RAIS MAGUFULI AUOMBA UMOJA WA ULAYA NA MAREKANI KUIONDOLEA VIKWAZO ZIMBABWE
> Rais Magufuli amesisitiza kwamba Zimbabwe ipo kwenye njia sahihi ya kuufufua uchumi wake chini ya Serikali ya Rais Emmerson Mnangagwa
Zaidi, soma => https://jamii.app/MagufuliVikwazoZimb
> Rais Magufuli amesisitiza kwamba Zimbabwe ipo kwenye njia sahihi ya kuufufua uchumi wake chini ya Serikali ya Rais Emmerson Mnangagwa
Zaidi, soma => https://jamii.app/MagufuliVikwazoZimb
WAZIRI MBARAWA: MIRADI 88 IMEJENGWA CHINI YA KIWANGO
- Waziri huyo wa Maji, amekiri kuwepo kwa miradi hiyo ya maji iliyojengwa kati ya mwaka 2010 na 2015
- Amesema Serikali imekuwa ikikarabati vyanzo vya maji na pia imetenga Tsh. Milioni 135
Zaidi, soma https://jamii.app/Miradi88MajiChiniKiwango
- Waziri huyo wa Maji, amekiri kuwepo kwa miradi hiyo ya maji iliyojengwa kati ya mwaka 2010 na 2015
- Amesema Serikali imekuwa ikikarabati vyanzo vya maji na pia imetenga Tsh. Milioni 135
Zaidi, soma https://jamii.app/Miradi88MajiChiniKiwango
TABORA: ADAIWA KUMUUA MUMEWE KISA WIVU WA MAPENZI
- Sada Abdallah anatuhumiwa kumuua mumewe kwa kumpiga na kisha kumsukuma na kusababisha aangukie kisogo
- Alikuwa akimtuhumu mumewe huyo kuwa na mahusiano ya kimapenzi na Mwanamke mwingine
Zaidi, soma https://jamii.app/AmuuaMumeweMapenzi-TBR
- Sada Abdallah anatuhumiwa kumuua mumewe kwa kumpiga na kisha kumsukuma na kusababisha aangukie kisogo
- Alikuwa akimtuhumu mumewe huyo kuwa na mahusiano ya kimapenzi na Mwanamke mwingine
Zaidi, soma https://jamii.app/AmuuaMumeweMapenzi-TBR
JE, WAIJUA HISTORIA YA NENO KILIMANJARO?
> Asili ya neno hili ni makosa ya kisarufi yaliyofanywa na wageni kutoka Ulaya
> Wazawa waliuita Kilimakyaro (Kilimakirefu) lakini makosa ya kimatamshi ya Wageni yalipelekea kuzaliwa neno Kilimanjaro
Soma > https://jamii.app/HistiriaKilimanjaro
#JFHistoria
> Asili ya neno hili ni makosa ya kisarufi yaliyofanywa na wageni kutoka Ulaya
> Wazawa waliuita Kilimakyaro (Kilimakirefu) lakini makosa ya kimatamshi ya Wageni yalipelekea kuzaliwa neno Kilimanjaro
Soma > https://jamii.app/HistiriaKilimanjaro
#JFHistoria
SERIKALI: NGUVU YA SOKO CHANZO KUTOSHUKA BEI YA TAULO ZA KIKE
- Imesema bei haijashuka licha ya kuondoa Kodi ya Ongezeko la Thamani katika taulo hizo
- Imeeleza bei inatokana na sababu mbalimbali zikiwemo gharama za malighafi na uwekezaji
Zaidi, soma https://jamii.app/BeiTauloKikeKutoshuka
- Imesema bei haijashuka licha ya kuondoa Kodi ya Ongezeko la Thamani katika taulo hizo
- Imeeleza bei inatokana na sababu mbalimbali zikiwemo gharama za malighafi na uwekezaji
Zaidi, soma https://jamii.app/BeiTauloKikeKutoshuka
BAKWATA: BARAZA LA EID EL FITR KUFANYIKA TANGA
> Taarifa rasmi ya BAKWATA imeeleza kuwa sikukuu hiyo itafanyika Juni 5/6 kulingana na mwandamo wa mwenzi
> Baraza la Eid litafanyika mkoani Tanga na Waziri Mkuu, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi
Soma > https://jamii.app/EidalFitrTz
