MDAU: BOYFRIEND WANGU MCHAFU SANA, KANISHINDA
- Mdau anasema “Mimi sio mtu msafi sana ila Mwanaume huyu amenishinda. Ni mtu mzuri na nimekuwa naye kwa miezi 8 sasa, mwanzo sikuwa nimemuelewa ila huyu Mwanaume ni mchafu sana.”
- Anaendelea “Chumba chake ni kichafu. Huna nasafisha, nisiposafisha hakutaniki. Akioga usiku kabla ya kulala asubuhi haogi, analala na Mwanamke asubuhi anaenda kazini hivyo hivyo. Nikisema anasema nampanda kichwani.”
Kushiriki mjadala, tembelea https://jamii.app/BoyfriendMchafuSana
- Mdau anasema “Mimi sio mtu msafi sana ila Mwanaume huyu amenishinda. Ni mtu mzuri na nimekuwa naye kwa miezi 8 sasa, mwanzo sikuwa nimemuelewa ila huyu Mwanaume ni mchafu sana.”
- Anaendelea “Chumba chake ni kichafu. Huna nasafisha, nisiposafisha hakutaniki. Akioga usiku kabla ya kulala asubuhi haogi, analala na Mwanamke asubuhi anaenda kazini hivyo hivyo. Nikisema anasema nampanda kichwani.”
Kushiriki mjadala, tembelea https://jamii.app/BoyfriendMchafuSana
UGANDA: ASKARI AKAMATWA KWA KUMUUA MTUHUMIWA KWA RISASI
> Askari Polisi ktk Wilaya a Sironko amekamatwa kwa kumpiga risasi Mathew Wodeya (23) akiwa nyumbani kwake baada ya kudaiwa alijaribu kukataa kukamatwa
> Wodeya alikuwa akituhumiwa kwa kosa la kunajisi ambapo alipigwa risasi tumboni, shingoni na kifuani
Soma - https://jamii.app/PoliceShotDeadSuspect
> Askari Polisi ktk Wilaya a Sironko amekamatwa kwa kumpiga risasi Mathew Wodeya (23) akiwa nyumbani kwake baada ya kudaiwa alijaribu kukataa kukamatwa
> Wodeya alikuwa akituhumiwa kwa kosa la kunajisi ambapo alipigwa risasi tumboni, shingoni na kifuani
Soma - https://jamii.app/PoliceShotDeadSuspect
ZINGATIA MUONGOZO HUU KATIKA UFUGAJI WA KUKU WA KIENYEJI
> Zingatia usafi wa vyombo na mazingira ya kuku kwani uchafu ni mama wa magonjwa. Vyombo vya chakula na maji visafishwe mara kwa mara kwa maji safi na sabuni
> Pumba au chakula kilicholowana na kuchanganyika na kinyesi cha kuku kitolowe bandani na kufukiwa
> Choma moto au zika kwenye shimo refu kuku waliokufa kwa ugonjwa na Usifuge kuku na ndege wa jamii nyingine kwa mfano bata katika banda moja
> Tumia dawa za kuulia vimelea kusafishia banda na hakikisha unaziba matundu yote yanayoweza kuruhusu panya na wanyama wakali kama vicheche kuingia bandani
Kujua zaidi, soma - https://jamii.app/UfugajiKukuKienyeji
> Zingatia usafi wa vyombo na mazingira ya kuku kwani uchafu ni mama wa magonjwa. Vyombo vya chakula na maji visafishwe mara kwa mara kwa maji safi na sabuni
> Pumba au chakula kilicholowana na kuchanganyika na kinyesi cha kuku kitolowe bandani na kufukiwa
> Choma moto au zika kwenye shimo refu kuku waliokufa kwa ugonjwa na Usifuge kuku na ndege wa jamii nyingine kwa mfano bata katika banda moja
> Tumia dawa za kuulia vimelea kusafishia banda na hakikisha unaziba matundu yote yanayoweza kuruhusu panya na wanyama wakali kama vicheche kuingia bandani
Kujua zaidi, soma - https://jamii.app/UfugajiKukuKienyeji
MAASKOFU WA KATOLIKI KURATIBU MPANGO WA KUMTANGAZA MWL. NYERERE MTAKATIFU
- Mpango huo ulioanzishwa na Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Musoma Mkoani Mara umehamishiwa Jimbo Kuu la Dar chini ya Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (TEC)
Zaidi, soma https://jamii.app/NyerereMtakatifu-TEC
- Mpango huo ulioanzishwa na Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Musoma Mkoani Mara umehamishiwa Jimbo Kuu la Dar chini ya Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (TEC)
