KATIBU MWENEZI CHADEMA, MALINYI MOROGORO AUAWA KWA RISASI
> Inaelezwa kuwa Lucas Lihambalimu amevamiwa akiwa nyumbani kwake na watu wasiojulikana majira ya saa 8 usiku wa kuamkia leo
> Jeshi la Polisi limesema kuwa linafanya uchunguzi wa tukio hilo
Soma > https://jamii.app/RIPLihambalimu
#JFLeo
> Inaelezwa kuwa Lucas Lihambalimu amevamiwa akiwa nyumbani kwake na watu wasiojulikana majira ya saa 8 usiku wa kuamkia leo
> Jeshi la Polisi limesema kuwa linafanya uchunguzi wa tukio hilo
Soma > https://jamii.app/RIPLihambalimu
#JFLeo
VIFUNGASHIO VYA KARANGA NA UBUYU VYAPIGWA MARUFUKU
> Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira(NEMC), limepiga marufuku vifungashio vya kienyeji (plastiki) vinavyotumika kufungashia karanga, ice cream, miwa na ubuyu na atakayekutwa navyo atalipa faini kati ya Tsh 30,000 na Tsh 200,000 au kuwekwa mahabusu siku 7
Soma - https://jamii.app/ZuioVifungashioPlastiki
> Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira(NEMC), limepiga marufuku vifungashio vya kienyeji (plastiki) vinavyotumika kufungashia karanga, ice cream, miwa na ubuyu na atakayekutwa navyo atalipa faini kati ya Tsh 30,000 na Tsh 200,000 au kuwekwa mahabusu siku 7
Soma - https://jamii.app/ZuioVifungashioPlastiki
SERIKALI YAPENDEKEZA TOZO NA MUDA WA LESENI YA UDEREVA KUONGEZEKA
> Serikali imependekeza kuongezwa kwa muda wa leseni za udereva kutoka miaka mitatu ya sasa hadi miaka mitano na kuongezwa kwa tozo ya leseni ya udereva kutoka Tsh. 40,000 kwenda Tsh. 70,000
Soma https://jamii.app/OngezekoTozoLeseni
#JFLeo
> Serikali imependekeza kuongezwa kwa muda wa leseni za udereva kutoka miaka mitatu ya sasa hadi miaka mitano na kuongezwa kwa tozo ya leseni ya udereva kutoka Tsh. 40,000 kwenda Tsh. 70,000
Soma https://jamii.app/OngezekoTozoLeseni
#JFLeo
SERIKALI YAPENDEKEZA NYWELE BANDIA KUTOZWA USHURU
> Waziri wa Fedha ametoa pendekezo la kutoza ushuru wa bidhaa wa asilimia 10 kwenye nywele za bandia zinazotengenezwa nchini na asilimia 25 kwenye nywele bandia zinazoagizwa kutoka nje ya nchi ili kuongeza mapato ya Serikali
Soma - https://jamii.app/OngezekoTozoLeseni
#JFLeo
> Waziri wa Fedha ametoa pendekezo la kutoza ushuru wa bidhaa wa asilimia 10 kwenye nywele za bandia zinazotengenezwa nchini na asilimia 25 kwenye nywele bandia zinazoagizwa kutoka nje ya nchi ili kuongeza mapato ya Serikali
Soma - https://jamii.app/OngezekoTozoLeseni
#JFLeo
UGANDA: MAMA AMLISHA MTOTO DAMU YA HEDHI
> Annet Namata amempa binti yake wa kambo chakula alichokichanganya na damu yake ya hedhi kwa madai kuwa mume wake anampenda sana mtoto huyo na kumnunulia zawadi nyingi kuliko yeye
> Alishauriwa na marafiki zake kwa lengo la kumfanya mtoto awe mwendawazimu
Soma - https://jamii.app/MotherChildAbuse
> Annet Namata amempa binti yake wa kambo chakula alichokichanganya na damu yake ya hedhi kwa madai kuwa mume wake anampenda sana mtoto huyo na kumnunulia zawadi nyingi kuliko yeye
