POLISI KUKATWA MSHAHARA ILI KUMLIPA WALIYEMVUNJA MGUU KWA KIPIGO
> Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Alli Hapi ameliagiza Jeshi la polisi kuwakata mshahara kiasi cha Tsh. milioni 1 askari wake 10 waliohusika kumvunja mguu Maiman Mwakajenge
> Inaelezwa kuwa walimshambulia kwa kipigo wakidai kuwa amewatukana
Soma - https://jamii.app/MakatoMshaharaPolisi
> Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Alli Hapi ameliagiza Jeshi la polisi kuwakata mshahara kiasi cha Tsh. milioni 1 askari wake 10 waliohusika kumvunja mguu Maiman Mwakajenge
> Inaelezwa kuwa walimshambulia kwa kipigo wakidai kuwa amewatukana
Soma - https://jamii.app/MakatoMshaharaPolisi
TCU YAKIFUTA CHUO KIKUU CHA ECKERNFORD
- TCU imesema Chuo hicho kilichopo Mkoani Tanga kimefutwa kutokana na kushindwa kukidhi vigezo vya udahili
- Ni takribani miezi 10 tangu kilipositishiwa kutoa mafunzo na kutakiwa kuhamisha Wanafunzi
Zaidi, soma https://jamii.app/ChuoEckernfordChafutwa
- TCU imesema Chuo hicho kilichopo Mkoani Tanga kimefutwa kutokana na kushindwa kukidhi vigezo vya udahili
- Ni takribani miezi 10 tangu kilipositishiwa kutoa mafunzo na kutakiwa kuhamisha Wanafunzi
Zaidi, soma https://jamii.app/ChuoEckernfordChafutwa
RIPOTI: VIFO VITOKANAVYO NA UKIMWI VYAPUNGUA
> Ripoti ya Umoja wa Mataifa inaonesha kuwa vifo vimepungua kwa 33% tangu mwaka 2010 ambavyo ni takribani vifo 770,000 tofauti na mwaka 2010 ambapo watu milioni 1.2 walifariki
> Aidha, maambukizi mapya yameongezeka hasa Mashariki ya Kati na Ulaya Mashariki ambapo kuna wagonjwa milioni 37.9
Soma - https://jamii.app/RipotiVifoUkimwi
> Ripoti ya Umoja wa Mataifa inaonesha kuwa vifo vimepungua kwa 33% tangu mwaka 2010 ambavyo ni takribani vifo 770,000 tofauti na mwaka 2010 ambapo watu milioni 1.2 walifariki
> Aidha, maambukizi mapya yameongezeka hasa Mashariki ya Kati na Ulaya Mashariki ambapo kuna wagonjwa milioni 37.9
Soma - https://jamii.app/RipotiVifoUkimwi
INSTAGRAM KUFICHA IDADI YA ‘LIKES’ ILI KUONDOA KUTOKUJIAMINI
- Imefanya majaribio Canada mwezi Mei na mengine yanafanyika Australia, New Zealand, Ireland, Italy, Japan na Brazil
- Lengo ni watu waweke kile wanachokipenda wao
Zaidi, soma https://jamii.app/InstagramKuondoaLikes
- Imefanya majaribio Canada mwezi Mei na mengine yanafanyika Australia, New Zealand, Ireland, Italy, Japan na Brazil
- Lengo ni watu waweke kile wanachokipenda wao
Zaidi, soma https://jamii.app/InstagramKuondoaLikes
KENYA: AMKATA KICHWA BABA YAKE AKIDHANI ANACHINJA MBUZI
> Dennis Mwangi (29) amemuua Peter Ndegwa (59) kwa kumkata kichwa akidai alidhani alikuwa anachinja mbuzi na kisha kukitia kwenye ndoo na kuanza kuzunguka nacho mjini
> Watu wanadhani huenda alikuwa akikabiliwa na matatizo ya kiakili
Soma - https://jamii.app/AkataKichwaBabake
> Dennis Mwangi (29) amemuua Peter Ndegwa (59) kwa kumkata kichwa akidai alidhani alikuwa anachinja mbuzi na kisha kukitia kwenye ndoo na kuanza kuzunguka nacho mjini
> Watu wanadhani huenda alikuwa akikabiliwa na matatizo ya kiakili
Soma - https://jamii.app/AkataKichwaBabake
IRAN YAKAMATA MELI YA MAFUTA YA KIGENI NA WAFANYAKAZI WAKE 12
- Imedai meli hiyo ilikuwa ikisafirisha mafuta kimagendo katika eneo la Ghuba siku ya Jumapili iliyopita
- Haijathibitishwa ikiwa meli hiyo ni ile ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) iliyopoteza mawasiliano siku hiyo ya Jumapili
