TANGA: MBARONI KWA KUJIANDIKISHA KWA ZAIDI YA MARA MOJA KWENYE DAFTARI LA KURA
- Watu 4 mbaroni wakituhumiwa kuvuruga uandikishaji wa wapiga kura katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa
- Wamekamatwa katika Kata ya Ngamiani Kusini na Ngamiani Kati
Zaidi, soma https://jamii.app/MbaroniUandikishajiKura-TA
- Watu 4 mbaroni wakituhumiwa kuvuruga uandikishaji wa wapiga kura katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa
- Wamekamatwa katika Kata ya Ngamiani Kusini na Ngamiani Kati
Zaidi, soma https://jamii.app/MbaroniUandikishajiKura-TA
KENYA: CHUO KIKUU MOI CHAFUNGWA KWA MUDA USIOJULIKANA
- Kimefungwa baada ya Wanafunzi kufanya vurugu wakiandamana kutaka kutimiziwa mahitaji yao
- Kinakuwa Chuo cha tatu kufungwa nchini humo ndani ya mwezi mmoja kutokana na vurugu za Wanafunzi
Zaidi, soma https://jamii.app/MoiUniClosedIndefinitely
- Kimefungwa baada ya Wanafunzi kufanya vurugu wakiandamana kutaka kutimiziwa mahitaji yao
- Kinakuwa Chuo cha tatu kufungwa nchini humo ndani ya mwezi mmoja kutokana na vurugu za Wanafunzi
Zaidi, soma https://jamii.app/MoiUniClosedIndefinitely
AFYA: WANAOTEMBEA TARATIBU WAKO KATIKA HATARI YA KUPATA MAGONJWA YA UZEE
> Ugonjwa wa 'Alzheimer' unaowakumba watu wenye miaka 65 na kuendelea unaweza kuwapata watu wanaopendelea kutembea taratibu
> Pia, wako kwenye hatari ya kufa mapema
Soma > https://jamii.app/SlowWalkers
#JFAfya
> Ugonjwa wa 'Alzheimer' unaowakumba watu wenye miaka 65 na kuendelea unaweza kuwapata watu wanaopendelea kutembea taratibu
> Pia, wako kwenye hatari ya kufa mapema
Soma > https://jamii.app/SlowWalkers
#JFAfya
ELIUD KIPCHOGE: MWANARIADHA WA KWANZA KUKIMBIA KM 42 KWA CHINI YA SAA 2
> Kipchoge mwenye miaka 34, amekimbia Kilometa 42.2 kwa kutumia muda wa saa 1, dakika 59 na sekunde 40 kwenye michuano ya Ineos 1:59 huko Vienna, Austria
Zaidi, soma => https://jamii.app/KipchogeRekodi
> Kipchoge mwenye miaka 34, amekimbia Kilometa 42.2 kwa kutumia muda wa saa 1, dakika 59 na sekunde 40 kwenye michuano ya Ineos 1:59 huko Vienna, Austria
Zaidi, soma => https://jamii.app/KipchogeRekodi
RAIS MAGUFULI: WATU 138 WALIOKUWA NA KESI ZA UHUJUMU UCHUMI WAMEACHIWA
- Amesema hadi leo Watu 138 waliokuwa wakidaiwa kuwa na mashtaka ya Uhujumu Uchumi na kuomba msamaha kwa DPP, wamerudisha fedha, wametubu, wameachiwa na sasa ni Raia Wema
Zaidi, soma https://jamii.app/138WatubuUhujumuUchumi
- Amesema hadi leo Watu 138 waliokuwa wakidaiwa kuwa na mashtaka ya Uhujumu Uchumi na kuomba msamaha kwa DPP, wamerudisha fedha, wametubu, wameachiwa na sasa ni Raia Wema
Zaidi, soma https://jamii.app/138WatubuUhujumuUchumi
RAIS MAGUFULI ATANGAZA KUHAMIA RASMI IKULU YA DODOMA
- Mara baada ya kumaliza kujiandikisha katika orodha ya wapiga kura ya Serikali za Mitaa akiwa na mkewe, Janeth Magufuli, Rais Magufuli ametangaza kuhamia rasmi Dodoma kuanzia leo Oktoba 12, 2019
Zaidi, soma https://jamii.app/MagufuliAhamiaDodoma
- Mara baada ya kumaliza kujiandikisha katika orodha ya wapiga kura ya Serikali za Mitaa akiwa na mkewe, Janeth Magufuli, Rais Magufuli ametangaza kuhamia rasmi Dodoma kuanzia leo Oktoba 12, 2019
Zaidi, soma https://jamii.app/MagufuliAhamiaDodoma
IRAN YATAJA SHAMBULIO DHIDI YA MELI YAKE NI ISHARA YA UOGA
