EU YAPITISHA SHERIA YA KUWALINDA WATOA TAARIFA KWA SIRI 'WHISTLEBLOWERS’
- Bunge la Umoja wa Ulaya(EU) limepitisha sheria hiyo na kuzitaka nchi Wanachama wake kuitumia
- Sheria hiyo inasema kuwalinda ‘Whistleblowers’ ni muhimu kwenye jamii za kidemokrasia
Zaidi, soma https://jamii.app/EUProtectWhistleblowers
- Bunge la Umoja wa Ulaya(EU) limepitisha sheria hiyo na kuzitaka nchi Wanachama wake kuitumia
- Sheria hiyo inasema kuwalinda ‘Whistleblowers’ ni muhimu kwenye jamii za kidemokrasia
Zaidi, soma https://jamii.app/EUProtectWhistleblowers
UINGEREZA: PAUL SCHOLES MATATANI KWA KUCHEZA KAMARI
> Mchezaji Mstaafu wa Timu ya Taifa ya England na Klabu ya Man UTD, Paul Scholes atuhumiwa kushiriki kubashiri(betting) matokeo ya michezo ya mpira wa miguu mara 140 kwa miaka 4
> FA imesema Scholes amekiuka kanuni za soka kwani alikuwa akifanya ubashiri huo hata wakati alipokuwa mmiliki mwenza wa timu ya Salford City
Zaidi, soma => https://jamii.app/PaulScholesVsFA
> Mchezaji Mstaafu wa Timu ya Taifa ya England na Klabu ya Man UTD, Paul Scholes atuhumiwa kushiriki kubashiri(betting) matokeo ya michezo ya mpira wa miguu mara 140 kwa miaka 4
> FA imesema Scholes amekiuka kanuni za soka kwani alikuwa akifanya ubashiri huo hata wakati alipokuwa mmiliki mwenza wa timu ya Salford City
Zaidi, soma => https://jamii.app/PaulScholesVsFA
KENYA: ALIYEKUWA MWENYEKITI WA TUME YA ARDHI NA MAAFISA WENGINE KUSHTAKIWA
- Tume ya Maadili na Kupambana na Rushwa(EACC) imemkamata Muhammad Swazuri na wenzake
- Miongoni mwa makosa yao ni Matumizi mabaya ya ofisi na utakatishaji fedha
Zaidi, soma https://jamii.app/FormerNLCBossArrested
- Tume ya Maadili na Kupambana na Rushwa(EACC) imemkamata Muhammad Swazuri na wenzake
- Miongoni mwa makosa yao ni Matumizi mabaya ya ofisi na utakatishaji fedha
Zaidi, soma https://jamii.app/FormerNLCBossArrested
WAZIRI WA VIWANDA AKIRI WIZARA YAKE KUWA NA UDHAIFU MKUBWA
- Waziri Joseph Kakunda amesema Wizara yake ina udhaifu katika kusimamia utekelezaji wa sera kutokana na kukosa uwakilishi wa kitaalamu kwenye sekretarieti za Mikoa na Halmashauri
Zaidi, soma https://jamii.app/WaziriAkiriUdhaifu
- Waziri Joseph Kakunda amesema Wizara yake ina udhaifu katika kusimamia utekelezaji wa sera kutokana na kukosa uwakilishi wa kitaalamu kwenye sekretarieti za Mikoa na Halmashauri
Zaidi, soma https://jamii.app/WaziriAkiriUdhaifu
ZANZIBAR KUANZA KUSHIRIKI MASUALA YA KIMATAIFA
- Kamati inayoshughulikia Muungano imepitisha mwongozo wa Zanzibar kushiriki katika masuala ya Kikanda na Kimataifa
- Awali, Zanzibar ilikuwa inashiriki masuala hayo kupitia Serikali ya Muungano wa Tanzania
Zaidi, soma https://jamii.app/SMZKushirikiKimataifa
- Kamati inayoshughulikia Muungano imepitisha mwongozo wa Zanzibar kushiriki katika masuala ya Kikanda na Kimataifa
- Awali, Zanzibar ilikuwa inashiriki masuala hayo kupitia Serikali ya Muungano wa Tanzania
Zaidi, soma https://jamii.app/SMZKushirikiKimataifa
KENYA: BODI YA MATABIBU YAWAFUTIA USAJILI MADAKTARI 2,063
> Katika zoezi hilo Madaktari wa Kinywa 212 nao wamefutiwa usajili
