SERIKALI YATAJA MAENEO YENYE VIASHIRIA VYA KUWA NA MAFUTA
> Maeneo hayo ni Ukanda wa Ziwa Rukwa, Ziwa Tanganyika na Kitalu cha Eyasi Wembere chenye ukubwa wa Kilometa za mraba 19.2
> Mafuta hayo yanategemewa kuja kulinufaisha Taifa siku za usoni
Soma > https://jamii.app/ShehenaMafutaTz
> Maeneo hayo ni Ukanda wa Ziwa Rukwa, Ziwa Tanganyika na Kitalu cha Eyasi Wembere chenye ukubwa wa Kilometa za mraba 19.2
> Mafuta hayo yanategemewa kuja kulinufaisha Taifa siku za usoni
Soma > https://jamii.app/ShehenaMafutaTz
MFAHAMU DKT. SHRIKANT JICHKAR RAIA WA INDIA ALIYEKUWA NA SHAHADA ZIPATAZO 20 ZA TAALUMA MBALIMBALI
> Marehemu Dkt. Shrikant Jichkar anatajwa kuwa ndiye alikuwa msomi wa kwanza duniani kuwa na maktaba yake binafsi yenye vitabu takriban 52,000
> Shrikant Jichkar mpaka anafariki alikuwa ana jumla ya shahada (Degrees) 20 alizozipata katika vyuo 42 alivyowahi kusoma
Zaidi, soma => https://jamii.app/ShrikantJichkar
> Marehemu Dkt. Shrikant Jichkar anatajwa kuwa ndiye alikuwa msomi wa kwanza duniani kuwa na maktaba yake binafsi yenye vitabu takriban 52,000
> Shrikant Jichkar mpaka anafariki alikuwa ana jumla ya shahada (Degrees) 20 alizozipata katika vyuo 42 alivyowahi kusoma
Zaidi, soma => https://jamii.app/ShrikantJichkar
UFARANSA: ASKARI 4 WAUAWA KWA KUSHAMBULIWA NA KISU NA ALIYEVAMIA MAKAO MAKUU YA POLISI
> Mtu huyo aliuawa kwa kupigwa risasi baada ya kuanza kuwashambulia askari hao ambao ofisi zao ziko karibu na Jengo la Kanisa la Kihistoria la Notre Dame
Soma > https://jamii.app/ShambuliziPolisiParis
> Mtu huyo aliuawa kwa kupigwa risasi baada ya kuanza kuwashambulia askari hao ambao ofisi zao ziko karibu na Jengo la Kanisa la Kihistoria la Notre Dame
Soma > https://jamii.app/ShambuliziPolisiParis
TAARIFA YA MAGONJWA YA MLIPUKO: MAAMBUKIZI YA DENGUE YAPUNGUA
> Kwa Kipindi cha Mwezi Septemba 2019, jumla ya wagonjwa 10 walithibitishwa kuwa na Homa ya Dengue na hakukuwa na kifo
> Takwimu za Julai - Septemba zimeonesha kupungua kwa ugonjwa huu kwa kuwa na wagonjwa 732 Julai, Agosti wagonjwa 92 na Septemba wagonjwa 10
Soma - https://jamii.app/RipotiMagonjwaMlipuko
> Kwa Kipindi cha Mwezi Septemba 2019, jumla ya wagonjwa 10 walithibitishwa kuwa na Homa ya Dengue na hakukuwa na kifo
> Takwimu za Julai - Septemba zimeonesha kupungua kwa ugonjwa huu kwa kuwa na wagonjwa 732 Julai, Agosti wagonjwa 92 na Septemba wagonjwa 10
Soma - https://jamii.app/RipotiMagonjwaMlipuko
CHADEMA YASEMA KAMATI ILIBADILISHA RATIBA YA UCHAGUZI
> Taarifa ya chama hicho inaeleza kuwa Kamati Kuu ya Chama ilikaa kikao Julai 27 na 28, 2019, na kurekebisha ratiba ya uchaguzi ambapo utakamilika mwezi Desemba kwa ngazi ya Taifa
