#AFCON2019: #Senegal inakuwa timu ya kwanza kufuzu kucheza hatua ya nusu fainali ya michuano hiyo baada ya kuifunga #Benin goli 1-0 katika mchezo wa robo fainali
- Senegal sasa inasubiri kucheza nusu fainali na mshindi wa mechi kati ya #Madagascar na #Tunisia
- Senegal sasa inasubiri kucheza nusu fainali na mshindi wa mechi kati ya #Madagascar na #Tunisia
WAZIRI KABUDI: AZORY GWANDA SIO MTU PEKEE ALIYEPOTEA NA KUFA
- Akiwa katika kipindi cha ‘Focus on Africa’ cha BBC, amesema kupotea kwa Azory ni moja ya mambo ya kuumiza sana ambayo Tanzania imepitia kwani katika eneo la Rufiji si Azory pekee aliyepotea na kufa
Zaidi, soma https://jamii.app/AzoryKabudiKupoteaKufa
- Akiwa katika kipindi cha ‘Focus on Africa’ cha BBC, amesema kupotea kwa Azory ni moja ya mambo ya kuumiza sana ambayo Tanzania imepitia kwani katika eneo la Rufiji si Azory pekee aliyepotea na kufa
Zaidi, soma https://jamii.app/AzoryKabudiKupoteaKufa
LEO JULAI 11: MAADHIMISHO YA SIKU YA KUPINGA RUSHWA BARANI AFRIKA
> Umoja wa Afrika unaitumia siku hii kuzikumbusha nchi Wanachama, sekta binafsi na asasi za kiraia kutumia siku hii kutathmini juhudi za kupiga vita rushwa kwa ajili ya maendeleo endelevu
Soma > https://jamii.app/RushwaAfrika
> Umoja wa Afrika unaitumia siku hii kuzikumbusha nchi Wanachama, sekta binafsi na asasi za kiraia kutumia siku hii kutathmini juhudi za kupiga vita rushwa kwa ajili ya maendeleo endelevu
Soma > https://jamii.app/RushwaAfrika
ADDIS ABABA, ETHIOPIA: WAKOSOAJI WA SERIKALI WAKAMATWA KWA KUDAIWA KUHUSIKA NA MAUAJI
> Waziri Mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed aliyesifiwa kwa kuwaachia huru wafungwa wa kisiasa, ahofiwa kuwa mbioni kuirudisha nchi hiyo katika utawala wa mabavu
Zaidi, soma => https://jamii.app/WapinzaniVsSerikali-Ethiopia
> Waziri Mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed aliyesifiwa kwa kuwaachia huru wafungwa wa kisiasa, ahofiwa kuwa mbioni kuirudisha nchi hiyo katika utawala wa mabavu
Zaidi, soma => https://jamii.app/WapinzaniVsSerikali-Ethiopia
CCM YAPATA MGOMBEA WA KUWANIA UBUNGE JIMBO ALILOONDOLEWA LISSU
- DC wa Ikungi mkoani Singida, Miraji Mtaturu ataiwakilisha CCM katika kinyang’anyiro cha Ubunge Jimbo la Singida Mashariki
- Ameshinda kura za maoni 396 kati ya 634 sawa na 63%
Zaidi, soma https://jamii.app/MirajiMtaturuUbunge
- DC wa Ikungi mkoani Singida, Miraji Mtaturu ataiwakilisha CCM katika kinyang’anyiro cha Ubunge Jimbo la Singida Mashariki
- Ameshinda kura za maoni 396 kati ya 634 sawa na 63%
Zaidi, soma https://jamii.app/MirajiMtaturuUbunge
MWAKYEMBE: KAMA TFF IMEMFUKUZA AMUNIKE KWA KUIGA MISRI, NAO WAJIUZULU
- Amesema hana tatizo na uamuzi wa TFF iwapo wataonesha mkakati wa kutupeleka mbele kisoka
- Amewataka TFF kama waliiga, waige kikamilifu kwani Viongozi wa soka Misri walijiuzulu
Zaidi, soma https://jamii.app/MwakyembeVsTFF
- Amesema hana tatizo na uamuzi wa TFF iwapo wataonesha mkakati wa kutupeleka mbele kisoka
- Amewataka TFF kama waliiga, waige kikamilifu kwani Viongozi wa soka Misri walijiuzulu
Zaidi, soma https://jamii.app/MwakyembeVsTFF
NECTA YATANGAZA MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2019. UFAULU WAONGEZEKA KWA 0.74%
- Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) limetangaza matokeo ya kidato cha sita ya mwaka 2019 ambapo ufaulu umeongezeka kutoka 97.58% mwaka 2018 hadi 98.32% kwa mwaka huu 2019
Zaidi, soma https://jamii.app/MatokeoKidato6-2019
- Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) limetangaza matokeo ya kidato cha sita ya mwaka 2019 ambapo ufaulu umeongezeka kutoka 97.58% mwaka 2018 hadi 98.32% kwa mwaka huu 2019
Zaidi, soma https://jamii.app/MatokeoKidato6-2019
MAXENCE MELO KUHOJIWA KWA DCI JUU YA MADAI YA MUSIBA KUTAKA KUULIWA
- Ni kuhusiana na tuhuma za kupanga njama za kumuua Cyprian Musiba zilizoandikwa na magazeti ya Tanzanite na Fahari Yetu
- Magazeti hayo yamedai amepanga njama hizo kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi, TCRA, Balozi Emmanuel Nchimbi na Benard Membe
Zaidi, soma https://jamii.app/MaxMeloDCIMusiba
- Ni kuhusiana na tuhuma za kupanga njama za kumuua Cyprian Musiba zilizoandikwa na magazeti ya Tanzanite na Fahari Yetu
- Magazeti hayo yamedai amepanga njama hizo kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi, TCRA, Balozi Emmanuel Nchimbi na Benard Membe
Zaidi, soma https://jamii.app/MaxMeloDCIMusiba
WAZIRI KABUDI AKANUSHA KUTHIBITISHA KIFO CHA AZORY GWANDA
- Amesema amepokea kwa masikitiko taarifa potofu zinazochapishwa kimakosa kuwa amethibitisha kifo cha Azory
- Amesema "Mpaka sasa hakuna uthibitisho kuwa Azory yuko hai au amefariki.”
