KAGERA: POLISI WAKAMATA MALI ZILIVYOPORWA NA MAJAMBAZI
- Mali hizo ni simu za mkononi 9, kompyuta mpakato na chaja yake, begi lenye nguo na pia polisi wamekamata bangi na kisu
- Jeshi la polisi bado linaendelea kuwatafuta majambazi hao
Soma https://jamii.app/PolisiWakamataVituKagera
#JFLeo
- Mali hizo ni simu za mkononi 9, kompyuta mpakato na chaja yake, begi lenye nguo na pia polisi wamekamata bangi na kisu
- Jeshi la polisi bado linaendelea kuwatafuta majambazi hao
Soma https://jamii.app/PolisiWakamataVituKagera
#JFLeo
RAIS MAGUFULI AMTEUA BW. ADOLF MOHONDELA NDUNGURU KUWA NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO(SERA)
- Rais amefanya uteuzi huu kwa kuwa nafasi hiyo ilikuwa wazi
- Aidha, amemteua Bw. Msafiri Lameck Mbibo kuwa Naibu Kamishna wa TRA
Soma https://jamii.app/MagufuliAmteuaNduguru
#JFLeo
- Rais amefanya uteuzi huu kwa kuwa nafasi hiyo ilikuwa wazi
- Aidha, amemteua Bw. Msafiri Lameck Mbibo kuwa Naibu Kamishna wa TRA
Soma https://jamii.app/MagufuliAmteuaNduguru
#JFLeo
UCHAGUZI ARUMERU MASHARIKI MEI 19, 2019
> Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) yatangaza tarehe ya uchaguzi mdogo wa Ubunge katika Jimbo la Arumeru Mashariki
> Jimbo hilo liko wazi baada ya Joshua Nassari(CHADEMA) kuvuliwa Ubunge kwa utoro
Soma jamii.app/UchaguziArumer…
#JFLeo
> Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) yatangaza tarehe ya uchaguzi mdogo wa Ubunge katika Jimbo la Arumeru Mashariki
> Jimbo hilo liko wazi baada ya Joshua Nassari(CHADEMA) kuvuliwa Ubunge kwa utoro
Soma jamii.app/UchaguziArumer…
#JFLeo
DC KISARAWE ANENA BAADA YA HARAMBEE YA “TOKOMEZA ZERO”
> Ni ya kuchangia ujenzi wa shule ya mabweni ya wasichana iliyofanyika Machi 30, 2019 Jijini Dar
> Amshukuru Pierre “Mzee wa Liquid” kwa kushiriki kikamilifu na kumuomba msamaha kwa kukwazwa na RC Makonda
Soma https://jamii.app/JokateThanksPierre
#JFLeo
> Ni ya kuchangia ujenzi wa shule ya mabweni ya wasichana iliyofanyika Machi 30, 2019 Jijini Dar
> Amshukuru Pierre “Mzee wa Liquid” kwa kushiriki kikamilifu na kumuomba msamaha kwa kukwazwa na RC Makonda
Soma https://jamii.app/JokateThanksPierre
#JFLeo
UKRAINE: MCHEKESHAJI ATAJWA KUONGOZA KURA ZA URAIS
> Zelenskiy(41) anaongoza kwa wingi wa kura zinazoendelea kuhesabiwa ktk duru ya kwanza ya Uchaguzi
> Kura za maoni zatabiri atashinda dhidi ya Rais na Waziri Mkuu waliomaliza muda wao
Soma https://jamii.app/ComedianPresUKRN
#JFLeo
> Zelenskiy(41) anaongoza kwa wingi wa kura zinazoendelea kuhesabiwa ktk duru ya kwanza ya Uchaguzi
> Kura za maoni zatabiri atashinda dhidi ya Rais na Waziri Mkuu waliomaliza muda wao
Soma https://jamii.app/ComedianPresUKRN
#JFLeo
CAG AKABIDHI RIPOTI 17 ZA UKAGUZI KWA RAIS
> Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali amekabidhi ripoti hizo za mwaka wa fedha ulioisha Juni 30, 2018
> Ipo ripoti ya Ukaguzi wa Serikali Kuu, Serikali za Mitaa na Miradi ya Maendeleo
Zaidi, soma - https://jamii.app/CAGRipotiRais
> Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali amekabidhi ripoti hizo za mwaka wa fedha ulioisha Juni 30, 2018
> Ipo ripoti ya Ukaguzi wa Serikali Kuu, Serikali za Mitaa na Miradi ya Maendeleo
Zaidi, soma - https://jamii.app/CAGRipotiRais
MONDULI: MTU MMOJA AFARIKI NA SITA KUJERUHIWA KATIKA MAPIGANO YA ARDHI
- Aliyefariki ni Simeli Oltialulu mkazi wa kijiji cha Lendikinya
- Mgogoro huo umekuwapo kwa muda mrefu ukihusisha vijiji vitatu vya Lendikinya, Emairete na Arkalia
Zaidi, soma https://jamii.app/MapiganoMonduli2