> Taarifa rasmi ya BAKWATA imeeleza kuwa sikukuu hiyo itafanyika Juni 5/6 kulingana na mwandamo wa mwenzi
> Baraza la Eid litafanyika mkoani Tanga na Waziri Mkuu, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi
Soma > https://jamii.app/EidalFitrTz
RUKWA: MWALIMU MBARONI KWA KUMPIGA MWANAFUNZI HADI KUMSABABISHIA UPOFU
- Mwalimu Peter Silamba wa Sekondari ya Kate, Wilayani Nkasi anatuhumiwa kumpiga machoni kwa fimbo, Nicholaus Kwimba(17) wa kidato cha 3 wakati akimuadhibu kwa uchelewaji
Zaidi, soma https://jamii.app/MwalimuUpofuMwanafunzi-RKW
- Mwalimu Peter Silamba wa Sekondari ya Kate, Wilayani Nkasi anatuhumiwa kumpiga machoni kwa fimbo, Nicholaus Kwimba(17) wa kidato cha 3 wakati akimuadhibu kwa uchelewaji
Zaidi, soma https://jamii.app/MwalimuUpofuMwanafunzi-RKW
ARUSHA: WATAKAO KAMATWA NA MIFUKO YA PLASTIKI KUFUNGIWA UWANJA WA SHEIKH AMRI ABEID
> Jeshi la Polisi limesema litalazimika kufanya hivyo endapo mahabusu zitakuwa zimejaa
> Watuhumiwa watahifadhiwa uwanjani hapo hadi watakapofikishwa Mahakamani
Soma > https://jamii.app/MifukoPlastikiArusha
> Jeshi la Polisi limesema litalazimika kufanya hivyo endapo mahabusu zitakuwa zimejaa
> Watuhumiwa watahifadhiwa uwanjani hapo hadi watakapofikishwa Mahakamani
Soma > https://jamii.app/MifukoPlastikiArusha
ISRAEL: WAZIRI MKUU ASHINDWA KUUNDA SERIKALI. BUNGE KUVUNJWA
- Israel itafanya uchaguzi mpya Septemba 2019 baada ya Wabunge kupitisha hoja ya kulivunja Bunge kufuatia Waziri Mkuu, Benjamin Netanyahu kushindwa kuunda Serikali ya muungano
Zaidi, soma https://jamii.app/UchaguziMpyaIsrael
- Israel itafanya uchaguzi mpya Septemba 2019 baada ya Wabunge kupitisha hoja ya kulivunja Bunge kufuatia Waziri Mkuu, Benjamin Netanyahu kushindwa kuunda Serikali ya muungano
Zaidi, soma https://jamii.app/UchaguziMpyaIsrael
KIEV: BUNGE LA UKRAINE LAKATAA WAZIRI MKUU KUJIUZULU
> Wabunge kwa kupiga kura wamekataa ombi la Waziri Mkuu, Volodymyr Groyman kujiuzulu
> Wasema endapo Waziri Mkuu atajiuzulu hatua hiyo inaweza kuzua machafuko na ghasia nchini humo
Soma > https://jamii.app/BungeVsUkrainePM
> Wabunge kwa kupiga kura wamekataa ombi la Waziri Mkuu, Volodymyr Groyman kujiuzulu
> Wasema endapo Waziri Mkuu atajiuzulu hatua hiyo inaweza kuzua machafuko na ghasia nchini humo
Soma > https://jamii.app/BungeVsUkrainePM
SERIKALI: SI LAZIMA WATUMISHI WOTE WA UMMA KUWA NA LAINI ZA TTCL
- Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbas amebainisha kuwa Viongozi wanaohudumiwa stahili ya simu watapewa vocha za TTCL lakini hakuna agizo la ulazima kwa Watumishi wengine
Zaidi, soma https://jamii.app/LainiTTCLWatumishi
- Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbas amebainisha kuwa Viongozi wanaohudumiwa stahili ya simu watapewa vocha za TTCL lakini hakuna agizo la ulazima kwa Watumishi wengine
Zaidi, soma https://jamii.app/LainiTTCLWatumishi
MBOZI: MILIONI 15.2 ZA MAUZO YA VITAMBULISHO VYA ‘WAMACHINGA’ HAZIONEKANI
- Fedha hizo ni za Wafanyabiashara wadogo 760 waliopewa vitambulisho katika Halmashauri ya Mbozi
