UGONJWA WA EBOLA WATANGAZWA KUWA JANGA LA DHARURA DUNIANI
> Shirika la Afya Duniani limetangaza ugonjwa wa Ebola kuwa dharura ya kiafya duniani kutokana na ugonjwa huo kuua watu 1,668 katika nchi ya Kidemokrasia ya Congo tangu mwezi Agosti 2018
> Uamuzi huo umechukuliwa na jopo la wataalamu na shirika limezingatia vigezo kadhaa, ikiwemo hatari ya kusambaa kwa virusi vya Ebola duniani
Soma - https://jamii.app/EbolaGlobalEmergency
> Shirika la Afya Duniani limetangaza ugonjwa wa Ebola kuwa dharura ya kiafya duniani kutokana na ugonjwa huo kuua watu 1,668 katika nchi ya Kidemokrasia ya Congo tangu mwezi Agosti 2018
> Uamuzi huo umechukuliwa na jopo la wataalamu na shirika limezingatia vigezo kadhaa, ikiwemo hatari ya kusambaa kwa virusi vya Ebola duniani
Soma - https://jamii.app/EbolaGlobalEmergency
POLISI KUKATWA MSHAHARA ILI KUMLIPA WALIYEMVUNJA MGUU KWA KIPIGO
> Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Alli Hapi ameliagiza Jeshi la polisi kuwakata mshahara kiasi cha Tsh. milioni 1 askari wake 10 waliohusika kumvunja mguu Maiman Mwakajenge
> Inaelezwa kuwa walimshambulia kwa kipigo wakidai kuwa amewatukana
Soma - https://jamii.app/MakatoMshaharaPolisi
> Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Alli Hapi ameliagiza Jeshi la polisi kuwakata mshahara kiasi cha Tsh. milioni 1 askari wake 10 waliohusika kumvunja mguu Maiman Mwakajenge
> Inaelezwa kuwa walimshambulia kwa kipigo wakidai kuwa amewatukana
Soma - https://jamii.app/MakatoMshaharaPolisi
TCU YAKIFUTA CHUO KIKUU CHA ECKERNFORD
- TCU imesema Chuo hicho kilichopo Mkoani Tanga kimefutwa kutokana na kushindwa kukidhi vigezo vya udahili
- Ni takribani miezi 10 tangu kilipositishiwa kutoa mafunzo na kutakiwa kuhamisha Wanafunzi
Zaidi, soma https://jamii.app/ChuoEckernfordChafutwa
- TCU imesema Chuo hicho kilichopo Mkoani Tanga kimefutwa kutokana na kushindwa kukidhi vigezo vya udahili
- Ni takribani miezi 10 tangu kilipositishiwa kutoa mafunzo na kutakiwa kuhamisha Wanafunzi
Zaidi, soma https://jamii.app/ChuoEckernfordChafutwa
RIPOTI: VIFO VITOKANAVYO NA UKIMWI VYAPUNGUA
> Ripoti ya Umoja wa Mataifa inaonesha kuwa vifo vimepungua kwa 33% tangu mwaka 2010 ambavyo ni takribani vifo 770,000 tofauti na mwaka 2010 ambapo watu milioni 1.2 walifariki
> Aidha, maambukizi mapya yameongezeka hasa Mashariki ya Kati na Ulaya Mashariki ambapo kuna wagonjwa milioni 37.9
Soma - https://jamii.app/RipotiVifoUkimwi
> Ripoti ya Umoja wa Mataifa inaonesha kuwa vifo vimepungua kwa 33% tangu mwaka 2010 ambavyo ni takribani vifo 770,000 tofauti na mwaka 2010 ambapo watu milioni 1.2 walifariki
> Aidha, maambukizi mapya yameongezeka hasa Mashariki ya Kati na Ulaya Mashariki ambapo kuna wagonjwa milioni 37.9
Soma - https://jamii.app/RipotiVifoUkimwi
INSTAGRAM KUFICHA IDADI YA ‘LIKES’ ILI KUONDOA KUTOKUJIAMINI
