BURUNDI YATISHIA KUSITISHA USHIRIKIANO NA MJUMBE WA UN NCHINI HUMO
- Imeeleza kutoridhishwa na namna Mjumbe huyo wa Umoja wa Mataifa (United Nations -UN), Michel Kafando ambavyo amekuwa akiingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo
Zaidi, soma https://jamii.app/MjumbeUNvsBurundi
- Imeeleza kutoridhishwa na namna Mjumbe huyo wa Umoja wa Mataifa (United Nations -UN), Michel Kafando ambavyo amekuwa akiingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo
Zaidi, soma https://jamii.app/MjumbeUNvsBurundi
SERIKALI: TAMKO LA ALLY HAPI KUHUSU VITAMBULISHO SI LA SERIKALI
- Ni la makundi yanayotakiwa kupewa vitambulisho vya Wafanyabiashara wadogo alilotoa RC huyo wa Iringa
- Imetoa wito kwa Wakuu wote wa Mikoa kuzingatia maelekezo ya Serikali
Zaidi, soma https://jamii.app/SerikalivsHapi-Vitambulisho
- Ni la makundi yanayotakiwa kupewa vitambulisho vya Wafanyabiashara wadogo alilotoa RC huyo wa Iringa
- Imetoa wito kwa Wakuu wote wa Mikoa kuzingatia maelekezo ya Serikali
Zaidi, soma https://jamii.app/SerikalivsHapi-Vitambulisho
R. KELLY AKABILIWA NA MASHTAKA MAPYA 11 YA UNYANYASAJI WA KINGONO
- Anadaiwa kufanya vitendo hivyo dhidi ya Watoto wa umri kati ya miaka 13 na 16
- Ikithibitika atakabiliwa na adhabu kali kuliko anazoweza kupata kutokana na mashtaka 10 ya awali
Zaidi, soma https://jamii.app/RKellyMashtakaMapya11
- Anadaiwa kufanya vitendo hivyo dhidi ya Watoto wa umri kati ya miaka 13 na 16
- Ikithibitika atakabiliwa na adhabu kali kuliko anazoweza kupata kutokana na mashtaka 10 ya awali
Zaidi, soma https://jamii.app/RKellyMashtakaMapya11
TEKNOLOJIA: BLACKBERRY MESSENGER YAFUNGWA RASMI
> BBM ilioanzishwa 2005 kabla ya mitandao ya WhatsApp, Facebook, Instagram na mingineyo kuundwa
> Aidha, Kampuni ya Emtek imeunda mfumo mbadala na kuupa jina la BBMe ambao utakuwa bora zaidi
Soma https://jamii.app/EndOfBBM
> BBM ilioanzishwa 2005 kabla ya mitandao ya WhatsApp, Facebook, Instagram na mingineyo kuundwa
> Aidha, Kampuni ya Emtek imeunda mfumo mbadala na kuupa jina la BBMe ambao utakuwa bora zaidi
Soma https://jamii.app/EndOfBBM
KENYA: WAKAZI WENGI WA NAIROBI HUTEMBEA KWA MIGUU KWENDA KAZINI
> Takwimu zinaonesha kuwa kwa kila Wakenya 10 basi 5 kati yao hutembea kwa miguu wanapokwenda kazini
> Usafiri mbovu na gharama kuwa kubwa vyatajwa kuwa sababu
Zaidi, soma => https://jamii.app/WafanyakaziNairobi
> Takwimu zinaonesha kuwa kwa kila Wakenya 10 basi 5 kati yao hutembea kwa miguu wanapokwenda kazini
> Usafiri mbovu na gharama kuwa kubwa vyatajwa kuwa sababu
Zaidi, soma => https://jamii.app/WafanyakaziNairobi
WALIOMALIZA KIDATO CHA 4 2018 WAPANGIWA SHULE NA VYUO VYA UFUNDI
- Waliopangiwa ni Wanafunzi 108,644 sawa na asilimia 98.31 kati ya wote wenye sifa
- Waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 pekee ni 69,356 sawa na asilimia 62.76 ya wenye sifa
Zaidi, soma https://jamii.app/Kidato4WapangiwaShule
- Waliopangiwa ni Wanafunzi 108,644 sawa na asilimia 98.31 kati ya wote wenye sifa
- Waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 pekee ni 69,356 sawa na asilimia 62.76 ya wenye sifa