> Aidha, kinaifanyia kazi barua ya Msajili wa Vyama ndani ya muda husika uliotajwa
Soma - https://jamii.app/TaarifaCDMUchaguzi
> Taarifa ya chama hicho inaeleza kuwa Kamati Kuu ya Chama ilikaa kikao Julai 27 na 28, 2019, na kurekebisha ratiba ya uchaguzi ambapo utakamilika mwezi Desemba kwa ngazi ya Taifa
> Aidha, kinaifanyia kazi barua ya Msajili wa Vyama ndani ya muda husika uliotajwa
Soma - https://jamii.app/TaarifaCDMUchaguzi
KILIMANJARO YAZINDUA ATM YA KWANZA YA MAZIWA
> RC wa Kilimanjaro, Anna Mghwira amezindua ATM ya kwanza ya Maziwa Nchini katika mji wa Moshi yenye uwezo wa kutoa maziwa kulingana na kiwango chako cha fedha
> Mradi huu umefadhiliwa na Umoja wa Ulaya ambapo wameweka ATM 3, moja ikiwa Moshi, Hai na nyingine ipo Arusha
Soma - https://jamii.app/UzinduziATMMaziwa
> RC wa Kilimanjaro, Anna Mghwira amezindua ATM ya kwanza ya Maziwa Nchini katika mji wa Moshi yenye uwezo wa kutoa maziwa kulingana na kiwango chako cha fedha
> Mradi huu umefadhiliwa na Umoja wa Ulaya ambapo wameweka ATM 3, moja ikiwa Moshi, Hai na nyingine ipo Arusha
Soma - https://jamii.app/UzinduziATMMaziwa
KENYA: WATU 13 WAFARIKI NA 35 KUJERUHIWA KATIKA AJALI
- Ajali imetokea usiku wa kuamkia leo katika barabara ya Kisumu-Kericho karibu na eneo la Awasi
- Basi la abiria la Eldoret Express kutoka Kisumu limegongana uso kwa uso na Lori
Zaidi, soma https://jamii.app/13KilledRoadAccident-KE
- Ajali imetokea usiku wa kuamkia leo katika barabara ya Kisumu-Kericho karibu na eneo la Awasi
- Basi la abiria la Eldoret Express kutoka Kisumu limegongana uso kwa uso na Lori
Zaidi, soma https://jamii.app/13KilledRoadAccident-KE
MAAFISA WA POLISI KIZIMBANI KWA TUHUMA ZA KUOMBA RUSHWA
> Maafisa upelelezi wa Polisi kituo cha Kawe, Dar wamefikishwa katika Mahakama ya Kisutu wakikabiliwa na mashtaka 9 likiwemo la kuomba rushwa ya Tsh. Milioni 200 na kupokea zaidi ya Tsh. Milioni 15
> Washtakiwa hao ni Shaban Shillah, Joyce Kita, Ulimwengu Rashid na Emmanuel Njegele
Soma - https://jamii.app/PolisiKizambaniRushwa
> Maafisa upelelezi wa Polisi kituo cha Kawe, Dar wamefikishwa katika Mahakama ya Kisutu wakikabiliwa na mashtaka 9 likiwemo la kuomba rushwa ya Tsh. Milioni 200 na kupokea zaidi ya Tsh. Milioni 15
> Washtakiwa hao ni Shaban Shillah, Joyce Kita, Ulimwengu Rashid na Emmanuel Njegele
Soma - https://jamii.app/PolisiKizambaniRushwa
TANZANIA YAWAREJESHA WAKIMBIZI 600 BURUNDI
> Mabasi yaliyokuwa yamebeba wakimbizi hao waliorudishwa kwa hiari yao yaliwasili jana kwenye mpaka wa Gisuru, Mashariki mwa Burundi
> Bado kuna wakimbizi wa Burundi 225,000 nchini Tanzania
Soma - https://jamii.app/UrejeshoWakimbiziBRN
