SHINYANGA: WANAFUNZI 8 MBARONI WAKIDAIWA KUMSHAMBULIA MWENZAO
- Wanafunzi hao wa Sekondari ya Seeke wanatuhumiwa kumjeruhi Costantine Makoye
- Makoye aliyefariki akipatiwa matibabu, alivamia sherehe na wenzake na kunyang’anya Watu vitu
Zaidi, soma https://jamii.app/Wanafunzi8Mbaroni-KHM
- Wanafunzi hao wa Sekondari ya Seeke wanatuhumiwa kumjeruhi Costantine Makoye
- Makoye aliyefariki akipatiwa matibabu, alivamia sherehe na wenzake na kunyang’anya Watu vitu
Zaidi, soma https://jamii.app/Wanafunzi8Mbaroni-KHM
AFISA MANUNUZI CHUO CHA KINAMPANDA ATAKIWA KUKAMATWA
- Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameagiza Afisa Manunuzi wa Chuo cha Ualimu Kinampanda, Francis Muyombo akamatwe kwa kukiuka taratibu za manunuzi ya Serikali na kughushi nyaraka
Zaidi, soma https://jamii.app/AfisaManunuziKinampanda
- Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameagiza Afisa Manunuzi wa Chuo cha Ualimu Kinampanda, Francis Muyombo akamatwe kwa kukiuka taratibu za manunuzi ya Serikali na kughushi nyaraka
Zaidi, soma https://jamii.app/AfisaManunuziKinampanda
MBEYA: WAWILI WAFARIKI BAADA YA DARAJA KUVUNJIKA KUTOKANA NA MVUA
- Wametumbukia mtoni wakati wakipita katika daraja hilo linalounganisha Kata ya Tembela na Mwakibete
- Watu 2 hawajulikani walipo akiwemo mtoto anayekadiriwa kuwa na mwaka mmoja
Zaidi, soma https://jamii.app/WawiliWafarikiDarajaMwakibete-MBY
- Wametumbukia mtoni wakati wakipita katika daraja hilo linalounganisha Kata ya Tembela na Mwakibete
- Watu 2 hawajulikani walipo akiwemo mtoto anayekadiriwa kuwa na mwaka mmoja
Zaidi, soma https://jamii.app/WawiliWafarikiDarajaMwakibete-MBY
MAHAKAMA YAMUACHIA MICHAEL WAMBURA
- Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuachia huru aliyekuwa Makamu wa Rais wa TFF, Michael Wambura
- Imempa masharti ya kutokufanya makosa yoyote kwa miezi 12 na kulipa zaidi ya Tsh. Milioni 100 kwa awamu 5
Zaidi, soma https://jamii.app/MichaelWamburaHuru
- Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuachia huru aliyekuwa Makamu wa Rais wa TFF, Michael Wambura
- Imempa masharti ya kutokufanya makosa yoyote kwa miezi 12 na kulipa zaidi ya Tsh. Milioni 100 kwa awamu 5
Zaidi, soma https://jamii.app/MichaelWamburaHuru
MKURUGENZI MSTAAFU WA TISS, APSON MWANG'ONDA AFARIKI DUNIA
- Aliyekuwa Mkurugenzi wa TISS, Apson Mwang’onda (75) amefariki leo, Nchini Afrika Kusini alikokuwa anatibiwa
- Alistaafu kazi hiyo Agosti 21, mwaka 2006 kwa mujibu wa sheria
Zaidi, soma https://jamii.app/ApsonTISSAfariki
- Aliyekuwa Mkurugenzi wa TISS, Apson Mwang’onda (75) amefariki leo, Nchini Afrika Kusini alikokuwa anatibiwa
- Alistaafu kazi hiyo Agosti 21, mwaka 2006 kwa mujibu wa sheria
Zaidi, soma https://jamii.app/ApsonTISSAfariki
SINGIDA: WAZIRI MKUU AAGIZA WALIOAJIRIWA KINDUGU WAFUKUZWE
- Amemuagiza Mkurugenzi wa Manispaa ya Singida, Bravo Lyapembile awaondoe Watumishi watatu wanaokusanya mapato kwenye stendi ya mabasi, walioajiriwa kindugu na wanaodaiwa kuiba mapato
Zaidi, soma https://jamii.app/WalioajiriwaKinduguWaondoke-SND
- Amemuagiza Mkurugenzi wa Manispaa ya Singida, Bravo Lyapembile awaondoe Watumishi watatu wanaokusanya mapato kwenye stendi ya mabasi, walioajiriwa kindugu na wanaodaiwa kuiba mapato
Zaidi, soma https://jamii.app/WalioajiriwaKinduguWaondoke-SND
MAREKANI YAONDOA WANAJESHI WAKE SYRIA KATIKA MPAKA NA UTURUKI
- Rais Trump amesema ni gharama kuendelea kuunga mkono vikosi vya Kijeshi katika maeneo ya Kaskazini Mashariki mwa Syria katika kukabiliana na kundi linalojiita Dola Ya Kiislamu
Zaidi, soma https://jamii.app/WanajeshiUSAWaondokaSyria