Zaidi, soma https://jamii.app/Kidato4WapangiwaShule
WATU 13 WAMEUAWA KATIKA SHAMBULIO LA RISASI
- Wengine 4 wamejeruhiwa akiwemo Afisa wa Polisi hapo jana huko Virginia Beach, Marekani
- Mfanyakazi wa Idara ya nishati na maji aliwafyatulia risasi wafanyakazi wenzake kabla ya kuuawa na Polisi
Zaidi, soma https://jamii.app/ShambulioRisasiVirginia
- Wengine 4 wamejeruhiwa akiwemo Afisa wa Polisi hapo jana huko Virginia Beach, Marekani
- Mfanyakazi wa Idara ya nishati na maji aliwafyatulia risasi wafanyakazi wenzake kabla ya kuuawa na Polisi
Zaidi, soma https://jamii.app/ShambulioRisasiVirginia
MCHEZAJI WA ZAMANI WA ARSENAL NA REAL MADRID, JOSE ANTONIO REYES, AFARIKI
- Amefariki pamoja na binamu zake wawili leo asubuhi katika ajali ya gari iliyotokea Utrera nje kidogo ya Seville nchini Uhispania
- Ameacha mke na watoto watatu, Wasichana wawili na Mvulana mmoja
#JFLeo
- Amefariki pamoja na binamu zake wawili leo asubuhi katika ajali ya gari iliyotokea Utrera nje kidogo ya Seville nchini Uhispania
- Ameacha mke na watoto watatu, Wasichana wawili na Mvulana mmoja
#JFLeo
CHINA YATANGAZA NYONGEZA YA USHURU KWA BIDHAA ZA MAREKANI
- Imefanya hivyo huku ikijitayarisha kutoa orodha ya kampuni mbaya za kigeni
- Inadaiwa inataka kuiadhibu Marekani na kampuni za kigeni zinazoacha kufanya kazi na kampuni ya Huawei
Zaidi, soma https://jamii.app/ChinaTariffsUSA
- Imefanya hivyo huku ikijitayarisha kutoa orodha ya kampuni mbaya za kigeni
- Inadaiwa inataka kuiadhibu Marekani na kampuni za kigeni zinazoacha kufanya kazi na kampuni ya Huawei
Zaidi, soma https://jamii.app/ChinaTariffsUSA
WAZIRI KALEMANI: MAGARI MAPYA YA WIZARA YA NISHATI YATATUMIA GESI BADALA YA MAFUTA
> Amesema lengo la uamuzi huo ni kubana matumizi ya mafuta, kutunza mazingira na kuhamasisha wizara nyingine na watu binafsi kutumia gesi
> Aidha, Aprili 2019, Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania, lilianza mazungumzo na mradi wa mabasi yaendayo kasi ili kuyawezesha mabasi hayo kutumia nishati ya gesi
Soma https://jamii.app/MagariYaGesi
> Amesema lengo la uamuzi huo ni kubana matumizi ya mafuta, kutunza mazingira na kuhamasisha wizara nyingine na watu binafsi kutumia gesi
> Aidha, Aprili 2019, Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania, lilianza mazungumzo na mradi wa mabasi yaendayo kasi ili kuyawezesha mabasi hayo kutumia nishati ya gesi
Soma https://jamii.app/MagariYaGesi
MAREKANI KUCHUNGUZA MITANDAO YA KIJAMII YA WANAOOMBA ‘VISA’
- Hii ni kulingana na Sheria Mpya za Idara ya Maswala ya Kigeni
- Waombaji watatakiwa kutoa majina ya akaunti wanazotumia, anwani za miaka mitano, pamoja na namba za simu
Soma https://jamii.app/USSocialMediaInfo
- Hii ni kulingana na Sheria Mpya za Idara ya Maswala ya Kigeni
- Waombaji watatakiwa kutoa majina ya akaunti wanazotumia, anwani za miaka mitano, pamoja na namba za simu
Soma https://jamii.app/USSocialMediaInfo
IKULU: RAIS MAGUFULI KUFANYA MKUTANO NA WAFANYABIASHARA WAKUBWA WA 5 KUTOKA KILA WILAYA
- Mkutano huo utafanyika tarehe 7 Juni, 2019 kwenye ukumbi wa Mikutano wa Kikwete, kuanzia saa 8:00 asubuhi