Zaidi, soma https://jamii.app/NyerereMtakatifu-TEC
RAIS MAGUFULI: TUMEMUENZI NYERERE KWA KUFUFUA MASHIRIKA YA UMMA NA KUSIMAMIA NIDHAMU
> Amesema Serikali imefanya mambo mengi katika kumuenzi Baba wa Taifa ikiwa ni pamoja na kusimamia nidhamu Serikalini, kuyafufua Mashirika ya Umma, kurejesha nidhamu katika Utumishi wa Umma na kulinda Rasilimali za Taifa
> Amesema jitihada zote zimelenga katika kuziishi fikra za Baba wa Taifa ambaye alilijenga Taifa katika misingi ya Ujamaa na Kujitegemea
Soma - https://jamii.app/MagufuliKumuenziNyerere
> Amesema Serikali imefanya mambo mengi katika kumuenzi Baba wa Taifa ikiwa ni pamoja na kusimamia nidhamu Serikalini, kuyafufua Mashirika ya Umma, kurejesha nidhamu katika Utumishi wa Umma na kulinda Rasilimali za Taifa
> Amesema jitihada zote zimelenga katika kuziishi fikra za Baba wa Taifa ambaye alilijenga Taifa katika misingi ya Ujamaa na Kujitegemea
Soma - https://jamii.app/MagufuliKumuenziNyerere
CUF: KUTOFANYIKA KWA MIKUTANO YA KISIASA NI SABABU YA WATU KUTOJIANDIKISHA KUPIGA KURA
> Chama cha Wananchi (CUF) kimesema mikutano ya kisiasa huhamasisha wananchi kujiandikisha na kujua umuhimu wa kufanya hivyo katika uchaguzi
> Sababu nyingine ni kufanyika kwa uchaguzi usio huru na haki, kupatikana kwa washindi wanaopita bila kupingwa na viongozi waliochaguliwa kuhama vyama vya upinzani na kwenda CCM
Soma - https://jamii.app/CUFUandikishajiKura
> Chama cha Wananchi (CUF) kimesema mikutano ya kisiasa huhamasisha wananchi kujiandikisha na kujua umuhimu wa kufanya hivyo katika uchaguzi
> Sababu nyingine ni kufanyika kwa uchaguzi usio huru na haki, kupatikana kwa washindi wanaopita bila kupingwa na viongozi waliochaguliwa kuhama vyama vya upinzani na kwenda CCM
Soma - https://jamii.app/CUFUandikishajiKura
KENYA: MABAKI YA MIILI YA WALIOFARIKI KATIKA AJALI YA ETHIOPIAN AIRLINE YAWASILI
- Wakenya leo wamepokea mabaki ya miili ya wapendwa wao waliofariki katika ajali ya Ndege ya Ethiopia iliyoanguka mwezi Machi na kuwaua watu wote 157 waliokuwemo
Zaidi, soma https://jamii.app/MiiliWakenyaEthiopianAirline
- Wakenya leo wamepokea mabaki ya miili ya wapendwa wao waliofariki katika ajali ya Ndege ya Ethiopia iliyoanguka mwezi Machi na kuwaua watu wote 157 waliokuwemo
Zaidi, soma https://jamii.app/MiiliWakenyaEthiopianAirline
MCHEZO WA KIRAFIKI: TAIFA STARS YATOKA SARE NA RWANDA
- Taifa Stars ikicheza bila ya nahodha wake, Mbwana Samatta imefanikiwa kutoka sare ya bila kufungana (0-0) na Rwanda katika mchezo wa kirafiki wa Kimataifa uliochezwa kwenye Uwanja wa Nyamirambo, Kigali
#JFLeo
- Taifa Stars ikicheza bila ya nahodha wake, Mbwana Samatta imefanikiwa kutoka sare ya bila kufungana (0-0) na Rwanda katika mchezo wa kirafiki wa Kimataifa uliochezwa kwenye Uwanja wa Nyamirambo, Kigali
#JFLeo
MDAU: NI ‘UPUUZI’ KUTOA TSH. 300 ILI KUINGIA KITUO CHA MABASI CHA UBUNGO
- Mdau kutoka JamiiForums.com anadai haoni maana na faida ya kutoa Tsh. 300 kwa Waenda kwa miguu ili kuingia Kituoni hapo na kuhoji “Mbona Uwanja wa ndege hakuna kitu kama hicho?”
- Aidha, amedai kuwa suala hilo ni kero kubwa na linafanyika kienyeji sana na ushuru unakusanywa kiholela sana ndio maana hakuna maendeleo kwenye kituo hicho
Kushiriki mjadala, tembelea https://jamii.app/300UbungoTerminal
- Mdau kutoka JamiiForums.com anadai haoni maana na faida ya kutoa Tsh. 300 kwa Waenda kwa miguu ili kuingia Kituoni hapo na kuhoji “Mbona Uwanja wa ndege hakuna kitu kama hicho?”