> Alishauriwa na marafiki zake kwa lengo la kumfanya mtoto awe mwendawazimu
Soma - https://jamii.app/MotherChildAbuse
UCHAGUZI WAZIRI MKUU UINGEREZA: BORIS JOHNSON ASHINDA DURU YA KWANZA
> Mchakato umeanza ndani ya chama cha Conservative baada ya Waziri Mkuu, Theresa May kujiuzulu
> Boris Johnson ameshinda duru ya kwanza kwa kupata kura 114
Soma > https://jamii.app/BorisJohnson
> Mchakato umeanza ndani ya chama cha Conservative baada ya Waziri Mkuu, Theresa May kujiuzulu
> Boris Johnson ameshinda duru ya kwanza kwa kupata kura 114
Soma > https://jamii.app/BorisJohnson
DAR KINARA WA MSONGAMANO WA WATU MWAKA 2018
> Dar ilikuwa na msongamano wa watu 3,695 kwa kila kilomita moja ya mraba ikifuatiwa na Mwanza iliyokuwa na watu 373.1, Kagera watu 119.6 na Kilimanjaro watu 104
> Lindi imetajwa kuwa na idadi ndogo zaidi ya watu kwa kilomita moja ya mraba ikiwa na wastani wa watu 14.9
Soma - https://jamii.app/OngezekoPatoRaia
> Dar ilikuwa na msongamano wa watu 3,695 kwa kila kilomita moja ya mraba ikifuatiwa na Mwanza iliyokuwa na watu 373.1, Kagera watu 119.6 na Kilimanjaro watu 104
> Lindi imetajwa kuwa na idadi ndogo zaidi ya watu kwa kilomita moja ya mraba ikiwa na wastani wa watu 14.9
Soma - https://jamii.app/OngezekoPatoRaia
KENYA: MBUNGE AKAMATWA KWA KUMPIGA MBUNGE MWENZAKE
> Rashid Kassim anatuhumiwa kwa kumchapa kibao Fatuma Gedi akimtuhumu kutopeleka fedha kwenye jimbo lake
> Fatuma Gedi ni mjumbe wa Kamati ya Bunge ya Bajeti
Zaidi, soma => https://jamii.app/MbungeApigaKE
> Rashid Kassim anatuhumiwa kwa kumchapa kibao Fatuma Gedi akimtuhumu kutopeleka fedha kwenye jimbo lake
> Fatuma Gedi ni mjumbe wa Kamati ya Bunge ya Bajeti
Zaidi, soma => https://jamii.app/MbungeApigaKE
IKULU: Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Felix Antoine Tshisekedi amewasili nchini kwa Ziara ya Kitaifa ya siku 2 kwa mwaliko wa Rais John Pombe Magufuli na amehudhuria Dhifa ya Kitaifa iliyoandaliwa kwa heshima yake
> Tshisekedi amesema baada ya kumaliza changamoto za usalama nchini kwao anatarajia kushirikiana na Tanzania katika fursa mbalimbali zilizopo kwenye madini, nishati na miundombinu ikiwemo ya ujenzi wa reli itakayounganisha Tanzania na DRC
Soma - https://jamii.app/ZiaraDRCPresdnt
> Tshisekedi amesema baada ya kumaliza changamoto za usalama nchini kwao anatarajia kushirikiana na Tanzania katika fursa mbalimbali zilizopo kwenye madini, nishati na miundombinu ikiwemo ya ujenzi wa reli itakayounganisha Tanzania na DRC
Soma - https://jamii.app/ZiaraDRCPresdnt
ULEVI NA UZEMBE WACHANGIA ASILIMIA 76 YA AJALI ZA BARABARANI
> Imeelezwa kuwa moja ya chanzo kikuu cha ajali za barabarani ni makosa ya kibinadamu ikiwa ni pamoja na ulevi na uzembe ambao huchangia kwa asilimia 76
> Ubovu wa Magari huchangia asilimia 16 na mazingira ya Barabara asilimia 8
Soma - https://jamii.app/UleviUzembeAjali
> Imeelezwa kuwa moja ya chanzo kikuu cha ajali za barabarani ni makosa ya kibinadamu ikiwa ni pamoja na ulevi na uzembe ambao huchangia kwa asilimia 76