Zaidi, soma https://jamii.app/IranYakamataMeliGhuba
- Imedai meli hiyo ilikuwa ikisafirisha mafuta kimagendo katika eneo la Ghuba siku ya Jumapili iliyopita
- Haijathibitishwa ikiwa meli hiyo ni ile ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) iliyopoteza mawasiliano siku hiyo ya Jumapili
Zaidi, soma https://jamii.app/IranYakamataMeliGhuba
UGANDA KUANZA KUTOA VYETI VYA USAJILI KWA WAFUGAJI NA NG'OMBE WAO
> Wafugaji wa ng'ombe watasajiliwa wenyewe na ng'ombe wao pia watasajiliwa na kupewa vyeti vya kuzaliwa kwasababu walaji wanahitaji nyama ya ng'ombe yenye umri kati ya miezi 15 hadi 24
Soma - https://jamii.app/UsajiliMifugoUG
> Wafugaji wa ng'ombe watasajiliwa wenyewe na ng'ombe wao pia watasajiliwa na kupewa vyeti vya kuzaliwa kwasababu walaji wanahitaji nyama ya ng'ombe yenye umri kati ya miezi 15 hadi 24
Soma - https://jamii.app/UsajiliMifugoUG
UCHAGUZI SINGIDA MASHARIKI: MGOMBEA WA CCM APITA BILA KUPINGWA
> Miraji Mtaturu amepita ktk uchaguzi mdogo baada ya wagombea 12 wa upinzani kutorejesha fomu
> Wenye pingamizi wametakiwa kuwasilisha mapingamizi yao kabla ya kesho saa 10 jioni
Soma https://jamii.app/MgombeaUchaguziSingida
#JFLeo
> Miraji Mtaturu amepita ktk uchaguzi mdogo baada ya wagombea 12 wa upinzani kutorejesha fomu
> Wenye pingamizi wametakiwa kuwasilisha mapingamizi yao kabla ya kesho saa 10 jioni
Soma https://jamii.app/MgombeaUchaguziSingida
#JFLeo
KUFUZU #AFCON2021: TANZANIA KUNDI MOJA NA TUNISIA NA LIBYA
- CAF yatangaza makundi ya kufuzu kushiriki michuano ya Mataifa ya Afrika mwaka 2021 itakayofanyika Cameroon
- Tanzania ipo Kundi J, pamoja na Tunisia, Libya na Equatorial Guinea
Zaidi, soma https://jamii.app/KufuzuAfcon2021
- CAF yatangaza makundi ya kufuzu kushiriki michuano ya Mataifa ya Afrika mwaka 2021 itakayofanyika Cameroon
- Tanzania ipo Kundi J, pamoja na Tunisia, Libya na Equatorial Guinea
Zaidi, soma https://jamii.app/KufuzuAfcon2021
AFISA MIPANGO MIJI ASIMAMISHWA KAZI KWA KUUZA ARDHI KINYUME NA TARATIBU
- Waziri Lukuvi amemsimamisha kazi Afisa Mipango Miji wa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema, Manase Nkuli
- Ameghushi nyaraka na kuuza hekari 6000 za ardhi kinyume na taratibu
Zaidi, soma https://jamii.app/AfisaMipangoSengerema
- Waziri Lukuvi amemsimamisha kazi Afisa Mipango Miji wa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema, Manase Nkuli
- Ameghushi nyaraka na kuuza hekari 6000 za ardhi kinyume na taratibu
Zaidi, soma https://jamii.app/AfisaMipangoSengerema
WAKULIMA WA PAMBA KUPEWA VITAMBULISHO
- Waziri wa Kilimo, Japhet Hasunga ameiagiza bodi ya Pamba kuviandaa na kuvigawa bure ili kuwatambua wakulima
- Pia, ameahidi Serikali kufidia kiasi cha fedha ili kilo ya pamba inunuliwe kwa Tsh. 1,200
Zaidi, soma https://jamii.app/VitambulishoWakulimaPamba
- Waziri wa Kilimo, Japhet Hasunga ameiagiza bodi ya Pamba kuviandaa na kuvigawa bure ili kuwatambua wakulima
- Pia, ameahidi Serikali kufidia kiasi cha fedha ili kilo ya pamba inunuliwe kwa Tsh. 1,200
Zaidi, soma https://jamii.app/VitambulishoWakulimaPamba
UKUAJI WA UCHUMI TANZANIA 2018: BENKI YA DUNIA YATOFAUTIANA NA SERIKALI
- Benki ya Dunia inasema uchumi ulikuwa kwa 5.2% tofauti na Serikali iliyosema ulikuwa kwa 7%
- Moja ya sasabu iliyoathiri ukuaji ni kushuka kwa viwango vya uwekezaji
