MKURUGENZI MKUU MPYA VODACOM-TANZANIA APANDISHWA KIZIMBANI
- Hisham Abdel Hendi na wenzake 8 wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashtaka 10
- Yapo mashtaka ya kuongoza mtandao wa kihalifu na kuisababishia Serikali hasara ya Tsh. Bilioni 5.8
Soma https://jamii.app/VodaCEO255Corruption
- Hisham Abdel Hendi na wenzake 8 wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashtaka 10
- Yapo mashtaka ya kuongoza mtandao wa kihalifu na kuisababishia Serikali hasara ya Tsh. Bilioni 5.8
Soma https://jamii.app/VodaCEO255Corruption
MBEYA: DEREVA WA BODABODA AUAWA
> Jeshi la Polisi Mbeya, linawasaka watu 2 kwa tuhuma za mauaji ya Aidan Paul Chongola, Mkazi wa Hayanga
> Marehemu alichomwa kwa kitu chenye ncha kali upande wa kulia tumboni, kisha kuibiwa pikipiki yake
Zaidi, soma https://jamii.app/MauajiDerevaPikipiki
> Jeshi la Polisi Mbeya, linawasaka watu 2 kwa tuhuma za mauaji ya Aidan Paul Chongola, Mkazi wa Hayanga
> Marehemu alichomwa kwa kitu chenye ncha kali upande wa kulia tumboni, kisha kuibiwa pikipiki yake
Zaidi, soma https://jamii.app/MauajiDerevaPikipiki
VIWANJA VYA AZAM COMPLEX, UWANJA WA TAIFA NA VIWANJA VYA SABASABA VYADAIWA USHURU
- Halmashauri ya Manispaa ya Temeke imetangaza dhamira ya kuvifungia viwanja hivyo kwa kuwa wamiliki hawajawahi kulipa kodi ya ushuru wa huduma
Zaidi, soma https://jamii.app/ViwanjaUshuruKufungwa
- Halmashauri ya Manispaa ya Temeke imetangaza dhamira ya kuvifungia viwanja hivyo kwa kuwa wamiliki hawajawahi kulipa kodi ya ushuru wa huduma
Zaidi, soma https://jamii.app/ViwanjaUshuruKufungwa
ASKARI MAGEREZA AKAMATWA NA PEMBE ZA NDOVU
> Cosmas Ndasi (51) anashikiliwa na Jeshi la Polisi baada ya kutengenezewa mtego na akanasa
> Amekutwa na vipande 6, vyenye uzito wa kilogramu 13, sawa na tembo watatu na thamani ya Tsh. Milioni 103.5
Zaidi, soma https://jamii.app/MagerezaMbaroniNdovu
> Cosmas Ndasi (51) anashikiliwa na Jeshi la Polisi baada ya kutengenezewa mtego na akanasa
> Amekutwa na vipande 6, vyenye uzito wa kilogramu 13, sawa na tembo watatu na thamani ya Tsh. Milioni 103.5
Zaidi, soma https://jamii.app/MagerezaMbaroniNdovu
SRI LANKA: WATU 47 WAOMBA KAZI YA KUNYONGA WAFUNGWA
> Nchi hiyo imeanza usahili wa nafasi mbili za kazi ya kunyonga watu baada ya kusitisha adhabu hiyo tangu mwaka 1976
> Adhabu hiyo ni mahususi katika vita dhidi ya #DawaZaKulevya na waajiriwa wapya watapelekwa nje ya nchi kupata mafunzo ya unyongaji
Zaidi, soma https://jamii.app/AjiraKunyongaWahalifu
> Nchi hiyo imeanza usahili wa nafasi mbili za kazi ya kunyonga watu baada ya kusitisha adhabu hiyo tangu mwaka 1976
> Adhabu hiyo ni mahususi katika vita dhidi ya #DawaZaKulevya na waajiriwa wapya watapelekwa nje ya nchi kupata mafunzo ya unyongaji
Zaidi, soma https://jamii.app/AjiraKunyongaWahalifu
SERIKALI: HAKUNA TATIZO LA MZUNGUKO MDOGO WA FEDHA KATIKA SOKO
- Naibu Waziri wa Fedha, Dkt. Ashatu Kijaji ameeleza hayo akiwa Bungeni leo
- Amesema katika kutatua changamoto hiyo Serikali ilichukua hatua za kuongeza ukwasi kwenye uchumi
Zaidi, soma https://jamii.app/MzungukoMdogoFedha