> Ubovu wa Magari huchangia asilimia 16 na mazingira ya Barabara asilimia 8
Soma - https://jamii.app/UleviUzembeAjali
❤1
OFISI YA CHADEMA MKOANI LINDI YATEKETEZWA KWA MOTO
> Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia leo na limetekelezwa na watu ambao hadi sasa hawajafahamika
> Taarifa hizi zimethibitishwa na Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kusini, Cecil Mwambe
Soma => https://jamii.app/OfisiCDMLindi
> Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia leo na limetekelezwa na watu ambao hadi sasa hawajafahamika
> Taarifa hizi zimethibitishwa na Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kusini, Cecil Mwambe
Soma => https://jamii.app/OfisiCDMLindi
WANANCHI KUTOA MIZIGO BANDARINI BILA KUTUMIA WAKALA WA FORODHA
> Waziri wa Fedha amesema kutakuwa na utaratibu mpya wa kuondoa mizigo bandarini ambapo wananchi wa kawaida wataruhusiwa kutoa mizigo yao bila ya kuwa na ulazima wa kutumia Wakala wa Forodha (Clearing and Forwarding Agents)
> Utaratibu huu hautahusisha mizigo inayopitishwa nchini kwenda nje ya nchi (Transit Cargo)
Soma - https://jamii.app/UtoajiMizigoBandari
> Waziri wa Fedha amesema kutakuwa na utaratibu mpya wa kuondoa mizigo bandarini ambapo wananchi wa kawaida wataruhusiwa kutoa mizigo yao bila ya kuwa na ulazima wa kutumia Wakala wa Forodha (Clearing and Forwarding Agents)
> Utaratibu huu hautahusisha mizigo inayopitishwa nchini kwenda nje ya nchi (Transit Cargo)
Soma - https://jamii.app/UtoajiMizigoBandari
KODI KUANZA KULIPWA BAADA YA MIEZI 6 TANGU KUPATA TIN
> Serikali imesema mfanyabiashara ama mwekezaji atakapopatiwa Namba ya Utambulisho wa Mlipakodi (TIN) atatakiwa kuanza kulipa kodi baada ya miezi 6
> Imeiagiza TRA kuanzisha dawati la kushughulikia mapingamizi ya makadirio ya kodi ambapo mapingamizi ya uthaminishaji na utambuzi yatashughulikiwa ndani ya saa 24
Soma - https://jamii.app/MudaKodiTIN
> Serikali imesema mfanyabiashara ama mwekezaji atakapopatiwa Namba ya Utambulisho wa Mlipakodi (TIN) atatakiwa kuanza kulipa kodi baada ya miezi 6
> Imeiagiza TRA kuanzisha dawati la kushughulikia mapingamizi ya makadirio ya kodi ambapo mapingamizi ya uthaminishaji na utambuzi yatashughulikiwa ndani ya saa 24
Soma - https://jamii.app/MudaKodiTIN
IRAN YASHUTUMIWA KUHUSIKA NA SHAMBULIZI LA MELI ZA MAFUTA
> Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Mike Pompeo ameilaumu nchi ya Iran kuhusika na shambulizi la mwezi Mei dhidi ya meli za mafuta kwenye pwani ya nchi za Ghuba
> Mlipuko ulitokea katika meli moja ya Japan na nyingine ya Norway
Soma - https://jamii.app/IranShipOil
> Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Mike Pompeo ameilaumu nchi ya Iran kuhusika na shambulizi la mwezi Mei dhidi ya meli za mafuta kwenye pwani ya nchi za Ghuba
> Mlipuko ulitokea katika meli moja ya Japan na nyingine ya Norway
Soma - https://jamii.app/IranShipOil