- Aliyefariki ni Simeli Oltialulu mkazi wa kijiji cha Lendikinya
- Mgogoro huo umekuwapo kwa muda mrefu ukihusisha vijiji vitatu vya Lendikinya, Emairete na Arkalia
Zaidi, soma https://jamii.app/MapiganoMonduli2
RAIS KUANZA ZIARA YA SIKU MBILI MKOANI MTWARA KESHO
> Rais Magufuli anatarajia kufanya ziara ya kikazi mkoani Mtwara kuanzia Aprili 2 hadi April 4
> Atazindua na kuweka mawe ya msingi katika miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo upanuzi wa uwanja wa ndege wa Mtwara na ujenzi wa barabara ya Mtwara-Mnivata (Km 50)
Soma https://jamii.app/RaisZiaraMTR
> Rais Magufuli anatarajia kufanya ziara ya kikazi mkoani Mtwara kuanzia Aprili 2 hadi April 4
> Atazindua na kuweka mawe ya msingi katika miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo upanuzi wa uwanja wa ndege wa Mtwara na ujenzi wa barabara ya Mtwara-Mnivata (Km 50)
Soma https://jamii.app/RaisZiaraMTR
TANZANIA NA MISRI ZARIDHIA UJENZI WA KIWANDA CHA KUCHAKATA NYAMA NCHINI
- Zimesaini hati ya makubaliano ya ujenzi wa kiwanda hicho katika Ranchi ya Ruvu
- Kinatarajiwa kuajiri watu 5000 na kuchinja ng'ombe 1,500 na mbuzi 4,500 kwa siku
Zaidi, soma https://jamii.app/KiwandaNyamaTZ-EGY
- Zimesaini hati ya makubaliano ya ujenzi wa kiwanda hicho katika Ranchi ya Ruvu
- Kinatarajiwa kuajiri watu 5000 na kuchinja ng'ombe 1,500 na mbuzi 4,500 kwa siku
Zaidi, soma https://jamii.app/KiwandaNyamaTZ-EGY
ALIYEUA MPENZIWE HOSTELI ZA MABIBO AHUKUMIWA KUNYONGWA
> Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imemhukumu kunyongwa hadi kufa Masamba Musiba (39) kwa hatia ya kumuua mpenzi wake, Betha Mwarabu Juni 2009
> Mshitakiwa pamoja na Betha walikuwa wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM)
Zaidi, soma - https://jamii.app/HukumuKunyongwaMauaji
> Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imemhukumu kunyongwa hadi kufa Masamba Musiba (39) kwa hatia ya kumuua mpenzi wake, Betha Mwarabu Juni 2009
> Mshitakiwa pamoja na Betha walikuwa wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM)
Zaidi, soma - https://jamii.app/HukumuKunyongwaMauaji
KUKATIKA UMEME VENEZUELA: SAA ZA KAZI KUPUNGUZWA
- Serikali imetangaza kufunga shule na kupunguza saa za kazi hadi saa 8 mchana kwa ofisi za Umma na binafsi
- Aidha, Rais Nicolas Maduro ametangaza mpango wa siku 30 wa kurejesha nishati hiyo
Zaidi, soma https://jamii.app/SaaKaziKupunguaVENZ
- Serikali imetangaza kufunga shule na kupunguza saa za kazi hadi saa 8 mchana kwa ofisi za Umma na binafsi
- Aidha, Rais Nicolas Maduro ametangaza mpango wa siku 30 wa kurejesha nishati hiyo
Zaidi, soma https://jamii.app/SaaKaziKupunguaVENZ
MBEYA: MSIMAMIZI KIWANDA CHA KUCHENJUA DHAHABU KUKAMATWA
- Waziri wa Madini, Dotto Biteko ameagiza kukamatwa kwa msimamizi wa Ntolah Gold Elusion baada ya kubaini utoroshaji wa dhahabu
- Pia, ameamuru Polisi kufunga na kulinda kiwanda hicho
Zaidi, soma https://jamii.app/MsimamiziNtolahKukamatwa
- Waziri wa Madini, Dotto Biteko ameagiza kukamatwa kwa msimamizi wa Ntolah Gold Elusion baada ya kubaini utoroshaji wa dhahabu
- Pia, ameamuru Polisi kufunga na kulinda kiwanda hicho
Zaidi, soma https://jamii.app/MsimamiziNtolahKukamatwa
POLISI YAUA WATU WATATU WANAODAIWA KUWA MAJAMBAZI
> Jeshi la Polisi Mkoani Kigoma katika tukio hilo limefanikiwa pia kukamata risasi 42
> Katika kurushiana risasi Askari mmoja, James Mwita(37) na raia, Sophia Dicksoni(60) walijeruhiwa na wanaendelea na matibabu katika Hospitali ya Kibondo
