KIEV: BUNGE LA UKRAINE LAKATAA WAZIRI MKUU KUJIUZULU
> Wabunge kwa kupiga kura wamekataa ombi la Waziri Mkuu, Volodymyr Groyman kujiuzulu
> Wasema endapo Waziri Mkuu atajiuzulu hatua hiyo inaweza kuzua machafuko na ghasia nchini humo
Soma > https://jamii.app/BungeVsUkrainePM
> Wabunge kwa kupiga kura wamekataa ombi la Waziri Mkuu, Volodymyr Groyman kujiuzulu
> Wasema endapo Waziri Mkuu atajiuzulu hatua hiyo inaweza kuzua machafuko na ghasia nchini humo
Soma > https://jamii.app/BungeVsUkrainePM
SERIKALI: SI LAZIMA WATUMISHI WOTE WA UMMA KUWA NA LAINI ZA TTCL
- Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbas amebainisha kuwa Viongozi wanaohudumiwa stahili ya simu watapewa vocha za TTCL lakini hakuna agizo la ulazima kwa Watumishi wengine
Zaidi, soma https://jamii.app/LainiTTCLWatumishi
- Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbas amebainisha kuwa Viongozi wanaohudumiwa stahili ya simu watapewa vocha za TTCL lakini hakuna agizo la ulazima kwa Watumishi wengine
Zaidi, soma https://jamii.app/LainiTTCLWatumishi
MBOZI: MILIONI 15.2 ZA MAUZO YA VITAMBULISHO VYA ‘WAMACHINGA’ HAZIONEKANI
- Fedha hizo ni za Wafanyabiashara wadogo 760 waliopewa vitambulisho katika Halmashauri ya Mbozi
- Baadhi ya Watendaji wameshindwa kuwasilisha fedha ama vitambulisho
Zaidi, soma https://jamii.app/FedhaVitambulisho-Mbozi
- Fedha hizo ni za Wafanyabiashara wadogo 760 waliopewa vitambulisho katika Halmashauri ya Mbozi
- Baadhi ya Watendaji wameshindwa kuwasilisha fedha ama vitambulisho
Zaidi, soma https://jamii.app/FedhaVitambulisho-Mbozi
MKATABA WA BIASHARA HURIA AFRIKA WAANZA KUFANYA KAZI
- Umoja wa Afrika unasema mkataba huo utawezesha kufanyika biashara zitakazofika thamani ya USD Trillioni 2.5
- Unaanza kufanya kazi baada ya nchi 22(idadi iliyokuwa inahitajika) kuridhia
Zaidi, soma https://jamii.app/BiasharaHuriaAfrikaKuanza
- Umoja wa Afrika unasema mkataba huo utawezesha kufanyika biashara zitakazofika thamani ya USD Trillioni 2.5
- Unaanza kufanya kazi baada ya nchi 22(idadi iliyokuwa inahitajika) kuridhia
Zaidi, soma https://jamii.app/BiasharaHuriaAfrikaKuanza
SHINYANGA: MWANAFUNZI WA DARASA LA 4 AKATISHA MASOMO KWA UJAUZITO
> Ni Mwanafunzi wa Shule ya Msingi Welezo mwenye umri wa miaka 11 amekatisha masomo baada ya kukutwa na ujauzito wa miezi 7
> Alipewa ujauzito mwaka 2018 na mwanaume ambaye hajafahamika
Soma > https://jamii.app/UjauzitoMiaka11
> Ni Mwanafunzi wa Shule ya Msingi Welezo mwenye umri wa miaka 11 amekatisha masomo baada ya kukutwa na ujauzito wa miezi 7
> Alipewa ujauzito mwaka 2018 na mwanaume ambaye hajafahamika
Soma > https://jamii.app/UjauzitoMiaka11
ASHIKILIWA NA TAKUKURU KWA KUMPA RUSHWA MWANASHERIA WA CCM
ILALA, DAR: TAKUKURU inawashikilia watu 3 akiwemo mmiliki wa Kampuni ya Motrax, Chandulal Ladwa ambaye anatuhumiwa kutoa rushwa ya laki 2 ili apendelewe kwenye miradi ya chama hicho
Soma => https://jamii.app/RushwaCCM
#JFLeo
ILALA, DAR: TAKUKURU inawashikilia watu 3 akiwemo mmiliki wa Kampuni ya Motrax, Chandulal Ladwa ambaye anatuhumiwa kutoa rushwa ya laki 2 ili apendelewe kwenye miradi ya chama hicho
Soma => https://jamii.app/RushwaCCM
#JFLeo
UFILIPINO YAZIRUDISHA KONTENA 69 ZA TAKA ZA PLASTIKI NCHINI CANADA
