MTU MWENYE DALILI KAMA ZA EBOLA AONEKANA KENYA, MAMLAKA ZA AFYA ZACHUKUA TAHADHARI
- Dalili zimeonekana kwa Mwanamke mmoja aliyetoka Mabala, mpakani mwa Kenya na Uganda
- Amelazwa katika hospitali ya rufaa ya Kaunti ya Kericho tangu jana
Zaidi, soma https://jamii.app/SuspectedEbolaCase-KE
- Dalili zimeonekana kwa Mwanamke mmoja aliyetoka Mabala, mpakani mwa Kenya na Uganda
- Amelazwa katika hospitali ya rufaa ya Kaunti ya Kericho tangu jana
Zaidi, soma https://jamii.app/SuspectedEbolaCase-KE
DR CONGO MASHARIKI: ENEO LENYE UTAJIRI WA MITI INAYOZALISHA DAWA AINA YA QUININE
> Jimbo la Kivu(Kusini na Kaskazini) linahifadhi kubwa ya miti aina ya Cinchona inayotumika kutengeneza dawa hizo
> Hata hivyo DRC ni Taifa la pili Duniani kwa vifo vya Malaria
Soma > https://jamii.app/QuinineDRC
> Jimbo la Kivu(Kusini na Kaskazini) linahifadhi kubwa ya miti aina ya Cinchona inayotumika kutengeneza dawa hizo
> Hata hivyo DRC ni Taifa la pili Duniani kwa vifo vya Malaria
Soma > https://jamii.app/QuinineDRC
MTAMBO WA MAJI WA RUVU JUU KUZIMWA
- Uzalishaji wa maji katika mtambo wa Ruvu Juu umesimamishwa kwa muda ili kuruhusu mafundi wa TANESCO na DAWASA kufanya maboresho
- Baadhi ya maeneo ya Jiji la Dar na maeneo ya Mlandizi na Kibaha yatakosa maji
Zaidi, soma https://jamii.app/RuvuJuuKuzimwa-DAWASA
- Uzalishaji wa maji katika mtambo wa Ruvu Juu umesimamishwa kwa muda ili kuruhusu mafundi wa TANESCO na DAWASA kufanya maboresho
- Baadhi ya maeneo ya Jiji la Dar na maeneo ya Mlandizi na Kibaha yatakosa maji
Zaidi, soma https://jamii.app/RuvuJuuKuzimwa-DAWASA
INDIA: MFANYAMAZINGAOMBWE APOTEA MTONI AKIJARIBU KUONESHA UJUZI
- Chanchal Lahiri aliyefungwa kwa minyororo na makufuli na kisha kutumbukizwa mtoni anaofiwa kufa hapo jana
- Alitakiwa kuibuka akiwa amejifungua minyororo hiyo lakini hakuibuka na hadi jana jioni alitafutwa bila mafanikio
Zaidi, soma https://jamii.app/MfanyamazingaombweAhofiwaKufa-IND
- Chanchal Lahiri aliyefungwa kwa minyororo na makufuli na kisha kutumbukizwa mtoni anaofiwa kufa hapo jana
- Alitakiwa kuibuka akiwa amejifungua minyororo hiyo lakini hakuibuka na hadi jana jioni alitafutwa bila mafanikio
Zaidi, soma https://jamii.app/MfanyamazingaombweAhofiwaKufa-IND
WEMA SEPETU KWENDA MAHABUSU KWA SIKU 7
- Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu imeamuru msanii huyo kukaa mahabusu akisubiri uamuzi wa dhamana baada ya kukiuka masharti
- Mara ya mwisho shauri hilo kusikilizwa, Mahakama iliamuru Wema akamatwe
Zaidi, soma https://jamii.app/WemaSepetuMahabusuSiku7
- Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu imeamuru msanii huyo kukaa mahabusu akisubiri uamuzi wa dhamana baada ya kukiuka masharti
- Mara ya mwisho shauri hilo kusikilizwa, Mahakama iliamuru Wema akamatwe
Zaidi, soma https://jamii.app/WemaSepetuMahabusuSiku7
HUAWEI KUPATA HASARA YA DOLA BILIONI 30 KWA MIAKA 2 IJAYO
> CEO wa Huawei, Ren Zhengfei amesema kampuni hiyo anailaumu Marekani kwa kupinga biashara yake
> Amesema mauzo ya nje ya bidhaa za kampuni hiyo yameshuka kwa asilimia 40 kwa mwaka huu
Soma > https://jamii.app/HuaweiLoss
> CEO wa Huawei, Ren Zhengfei amesema kampuni hiyo anailaumu Marekani kwa kupinga biashara yake
> Amesema mauzo ya nje ya bidhaa za kampuni hiyo yameshuka kwa asilimia 40 kwa mwaka huu
Soma > https://jamii.app/HuaweiLoss
MWANAFUNZI CHUO KIKUU KIU AFARIKI BAADA YA KUSHAMBULIWA NA VIBAKA
> Aliyefariki ni Anifa Mgaya mwanafunzi wa Stashahada ya Maabara katika Chuo Kukuu cha Kampala tawi la Tanzania
> Alivamiwa na vibaka waliomjeruhi kwa kisu
Zaidi, soma https://jamii.app/RIPAnifaMgaya