Zaidi, soma https://jamii.app/UchumiTanzania2018-WB
- Benki ya Dunia inasema uchumi ulikuwa kwa 5.2% tofauti na Serikali iliyosema ulikuwa kwa 7%
- Moja ya sasabu iliyoathiri ukuaji ni kushuka kwa viwango vya uwekezaji
Zaidi, soma https://jamii.app/UchumiTanzania2018-WB
MOSHI: WAZIRI MKUU AAGIZA WALIOKUWA WALINZI WA KITUO CHA MABASI KUKAMATWA
> Ni walinzi waliokuwa lindo eneo la ujenzi wa stendi ya mabasi ya Ngangamfumuni siku ulipotokea wizi wa tani 5 za nondo
> Amesema endapo walinzi hao hawatapatikana, viongozi wa kampuni husika wakamatwe ili waseme walipo wafanyakazi wao
Soma - https://jamii.app/WiziNondoUjenzi
> Ni walinzi waliokuwa lindo eneo la ujenzi wa stendi ya mabasi ya Ngangamfumuni siku ulipotokea wizi wa tani 5 za nondo
> Amesema endapo walinzi hao hawatapatikana, viongozi wa kampuni husika wakamatwe ili waseme walipo wafanyakazi wao
Soma - https://jamii.app/WiziNondoUjenzi
MAREKANI YADAI KUILIPUA NDEGE YA IRAN ISIYOKUWA NA RUBANI
- Imedai ndege hiyo ilikaribia kwa Yadi 1,000 manowari yake ya kivita ktk mlango wa bahari wa Hormuz
- Hata hivyo, Iran imedai hakuna ndege yake yoyote isiyo na rubani iliyoshambuliwa
Zaidi, soma https://jamii.app/NdegeIran-Marekani
- Imedai ndege hiyo ilikaribia kwa Yadi 1,000 manowari yake ya kivita ktk mlango wa bahari wa Hormuz
- Hata hivyo, Iran imedai hakuna ndege yake yoyote isiyo na rubani iliyoshambuliwa
Zaidi, soma https://jamii.app/NdegeIran-Marekani
MAHAKAMA TANZANIA: HUKUMU YA KIFO HAIPO KINYUME NA KATIBA
> Mahakama Kuu imesema hakuna ushahidi wa kutosha kuthibitisha kuwa hukumu ya kifo ni kinyume na katiba ya nchi baada ya Watetezi wa haki za binadamu kufungua kesi kutaka adhabu hiyo ifutwe kwani inakiuka haki ya msingi ya kuishi
> Hukumu hiyo haijatekelezwa tangu mwaka 1994 na wafungwa 500 wanakabiliwa na adhabu ya kifo au kifungo cha maisha
Soma - https://jamii.app/AdhabuKifoKatiba
> Mahakama Kuu imesema hakuna ushahidi wa kutosha kuthibitisha kuwa hukumu ya kifo ni kinyume na katiba ya nchi baada ya Watetezi wa haki za binadamu kufungua kesi kutaka adhabu hiyo ifutwe kwani inakiuka haki ya msingi ya kuishi
> Hukumu hiyo haijatekelezwa tangu mwaka 1994 na wafungwa 500 wanakabiliwa na adhabu ya kifo au kifungo cha maisha
Soma - https://jamii.app/AdhabuKifoKatiba
SERIKALI: KAMPUNI BINAFSI ZA ULINZI ZINAZOAJIRI WAZEE KUFUTWA
- Waziri Lugola amesema Serikali itazifuta kampuni hizo zinazoajiri Askari vikongwe na wasio na mafunzo
- Amesema vikongwe hao wanasinzia na wanaweza kunyang’anywa silaha na majambazi
Zaidi, soma https://jamii.app/KampuniUlinziWazeeKufutwa
- Waziri Lugola amesema Serikali itazifuta kampuni hizo zinazoajiri Askari vikongwe na wasio na mafunzo
- Amesema vikongwe hao wanasinzia na wanaweza kunyang’anywa silaha na majambazi
Zaidi, soma https://jamii.app/KampuniUlinziWazeeKufutwa
BAADA YA KUHOJIWA BASATA, IRENE UWOYA NA STEVE NYERERE WALIHOJIWA POLISI
- Wasanii hao walihojiwa kufuatia kitendo alichokifanya Uwoya cha kuwarushia pesa Wanahabari
- Walihojiwa Julai 17 na kuachiwa kwa dhamana huku uchunguzi ukiendelea
Zaidi, soma https://jamii.app/UwoyaStevePolisi
- Wasanii hao walihojiwa kufuatia kitendo alichokifanya Uwoya cha kuwarushia pesa Wanahabari
- Walihojiwa Julai 17 na kuachiwa kwa dhamana huku uchunguzi ukiendelea
Zaidi, soma https://jamii.app/UwoyaStevePolisi
👍1