> Takataka hizo ziliingizwa kati ya mwaka 2013 hadi 2014 kwa kile kilichoelezwa kuwa ni malighafi kwa ajili ya kuchakatwa na kutengenezea bidhaa mpya
Zaidi, soma => https://jamii.app/TrashPhilippinesCanada
> Takataka hizo ziliingizwa kati ya mwaka 2013 hadi 2014 kwa kile kilichoelezwa kuwa ni malighafi kwa ajili ya kuchakatwa na kutengenezea bidhaa mpya
Zaidi, soma => https://jamii.app/TrashPhilippinesCanada
ZANZIBAR: AOLEWA NA ALIYEMBAKA KUFICHA AIBU YA FAMILIA
> Mwanaume alikiri kosa la kubaka na kuomba mambo yamalizwe kwani anania ya kumuoa binti huyo
> Hata hivyo binti alitelekezwa huku Mtoto aliyejifungua akiwa na tatizo la kuvuja mkojo kwenye kibofu
Kwa kisa hiki, soma > https://jamii.app/UbakajiNdoaZNZ
> Mwanaume alikiri kosa la kubaka na kuomba mambo yamalizwe kwani anania ya kumuoa binti huyo
> Hata hivyo binti alitelekezwa huku Mtoto aliyejifungua akiwa na tatizo la kuvuja mkojo kwenye kibofu
Kwa kisa hiki, soma > https://jamii.app/UbakajiNdoaZNZ
DHAHABU NA FEDHA ZILIZOTAIFISHWA ZAKABIDHIWA KWA SERIKALI
> DPP Biswalo Mganga amekabidhi kilo 325 za dhahabu na shilingi milioni 305
> Utaifishwaji huo ulifanywa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Mwanza baada ya Washtakiwa kukiri makosa
Zaidi, soma => https://jamii.app/DhahabuDPPGvt
> DPP Biswalo Mganga amekabidhi kilo 325 za dhahabu na shilingi milioni 305
> Utaifishwaji huo ulifanywa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Mwanza baada ya Washtakiwa kukiri makosa
Zaidi, soma => https://jamii.app/DhahabuDPPGvt
AMCHOMA MTOTO MOTO NA KUMKATA NA WEMBE AKIDAI KAKOMBA MBOGA
- Magreth Digugulo mkazi wa Mjini Geita anadaiwa kumchoma moto na kumkatakata kwa wembe mjukuu wake kwenye mkono wa kulia kwa madai ya kujipakulia na kukomba mboga aina ya kisamvu
Soma https://jamii.app/AmchomaMotoMjukuu-GIT
- Magreth Digugulo mkazi wa Mjini Geita anadaiwa kumchoma moto na kumkatakata kwa wembe mjukuu wake kwenye mkono wa kulia kwa madai ya kujipakulia na kukomba mboga aina ya kisamvu
Soma https://jamii.app/AmchomaMotoMjukuu-GIT
DHAHABU NA FEDHA ZILIZOTAIFISHWA ZAKABIDHIWA KWA SERIKALI
> DPP Biswalo Mganga amekabidhi kilo 325 za dhahabu na shilingi milioni 305
> Utaifishwaji huo ulifanywa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Mwanza baada ya Washtakiwa kukiri makosa
Zaidi, soma => https://jamii.app/DhahabuDPPGvt
#JFLeo
> DPP Biswalo Mganga amekabidhi kilo 325 za dhahabu na shilingi milioni 305
> Utaifishwaji huo ulifanywa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Mwanza baada ya Washtakiwa kukiri makosa
Zaidi, soma => https://jamii.app/DhahabuDPPGvt
#JFLeo
ALIYEWAHI KUWA MLINZI WA RAIS PAUL KAGAME AUAWA AFRIKA KUSINI
> Camir Nkurunziza hivi karibuni aliibuka kuwa mkosoaji wa Rais Paul Kagame ameuawa kwa kupigwa risasi akiwa Afrika Kusini
> Alianzisha kampeni ya kupinga Rais Kagame kuongezewa muhula wa 3
Soma > https://jamii.app/MauajiNkuruziza
#JFLeo
> Camir Nkurunziza hivi karibuni aliibuka kuwa mkosoaji wa Rais Paul Kagame ameuawa kwa kupigwa risasi akiwa Afrika Kusini
> Alianzisha kampeni ya kupinga Rais Kagame kuongezewa muhula wa 3
Soma > https://jamii.app/MauajiNkuruziza
#JFLeo