- Aidha, amedai kuwa suala hilo ni kero kubwa na linafanyika kienyeji sana na ushuru unakusanywa kiholela sana ndio maana hakuna maendeleo kwenye kituo hicho
Kushiriki mjadala, tembelea https://jamii.app/300UbungoTerminal
ALIYECHONGA KIFIMBO CHA MWALIMU NYERERE SASA ANACHONGA CHA MAGUFULI
- Mzee Omary Mwariko amesema lengo la kumkabidhi Rais Magufuli ni kama alama ya kumuenzi Mwalimu
- Amesema kitamsaidia Rais Magufuli dhidi ya Mafisadi na wote wasioeleweka
Zaidi, soma https://jamii.app/KifimboRaisMagufuli
- Mzee Omary Mwariko amesema lengo la kumkabidhi Rais Magufuli ni kama alama ya kumuenzi Mwalimu
- Amesema kitamsaidia Rais Magufuli dhidi ya Mafisadi na wote wasioeleweka
Zaidi, soma https://jamii.app/KifimboRaisMagufuli
UKUAJI WA UCHUMI KUSINI MWA JANGWA LA SAHARA WAZIDI KUDORORA
> Ripoti ya Benki ya Dunia (WB) inasema ukuaji wa uchumi umeendelea kuwa mdogo kwa mwaka 2019, kutokana na misukosuko ya uchumi wa dunia na mabadiliko machache ya kiuchumi katika nchi hizo
> Ukuaji wa uchumi ktk nchi zisizo eneo hilo unatarajiwa kuongezeka kwa 2.6% mwaka 2019, kutoka 2.5% mwaka 2018 ikiwa ni 0.2% chini ya kiwango kilichotabiriwa Aprili 2019
Soma - https://jamii.app/UkuajiUchumiAfrika
> Ripoti ya Benki ya Dunia (WB) inasema ukuaji wa uchumi umeendelea kuwa mdogo kwa mwaka 2019, kutokana na misukosuko ya uchumi wa dunia na mabadiliko machache ya kiuchumi katika nchi hizo
> Ukuaji wa uchumi ktk nchi zisizo eneo hilo unatarajiwa kuongezeka kwa 2.6% mwaka 2019, kutoka 2.5% mwaka 2018 ikiwa ni 0.2% chini ya kiwango kilichotabiriwa Aprili 2019
Soma - https://jamii.app/UkuajiUchumiAfrika
WARIOBA: KUKAA MADARAKANI MUDA MREFU HULETA MAZOEA KATIKA UTENDAJI
> Jaji Joseph Warioba amewashauri viongozi kutokaa madarakani muda mrefu kwani husababisha ufanyaji kazi kwa mazoea na kuathiri maendeleo ya nchi
> Ameongeza kuwa, ukiona kuna mabadiliko ya Katiba kuondoa ukomo wa uongozi, ujue Kiongozi wa Juu ndiye ana Uchu wa Madaraka ya kutaka kusalia madarakani
Soma - https://jamii.app/UkomoMudaUongozi
> Jaji Joseph Warioba amewashauri viongozi kutokaa madarakani muda mrefu kwani husababisha ufanyaji kazi kwa mazoea na kuathiri maendeleo ya nchi
> Ameongeza kuwa, ukiona kuna mabadiliko ya Katiba kuondoa ukomo wa uongozi, ujue Kiongozi wa Juu ndiye ana Uchu wa Madaraka ya kutaka kusalia madarakani
Soma - https://jamii.app/UkomoMudaUongozi
MBOWE: HATUTASUSIA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA
- Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema hawatasusia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa Novemba 24
- Amesema wanaona sio sawa Wapinzani kususia uchaguzi kwasababu wenzao wanatamani wasusie
Zaidi, soma https://jamii.app/CHADEMAUchaguziSerikaliMitaa
- Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema hawatasusia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa Novemba 24
- Amesema wanaona sio sawa Wapinzani kususia uchaguzi kwasababu wenzao wanatamani wasusie
Zaidi, soma https://jamii.app/CHADEMAUchaguziSerikaliMitaa
UNICEF: MMOJA KATI YA WATOTO WATATU ANAKABILIWA NA UTAPIAMLO
> Ripoti iliyotolewa na Shirika la Watoto Duniani inasema Theluthi moja ya watoto chini ya umri wa miaka 5 wanakabiliwa na utapiamlo
> Theluthi mbili ya watoto hawana chakula cha kutosha na karibu nusu ya wale wenye miezi 6 hadi miaka 2, hawapati matunda na mbogamboga
Soma - https://jamii.app/RipotiUtapiamloWatoto