> Aliyefariki ni Anifa Mgaya mwanafunzi wa Stashahada ya Maabara katika Chuo Kukuu cha Kampala tawi la Tanzania
> Alivamiwa na vibaka waliomjeruhi kwa kisu
Zaidi, soma https://jamii.app/RIPAnifaMgaya
NIGERIA: WATU 30 WAMEFARIKI KATIKA MASHAMBULIO MATATU YA BOMU
- Watu wengine 40 wamejeruhiwa katika milipuko hiyo iliyotokea nje ya ukumbi huko Konduga, Borno
- Katika ukumbi huo Mashabiki wa mpira walikuwa wakifuatilia mechi kupitia runinga
Zaidi, soma https://jamii.app/30WauawaNigeriabomu
- Watu wengine 40 wamejeruhiwa katika milipuko hiyo iliyotokea nje ya ukumbi huko Konduga, Borno
- Katika ukumbi huo Mashabiki wa mpira walikuwa wakifuatilia mechi kupitia runinga
Zaidi, soma https://jamii.app/30WauawaNigeriabomu
KIRINYAGA, KENYA: AMCHOMA MKEWE KWA KUPIKA WALI BADALA YA KANDE
> Peter Ngugi(32) anashikiliwa na kwa kumjeruhi mkewe kwa kumwagia moto
> Alimuagiza Mkewe apike 'Githeri' (Kande) lakini Mkewe alipika wali
Zaidi, soma => https://jamii.app/AmchomaMkeweKE
> Peter Ngugi(32) anashikiliwa na kwa kumjeruhi mkewe kwa kumwagia moto
> Alimuagiza Mkewe apike 'Githeri' (Kande) lakini Mkewe alipika wali
Zaidi, soma => https://jamii.app/AmchomaMkeweKE
TAASISI ZA KIDINI NA JUMUIYA ZA KIJAMII KUFUTIWA USAJILI ZISIPO HAKIKIWA
-Serikali inafanya uhakiki wa Jumuiya na Taasisi hizo nchi nzima ambapo awamu ya 2 itafanyika Dodoma, Morogoro, Singida na Manyara kuanzia Juni 23 hadi Julai 2 mwaka huu
Zaidi, soma https://jamii.app/TaasisiZisizohakikiwaKufutwa
-Serikali inafanya uhakiki wa Jumuiya na Taasisi hizo nchi nzima ambapo awamu ya 2 itafanyika Dodoma, Morogoro, Singida na Manyara kuanzia Juni 23 hadi Julai 2 mwaka huu
Zaidi, soma https://jamii.app/TaasisiZisizohakikiwaKufutwa
RIPOTI: KIWANGO CHA SILAHA ZA NYUKLIA CHAPUNGUA DUNIANI
- Kituo cha Kimataifa cha Utafiti wa Amani kimesema kiwango kimepungua kwa silaha 800 katika nchi 9 katika kipindi cha mwaka mmoja ila Mataifa yanatengeneza silaha za kisasa zaidi
Zaidi, soma https://jamii.app/SilahaNyukliaZapungua
- Kituo cha Kimataifa cha Utafiti wa Amani kimesema kiwango kimepungua kwa silaha 800 katika nchi 9 katika kipindi cha mwaka mmoja ila Mataifa yanatengeneza silaha za kisasa zaidi
Zaidi, soma https://jamii.app/SilahaNyukliaZapungua
KENYA: MWANAMKE ALIYEONESHA DALILI ZA EBOLA, HANA UGONJWA HUO
- Matokeo ya vipimo ya mgonjwa aliyedhaniwa kuwa na Ebola yameonesha hana ugonjwa huo
- Amelazwa kwenye Hospitali ya Rufaa ya Kaunti ya Kericho akiwa ameonesha dalili kama za Ebola
Zaidi, soma https://jamii.app/SuspectedEbolaCase-KE
- Matokeo ya vipimo ya mgonjwa aliyedhaniwa kuwa na Ebola yameonesha hana ugonjwa huo
- Amelazwa kwenye Hospitali ya Rufaa ya Kaunti ya Kericho akiwa ameonesha dalili kama za Ebola
Zaidi, soma https://jamii.app/SuspectedEbolaCase-KE
MWENYEKITI WA BODI YA WAKURUGENZI WA REA ATENGULIWA
- Rais Magufuli ametengua uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Wakala wa Nishati Vijijini(REA), Michael Pius Nyagoga
- Aidha, amemteua Wakili Julius B. Kalolo kushika nafasi hiyo kuanzia leo
Zaidi, soma https://jamii.app/MwenyekitiBodiREAAtenguliwa
- Rais Magufuli ametengua uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Wakala wa Nishati Vijijini(REA), Michael Pius Nyagoga
- Aidha, amemteua Wakili Julius B. Kalolo kushika nafasi hiyo kuanzia leo
Zaidi, soma https://jamii.app/MwenyekitiBodiREAAtenguliwa
MTANDAO WA 5G WAANZA KUPATIKANA KWENYE BAADHI YA MAJIMBO YA MAREKANI
> Kampuni ya Verizon imefunga miundombinu ya mtandao wa 5G katika Majiji yafuatayo, Houston, Indianapolis, Los Angeles, Sacramento, na California