- Imefanya majaribio Canada mwezi Mei na mengine yanafanyika Australia, New Zealand, Ireland, Italy, Japan na Brazil
- Lengo ni watu waweke kile wanachokipenda wao
Zaidi, soma https://jamii.app/InstagramKuondoaLikes
- Imefanya majaribio Canada mwezi Mei na mengine yanafanyika Australia, New Zealand, Ireland, Italy, Japan na Brazil
- Lengo ni watu waweke kile wanachokipenda wao
Zaidi, soma https://jamii.app/InstagramKuondoaLikes
KENYA: AMKATA KICHWA BABA YAKE AKIDHANI ANACHINJA MBUZI
> Dennis Mwangi (29) amemuua Peter Ndegwa (59) kwa kumkata kichwa akidai alidhani alikuwa anachinja mbuzi na kisha kukitia kwenye ndoo na kuanza kuzunguka nacho mjini
> Watu wanadhani huenda alikuwa akikabiliwa na matatizo ya kiakili
Soma - https://jamii.app/AkataKichwaBabake
> Dennis Mwangi (29) amemuua Peter Ndegwa (59) kwa kumkata kichwa akidai alidhani alikuwa anachinja mbuzi na kisha kukitia kwenye ndoo na kuanza kuzunguka nacho mjini
> Watu wanadhani huenda alikuwa akikabiliwa na matatizo ya kiakili
Soma - https://jamii.app/AkataKichwaBabake
IRAN YAKAMATA MELI YA MAFUTA YA KIGENI NA WAFANYAKAZI WAKE 12
- Imedai meli hiyo ilikuwa ikisafirisha mafuta kimagendo katika eneo la Ghuba siku ya Jumapili iliyopita
- Haijathibitishwa ikiwa meli hiyo ni ile ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) iliyopoteza mawasiliano siku hiyo ya Jumapili
Zaidi, soma https://jamii.app/IranYakamataMeliGhuba
- Imedai meli hiyo ilikuwa ikisafirisha mafuta kimagendo katika eneo la Ghuba siku ya Jumapili iliyopita
- Haijathibitishwa ikiwa meli hiyo ni ile ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) iliyopoteza mawasiliano siku hiyo ya Jumapili
Zaidi, soma https://jamii.app/IranYakamataMeliGhuba
UGANDA KUANZA KUTOA VYETI VYA USAJILI KWA WAFUGAJI NA NG'OMBE WAO
> Wafugaji wa ng'ombe watasajiliwa wenyewe na ng'ombe wao pia watasajiliwa na kupewa vyeti vya kuzaliwa kwasababu walaji wanahitaji nyama ya ng'ombe yenye umri kati ya miezi 15 hadi 24
Soma - https://jamii.app/UsajiliMifugoUG
> Wafugaji wa ng'ombe watasajiliwa wenyewe na ng'ombe wao pia watasajiliwa na kupewa vyeti vya kuzaliwa kwasababu walaji wanahitaji nyama ya ng'ombe yenye umri kati ya miezi 15 hadi 24
Soma - https://jamii.app/UsajiliMifugoUG
UCHAGUZI SINGIDA MASHARIKI: MGOMBEA WA CCM APITA BILA KUPINGWA
> Miraji Mtaturu amepita ktk uchaguzi mdogo baada ya wagombea 12 wa upinzani kutorejesha fomu
> Wenye pingamizi wametakiwa kuwasilisha mapingamizi yao kabla ya kesho saa 10 jioni
Soma https://jamii.app/MgombeaUchaguziSingida
#JFLeo
> Miraji Mtaturu amepita ktk uchaguzi mdogo baada ya wagombea 12 wa upinzani kutorejesha fomu
> Wenye pingamizi wametakiwa kuwasilisha mapingamizi yao kabla ya kesho saa 10 jioni
Soma https://jamii.app/MgombeaUchaguziSingida
#JFLeo