> Hatua hii imechukuliwa kwa wataalamu wa sekta ya afya wanaofanya kazi katika Hospitali za Serikali na binafsi
Soma > https://jamii.app/KenyaMedicsDeregistered
> Katika zoezi hilo Madaktari wa Kinywa 212 nao wamefutiwa usajili
> Hatua hii imechukuliwa kwa wataalamu wa sekta ya afya wanaofanya kazi katika Hospitali za Serikali na binafsi
Soma > https://jamii.app/KenyaMedicsDeregistered
SUDAN: OMAR AL BASHIR AHAMISHIWA GEREZANI
> Hatua hii imechukuliwa ikiwa ni siku 6 tangu Jeshi limuondoe madarakani aliyekuwa Rais wa Taifa hilo, Omar al-Bashir
> Amehanishiwa katika gereza la Kobar linalotajwa kuwa na ulinzi mkali
Soma > https://jamii.app/BashirMovedPrison
> Hatua hii imechukuliwa ikiwa ni siku 6 tangu Jeshi limuondoe madarakani aliyekuwa Rais wa Taifa hilo, Omar al-Bashir
> Amehanishiwa katika gereza la Kobar linalotajwa kuwa na ulinzi mkali
Soma > https://jamii.app/BashirMovedPrison
URUSI YAAZIMIA KUUNDA 'INTERNET' YAKE
- Bunge limepitisha muswada ambao ukiwa sheria, Taifa hilo litaunda Internet yake na kuacha kutumia inayotumika duniani
- Ni ili kujilinda na mashambulio ikiwemo kuzimiwa Internet na Mataifa yenye uwezo
Zaidi, soma https://jamii.app/RussiaUnplugInternet
- Bunge limepitisha muswada ambao ukiwa sheria, Taifa hilo litaunda Internet yake na kuacha kutumia inayotumika duniani
- Ni ili kujilinda na mashambulio ikiwemo kuzimiwa Internet na Mataifa yenye uwezo
Zaidi, soma https://jamii.app/RussiaUnplugInternet
SERIKALI: HAKUNA HAJA YA KUBADILI MUDA WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI
- Naibu Waziri wa Elimu, William Ole Nasha amesema muda wa miaka 7 si kitu kibaya
- Amesema Serikali haijavunja sheria kwa hatua hiyo na inazingatia ubora wa elimu
Soma https://jamii.app/MudaElimuMsingi
- Naibu Waziri wa Elimu, William Ole Nasha amesema muda wa miaka 7 si kitu kibaya
- Amesema Serikali haijavunja sheria kwa hatua hiyo na inazingatia ubora wa elimu
Soma https://jamii.app/MudaElimuMsingi
KAKAMEGA, KENYA: MAPACHA WALIOTENGANISHWA WAKUTANA BAADA YA MIAKA 19
> Walizaliwa Agosti 15 mwaka 1999 katika Hospitali ya Kakamega ambayo kwa sasa ni Hospitali ya Rufaa
> Mama yao aliporuhusiwa kutoka Hospitali, alipewa Watoto 2 mmoja akiwa si wake
Zaidi kuhusu kisa hiki, soma > https://jamii.app/MapachaKakamega
> Walizaliwa Agosti 15 mwaka 1999 katika Hospitali ya Kakamega ambayo kwa sasa ni Hospitali ya Rufaa
> Mama yao aliporuhusiwa kutoka Hospitali, alipewa Watoto 2 mmoja akiwa si wake
Zaidi kuhusu kisa hiki, soma > https://jamii.app/MapachaKakamega
RAIS WA TFF AKANUSHA KUPOKEA RUSHWA KUTOKA KWA RAIS WA CAF
- Wallace Karia amekanusha kuwa miongoni mwa waliopokea rushwa ya Tsh. Milioni 46 kutoka kwa Rais wa CAF, Ahmad Ahmad
- Amesema hakuwepo madarakani wakati uchaguzi wa CAF unafanyika
Zaidi, soma https://jamii.app/MadaiRushwaKariaTFF
- Wallace Karia amekanusha kuwa miongoni mwa waliopokea rushwa ya Tsh. Milioni 46 kutoka kwa Rais wa CAF, Ahmad Ahmad
- Amesema hakuwepo madarakani wakati uchaguzi wa CAF unafanyika
Zaidi, soma https://jamii.app/MadaiRushwaKariaTFF
