoa wasiwasi mashabiki wa Stars kwa kusema wana kila sababu ya kupindua matokeo kutokana na maandalizi
Zaidi, soma https://jamii.app/StarsKuifungaSudan
KENYA: RAIS KENYATTA AVUNJA BODI YA HUDUMA ZA FERI
- Rais Uhuru Kenyatta ametengua uteuzi wa Wanabodi watano wa Bodi hiyo hapo jana Oktoba 17, ikiwa ni takriban wiki tatu zimepita baada ya ajali ya mama na mtoto kuzama katika Feri ya Likoni
Zaidi, soma https://jamii.app/KFSBoardMembersSacked
- Rais Uhuru Kenyatta ametengua uteuzi wa Wanabodi watano wa Bodi hiyo hapo jana Oktoba 17, ikiwa ni takriban wiki tatu zimepita baada ya ajali ya mama na mtoto kuzama katika Feri ya Likoni
Zaidi, soma https://jamii.app/KFSBoardMembersSacked
WAKURUGENZI KUSIMAMIA UCHAGUZI: RUFAA KUKATWA MAHAKAMA YA AFRIKA
- Baada ya Mahakama ya Rufaa kutengua zuio la Wakurugenzi wa Halmashauri na Majiji kusimamia uchaguzi, Bob Wangwe amesema atakata rufaa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu
Zaidi, soma https://jamii.app/Ma-DEDKesiRufaaAfrika
- Baada ya Mahakama ya Rufaa kutengua zuio la Wakurugenzi wa Halmashauri na Majiji kusimamia uchaguzi, Bob Wangwe amesema atakata rufaa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu
Zaidi, soma https://jamii.app/Ma-DEDKesiRufaaAfrika
UINGEREZA: MAKUBALIANO MAPYA YA BREXIT KUJADILIWA KESHO BUNGENI
- Uingereza na Umoja wa Ulaya wamefikia makubaliano mapya yatakayofungua njia kwa nchi hiyo kujitoa katika Umoja huo Oktoba 31, lakini makubaliano hayo tayari yameanza kukosolewa na Wabunge wa nchi hiyo
Zaidi, soma https://jamii.app/MajadilianoMapyaBrexit
- Uingereza na Umoja wa Ulaya wamefikia makubaliano mapya yatakayofungua njia kwa nchi hiyo kujitoa katika Umoja huo Oktoba 31, lakini makubaliano hayo tayari yameanza kukosolewa na Wabunge wa nchi hiyo
Zaidi, soma https://jamii.app/MajadilianoMapyaBrexit
LINDI: MBARONI KWA KUPANDISHA BENDERA YA CHAMA PINZANI BARABARANI
- Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya ya Ruangwa, Erasmus Libaba amehojiwa kwa kupandisha bendera ya chama hicho katika barabara ambayo viongozi wa Serikali wanapita katika msafara
Zaidi, soma https://jamii.app/MbaroniBenderaUpinzani
- Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya ya Ruangwa, Erasmus Libaba amehojiwa kwa kupandisha bendera ya chama hicho katika barabara ambayo viongozi wa Serikali wanapita katika msafara
Zaidi, soma https://jamii.app/MbaroniBenderaUpinzani
Radi imewajeruhi wanafunzi 39 wa Darasa la Nne katika Shule ya Msingi Ihumilo iliyopo Wilayani Geita, wakati wakiwa Darasani
> Mkuu wa Mkoa wa Geita, Robert Gabriel amethibitisha kutokea kwa tukio hilo
Soma > https://jamii.app/WanafunziWajeruhiwaNaRadi
> Mkuu wa Mkoa wa Geita, Robert Gabriel amethibitisha kutokea kwa tukio hilo
Soma > https://jamii.app/WanafunziWajeruhiwaNaRadi