> Ripoti iliyotolewa na Shirika la Watoto Duniani inasema Theluthi moja ya watoto chini ya umri wa miaka 5 wanakabiliwa na utapiamlo
> Theluthi mbili ya watoto hawana chakula cha kutosha na karibu nusu ya wale wenye miezi 6 hadi miaka 2, hawapati matunda na mbogamboga
Soma - https://jamii.app/RipotiUtapiamloWatoto
WANANCHI WA MSUMBIJI WANAPIGA KURA LEO KUCHAGUA RAIS NA WABUNGE
> Ushindani wa Urais ni kati ya Chama Tawala (FRELIMO) kinachoongozwa na Rais Filipe Nyusi ambacho kimekuwa madarakani tangu 1975 na Ossufo Momade anayewakilisha Chama cha RENAMO
> Wagombea wengine ni Daviz Simango wa Chama cha Demokrasia na Mario Albino wa Chama cha AMUSI
Soma - https://jamii.app/MozElections2019
> Ushindani wa Urais ni kati ya Chama Tawala (FRELIMO) kinachoongozwa na Rais Filipe Nyusi ambacho kimekuwa madarakani tangu 1975 na Ossufo Momade anayewakilisha Chama cha RENAMO
> Wagombea wengine ni Daviz Simango wa Chama cha Demokrasia na Mario Albino wa Chama cha AMUSI
Soma - https://jamii.app/MozElections2019
HALMASHAURI YA LINDI VIJIJINI KUWA HALMASHAURI YA MTAMA
- Rais Magufuli ameagiza Halmashauri ya Lindi Vijijini kuitwa Halmashauri ya Mtama
- Pia, ametaka Makao Makuu ya Halmashauri hiyo yahamishiwe Mtama kutoka kwenye jengo lililopo Lindi Mjini ndani ya siku 15
Zaidi, soma https://jamii.app/HalmashauriMtamaOkt15
- Rais Magufuli ameagiza Halmashauri ya Lindi Vijijini kuitwa Halmashauri ya Mtama
- Pia, ametaka Makao Makuu ya Halmashauri hiyo yahamishiwe Mtama kutoka kwenye jengo lililopo Lindi Mjini ndani ya siku 15
Zaidi, soma https://jamii.app/HalmashauriMtamaOkt15
MATOKEO DARASA LA 7, 2019 YATANGAZWA. UFAULU WAONGEZEKA
- NECTA imetangaza Matokeo ya Darasa la Saba 2019 na kusema ufaulu umeongezeka kwa asilimia 3.78
- Waliofaulu ni asilimia 81.50 ya watahiniwa 933,369 na Watahiniwa 909 wamefutiwa matokeo kutokana na sababu mbalimbali
Zaidi, soma https://jamii.app/MatokeoSTD7-2019
- NECTA imetangaza Matokeo ya Darasa la Saba 2019 na kusema ufaulu umeongezeka kwa asilimia 3.78
- Waliofaulu ni asilimia 81.50 ya watahiniwa 933,369 na Watahiniwa 909 wamefutiwa matokeo kutokana na sababu mbalimbali
Zaidi, soma https://jamii.app/MatokeoSTD7-2019
KENYA: WANAFAMILIA WATATU WAFARIKI KATIKA AJALI YA MOTO
- Mtoto 1 na wanafamilia wengine wawili wamefariki baada ya nyumba yao kuwaka moto huko Kariobangi, Nairobi
- Wanafamilia wengine wawili wamekimbizwa ktk hospitali ya Taifa ya Kenyatta
Zaidi, soma https://jamii.app/Wanafamilia3Wafariki-Moto
- Mtoto 1 na wanafamilia wengine wawili wamefariki baada ya nyumba yao kuwaka moto huko Kariobangi, Nairobi
- Wanafamilia wengine wawili wamekimbizwa ktk hospitali ya Taifa ya Kenyatta
Zaidi, soma https://jamii.app/Wanafamilia3Wafariki-Moto
MICHEZO: Bondia wa Marekani, Patrick Day (27) yupo mahututi baada ya kupigwa akiwa ulingoni katika roundi ya 10 na mpinzani wake Charles Conwell
-
Patrick alipata majeraha makubwa katika ubongo hali iliyopelekea kupoteza fahamu mpaka sasa ambapo amelazwa katika hospitali ya Northwestern Memorial nchini Marekani, ambapo amefanyiwa operesheni ya kichwa
-
Imeripoti kuwa, Patrick mpaka sasa yupo kwenye ‘Coma’ (fahamu hazijarejea) tangu alipopigwa usiku wa Jumamosi
-
Patrick alipata majeraha makubwa katika ubongo hali iliyopelekea kupoteza fahamu mpaka sasa ambapo amelazwa katika hospitali ya Northwestern Memorial nchini Marekani, ambapo amefanyiwa operesheni ya kichwa
-
Imeripoti kuwa, Patrick mpaka sasa yupo kwenye ‘Coma’ (fahamu hazijarejea) tangu alipopigwa usiku wa Jumamosi