> Mabasi yaliyokuwa yamebeba wakimbizi hao waliorudishwa kwa hiari yao yaliwasili jana kwenye mpaka wa Gisuru, Mashariki mwa Burundi
> Bado kuna wakimbizi wa Burundi 225,000 nchini Tanzania
Soma - https://jamii.app/UrejeshoWakimbiziBRN
TETESI SOKA: Kocha wa zamani wa Juventus, Max Allegri ameripotiwa kwamba ameanza kujifunza lugha ya Kingereza ikielezwa ni mwanzo wa maandalizi yake ya kwenda kuinoa Klabu ya Manchester United
-
Kocha wa sasa wa timu hiyo, Ole Gunnar Solskjaer amekuwa kwenye presha kubwa baada ya kikosi chake kuanza msimu vibaya, ambapo kwa sasa timu inashika nafasi ya 10 Ligi Kuu England
-
Kumekuwa na orodha ya makocha kadhaa wanaohusishwa na kibarua cha Man United, ambapo ukimweka kando Allegri wengine ni Mauricio Pochettino na Brendan Rodgers
-
Kocha wa sasa wa timu hiyo, Ole Gunnar Solskjaer amekuwa kwenye presha kubwa baada ya kikosi chake kuanza msimu vibaya, ambapo kwa sasa timu inashika nafasi ya 10 Ligi Kuu England
-
Kumekuwa na orodha ya makocha kadhaa wanaohusishwa na kibarua cha Man United, ambapo ukimweka kando Allegri wengine ni Mauricio Pochettino na Brendan Rodgers
RC MBEYA AWATIMUA WANAFUNZI NA KUWATAKA KULIPA FEDHA YA UJENZI
> Ameamuru wanafunzi 392 wa kidato cha 5 na 6 katika Shule ya Sekondari Kiwanja kurudi nyumbani hadi Oktoba 18 na warejee na Tsh. 200,000 kila mmoja kwa ajili ya ukarabati wa mabweni yanayodaiwa kuchomwa moto na baadhi yao
> Wanafunzi 14 aliowachapa viboko jana watatakiwa kulipa Tsh. 500,000 kila mmoja
Soma - https://jamii.app/RCAtimuaWanfnzMBY
> Ameamuru wanafunzi 392 wa kidato cha 5 na 6 katika Shule ya Sekondari Kiwanja kurudi nyumbani hadi Oktoba 18 na warejee na Tsh. 200,000 kila mmoja kwa ajili ya ukarabati wa mabweni yanayodaiwa kuchomwa moto na baadhi yao
> Wanafunzi 14 aliowachapa viboko jana watatakiwa kulipa Tsh. 500,000 kila mmoja
Soma - https://jamii.app/RCAtimuaWanfnzMBY
MACHAFUKO CAMEROON: RAIS AAMURU WATUHUMIWA WAACHIWE HURU
> Rais Paul Biya ameamuru kuachiliwa huru kwa watu 333 wanaoshutumiwa kuhusika katika mgogoro uliozuka katika maeneo yanayozungumza Kiingereza
> Msamaha huu hauwahusu ambao tayari wamehukumiwa
Soma - https://jamii.app/BiyaFreesPrisoners
> Rais Paul Biya ameamuru kuachiliwa huru kwa watu 333 wanaoshutumiwa kuhusika katika mgogoro uliozuka katika maeneo yanayozungumza Kiingereza
> Msamaha huu hauwahusu ambao tayari wamehukumiwa
Soma - https://jamii.app/BiyaFreesPrisoners
SAMSUNG YAFUNGA KIWANDA CHAKE CHA SIMU NCHINI CHINA
> Kampuni hiyo kubwa ya utengenezaji na uuzaji wa vifaa vya elektroniki, imefunga kiwanda chake nchini China kutokana na kuongezeka kwa gharama za uzalishaji
> Kampuni ya Sony nayo inatarajia kusitisha uzalishaji wa vifaa vyake nchini humo
Soma - https://jamii.app/SamsungEndsProductionChina
