KATIBU WA CCM WILAYA YA MOMBA AFARIKI KWENYE SHUGHULI ZA MWENGE
> Fatuma Ngairo aliwahi kuwa Katibu wa UVCCM Arumeru na amefariki kwa ajali alfajiri ya kuamkia leo alipokuwa akifanya mazoezi tayari kwa kuwasha Mwenge katika mji wa Mlowo
> Aidha, vijana wengine zaidi ya 20 wamelazwa katika Hospitali ya Vwawa baada ya kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha gari (IT) lililotokea Dar likielekea nchi jirani ya Zambia
Zaidi, soma https://jamii.app/TanziaAjaliMwengeMomba
> Fatuma Ngairo aliwahi kuwa Katibu wa UVCCM Arumeru na amefariki kwa ajali alfajiri ya kuamkia leo alipokuwa akifanya mazoezi tayari kwa kuwasha Mwenge katika mji wa Mlowo
> Aidha, vijana wengine zaidi ya 20 wamelazwa katika Hospitali ya Vwawa baada ya kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha gari (IT) lililotokea Dar likielekea nchi jirani ya Zambia
Zaidi, soma https://jamii.app/TanziaAjaliMwengeMomba
AU YAOMBA MKUTANO WA UPATANISHI KWA AJILI YA LIBYA
> Mwenyekiti wa kamati ya Umoja wa Afrika, Moussa Mahamat amependekeza kufanyika kwa mkutano wa kimataifa wa upatanishi wa Libya ili kusuluhisha msukosuko wa kisiasa nchini humo
> Amekataa hatua za uingiliaji kutoka nje zitakazoufanya msukosuko wa Libya uwe na utatanishi zaidi
Zaidi, soma https://jamii.app/AUUpatanishiLibya
> Mwenyekiti wa kamati ya Umoja wa Afrika, Moussa Mahamat amependekeza kufanyika kwa mkutano wa kimataifa wa upatanishi wa Libya ili kusuluhisha msukosuko wa kisiasa nchini humo
> Amekataa hatua za uingiliaji kutoka nje zitakazoufanya msukosuko wa Libya uwe na utatanishi zaidi
Zaidi, soma https://jamii.app/AUUpatanishiLibya
PWANI: BABA AUA MTOTO KWA KUNYONGA AKIDAI 'AMEBAMBIKIZIWA'
- Polisi inamshikilia Robison Ernest(33) kwa tuhuma za kumuua Modesta Robison(Miezi 6), akidai si mwanae
- Alifanya kitendo hicho Aprili 01, 2019 wakati mama wa mtoto akiwa sokoni
Zaidi, soma https://jamii.app/BabaAuaMtoto-PWN
- Polisi inamshikilia Robison Ernest(33) kwa tuhuma za kumuua Modesta Robison(Miezi 6), akidai si mwanae
- Alifanya kitendo hicho Aprili 01, 2019 wakati mama wa mtoto akiwa sokoni
Zaidi, soma https://jamii.app/BabaAuaMtoto-PWN
ICC YAIOMBA MAREKANI KUJIUNGA NA MAHAKAMA HIYO
> Rais wa Mahakama ya Kimataifa ya Kiuhalifu (ICC) ameitolea wito Marekani kujiunga na kusaidia kazi ya Mahakama hiyo
> Chile Eboe-Osuji amesema wahanga wa zamani, wa sasa na wa baadae wa uhalifu dhidi ya binadamu na kivita wanahitaji Marekani kuungana na washirika wake na marafiki
Zaidi, soma https://jamii.app/USOmbiKujiungaICC
> Rais wa Mahakama ya Kimataifa ya Kiuhalifu (ICC) ameitolea wito Marekani kujiunga na kusaidia kazi ya Mahakama hiyo
> Chile Eboe-Osuji amesema wahanga wa zamani, wa sasa na wa baadae wa uhalifu dhidi ya binadamu na kivita wanahitaji Marekani kuungana na washirika wake na marafiki
Zaidi, soma https://jamii.app/USOmbiKujiungaICC
SPIKA NDUGAI AMTAKA LEMA KURIPOTI KWENYE KAMATI YA MAADILI YA BUNGE
- Amemtaka Mbunge huyo wa Arusha Mjini, kuripoti kwenye Kamati hiyo kufuatia kauli yake kuwa "Bunge ni dhaifu"
- Lema ametoa kauli hiyo leo Aprili 2, kwenye mkutano wa Bunge
Zaidi, soma https://jamii.app/LemaKamatiMaadili
- Amemtaka Mbunge huyo wa Arusha Mjini, kuripoti kwenye Kamati hiyo kufuatia kauli yake kuwa "Bunge ni dhaifu"
- Lema ametoa kauli hiyo leo Aprili 2, kwenye mkutano wa Bunge
Zaidi, soma https://jamii.app/LemaKamatiMaadili
UCHAGUZI WA KLABU YA YANGA KUFANYIKA MEI 05, 2019
- Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya TFF, Ally Mchungahela amebainisha hayo
- Ulikuwa ufanyike Aprili 28, 2019 ila siku hiyo kuna fainali za AFCON kwa vijana zitakazofanyika nchini
Zaidi, soma https://jamii.app/UchaguziYangaMei
- Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya TFF, Ally Mchungahela amebainisha hayo
- Ulikuwa ufanyike Aprili 28, 2019 ila siku hiyo kuna fainali za AFCON kwa vijana zitakazofanyika nchini
Zaidi, soma https://jamii.app/UchaguziYangaMei
MOROGORO: ASKARI FEKI WA JWTZ AKAMATWA
- Polisi inamshikilia Fadhil Yahaya(29) aliyekutwa na sare zinazofanana na za JWTZ kwenye kituo cha mabasi, Msamvu
- Polisi waliokuwa doria walimkamata kutokana na taarifa ya Wasamaria wema
Zaidi, soma https://jamii.app/AskariFekiMbaroniMoro
- Polisi inamshikilia Fadhil Yahaya(29) aliyekutwa na sare zinazofanana na za JWTZ kwenye kituo cha mabasi, Msamvu
- Polisi waliokuwa doria walimkamata kutokana na taarifa ya Wasamaria wema
Zaidi, soma https://jamii.app/AskariFekiMbaroniMoro
SONGWE: MBIO ZA MWENGE WA UHURU KWA MWAKA 2019 ZAZINDULIWA
- Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan amezindua mbio hizo katika uwanja wa Mlowo
- Amewataka wakimbizaji kuhakikisha miradi inayozinduliwa wakati wa mbio inakuwa na ubora unaotakiwa
Zaidi, soma https://jamii.app/MbioMwenge2019
- Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan amezindua mbio hizo katika uwanja wa Mlowo
- Amewataka wakimbizaji kuhakikisha miradi inayozinduliwa wakati wa mbio inakuwa na ubora unaotakiwa
Zaidi, soma https://jamii.app/MbioMwenge2019
RAIS WA ALGERIA ATANGAZA KUJIUZULU IFIKAPO APRILI 28
> Rais Abdelaziz Bouteflika ataachia wadhifa wake huo Aprili 28, kabla ya kumalizika kwa muhula wake wa nne baada ya washirika wake wa karibu kujitenga naye
> Kumekuwa na maandamano makubwa ya raia nchini humo ya kumshinikiza kiongozi huyo kung’atuka
Zaidi, soma https://jamii.app/BouteflikaResignsApr28
> Rais Abdelaziz Bouteflika ataachia wadhifa wake huo Aprili 28, kabla ya kumalizika kwa muhula wake wa nne baada ya washirika wake wa karibu kujitenga naye
> Kumekuwa na maandamano makubwa ya raia nchini humo ya kumshinikiza kiongozi huyo kung’atuka
Zaidi, soma https://jamii.app/BouteflikaResignsApr28
KENYA: GAVANA WA SAMBURU APATA DHAMANA, KUACHIWA AKIKAMILISHA MASHARTI
- Gavana Moses Lenolkulal ataachiwa kwa dhamani iwapo atakamilisha masharti ya dhamani hiyo
- Anatakiwa kulipa pesa taslim Ksh. Milioni 100 au bondi ya Ksh. Milioni 150
Zaidi, soma https://jamii.app/SamburuGovernorArrestedKE
- Gavana Moses Lenolkulal ataachiwa kwa dhamani iwapo atakamilisha masharti ya dhamani hiyo
- Anatakiwa kulipa pesa taslim Ksh. Milioni 100 au bondi ya Ksh. Milioni 150
Zaidi, soma https://jamii.app/SamburuGovernorArrestedKE
WATU MILIONI 113 WAANDAMWA NA BAA LA NJAA DUNIANI
> Ni kwa mujibu wa ripoti ya pamoja iliyotolewa na Umoja wa Ulaya na mashirika ya Umoja wa Mataifa kwa mwaka 2018
> Hali mbaya kabisa ilishuhudiwa nchini Yemen, Jamhuri ya Kidemokasia ya Kongo, Afghanistan, Ethiopia, Syria, Sudan, Sudan Kusini na Kaskazini mwa Nigeria
Soma - https://jamii.app/TakwimuNjaa2018
> Ni kwa mujibu wa ripoti ya pamoja iliyotolewa na Umoja wa Ulaya na mashirika ya Umoja wa Mataifa kwa mwaka 2018
> Hali mbaya kabisa ilishuhudiwa nchini Yemen, Jamhuri ya Kidemokasia ya Kongo, Afghanistan, Ethiopia, Syria, Sudan, Sudan Kusini na Kaskazini mwa Nigeria
Soma - https://jamii.app/TakwimuNjaa2018