- Baadhi ya Watendaji wameshindwa kuwasilisha fedha ama vitambulisho
Zaidi, soma https://jamii.app/FedhaVitambulisho-Mbozi
- Fedha hizo ni za Wafanyabiashara wadogo 760 waliopewa vitambulisho katika Halmashauri ya Mbozi
- Baadhi ya Watendaji wameshindwa kuwasilisha fedha ama vitambulisho
Zaidi, soma https://jamii.app/FedhaVitambulisho-Mbozi
MKATABA WA BIASHARA HURIA AFRIKA WAANZA KUFANYA KAZI
- Umoja wa Afrika unasema mkataba huo utawezesha kufanyika biashara zitakazofika thamani ya USD Trillioni 2.5
- Unaanza kufanya kazi baada ya nchi 22(idadi iliyokuwa inahitajika) kuridhia
Zaidi, soma https://jamii.app/BiasharaHuriaAfrikaKuanza
- Umoja wa Afrika unasema mkataba huo utawezesha kufanyika biashara zitakazofika thamani ya USD Trillioni 2.5
- Unaanza kufanya kazi baada ya nchi 22(idadi iliyokuwa inahitajika) kuridhia
Zaidi, soma https://jamii.app/BiasharaHuriaAfrikaKuanza
SHINYANGA: MWANAFUNZI WA DARASA LA 4 AKATISHA MASOMO KWA UJAUZITO
> Ni Mwanafunzi wa Shule ya Msingi Welezo mwenye umri wa miaka 11 amekatisha masomo baada ya kukutwa na ujauzito wa miezi 7
> Alipewa ujauzito mwaka 2018 na mwanaume ambaye hajafahamika
Soma > https://jamii.app/UjauzitoMiaka11
> Ni Mwanafunzi wa Shule ya Msingi Welezo mwenye umri wa miaka 11 amekatisha masomo baada ya kukutwa na ujauzito wa miezi 7
> Alipewa ujauzito mwaka 2018 na mwanaume ambaye hajafahamika
Soma > https://jamii.app/UjauzitoMiaka11
ASHIKILIWA NA TAKUKURU KWA KUMPA RUSHWA MWANASHERIA WA CCM
ILALA, DAR: TAKUKURU inawashikilia watu 3 akiwemo mmiliki wa Kampuni ya Motrax, Chandulal Ladwa ambaye anatuhumiwa kutoa rushwa ya laki 2 ili apendelewe kwenye miradi ya chama hicho
Soma => https://jamii.app/RushwaCCM
#JFLeo
ILALA, DAR: TAKUKURU inawashikilia watu 3 akiwemo mmiliki wa Kampuni ya Motrax, Chandulal Ladwa ambaye anatuhumiwa kutoa rushwa ya laki 2 ili apendelewe kwenye miradi ya chama hicho
Soma => https://jamii.app/RushwaCCM
#JFLeo
UFILIPINO YAZIRUDISHA KONTENA 69 ZA TAKA ZA PLASTIKI NCHINI CANADA
> Takataka hizo ziliingizwa kati ya mwaka 2013 hadi 2014 kwa kile kilichoelezwa kuwa ni malighafi kwa ajili ya kuchakatwa na kutengenezea bidhaa mpya
Zaidi, soma => https://jamii.app/TrashPhilippinesCanada
> Takataka hizo ziliingizwa kati ya mwaka 2013 hadi 2014 kwa kile kilichoelezwa kuwa ni malighafi kwa ajili ya kuchakatwa na kutengenezea bidhaa mpya
Zaidi, soma => https://jamii.app/TrashPhilippinesCanada
ZANZIBAR: AOLEWA NA ALIYEMBAKA KUFICHA AIBU YA FAMILIA
> Mwanaume alikiri kosa la kubaka na kuomba mambo yamalizwe kwani anania ya kumuoa binti huyo
> Hata hivyo binti alitelekezwa huku Mtoto aliyejifungua akiwa na tatizo la kuvuja mkojo kwenye kibofu
Kwa kisa hiki, soma > https://jamii.app/UbakajiNdoaZNZ
> Mwanaume alikiri kosa la kubaka na kuomba mambo yamalizwe kwani anania ya kumuoa binti huyo
> Hata hivyo binti alitelekezwa huku Mtoto aliyejifungua akiwa na tatizo la kuvuja mkojo kwenye kibofu
Kwa kisa hiki, soma > https://jamii.app/UbakajiNdoaZNZ