- Rais Trump amesema ni gharama kuendelea kuunga mkono vikosi vya Kijeshi katika maeneo ya Kaskazini Mashariki mwa Syria katika kukabiliana na kundi linalojiita Dola Ya Kiislamu
Zaidi, soma https://jamii.app/WanajeshiUSAWaondokaSyria
BENKI YA DUNIA YAIPATIA TANZANIA MKOPO WA TRILIONI 1.035
- Imeipatia mkopo wa masharti nafuu wa Dola za Marekani Milioni 450 (Tsh. Trilioni 1.035) ili kutekeleza kipindi cha pili cha Mpango wa Kunusuru Kaya Masikini cha Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF), awamu ya 3
Zaidi, soma https://jamii.app/MkopoWB-TZ-TASAF
- Imeipatia mkopo wa masharti nafuu wa Dola za Marekani Milioni 450 (Tsh. Trilioni 1.035) ili kutekeleza kipindi cha pili cha Mpango wa Kunusuru Kaya Masikini cha Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF), awamu ya 3
Zaidi, soma https://jamii.app/MkopoWB-TZ-TASAF
SIKU 9: UOPOAJI WA MIILI YA MAMA NA MWANAYE KATIKA FERI YA LIKONI UNAENDELEA
- Wazamiaji kutoka Serikalini, Sekta binafsi na Afrika Kusini wanashirikiana kutafuta miili ya Mariam Kighenda(35) na mwanaye(4) waliozama katika feri hiyo nchini Kenya
Zaidi, soma https://jamii.app/Siku9LikoniUpoajiBado
- Wazamiaji kutoka Serikalini, Sekta binafsi na Afrika Kusini wanashirikiana kutafuta miili ya Mariam Kighenda(35) na mwanaye(4) waliozama katika feri hiyo nchini Kenya
Zaidi, soma https://jamii.app/Siku9LikoniUpoajiBado
UGANDA: BABA AKAMATWA KWA KUMUUA MTOTO WAKE, AKIMTUHUMU KWA KULA CHAKULA CHAKE
- Isma Ssesanga anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kumuua Mtoto wake wa kike aliyekula chakula chake alichochukua kwenye sherehe moja aliyohudhuria
Zaidi, soma => https://jamii.app/FatherKillsDaughter
- Isma Ssesanga anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kumuua Mtoto wake wa kike aliyekula chakula chake alichochukua kwenye sherehe moja aliyohudhuria
Zaidi, soma => https://jamii.app/FatherKillsDaughter
AFRIKA KUSINI: MTOTO WA JACOB ZUMA AKANA KUTAKA KUTOA RUSHWA YA ZAIDI YA TSH. BILIONI 92
> Duduzane Zuma(35) akiwa mbele ya Mahakama amezikana tuhuma kuwa alitaka kumpa rushwa hiyo aliyekuwa Naibu Waziri wa Fedha, Mcebisi Jonas
Zaidi, soma > https://jamii.app/DuduzaneRushwa
> Duduzane Zuma(35) akiwa mbele ya Mahakama amezikana tuhuma kuwa alitaka kumpa rushwa hiyo aliyekuwa Naibu Waziri wa Fedha, Mcebisi Jonas
Zaidi, soma > https://jamii.app/DuduzaneRushwa
MAREKANI YAZUIA MASHIRIKA YA CHINA KUNUNUA BIDHAA MAREKANI
- Imepiga marufuku mashirika 28 kununua bidhaa kutoka kwa Kampuni za Marekani bila idhini ya Ikulu kwa madai yanahusika katika unyanyasi wa kabila la Uighurs katika jimbo la Xinjianga
Zaidi, soma https://jamii.app/MashirikaChinaMarufukuUSA
- Imepiga marufuku mashirika 28 kununua bidhaa kutoka kwa Kampuni za Marekani bila idhini ya Ikulu kwa madai yanahusika katika unyanyasi wa kabila la Uighurs katika jimbo la Xinjianga
Zaidi, soma https://jamii.app/MashirikaChinaMarufukuUSA
KENYA: ASHTAKIWA KWA KUDAIWA KUSAMBAZA PICHA NA VIDEO ZA UTUPU ZA MPENZI WAKE WA ZAMANI
- Akiwa mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu siku ya Jumatatu, mtuhumiwa ambaye ni Omar Seif amekana mashtaka hayo na kwa sasa yupo nje kwa dhamana
Soma > https://jamii.app/ChargedForSharingExNudes
- Akiwa mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu siku ya Jumatatu, mtuhumiwa ambaye ni Omar Seif amekana mashtaka hayo na kwa sasa yupo nje kwa dhamana
Soma > https://jamii.app/ChargedForSharingExNudes
RUKWA: MRATIBU WA TARURA ASIMAMISHWA KAZI KWA KUTOA ZABUNI KWA UPENDELEO
> Waziri Selemani Jafo ameagiza kusimamishwa kazi kwa wiki 2, Bonifas William ili kupisha uchunguzi juu ya tuhuma za kutoa zabuni ya matengenezo ya barabara kwa upendeleo