RAIS MAGUFULI ATOA WIKI 1 TARATIBU ZA UWEKEZAJI KWA KAMPUNI YA SIT ZIKAMILIKE
- Ameziagiza Wizara ya Ardhi na Wizara ya Viwanda kukamilisha uwekezaji wa Kampuni ya Sugar Investment Trust(SIT) iliyocheleweshwa kuwekeza katika uzalishaji wa sukari tangu mwaka 2017
Zaidi, soma https://jamii.app/UwekezajiKampuniSIT
- Ameziagiza Wizara ya Ardhi na Wizara ya Viwanda kukamilisha uwekezaji wa Kampuni ya Sugar Investment Trust(SIT) iliyocheleweshwa kuwekeza katika uzalishaji wa sukari tangu mwaka 2017
Zaidi, soma https://jamii.app/UwekezajiKampuniSIT
PERU: RAIS WA ZAMANI AJIUA KWA RISASI POLISI WALIPOTAKA KUMKAMATA
- Alan Garcia(69) amefariki baada ya kujipiga risasi kichwani leo wakati Polisi walipofika nyumbani kwake katika mji wa Lima kumkamata kwa kumuhusisha na vitendo vya rushwa
Zaidi, soma https://jamii.app/RaisAjiuaAsikamatwePolisi-PERU
- Alan Garcia(69) amefariki baada ya kujipiga risasi kichwani leo wakati Polisi walipofika nyumbani kwake katika mji wa Lima kumkamata kwa kumuhusisha na vitendo vya rushwa
Zaidi, soma https://jamii.app/RaisAjiuaAsikamatwePolisi-PERU
KENYA: UWANJA WA NDEGE WAFUNGWA KWA MUDA KUTOKANA NA TAHADHARI YA BOMU
- Ni Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta uliofungwa leo majira ya saa 7:00 mchana
- Ni baada ya abiria kwenye ndege ya Shirika la Kenya(KQ) kutamka neno “bomu”
Zaidi, soma https://jamii.app/JKIABombThreat
- Ni Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta uliofungwa leo majira ya saa 7:00 mchana
- Ni baada ya abiria kwenye ndege ya Shirika la Kenya(KQ) kutamka neno “bomu”
Zaidi, soma https://jamii.app/JKIABombThreat
TRA: MWISHO WA MATUMIZI YA STEMPU ZA KARATASI NI APRILI 30, 2019
- TRA imepiga marufuku matumizi ya stempu za karatasi kwa bidhaa zote za sigara, pombe kali, mvinyo, bia na aina zote za vileo zenye stempu zisizo za kielektroniki
Zaidi, soma https://jamii.app/TRAStempuKaratasiMwisho
- TRA imepiga marufuku matumizi ya stempu za karatasi kwa bidhaa zote za sigara, pombe kali, mvinyo, bia na aina zote za vileo zenye stempu zisizo za kielektroniki
Zaidi, soma https://jamii.app/TRAStempuKaratasiMwisho
MADEIRA, URENO: WATALII 28 KUTOKA UJERUMANI WAFARIKI KATIKA AJALI
> Wamefariki baada ya basi walilokuwa wakisafiria kuacha njia na kupinduka
> Watu 21 wamejeruhiwa na wanaendelea na matibabu katika hospitali moja huko Santa Cruz
Soma > https://jamii.app/AjaliMadeira
> Wamefariki baada ya basi walilokuwa wakisafiria kuacha njia na kupinduka
> Watu 21 wamejeruhiwa na wanaendelea na matibabu katika hospitali moja huko Santa Cruz
Soma > https://jamii.app/AjaliMadeira
KENYA: MAMA MWENYE NYUMBA AMUUA MPANGAJI WAKE KWA DENI LA TSH. 11,400/=
> Loice Kasembeli(Mama Kelele) anashikiliwa na Polisi kwa kuhusika na mauaji ya mpangaji wake(Mwanaume)
> Maiti yakutwa ndani ya nyumba yake ikiwa na majeraha shingoni
Soma > https://jamii.app/LandladyKillTenant
> Loice Kasembeli(Mama Kelele) anashikiliwa na Polisi kwa kuhusika na mauaji ya mpangaji wake(Mwanaume)
> Maiti yakutwa ndani ya nyumba yake ikiwa na majeraha shingoni
Soma > https://jamii.app/LandladyKillTenant