> Kampuni hiyo kubwa ya utengenezaji na uuzaji wa vifaa vya elektroniki, imefunga kiwanda chake nchini China kutokana na kuongezeka kwa gharama za uzalishaji
> Kampuni ya Sony nayo inatarajia kusitisha uzalishaji wa vifaa vyake nchini humo
Soma - https://jamii.app/SamsungEndsProductionChina
RAIS AAGIZA WALIOCHOMA SHULE MBEYA KUFUKUZWA NA BODI YA SHULE IVUNJWE
> Rais John Magufuli amempongeza Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila kwa kuwachapa viboko wanafunzi wa kidato cha tano na sita wa Shule ya Sekondari Kiwanja Wilayani Chunya kwa madai ya kuhusika kuchoma moto mabweni mawili ya shule hiyo
Soma - https://jamii.app/RaisVibokoWanfzMBY
> Rais John Magufuli amempongeza Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila kwa kuwachapa viboko wanafunzi wa kidato cha tano na sita wa Shule ya Sekondari Kiwanja Wilayani Chunya kwa madai ya kuhusika kuchoma moto mabweni mawili ya shule hiyo
Soma - https://jamii.app/RaisVibokoWanfzMBY
TUME YA KUAJIRI WALIMU YAWAFUTA KAZI WALIMU 36
> Tume ya kuwaajiri walimu nchini (TSC) imewafuta kazi walimu 36 kwa madai ya utovu wa nidhamu na majina ya walimu hao tayari yameondolewa kwenye orodha ya TSC
> Aidha, TSC wanashughulikia kesi za zaidi ya walimu 124 ambao wanatumikia marufuku, 30 wamepokea barua za onyo huku 17 wakiondolewa lawama
Soma - https://jamii.app/FukuzaWalimuNidhamu
> Tume ya kuwaajiri walimu nchini (TSC) imewafuta kazi walimu 36 kwa madai ya utovu wa nidhamu na majina ya walimu hao tayari yameondolewa kwenye orodha ya TSC
> Aidha, TSC wanashughulikia kesi za zaidi ya walimu 124 ambao wanatumikia marufuku, 30 wamepokea barua za onyo huku 17 wakiondolewa lawama
Soma - https://jamii.app/FukuzaWalimuNidhamu
TEKNOLOJIA: MAMBO UNAYOWEZA KUFANYA KWA KAMERA YA SIMU
> Kamera ya simu inaweza kufanya kazi nyingi za faida zaidi ya kutumika katika kupiga picha. Baadhi ya kazi hizo ni ku-Scan nyaraka, ukalimani na ku-scan barcodes
Zaidi, soma => https://jamii.app/CameraZaSimu
#JFTeknolojia
> Kamera ya simu inaweza kufanya kazi nyingi za faida zaidi ya kutumika katika kupiga picha. Baadhi ya kazi hizo ni ku-Scan nyaraka, ukalimani na ku-scan barcodes
Zaidi, soma => https://jamii.app/CameraZaSimu
#JFTeknolojia
SINGIDA: MWEKA HAZINA AJILIPA POSHO KINYUME CHA UTARATIBU
> Waziri Mkuu amempa siku 3 (kabla ya Oktoba 7) Kaimu Mweka Hazina wa Halmashauri ya Itigi, Optatus Likiliwike arejeshe Tsh. milioni 1.6 ambazo alijilipa kama posho ya safari kinyume cha utaratibu
> Pia, ametakiwa kurejesha Tsh. milioni 196 za ujenzi wa ofisi ya Halmashauri, ambazo zimetumika kinyume na zilivyopangiwa
Soma - https://jamii.app/RejeshoPoshoSafari