- Imesema shambulio dhidi ya meli yake ya mafuta ni ‘Shambulio la Uoga’ na inafanya uchunguzi kabla ya kujibu mashambulizi
- Inadhaniwa makombora hayo huenda yaliyoka Saudi Arabia
Zaidi, soma https://jamii.app/MeliIranYashambuliwa
- Imesema shambulio dhidi ya meli yake ya mafuta ni ‘Shambulio la Uoga’ na inafanya uchunguzi kabla ya kujibu mashambulizi
- Inadhaniwa makombora hayo huenda yaliyoka Saudi Arabia
Zaidi, soma https://jamii.app/MeliIranYashambuliwa
KENYA: POLISI 10 WAFARIKI BAADA YA GARI LAO KUKANYAGA BOMU
- Maafisa hao ni kutoka Kambi ya Harhar GSU iliyopo katika Kaunti ya Garissa
- Walikuwa katika doria kwenye barabara ya Damajale Harehare
- Eneo hilo liko mpakani na nchi ya Somalia
Soma > https://jamii.app/GarissaPolisiIED
- Maafisa hao ni kutoka Kambi ya Harhar GSU iliyopo katika Kaunti ya Garissa
- Walikuwa katika doria kwenye barabara ya Damajale Harehare
- Eneo hilo liko mpakani na nchi ya Somalia
Soma > https://jamii.app/GarissaPolisiIED
KIMBUNGA HAGABIS CHAIKUMBA JAPAN: 11 WAFARIKI, 16 HAWAJULIKANI WALIPO HUKU 128 WAJERUHIWA
> Msemaji wa Serikali, Yoshihide Suga amesema Wanajeshi 27,000 wamepewa kazi ya kuwaokoa watu
> Watu milioni 6 wakosa sehemu ya kuishi
Zaidi, soma > https://jamii.app/Hagabis
#Hagabis #JFLeo
> Msemaji wa Serikali, Yoshihide Suga amesema Wanajeshi 27,000 wamepewa kazi ya kuwaokoa watu
> Watu milioni 6 wakosa sehemu ya kuishi
Zaidi, soma > https://jamii.app/Hagabis
#Hagabis #JFLeo
MICHEZO: URAIA PACHA WAIKOSEA TANZANIA MWANAMICHEZO MAHIRI
> Malaika Mihambo mwenye uraia wa Ujerumani apendekezwa kuwania tuzo ya Mwanamichezo Bora wa Ulaya kwa Wanawake
> Malaika amezaliwa na Mama Mjerumani na Baba mwenye asili ya Zanzibar (Tanzania)
Kushiriki mjadala, fungua > https://jamii.app/MalaikaMihambo
> Malaika Mihambo mwenye uraia wa Ujerumani apendekezwa kuwania tuzo ya Mwanamichezo Bora wa Ulaya kwa Wanawake
> Malaika amezaliwa na Mama Mjerumani na Baba mwenye asili ya Zanzibar (Tanzania)
Kushiriki mjadala, fungua > https://jamii.app/MalaikaMihambo
MJADALA: MUHIMU KUWA NA UCHAGUZI SI UCHAFUZI WA DEMOKRASIA
- Mdau wa JamiiForums anadai katika Nchi ya Kidemorasia Uchaguzi unafanyika kwa sababu mbili kubwa, kwanza ni Wananchi kupima na kutoa hukumu kwa yale yaliyofanywa na pili ni Wananchi kufanya uamuzi juu ya utawala wao
- Amedai nchi zenye demokrasia iliyokomaa zimefanya mambo makubwa kadhaa ikiwemo kutengeneza na kusimika mfumo wa uchaguzi unaohakikisha aliyeko madarakani anaweza kushinda au kushindwa bila dhulma
Kujadili, tembelea https://jamii.app/UchaguziDemokrasiaWananchi
- Mdau wa JamiiForums anadai katika Nchi ya Kidemorasia Uchaguzi unafanyika kwa sababu mbili kubwa, kwanza ni Wananchi kupima na kutoa hukumu kwa yale yaliyofanywa na pili ni Wananchi kufanya uamuzi juu ya utawala wao
- Amedai nchi zenye demokrasia iliyokomaa zimefanya mambo makubwa kadhaa ikiwemo kutengeneza na kusimika mfumo wa uchaguzi unaohakikisha aliyeko madarakani anaweza kushinda au kushindwa bila dhulma
Kujadili, tembelea https://jamii.app/UchaguziDemokrasiaWananchi
SERIKALI YAONGEZA SIKU 3 ZA UANDIKISHAJI WAPIGA KURA
> Waziri Jafo ametangaza Serikali kuongeza siku 3 za Uandikishaji wa Wapiga Kura kwenye Daftari la Orodha ya Wapiga Kura
> Sasa zoezi hilo litakamilika Oktoba 17, 2019 badala ya Oktoba 14
Soma zaidi - https://jamii.app/UandikishajiV2