Zaidi, soma https://jamii.app/KabudiAkanaKuthibitishaKifoAzory
- Amesema amepokea kwa masikitiko taarifa potofu zinazochapishwa kimakosa kuwa amethibitisha kifo cha Azory
- Amesema "Mpaka sasa hakuna uthibitisho kuwa Azory yuko hai au amefariki.”
Zaidi, soma https://jamii.app/KabudiAkanaKuthibitishaKifoAzory
ALGERIA: MBUNGE WA UPINZANI ACHAGULIWA KUWA SPIKA
> Aliyechaguliwa kuwa Spika ni Slimane Chenine kiongozi wa muungano wa vyama vitatu vidogo vya Kiislamu katika Bunge
> Hii ni Mara ya kwanza katika siasa za Algeria
Zaidi, soma => https://jamii.app/ChenineSpikaAlgeria
> Aliyechaguliwa kuwa Spika ni Slimane Chenine kiongozi wa muungano wa vyama vitatu vidogo vya Kiislamu katika Bunge
> Hii ni Mara ya kwanza katika siasa za Algeria
Zaidi, soma => https://jamii.app/ChenineSpikaAlgeria
MBUNGE FRANK MWAKAJOKA (CHADEMA) MBARONI
- Mbunge huyo wa Tunduma amekamatwa na Polisi leo ikielezwa atafikishwa Mahakamani kujibu tuhuma za kumpiga Mtu mwaka 2018
- Inadaiwa amekamatwa kwa madai ya kumpiga Afisa Mtendaji, Deus Mwampashe
Zaidi, soma https://jamii.app/MwakajokaMbaroniTuhuma2018
- Mbunge huyo wa Tunduma amekamatwa na Polisi leo ikielezwa atafikishwa Mahakamani kujibu tuhuma za kumpiga Mtu mwaka 2018
- Inadaiwa amekamatwa kwa madai ya kumpiga Afisa Mtendaji, Deus Mwampashe
Zaidi, soma https://jamii.app/MwakajokaMbaroniTuhuma2018
DAR: WATU 7 WATUHUMIWA WA UJAMBAZI WAKAMATWA
- Walivunja maduka matatu na kuiba bidhaa mbalimbali, fedha na bajaji mbili huko Ukonga
- Polisi imesema Watuhumiwa hao walikuwa wakitumia gari aina ya Toyota Harrier nyeusi yenye namba T 666 DJG
Zaidi, soma https://jamii.app/Majambazi7Mbaroni-DarJul2019
- Walivunja maduka matatu na kuiba bidhaa mbalimbali, fedha na bajaji mbili huko Ukonga
- Polisi imesema Watuhumiwa hao walikuwa wakitumia gari aina ya Toyota Harrier nyeusi yenye namba T 666 DJG
Zaidi, soma https://jamii.app/Majambazi7Mbaroni-DarJul2019
TFF IMEMCHAGUA KOCHA WA AZAM KUKAIMU UKOCHA WA TAIFA STARS
- Ndayiragije Etienne anakaimu ukocha na ataiongoza Stars kufuzu CHAN
- Kocha wa Coastal Union, Juma Mgunda na Kocha Msaidizi wa Polisi Tanzania, Suleiman Matola wapo benchi la ufundi
Zaidi, soma https://jamii.app/NdiyaragijeKaimuStars
- Ndayiragije Etienne anakaimu ukocha na ataiongoza Stars kufuzu CHAN
- Kocha wa Coastal Union, Juma Mgunda na Kocha Msaidizi wa Polisi Tanzania, Suleiman Matola wapo benchi la ufundi
Zaidi, soma https://jamii.app/NdiyaragijeKaimuStars
MAREKANI: R. KELLY AKAMATWA TENA KWA TUHUMA ZA UNYANYASAJI WA KINGONO
> Akamatwa na Idara ya Polisi ya New York kwa tuhuma za kuwasafirisha Wanawake kwa ajili ya kuwatumikisha kingono
> Ametiwa nguvuni wakati akiwa katika Jimbo la Chicago
Soma > https://jamii.app/RKellyArrested
> Akamatwa na Idara ya Polisi ya New York kwa tuhuma za kuwasafirisha Wanawake kwa ajili ya kuwatumikisha kingono
> Ametiwa nguvuni wakati akiwa katika Jimbo la Chicago
Soma > https://jamii.app/RKellyArrested