> Waziri Mkuu amempa siku 3 (kabla ya Oktoba 7) Kaimu Mweka Hazina wa Halmashauri ya Itigi, Optatus Likiliwike arejeshe Tsh. milioni 1.6 ambazo alijilipa kama posho ya safari kinyume cha utaratibu
> Pia, ametakiwa kurejesha Tsh. milioni 196 za ujenzi wa ofisi ya Halmashauri, ambazo zimetumika kinyume na zilivyopangiwa
Soma - https://jamii.app/RejeshoPoshoSafari
RUKWA: LUGOLA AWAONDOA VIONGOZI WA POLISI PAMOJA NA ASKARI 6
> Waziri wa Mambo ya Ndani amewaondoa katika nyadhifa zao Mkuu wa Polisi wa Wilaya ya Nkasi (OCD), Mkuu wa Upelelezi wa Wilaya (OC CID) na Mkuu wa Kituo cha Polisi Namanyere (OCS) kwa kuwa wameshindwa kuimudu kazi yao ipasavyo
> Pia, ameagiza askari 6 wa Kituo cha Namanyere na Kirando waondolewe kutokana na wananchi kuwalalamikia kwa kushindwa kuwasaidia
Soma - https://jamii.app/ViongoziPolisiWaondolewa
> Waziri wa Mambo ya Ndani amewaondoa katika nyadhifa zao Mkuu wa Polisi wa Wilaya ya Nkasi (OCD), Mkuu wa Upelelezi wa Wilaya (OC CID) na Mkuu wa Kituo cha Polisi Namanyere (OCS) kwa kuwa wameshindwa kuimudu kazi yao ipasavyo
> Pia, ameagiza askari 6 wa Kituo cha Namanyere na Kirando waondolewe kutokana na wananchi kuwalalamikia kwa kushindwa kuwasaidia
Soma - https://jamii.app/ViongoziPolisiWaondolewa
MAANDAMANO IRAQ: IDADI YA VIFO YAZIDI KUONGEZEKA
> Idadi ya vifo vya watu inazidi kuongezeka kufuatia maandamano yaliyozuka siku nne zilizopita ya kupinga Serikali ya nchi hiyo ambapo Imeripotiwa kuwa zaidi ya watu 100 wameshapoteza maisha mpaka sasa na zaidi ya 3,000 wamejeruhiwa
> Idadi hiyo ni ongezeko kubwa ndani ya saa 24 zilizopita
Soma - https://jamii.app/DeathRiseIraqProtests
> Idadi ya vifo vya watu inazidi kuongezeka kufuatia maandamano yaliyozuka siku nne zilizopita ya kupinga Serikali ya nchi hiyo ambapo Imeripotiwa kuwa zaidi ya watu 100 wameshapoteza maisha mpaka sasa na zaidi ya 3,000 wamejeruhiwa
> Idadi hiyo ni ongezeko kubwa ndani ya saa 24 zilizopita
Soma - https://jamii.app/DeathRiseIraqProtests
UPUNGUFU WA MADINI CHUMA NA ULEVI NI SABABU ZA KUZAA WATOTO WENYE MTINDIO WA UBONGO
> Upungufu wa madini ya chuma mwilini, viini lishe, ulevi uliopindukia, ugomvi uliokithiri wakati wa ujauzito, matumizi ya dawa bila maelekezo na kujifungua katika maeneo yasiyo salama zimetajwa kuwa miongoni mwa sababu zinazochangia watoto kuzaliwa na mtindio wa ubongo
Soma - https://jamii.app/MaadhimishoUtindioUbongo
> Upungufu wa madini ya chuma mwilini, viini lishe, ulevi uliopindukia, ugomvi uliokithiri wakati wa ujauzito, matumizi ya dawa bila maelekezo na kujifungua katika maeneo yasiyo salama zimetajwa kuwa miongoni mwa sababu zinazochangia watoto kuzaliwa na mtindio wa ubongo
Soma - https://jamii.app/MaadhimishoUtindioUbongo