MAHITAJI NA HATUA ZA UPISHI WA MAKANGE YA KUKU
> Mahitaji kwa ajili ya upishi wa chakula hiki ni Kuku, mafuta ya kupikia, tangawizi, kitunguu saumu na maji, karoti, hoho, ndimu, chumvi
> Mahitaji mengine: chicken masala, Nyanya ya pakti na kawaida pamoja na Pilipili
Kwa maelezo ya idadi ya mahitaji na jinsi ya kupika, soma => https://jamii.app/MakangeKuku
> Mahitaji kwa ajili ya upishi wa chakula hiki ni Kuku, mafuta ya kupikia, tangawizi, kitunguu saumu na maji, karoti, hoho, ndimu, chumvi
> Mahitaji mengine: chicken masala, Nyanya ya pakti na kawaida pamoja na Pilipili
Kwa maelezo ya idadi ya mahitaji na jinsi ya kupika, soma => https://jamii.app/MakangeKuku
KENYA: RAIA WA CHINA WAFUKUZWA KUFANYA BIASHARA
> Waziri wa Mambo ya Ndani, Fred Matiang'i amewatimua nchini humo wafanyabiashara saba waliopatikana na hatia ya kufanya biashara zao kinyume cha sheria katika soko la mitumba la Gikomba
Soma - https://jamii.app/BiasharaChinaKE
> Waziri wa Mambo ya Ndani, Fred Matiang'i amewatimua nchini humo wafanyabiashara saba waliopatikana na hatia ya kufanya biashara zao kinyume cha sheria katika soko la mitumba la Gikomba
Soma - https://jamii.app/BiasharaChinaKE
UMOJA WA ULAYA(EU): MITANDAO YA KIJAMII IFANYE JITIHADA ZA KUPAMBANA NA UPOTOSHAJI
> EU imetoa rai kwa Mitandao ya Kijamii na majukwaa ya mitandaoni baada ya tuhuma za Urusi kujaribu kuingilia uchaguzi wa Bunge la Jumuiya hiyo
Soma > https://jamii.app/UrusiVsEU
> EU imetoa rai kwa Mitandao ya Kijamii na majukwaa ya mitandaoni baada ya tuhuma za Urusi kujaribu kuingilia uchaguzi wa Bunge la Jumuiya hiyo
Soma > https://jamii.app/UrusiVsEU
FAMILIA YAMUUA BABA ALIYEUA WATOTO WAKE WATATU
> Familia kwa kushirikiana na majirani imemuua Daudi Kipkoir Kamaril mkazi wa Kapker, katika kaunti ya Elgeyo-Marakwet ambaye aliwaua kwa risasi watoto wake 3 na kuwajeruhi wengine 3
> Kwa mujibu wa Polisi, wananchi hao walitumia bunduki ileile aliyoitumia kuwaua wanawe
Soma - https://jamii.app/MauajiBabaWatoto
> Familia kwa kushirikiana na majirani imemuua Daudi Kipkoir Kamaril mkazi wa Kapker, katika kaunti ya Elgeyo-Marakwet ambaye aliwaua kwa risasi watoto wake 3 na kuwajeruhi wengine 3
> Kwa mujibu wa Polisi, wananchi hao walitumia bunduki ileile aliyoitumia kuwaua wanawe
Soma - https://jamii.app/MauajiBabaWatoto
AFRIKA MASHARIKI: KENYA KINARA BAJETI KUBWA KWA MWAKA 2019/2020
> Nchi ya Kenya imetenga kiasi cha Ksh trilioni 3.02 sawa na Tsh trilioni 60 na Rwanda imepanga kutumia Rwf trilioni 2.8 sawa na Tsh trilioni 6
> Uganda inakadiria kutumia dola bilioni 10.9, ambayo ni Tsh trilioni 25 na Tanzania imetenga bajeti ya Tsh trilioni 33.1
#JFLeo
> Nchi ya Kenya imetenga kiasi cha Ksh trilioni 3.02 sawa na Tsh trilioni 60 na Rwanda imepanga kutumia Rwf trilioni 2.8 sawa na Tsh trilioni 6
> Uganda inakadiria kutumia dola bilioni 10.9, ambayo ni Tsh trilioni 25 na Tanzania imetenga bajeti ya Tsh trilioni 33.1
#JFLeo