- Naibu Waziri wa Fedha, Dkt. Ashatu Kijaji ameeleza hayo akiwa Bungeni leo
- Amesema katika kutatua changamoto hiyo Serikali ilichukua hatua za kuongeza ukwasi kwenye uchumi
Zaidi, soma https://jamii.app/MzungukoMdogoFedha
UGANDA: ASOMEA SHERIA ILI KURUDISHA ARDHI YA BABA YAKE ILIYOCHUKULIWA
- Jordan Kinyera alikuwa na umri wa miaka 6 wakati Baba yake akipoteza ardhi yao katika kesi
- Ameikomboa ardhi hiyo miaka 23 baadaye baada ya kusoma sheria na kuwa Wakili
Zaidi, soma https://jamii.app/WakiliJordanKinyera
- Jordan Kinyera alikuwa na umri wa miaka 6 wakati Baba yake akipoteza ardhi yao katika kesi
- Ameikomboa ardhi hiyo miaka 23 baadaye baada ya kusoma sheria na kuwa Wakili
Zaidi, soma https://jamii.app/WakiliJordanKinyera
BUNGENI: HATMA YA LEMA BAADA YA KUHOJIWA NA KAMATI YA MAADILI KUJULIKANA LEO
- Kamati hiyo ilitumia takribani dakika 132 kumuhoji Lema hapo jana
- Alihojiwa kutokana na kumnukuu Mbunge wa Kawe(CHADEMA), Halima Mdee kuwa "Bunge ni dhaifu"
Zaidi, soma https://jamii.app/HatmaLemaBungeniAprl04-19
- Kamati hiyo ilitumia takribani dakika 132 kumuhoji Lema hapo jana
- Alihojiwa kutokana na kumnukuu Mbunge wa Kawe(CHADEMA), Halima Mdee kuwa "Bunge ni dhaifu"
Zaidi, soma https://jamii.app/HatmaLemaBungeniAprl04-19
KENYA: AMUUA MWENZAKE KWA MADAI KUWA NI MPENZI WA MKE WAKE WA ZAMANI
- Simon Gitari(40) anadaiwa kumuua kwa kumchoma kisu Simon Muriithi(45) katika Kaunti ya Kirinyaga
- Gitari anatafutwa na Polisi kwani anadaiwa kukimbia baada ya tukio
Zaidi, soma https://jamii.app/AuaMpenziMkeKE
- Simon Gitari(40) anadaiwa kumuua kwa kumchoma kisu Simon Muriithi(45) katika Kaunti ya Kirinyaga
- Gitari anatafutwa na Polisi kwani anadaiwa kukimbia baada ya tukio
Zaidi, soma https://jamii.app/AuaMpenziMkeKE
RAIA WA MALAWI WAISHIO AFRIKA KUSINI WAOMBA KURUDI NYUMBANI
> Ni aada ya kushambuliwa na raia wa Afrika Kusini na kusababisha Wamalawi wapatao 300 kuyakimbia makaazi yao
> Mpaka sasa watu watatu tayari wameshapoteza maisha
Zaidi, soma https://jamii.app/DurbanCrisis
> Ni aada ya kushambuliwa na raia wa Afrika Kusini na kusababisha Wamalawi wapatao 300 kuyakimbia makaazi yao
> Mpaka sasa watu watatu tayari wameshapoteza maisha
Zaidi, soma https://jamii.app/DurbanCrisis
LEMA KUFUNGIWA MIKUTANO 3. WABUNGE WA UPINZANI WASUSIA KIKAO
- Kamati ya Maadili imeazimia kumpa Mbunge huyo wa Arusha Mjini adhabu hiyo kuanzia leo kwa kuliita Bunge ‘dhaifu’
- Baada ya ripoti kusomwa, Wabunge wa upinzani wametoka nje ya Kikao
Zaidi,soma https://jamii.app/HatmaLemaBungeniAprl04-19
- Kamati ya Maadili imeazimia kumpa Mbunge huyo wa Arusha Mjini adhabu hiyo kuanzia leo kwa kuliita Bunge ‘dhaifu’
- Baada ya ripoti kusomwa, Wabunge wa upinzani wametoka nje ya Kikao
Zaidi,soma https://jamii.app/HatmaLemaBungeniAprl04-19
RAIS MAGUFULI AZINDUA KITUO CHA AFYA MBONDE
- Akiwa anaendelea na ziara yake mkoani Mtwara leo yupo Wilayani Masasi alipozindua Kituo hicho
- Kituo hicho kinawakilisha uzinduzi wa vituo vyote 352 vilivyojengwa hapa nchini
#JFLeo
- Akiwa anaendelea na ziara yake mkoani Mtwara leo yupo Wilayani Masasi alipozindua Kituo hicho