NKASI, RUKWA: MJAMZITO ADAIWA KUJIPASUA NA KUMTOA MTOTO
- Joyce Kalinda anadaiwa kujipasua tumbo kwa kitu chenye ncha kali na kumtoa mtoto
- Awali alienda hospitali ila baada ya kuambiwa subiri kidogo alitoweka na kurudishwa akiwa amejipasua
Zaidi, soma https://jamii.app/AjipasuaKutoaMtoto
- Joyce Kalinda anadaiwa kujipasua tumbo kwa kitu chenye ncha kali na kumtoa mtoto
- Awali alienda hospitali ila baada ya kuambiwa subiri kidogo alitoweka na kurudishwa akiwa amejipasua
Zaidi, soma https://jamii.app/AjipasuaKutoaMtoto
MWILI WA ETIENNE TSHISEKEDI WAWASILI DR CONGO
- Mwili wa kiongozi huyo wa zamani wa upinzani umewasili kutoka Ubelgiji alikofarikia miaka 2 iliyopita
- Mwili ulibaki huko kutokana na wasiwasi wa kisiasa wakati wa utawala wa Rais Joseph Kabila
Zaidi, soma https://jamii.app/TshisekediKuzikwaCongo
- Mwili wa kiongozi huyo wa zamani wa upinzani umewasili kutoka Ubelgiji alikofarikia miaka 2 iliyopita
- Mwili ulibaki huko kutokana na wasiwasi wa kisiasa wakati wa utawala wa Rais Joseph Kabila
Zaidi, soma https://jamii.app/TshisekediKuzikwaCongo
WAZIRI KABUDI: HATUWEZI KUPIGA MAGOTI KUOMBA MISAADA
- Waziri huyo wa Mambo ya Nje, amesema Tanzania haikupiga magoti kipindi cha utawala wa awamu ya 2 ilipokuwa na hali ngumu, hivyo haiwezi kufanya hivyo wakati huu ikiwa na hali nzuri zaidi
Zaidi, soma https://jamii.app/TZHaitapigaMagotiMisaada
- Waziri huyo wa Mambo ya Nje, amesema Tanzania haikupiga magoti kipindi cha utawala wa awamu ya 2 ilipokuwa na hali ngumu, hivyo haiwezi kufanya hivyo wakati huu ikiwa na hali nzuri zaidi
Zaidi, soma https://jamii.app/TZHaitapigaMagotiMisaada
KOREA KASKAZINI YADAIWA KUMUUA MJUMBE WAKE WA MKUTANO WA HANOI
- Vyombo vya habari vya Korea Kusini vimeripoti kuwa Korea Kaskazini imemuua mjumbe wake maalumu, Kim Hyok Chol kufuatia kushindwa kwa mkutano wa pili kati ya Kim Jong Un na Rais Donald Trump
Zaidi, soma https://jamii.app/MjumbeHanoiAuawa-NK
- Vyombo vya habari vya Korea Kusini vimeripoti kuwa Korea Kaskazini imemuua mjumbe wake maalumu, Kim Hyok Chol kufuatia kushindwa kwa mkutano wa pili kati ya Kim Jong Un na Rais Donald Trump
Zaidi, soma https://jamii.app/MjumbeHanoiAuawa-NK
SUDAN: KAMBI YA WAANDAMANAJI YADAIWA KUWA HATARI. AL JAZEERA YATAKIWA KUFUNGA OFISI
- Kiongozi wa Kijeshi amesema Kambi hiyo iliyopo Khartoum imekuwa tishio kwa usalama wa nchi
- Pia, bila kutoa sababu ameagiza ofisi ya Al Jazeera kufungwa
Zaidi, soma https://jamii.app/AljazeeraSudanKufungwa
- Kiongozi wa Kijeshi amesema Kambi hiyo iliyopo Khartoum imekuwa tishio kwa usalama wa nchi
- Pia, bila kutoa sababu ameagiza ofisi ya Al Jazeera kufungwa
Zaidi, soma https://jamii.app/AljazeeraSudanKufungwa
BURUNDI YATISHIA KUSITISHA USHIRIKIANO NA MJUMBE WA UN NCHINI HUMO
- Imeeleza kutoridhishwa na namna Mjumbe huyo wa Umoja wa Mataifa (United Nations -UN), Michel Kafando ambavyo amekuwa akiingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo
Zaidi, soma https://jamii.app/MjumbeUNvsBurundi
- Imeeleza kutoridhishwa na namna Mjumbe huyo wa Umoja wa Mataifa (United Nations -UN), Michel Kafando ambavyo amekuwa akiingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo
Zaidi, soma https://jamii.app/MjumbeUNvsBurundi