TMDA YAONYA JUU YA UWEPO WA DAWA BANDIA SOKONI
- Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) imegundua uwepo wa dawa bandia aina ya ‘Gentrisone 10g cream’
- Inafanana na dawa halisi ila dawa halisi haijawahi kuwa na namba ya toleo GNTRO X030 kama ilivyo kwenye dawa hiyo bandia
Zaidi, soma https://jamii.app/GentrisoneBandiaTZ
- Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) imegundua uwepo wa dawa bandia aina ya ‘Gentrisone 10g cream’
- Inafanana na dawa halisi ila dawa halisi haijawahi kuwa na namba ya toleo GNTRO X030 kama ilivyo kwenye dawa hiyo bandia
Zaidi, soma https://jamii.app/GentrisoneBandiaTZ
KENYA: MUME AMNYOFOA MDOMO MKE WAKE
> Jackline Kerubo (39) mkazi wa Tanga Kona anauguza majeraha baaada ya mume wake kumnyofoa mdomo na sikio kwa kumtafuna kwa meno kufuatia ugomvi baina yao
> Jackline alitaka kwenda kuchuma mboga katika shamba la jirani yake lakini mume wake alimkataza na ndipo ulipozuka ugomvi kati yao
Soma - https://jamii.app/MeAtoaMdomoKe
> Jackline Kerubo (39) mkazi wa Tanga Kona anauguza majeraha baaada ya mume wake kumnyofoa mdomo na sikio kwa kumtafuna kwa meno kufuatia ugomvi baina yao
> Jackline alitaka kwenda kuchuma mboga katika shamba la jirani yake lakini mume wake alimkataza na ndipo ulipozuka ugomvi kati yao
Soma - https://jamii.app/MeAtoaMdomoKe
GUINEA YAWA YA 6 KUMTIMUA KOCHA BAADA YA AFCON
- Kocha Paul Put amefukuzwa kufuatia timu ya Taifa ya Guinea kufanya vibaya katika michuano ya Mataifa ya Afrika
- Nchi nyingine zilizofukuza Makocha baada ya kutoka #AFCON2019 ni Namibia, Tanzania, Misri, Uganda na Cameroon
- Kocha Paul Put amefukuzwa kufuatia timu ya Taifa ya Guinea kufanya vibaya katika michuano ya Mataifa ya Afrika
- Nchi nyingine zilizofukuza Makocha baada ya kutoka #AFCON2019 ni Namibia, Tanzania, Misri, Uganda na Cameroon
IRENE UWOYA NA STEVE NYERERE HAWAJASAJILIWA BASATA KUFANYA SANAA
- Kaimu Katibu wa BASATA, Onesmo Kayanda ameeleza baada ya kumalizika kikao kati yao na wasanii hao
- Aidha, amesema wanakemea vikali kitendo cha Uwoya kurushia fedha Wanahabari
Zaidi, soma https://jamii.app/UwoyaSteveHawajasajiliwaBasata
- Kaimu Katibu wa BASATA, Onesmo Kayanda ameeleza baada ya kumalizika kikao kati yao na wasanii hao
- Aidha, amesema wanakemea vikali kitendo cha Uwoya kurushia fedha Wanahabari
Zaidi, soma https://jamii.app/UwoyaSteveHawajasajiliwaBasata
WALIMU WABAKA MWANAFUNZI NA KUMPA UJAUZITO
> Polisi Mkoani Katavi inawashikilia walimu wawili wa Shule ya Msingi Kambuzi kwa tuhuma za kumbaka kwa nyakati tofauti mwanafunzi wa darasa la saba na kumsababishia ujauzito
> Watuhumiwa ni Ambukile Mwakapala na John Ndenje
Soma - https://jamii.app/MchAbakaMtotoMimba
> Polisi Mkoani Katavi inawashikilia walimu wawili wa Shule ya Msingi Kambuzi kwa tuhuma za kumbaka kwa nyakati tofauti mwanafunzi wa darasa la saba na kumsababishia ujauzito
> Watuhumiwa ni Ambukile Mwakapala na John Ndenje
Soma - https://jamii.app/MchAbakaMtotoMimba
SUDAN: Viongozi wa waandamanaji na Jeshi wametia saini tamko la kisiasa la kugawana madaraka
-
Hata hivyo mazungumzo bado yatafanyika katika siku zijazo kuhusu mambo mengine yanayoendelea kuzua mgongano kwenye makubaliano yaliyofikiwa Julai 5 kati ya pande hizo mbili
-
Hata hivyo mazungumzo bado yatafanyika katika siku zijazo kuhusu mambo mengine yanayoendelea kuzua mgongano kwenye makubaliano yaliyofikiwa Julai 5 kati ya pande hizo mbili
MICHEZO: Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limeamua kuwepo kwa mchezo mmoja tu wa fainali ktk mashindano yake mawili ya ngazi ya klabu Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho Afrika
> Uamuzi huo umefikiwa leo kwenye kikao cha Kamati ya Utendaji ya CAF
#JFMichezo
> Uamuzi huo umefikiwa leo kwenye kikao cha Kamati ya Utendaji ya CAF
#JFMichezo
MAREKANI: El CHAPO AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MAISHA
- Joaquin ‘El Chapo’ Guzman (62), amehukumiwa kifungo cha maisha gerezani baada ya kupatikana na hatia katika makosa 10 yakiwemo ya kusambaza #DawaZaKulevya na utakatishaji fedha
Zaidi, soma https://jamii.app/ElChapoLifeInPrison