> Waziri Jafo ametangaza Serikali kuongeza siku 3 za Uandikishaji wa Wapiga Kura kwenye Daftari la Orodha ya Wapiga Kura
> Sasa zoezi hilo litakamilika Oktoba 17, 2019 badala ya Oktoba 14
Soma zaidi - https://jamii.app/UandikishajiV2
KISWAHILI CHAZIDI KUSAMBAA DUNIANI
- Klabu ya soka ya Italia ya AS Roma ipo kwenye mkakati wa kutumia Kiswahili katika moja ya kurasa zake za Mitandao ya Kijamii
- Kupitia ukurasa wake rasmi wa Twitter, imesema siku chache zijazo itafungua ukurasa wake rasmi wa Kiswahili
- Klabu ya soka ya Italia ya AS Roma ipo kwenye mkakati wa kutumia Kiswahili katika moja ya kurasa zake za Mitandao ya Kijamii
- Kupitia ukurasa wake rasmi wa Twitter, imesema siku chache zijazo itafungua ukurasa wake rasmi wa Kiswahili
MWANARIADHA MWINGINE WA KENYA AVUNJA REKODI YA DUNIA
- Brigid Kosgei (25) avunja rekodi ya muda wa kukimbia marathon kwa Wanawake akiwa kwenye Marathon ya Chicago
- Ameweka rekodi ya kumaliza mbio kwa 2:14: 04 akivunja rekodi iliyokuwepo kwa dakika moja na Sekunde 21
Zaidi, soma https://jamii.app/KosgeiAwekaRekodi
- Brigid Kosgei (25) avunja rekodi ya muda wa kukimbia marathon kwa Wanawake akiwa kwenye Marathon ya Chicago
- Ameweka rekodi ya kumaliza mbio kwa 2:14: 04 akivunja rekodi iliyokuwepo kwa dakika moja na Sekunde 21
Zaidi, soma https://jamii.app/KosgeiAwekaRekodi
SERIKALI KUZIPATIA RUZUKU KAYA ZOTE MASIKINI NCHINI
- Serikali kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) imeahidi hayo baada ya kuridhishwa na Wananchi katika vijiji vilivyonufaika, walivyoboresha maisha yao na kujikwamua katika umasikini
Zaidi, soma https://jamii.app/SerikaliRuzukuMasikini
- Serikali kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) imeahidi hayo baada ya kuridhishwa na Wananchi katika vijiji vilivyonufaika, walivyoboresha maisha yao na kujikwamua katika umasikini
Zaidi, soma https://jamii.app/SerikaliRuzukuMasikini
MIAKA 20 YA KUMBUKIZI YA KIFO CHA BABA WA TAIFA
- Leo Oktoba 14, 2019 ni Kumbukizi ya Miaka 20 ya Kifo cha Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliyefariki katika Hospitali ya Mt. Thomas Jijini London, Uingereza
- Mwalimu Nyerere alizaliwa Butiama, Mkoani Mara, pembezoni mwa Ziwa Nyanza, 13 Aprill 1922, alikuwa Rais wa kwanza wa Tanzania na ndiye mwasisi wa Itikadi ya ‘Ujamaa na Kujitegemea’
- Leo Oktoba 14, 2019 ni Kumbukizi ya Miaka 20 ya Kifo cha Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliyefariki katika Hospitali ya Mt. Thomas Jijini London, Uingereza
- Mwalimu Nyerere alizaliwa Butiama, Mkoani Mara, pembezoni mwa Ziwa Nyanza, 13 Aprill 1922, alikuwa Rais wa kwanza wa Tanzania na ndiye mwasisi wa Itikadi ya ‘Ujamaa na Kujitegemea’
BAADA YA KUSTAAFU SOKA, PETR CECH AGEUKIA ICE HOCKEY
- Aliyewahi kuwa golikipa wa Chelsea na Arsenal, Petr Cech (37) ameanza kucheza mchezo wa Ice Hockey ambapo jana ameokoa penati 2 na kusaidia timu yake kushinda
- Wiki iliyopita aliingia mkataba na timu ya Guildford Phoenix inayocheza Ligi ya Kitaifa ya South 2, nchini England
- Aliyewahi kuwa golikipa wa Chelsea na Arsenal, Petr Cech (37) ameanza kucheza mchezo wa Ice Hockey ambapo jana ameokoa penati 2 na kusaidia timu yake kushinda
- Wiki iliyopita aliingia mkataba na timu ya Guildford Phoenix inayocheza Ligi ya Kitaifa ya South 2, nchini England