Zaidi, soma - https://jamii.app/MratibuAsimamishaZabuni
> Waziri Selemani Jafo ameagiza kusimamishwa kazi kwa wiki 2, Bonifas William ili kupisha uchunguzi juu ya tuhuma za kutoa zabuni ya matengenezo ya barabara kwa upendeleo
Zaidi, soma - https://jamii.app/MratibuAsimamishaZabuni
KIKWETE: KUJISHUSHA HAKUONDOI CHEO ULICHONACHO
- Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete amewataka viongozi nchini kuacha kujikweza na kuishi kama binadamu wa kawaida
- Aidha, ameasa kuwa Mawazo hayapigwi rungu, bali yanashindwa na mawazo yaliyo bora zaidi
Zaidi, soma https://jamii.app/KikweteUongoziBora-KmbkmbNyerere
- Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete amewataka viongozi nchini kuacha kujikweza na kuishi kama binadamu wa kawaida
- Aidha, ameasa kuwa Mawazo hayapigwi rungu, bali yanashindwa na mawazo yaliyo bora zaidi
Zaidi, soma https://jamii.app/KikweteUongoziBora-KmbkmbNyerere
RUKWA: RAIS MAGUFULI AAGIZA MAMA ALIYEIBIWA NG’OMBE 25 KULIPWA TSH. MILIONI 15
- Ameagiza Polisi wakiongozwa na RPC na DC wa Nkasi, kumlipa Felista Mkombo fedha hizo kama fidia kutokana na Polisi kumwachia aliyedaiwa kuiba ambaye baadaye alitoroka
Zaidi, soma https://jamii.app/PolisiKumlipaMfugaji-RKW
- Ameagiza Polisi wakiongozwa na RPC na DC wa Nkasi, kumlipa Felista Mkombo fedha hizo kama fidia kutokana na Polisi kumwachia aliyedaiwa kuiba ambaye baadaye alitoroka
Zaidi, soma https://jamii.app/PolisiKumlipaMfugaji-RKW
MFUMUKO WA BEI NCHINI WAPUNGUA HADI ASILIMIA 3.4
- Ofisi ya Takwimu imebainisha kuwa Mfumuko wa bei kwa mwezi Septemba, 2019 umepungua kutoka asilimia 3.6 kwa mwezi Agosti, 2019
- Ni kutokana na kupungua kwa bei za bidhaa zisizo za vyakula
Zaidi, soma https://jamii.app/MfumukoBei-Sep2019
- Ofisi ya Takwimu imebainisha kuwa Mfumuko wa bei kwa mwezi Septemba, 2019 umepungua kutoka asilimia 3.6 kwa mwezi Agosti, 2019
- Ni kutokana na kupungua kwa bei za bidhaa zisizo za vyakula
Zaidi, soma https://jamii.app/MfumukoBei-Sep2019
KENYA: CHUO KIKUU KENYATTA CHAFUNGWA KWA MUDA USIOJULIKANA
- Ni baada ya Wanafunzi kuandamana na kuharibu baadhi ya mali za Chuo
- Walikuwa wakipinga masuala mbalimbali yakiwemo muda mdogo wa kulipa ada na wafanyakazi kufukuzwa bila taarifa
Zaidi, soma https://jamii.app/MaandamanoChuoKenyattaChafungwa
- Ni baada ya Wanafunzi kuandamana na kuharibu baadhi ya mali za Chuo
- Walikuwa wakipinga masuala mbalimbali yakiwemo muda mdogo wa kulipa ada na wafanyakazi kufukuzwa bila taarifa
Zaidi, soma https://jamii.app/MaandamanoChuoKenyattaChafungwa
👍1
KATAVI: AVUNJA MADIRISHA YA KITUO CHA AFYA AKIDAI KUTOKULIPWA
- Mjenzi Boniface Exavery aliyejenga madirisha katika Kituo cha Afya cha Katumba, Halmashauri ya Nsimbo, ameyavunja madirisha hayo akidai kutokamilishiwa malipo yake na Halmashauri huku akiwa amemaliza kazi
Zaidi, soma https://jamii.app/AvunjaMadirishaKutolipwa
- Mjenzi Boniface Exavery aliyejenga madirisha katika Kituo cha Afya cha Katumba, Halmashauri ya Nsimbo, ameyavunja madirisha hayo akidai kutokamilishiwa malipo yake na Halmashauri huku akiwa amemaliza kazi
Zaidi, soma https://jamii.app/AvunjaMadirishaKutolipwa
BANGLADESH: MWANAUME AMNYOA NYWELE MKEWE BAADA YA KUKUTA NYWELE KWENYE CHAKULA
> Bablu Mondal (35) amechukua uamuzi huo baada ya kukuta nywele kwenye Wali na Waziwa aliyoandaliwa na Mkewe
> Polisi wamkamata kwa kukiuka #HakiZaBinadamu
Soma > https://jamii.app/BabluBangladesh
> Bablu Mondal (35) amechukua uamuzi huo baada ya kukuta nywele kwenye Wali na Waziwa aliyoandaliwa na Mkewe
> Polisi wamkamata kwa kukiuka #HakiZaBinadamu
Soma > https://jamii.app/BabluBangladesh