> Siku za hivi karibuni Kampuni ya Huawei ya China ilijitapa kuwa na teknolojia hiyo
Soma => https://jamii.app/5GMarekani
> Kampuni ya Verizon imefunga miundombinu ya mtandao wa 5G katika Majiji yafuatayo, Houston, Indianapolis, Los Angeles, Sacramento, na California
> Siku za hivi karibuni Kampuni ya Huawei ya China ilijitapa kuwa na teknolojia hiyo
Soma => https://jamii.app/5GMarekani
TUKUKURU YAKANUSHA TAARIFA ZA UPOTOSHAJI ZENYE TUHUMA DHIDI YA MAAFISA WAKE
> Taarifa hizo zinazotajwa kuwa za upotoshaji zilichapishwa katika magazeti mawili ya Fahari Yetu na Tanzanite
> TAKUKURU yasema taarifa hizo zimelenga kuidhoofisha
Soma > https://jamii.app/TAKUKURUVsMagazeti
> Taarifa hizo zinazotajwa kuwa za upotoshaji zilichapishwa katika magazeti mawili ya Fahari Yetu na Tanzanite
> TAKUKURU yasema taarifa hizo zimelenga kuidhoofisha
Soma > https://jamii.app/TAKUKURUVsMagazeti
DODOMA: WATU 29 WAJERUHIWA KATIKA AJALI YA TRENI NA LORI
- Ajali hiyo imetokea usiku wa kuamkia leo ambapo pia mabehewa matatu ya treni yalianguka
- Treni hiyo iliyokuwa inatoka Tabora kwenda Dar ilipata ajali kabla ya kuingia stesheni
Zaidi, soma https://jamii.app/AjaliTreni29Wajeruhiwa-DOM
- Ajali hiyo imetokea usiku wa kuamkia leo ambapo pia mabehewa matatu ya treni yalianguka
- Treni hiyo iliyokuwa inatoka Tabora kwenda Dar ilipata ajali kabla ya kuingia stesheni
Zaidi, soma https://jamii.app/AjaliTreni29Wajeruhiwa-DOM
TANZANIA KINARA WA AMANI AFRIKA MASHARIKI
- Kwa mujibu wa ripoti ya Global Peace Index(GPI), Tanzania imeshika nafasi ya 7 kwa nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara
- Kwa Afrika Mashariki, Rwanda inafuata, ikifuatiwa na Uganda na kisha Kenya
Zaidi, soma https://jamii.app/TZKinaraAmaniEA
- Kwa mujibu wa ripoti ya Global Peace Index(GPI), Tanzania imeshika nafasi ya 7 kwa nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara
- Kwa Afrika Mashariki, Rwanda inafuata, ikifuatiwa na Uganda na kisha Kenya
Zaidi, soma https://jamii.app/TZKinaraAmaniEA
CHINA: WATU 12 WAMEFARIKI NA 134 KUJERUHIWA KATIKA TETEMEKO LA ARDHI
- Uokoaji unaendelea huko Sichuani Kusini Magharibi mwa China baada ya kutokea tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa Kipimo cha Richa 6, jana usiku
Zaidi, soma https://jamii.app/EarthquakeKills12-China
- Uokoaji unaendelea huko Sichuani Kusini Magharibi mwa China baada ya kutokea tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa Kipimo cha Richa 6, jana usiku
Zaidi, soma https://jamii.app/EarthquakeKills12-China
MCHEZAJI WA FC BARCELONA FRENKIE DE JONG ATEMBELEA SERENGETI
> Amepost picha kupitia Instagram akionekana ndani mbuga hiyo
> Aidha, zipo taarifa pia za Mshambuliaji, wa Chelsea, Gonzalo Higuaín kuwepo nchini akitembelea vivutio mbalimbali
Soma > https://jamii.app/FrenkieDeJongTz
> Amepost picha kupitia Instagram akionekana ndani mbuga hiyo
> Aidha, zipo taarifa pia za Mshambuliaji, wa Chelsea, Gonzalo Higuaín kuwepo nchini akitembelea vivutio mbalimbali
Soma > https://jamii.app/FrenkieDeJongTz
RAIS WA ZAMANI WA UEFA, MICHEL PLATINI AMEKAMATWA NA POLISI
- Amekamatwa ikiwa ni sehemu ya uchunguzi unaoendelea dhidi ya madai ya kuwepo kwa rushwa katika uamuzi wa kukubali michuano ya Soka ya Kombe la Dunia ya mwaka 2022, kufanyika Qatar
Zaidi, soma https://jamii.app/MichelPlatiniArrested-2019
- Amekamatwa ikiwa ni sehemu ya uchunguzi unaoendelea dhidi ya madai ya kuwepo kwa rushwa katika uamuzi wa kukubali michuano ya Soka ya Kombe la Dunia ya mwaka 2022, kufanyika Qatar
Zaidi, soma https://jamii.app/MichelPlatiniArrested-2019