- Wakuu wa Mikoa kupendekeza majina ya wafanyabiashara hao
Soma https://jamii.app/MagufuliNaWafanyabiashara
- Mkutano huo utafanyika tarehe 7 Juni, 2019 kwenye ukumbi wa Mikutano wa Kikwete, kuanzia saa 8:00 asubuhi
- Wakuu wa Mikoa kupendekeza majina ya wafanyabiashara hao
Soma https://jamii.app/MagufuliNaWafanyabiashara
SERENGETI: HIFADHI BORA BARANI AFRIKA KWA MWAKA 2019
- Tuzo hiyo imetolewa jana nchini Mauritius na Taasisi ya World Travel Awards
- Mwaka jana pia Serengeti ilishinda tuzo hiyo kupitia mtandao wa safari za utalii wa safaribookings
Zaidi, soma https://jamii.app/SerengetiHifadhiBora-2019
- Tuzo hiyo imetolewa jana nchini Mauritius na Taasisi ya World Travel Awards
- Mwaka jana pia Serengeti ilishinda tuzo hiyo kupitia mtandao wa safari za utalii wa safaribookings
Zaidi, soma https://jamii.app/SerengetiHifadhiBora-2019
HASHIM RUNGWE ATAKIWA KURIPOTI KITUO CHA POLISI KESHO
> Wito huo ni baada ya mkutano wa viongozi wa vyama 8 vya upinzani na Waandishi wa habari
> Katika mkutano huo, viongozi wa vyama hivyo wametangaza kutoshiriki uchaguzi wa marudio kwenye Kata 32
Zaidi, soma https://jamii.app/PolisiVsRungwe
> Wito huo ni baada ya mkutano wa viongozi wa vyama 8 vya upinzani na Waandishi wa habari
> Katika mkutano huo, viongozi wa vyama hivyo wametangaza kutoshiriki uchaguzi wa marudio kwenye Kata 32
Zaidi, soma https://jamii.app/PolisiVsRungwe
WATU 10 WAMEUAWA KATIKA SHAMBULIO LA KUJITOA MUHANGA
- Na wengine 20 wamejeruhiwa siku ya Jumamosi katika shambulio hilo la bomu la kujitoa muhanga mjini Raqa, ngome ya zamani ya Wanamgambo wa Dola la Kiislamu, Kaskazini mwa Syria
Zaidi, soma https://jamii.app/10WalipuliwaRaqqa
- Na wengine 20 wamejeruhiwa siku ya Jumamosi katika shambulio hilo la bomu la kujitoa muhanga mjini Raqa, ngome ya zamani ya Wanamgambo wa Dola la Kiislamu, Kaskazini mwa Syria
Zaidi, soma https://jamii.app/10WalipuliwaRaqqa
WANAOFANYA MIAMALA YA FEDHA KWA MTANDAO WATAKIWA KUTOA TAARIFA KABLA
> Kanuni mpya za kudhibiti utakatishaji fedha, zinataka taarifa za mtu anayefanya muamala wa fedha zenye thamani ya Dola za Marekani 10,000(zaidi ya Tsh mil. 20) au zaidi, kutoa taarifa Kitengo cha Kudhibiti Fedha Haramu kabla ya kufanya muamala huo
Soma - https://jamii.app/KanuniMiamalaFedha
> Kanuni mpya za kudhibiti utakatishaji fedha, zinataka taarifa za mtu anayefanya muamala wa fedha zenye thamani ya Dola za Marekani 10,000(zaidi ya Tsh mil. 20) au zaidi, kutoa taarifa Kitengo cha Kudhibiti Fedha Haramu kabla ya kufanya muamala huo
Soma - https://jamii.app/KanuniMiamalaFedha
KHARTOUM, SUDAN: KAMBI YA WAANDAMANAJI YAVAMIWA, MABOMU NA RISASI ZARINDIMA
- Jeshi limeziba barabara kuzuia Waandamanaji wanaotaka Jeshi likabidhi utawala kwa raia
- Mtu mmoja ameripotiwa kufariki huku raia kadhaa wakiwekwa chini ya ulinzi
Zaidi, soma https://jamii.app/GunfireProtestorsKhartoum
- Jeshi limeziba barabara kuzuia Waandamanaji wanaotaka Jeshi likabidhi utawala kwa raia
- Mtu mmoja ameripotiwa kufariki huku raia kadhaa wakiwekwa chini ya ulinzi
Zaidi, soma https://jamii.app/GunfireProtestorsKhartoum