KUFUZU #AFCON2021: TANZANIA KUNDI MOJA NA TUNISIA NA LIBYA
- CAF yatangaza makundi ya kufuzu kushiriki michuano ya Mataifa ya Afrika mwaka 2021 itakayofanyika Cameroon
- Tanzania ipo Kundi J, pamoja na Tunisia, Libya na Equatorial Guinea
Zaidi, soma https://jamii.app/KufuzuAfcon2021
- CAF yatangaza makundi ya kufuzu kushiriki michuano ya Mataifa ya Afrika mwaka 2021 itakayofanyika Cameroon
- Tanzania ipo Kundi J, pamoja na Tunisia, Libya na Equatorial Guinea
Zaidi, soma https://jamii.app/KufuzuAfcon2021
AFISA MIPANGO MIJI ASIMAMISHWA KAZI KWA KUUZA ARDHI KINYUME NA TARATIBU
- Waziri Lukuvi amemsimamisha kazi Afisa Mipango Miji wa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema, Manase Nkuli
- Ameghushi nyaraka na kuuza hekari 6000 za ardhi kinyume na taratibu
Zaidi, soma https://jamii.app/AfisaMipangoSengerema
- Waziri Lukuvi amemsimamisha kazi Afisa Mipango Miji wa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema, Manase Nkuli
- Ameghushi nyaraka na kuuza hekari 6000 za ardhi kinyume na taratibu
Zaidi, soma https://jamii.app/AfisaMipangoSengerema
WAKULIMA WA PAMBA KUPEWA VITAMBULISHO
- Waziri wa Kilimo, Japhet Hasunga ameiagiza bodi ya Pamba kuviandaa na kuvigawa bure ili kuwatambua wakulima
- Pia, ameahidi Serikali kufidia kiasi cha fedha ili kilo ya pamba inunuliwe kwa Tsh. 1,200
Zaidi, soma https://jamii.app/VitambulishoWakulimaPamba
- Waziri wa Kilimo, Japhet Hasunga ameiagiza bodi ya Pamba kuviandaa na kuvigawa bure ili kuwatambua wakulima
- Pia, ameahidi Serikali kufidia kiasi cha fedha ili kilo ya pamba inunuliwe kwa Tsh. 1,200
Zaidi, soma https://jamii.app/VitambulishoWakulimaPamba
UKUAJI WA UCHUMI TANZANIA 2018: BENKI YA DUNIA YATOFAUTIANA NA SERIKALI
- Benki ya Dunia inasema uchumi ulikuwa kwa 5.2% tofauti na Serikali iliyosema ulikuwa kwa 7%
- Moja ya sasabu iliyoathiri ukuaji ni kushuka kwa viwango vya uwekezaji
Zaidi, soma https://jamii.app/UchumiTanzania2018-WB
- Benki ya Dunia inasema uchumi ulikuwa kwa 5.2% tofauti na Serikali iliyosema ulikuwa kwa 7%
- Moja ya sasabu iliyoathiri ukuaji ni kushuka kwa viwango vya uwekezaji
Zaidi, soma https://jamii.app/UchumiTanzania2018-WB
MOSHI: WAZIRI MKUU AAGIZA WALIOKUWA WALINZI WA KITUO CHA MABASI KUKAMATWA
> Ni walinzi waliokuwa lindo eneo la ujenzi wa stendi ya mabasi ya Ngangamfumuni siku ulipotokea wizi wa tani 5 za nondo
> Amesema endapo walinzi hao hawatapatikana, viongozi wa kampuni husika wakamatwe ili waseme walipo wafanyakazi wao
Soma - https://jamii.app/WiziNondoUjenzi
> Ni walinzi waliokuwa lindo eneo la ujenzi wa stendi ya mabasi ya Ngangamfumuni siku ulipotokea wizi wa tani 5 za nondo
> Amesema endapo walinzi hao hawatapatikana, viongozi wa kampuni husika wakamatwe ili waseme walipo wafanyakazi wao
Soma - https://jamii.app/WiziNondoUjenzi