- Joaquin ‘El Chapo’ Guzman (62), amehukumiwa kifungo cha maisha gerezani baada ya kupatikana na hatia katika makosa 10 yakiwemo ya kusambaza #DawaZaKulevya na utakatishaji fedha
Zaidi, soma https://jamii.app/ElChapoLifeInPrison
DAR: AMPIGA NA KUMUUA MKE WAKE KABLA YA KUUCHOMA MWILI MOTO
- Polisi inamshikilia Khamis Luwongo(38) kwa tuhuma za kumuua na kumchoma moto mke wake, Naomi Marijani(36)
- Baada ya mauaji aliwataarifu ndugu wa Naomi kuwa mke haonekani nyumbani na hivyo kwenda Polisi kuripoti
Zaidi, soma https://jamii.app/AmuuaMkeAmchoma-Dar
- Polisi inamshikilia Khamis Luwongo(38) kwa tuhuma za kumuua na kumchoma moto mke wake, Naomi Marijani(36)
- Baada ya mauaji aliwataarifu ndugu wa Naomi kuwa mke haonekani nyumbani na hivyo kwenda Polisi kuripoti
Zaidi, soma https://jamii.app/AmuuaMkeAmchoma-Dar
MWANZA: POLISI WALIOSINDIKIZA DHAHABU WAFUTIWA MASHTAKA
> Mkurugenzi wa Mashtaka nchini amewafutia kesi askari Polisi 8 waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi
> Pia amefuta kesi nyingine 322 wakiwemo wafungwa 70 kutoka gereza la Butimba ambako Rais Magufuli alifanya ziara juzi
Soma - https://jamii.app/DPPAfutaMashtaka
> Mkurugenzi wa Mashtaka nchini amewafutia kesi askari Polisi 8 waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi
> Pia amefuta kesi nyingine 322 wakiwemo wafungwa 70 kutoka gereza la Butimba ambako Rais Magufuli alifanya ziara juzi
Soma - https://jamii.app/DPPAfutaMashtaka
BASHE: WALICHOFANYA KINANA NA MAKAMBA KINAKIUKA KATIBA YA CCM
- Mbunge Hussein Bashe(CCM) amesema barua ya Wazee hao kuhusu Musiba ina lengo la kumchafua Rais Magufuli na kuigawa CCM
- Amesema Musiba si mwanaCCM huwezi kumshtaki ndani ya CCM
Zaidi, soma https://jamii.app/BasheVsKinanaMakamba
- Mbunge Hussein Bashe(CCM) amesema barua ya Wazee hao kuhusu Musiba ina lengo la kumchafua Rais Magufuli na kuigawa CCM
- Amesema Musiba si mwanaCCM huwezi kumshtaki ndani ya CCM
Zaidi, soma https://jamii.app/BasheVsKinanaMakamba
TABORA: KIZIMBANI KWA KUKUTWA NA KAKAKUONA
- Thadeo Shahibu amefikishwa Mahakamani jana Julai 17, akikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi
- Amekutwa anamiliki mnyama, Kakakuona kinyume na sheria namba 5 ya Uhifadhi Wanyamapori ya mwaka 2009
Zaidi, soma https://jamii.app/KizimbaniAkutwaKakakuona
- Thadeo Shahibu amefikishwa Mahakamani jana Julai 17, akikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi
- Amekutwa anamiliki mnyama, Kakakuona kinyume na sheria namba 5 ya Uhifadhi Wanyamapori ya mwaka 2009
Zaidi, soma https://jamii.app/KizimbaniAkutwaKakakuona
UGONJWA WA EBOLA WATANGAZWA KUWA JANGA LA DHARURA DUNIANI
> Shirika la Afya Duniani limetangaza ugonjwa wa Ebola kuwa dharura ya kiafya duniani kutokana na ugonjwa huo kuua watu 1,668 katika nchi ya Kidemokrasia ya Congo tangu mwezi Agosti 2018
> Uamuzi huo umechukuliwa na jopo la wataalamu na shirika limezingatia vigezo kadhaa, ikiwemo hatari ya kusambaa kwa virusi vya Ebola duniani
Soma - https://jamii.app/EbolaGlobalEmergency
> Shirika la Afya Duniani limetangaza ugonjwa wa Ebola kuwa dharura ya kiafya duniani kutokana na ugonjwa huo kuua watu 1,668 katika nchi ya Kidemokrasia ya Congo tangu mwezi Agosti 2018
> Uamuzi huo umechukuliwa na jopo la wataalamu na shirika limezingatia vigezo kadhaa, ikiwemo hatari ya kusambaa kwa virusi vya Ebola duniani
Soma - https://jamii.app/EbolaGlobalEmergency
POLISI KUKATWA MSHAHARA ILI KUMLIPA WALIYEMVUNJA MGUU KWA KIPIGO
> Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Alli Hapi ameliagiza Jeshi la polisi kuwakata mshahara kiasi cha Tsh. milioni 1 askari wake 10 waliohusika kumvunja mguu Maiman Mwakajenge
> Inaelezwa kuwa walimshambulia kwa kipigo wakidai kuwa amewatukana
Soma - https://jamii.app/MakatoMshaharaPolisi
> Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Alli Hapi ameliagiza Jeshi la polisi kuwakata mshahara kiasi cha Tsh. milioni 1 askari wake 10 waliohusika kumvunja mguu Maiman Mwakajenge
> Inaelezwa kuwa walimshambulia kwa kipigo wakidai kuwa amewatukana
Soma - https://jamii.app/MakatoMshaharaPolisi