- Kituo hicho kinawakilisha uzinduzi wa vituo vyote 352 vilivyojengwa hapa nchini
#JFLeo
KENYA: MUUZA MAZIWA AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MAISHA KWA ULAWITI
> Hezbon Mogare (25) amehukumiwa kifungo cha maisha baada ya kupatikana na hatia ya kumlawiti mvulana wa miaka 8 mwaka 2017
> Mtuhumiwa anadaiwa kuwa alimfungia mvulana huyo kwenye nyumba yake kwa siku tatu
Zaidi, soma https://jamii.app/JelaMaishaUlawiti
> Hezbon Mogare (25) amehukumiwa kifungo cha maisha baada ya kupatikana na hatia ya kumlawiti mvulana wa miaka 8 mwaka 2017
> Mtuhumiwa anadaiwa kuwa alimfungia mvulana huyo kwenye nyumba yake kwa siku tatu
Zaidi, soma https://jamii.app/JelaMaishaUlawiti
SHINYANGA: POLISI AJIUA AKIDAI SABABU NI KUKOSA MTOTO
> Gideon Clement(30) wa Kituo Kikuu cha Polisi Mjini Kahama, amejiua kwa kujipiga risasi leo asubuhi akiwa lindoni
> Ameacha ujumbe akieleza sababu ya kujiua ni kutokana na kukosa mtoto
Zaidi, soma https://jamii.app/AskariKifoMtoto
> Gideon Clement(30) wa Kituo Kikuu cha Polisi Mjini Kahama, amejiua kwa kujipiga risasi leo asubuhi akiwa lindoni
> Ameacha ujumbe akieleza sababu ya kujiua ni kutokana na kukosa mtoto
Zaidi, soma https://jamii.app/AskariKifoMtoto
BRUNEI: WAPENZI WA JINSIA MOJA KUPIGWA MAWE HADI KUFA
> Nchi hiyo imeanzisha sheria mpya kali zinazoyafanya mapenzi ya jinsia moja kuwa kosa na zimeanza kutekelezwa jana Aprili 03, 2019
> Pia, zinajumuisha uhalifu mwingine ikiwemo kuadhibiwa kwa kukatwa mikono kwa kosa la wizi
Zaidi, soma https://jamii.app/AntGayismLaw
> Nchi hiyo imeanzisha sheria mpya kali zinazoyafanya mapenzi ya jinsia moja kuwa kosa na zimeanza kutekelezwa jana Aprili 03, 2019
> Pia, zinajumuisha uhalifu mwingine ikiwemo kuadhibiwa kwa kukatwa mikono kwa kosa la wizi
Zaidi, soma https://jamii.app/AntGayismLaw
NDUGAI: BUNGE LIMEKATAA KUFANYA KAZI NA PROF. ASSAD SIO OFISI YA CAG
- Amesema hakuna wakati Bunge limekataa kufanya kazi na Taasisi ambayo ni ofisi ya CAG
- Azimio hili la Bunge limekuja baada ya Prof. Assad kusema maneno “huo ni udhaifu wa Bunge” alipokuwa anahojiwa
Zaidi, soma https://jamii.app/Ufafanuzi-Bunge-Assad
- Amesema hakuna wakati Bunge limekataa kufanya kazi na Taasisi ambayo ni ofisi ya CAG
- Azimio hili la Bunge limekuja baada ya Prof. Assad kusema maneno “huo ni udhaifu wa Bunge” alipokuwa anahojiwa
Zaidi, soma https://jamii.app/Ufafanuzi-Bunge-Assad
KIONGOZI WA MWENGE AGOMA KUZINDUA MRADI WA ZAHANATI
> Mkonge Ally amegoma kuzindua mradi wa kwanza wa ujenzi wa Zahanati ya Kijiji cha Igunda kutokana na mgongano wa taarifa
> Taarifa iliyosomwa na Mkuu wa Mkoa wa Songwe haikuonesha kama kuna pesa za Mwenge ambazo zimegharamia miradi ya Mkoa
Zaidi, soma https://jamii.app/MwengeUzinduziZahanati
> Mkonge Ally amegoma kuzindua mradi wa kwanza wa ujenzi wa Zahanati ya Kijiji cha Igunda kutokana na mgongano wa taarifa
> Taarifa iliyosomwa na Mkuu wa Mkoa wa Songwe haikuonesha kama kuna pesa za Mwenge ambazo zimegharamia miradi ya Mkoa
Zaidi, soma https://jamii.app/MwengeUzinduziZahanati