Zaidi, soma https://jamii.app/PolisiKifoMajambazi
> Jeshi la Polisi Mkoani Kigoma katika tukio hilo limefanikiwa pia kukamata risasi 42
> Katika kurushiana risasi Askari mmoja, James Mwita(37) na raia, Sophia Dicksoni(60) walijeruhiwa na wanaendelea na matibabu katika Hospitali ya Kibondo
Zaidi, soma https://jamii.app/PolisiKifoMajambazi
AZAKI: TUNASHUHUDIA HAKI ZA KIDEMOKRASIA, UHURU WA KUJUMUIKA VIKIZIDI KUZOROTA
- Asasi za Kiraia 65 zimetoa Tamko leo Aprili 01, 2019 zikielezea kuguswa na mwenendo wa demokrasia, haki ya kujumuika na uhuru wa kujiunga na vyama nchini
- Pia, Asasi zimemshauri Rais Magufuli kuona umuhimu wa kukutana na vyama vya upinzani nchini na kuzungumza navyo
Zaidi, soma https://jamii.app/TamkoAzaki2019
- Asasi za Kiraia 65 zimetoa Tamko leo Aprili 01, 2019 zikielezea kuguswa na mwenendo wa demokrasia, haki ya kujumuika na uhuru wa kujiunga na vyama nchini
- Pia, Asasi zimemshauri Rais Magufuli kuona umuhimu wa kukutana na vyama vya upinzani nchini na kuzungumza navyo
Zaidi, soma https://jamii.app/TamkoAzaki2019
WAFANYAKAZI OFISI YA MADINI CHUNYA WASIMAMISHWA KAZI
- Waziri Biteko ameagiza wasimamishwe kwa tuhuma za kushirikiana na wachenjuaji kutorosha dhahabu
- Mapema leo aliagiza kukamatwa kwa msimamizi wa kiwanda cha kuchenjua dhahabu cha Ntolah
Zaidi, soma https://jamii.app/MsimamiziNtolahKukamatwa
- Waziri Biteko ameagiza wasimamishwe kwa tuhuma za kushirikiana na wachenjuaji kutorosha dhahabu
- Mapema leo aliagiza kukamatwa kwa msimamizi wa kiwanda cha kuchenjua dhahabu cha Ntolah
Zaidi, soma https://jamii.app/MsimamiziNtolahKukamatwa
PERU: WATU 20 WAPOTEZA MAISHA KATIKA AJALI YA BASI KUUNGUA
> Watu 20 wamepoteza maisha baada ya basi la abiria walilokuwa wakisafiria kushika moto karibu na mji mkuu wa Peru, Lima
> Lilikuwa likielekea katika moja ya miji ya Kaskazini mwa nchi hiyo na inasemekana halikuwa na vifaa vya kuzima moto
Zaidi, soma https://jamii.app/Vifo20BasiMoto
> Watu 20 wamepoteza maisha baada ya basi la abiria walilokuwa wakisafiria kushika moto karibu na mji mkuu wa Peru, Lima
> Lilikuwa likielekea katika moja ya miji ya Kaskazini mwa nchi hiyo na inasemekana halikuwa na vifaa vya kuzima moto
Zaidi, soma https://jamii.app/Vifo20BasiMoto
SERIKALI: KANUNI MPYA KWA AJILI YA KUBADILI FEDHA ZA KIGENI ZAANDALIWA
- Waziri wa Fedha, Dkt. Mpango amesema kanuni zitaeleza namna ya kuomba leseni za uendeshaji wa maduka ya kubadili fedha
- Zinalenga kuweka mazingira mazuri ya biashara
Zaidi, soma https://jamii.app/KanuniMadukaFedha-TZ
- Waziri wa Fedha, Dkt. Mpango amesema kanuni zitaeleza namna ya kuomba leseni za uendeshaji wa maduka ya kubadili fedha
- Zinalenga kuweka mazingira mazuri ya biashara
Zaidi, soma https://jamii.app/KanuniMadukaFedha-TZ
SERIKALI YAKABIDHI NDEGE YAKE KWA ATCL
- Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi amekabidhi ndege hiyo katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar
- Ndege hiyo ilitolewa na Rais Magufuli ili ikasaidie kubeba abira wa Shirika la ndege la ATCL
#JFLeo
- Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi amekabidhi ndege hiyo katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar
- Ndege hiyo ilitolewa na Rais Magufuli ili ikasaidie kubeba abira wa Shirika la ndege la ATCL
#JFLeo
IKULU: NAIBU KATIBU WIZARA YA FEDHA NA NAIBU KAMISHNA TRA WAAPISHWA
- Rais Magufuli leo amemuapisha Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha atakayeshughulikia sera, Adolf Hyasinth Ndunguru pamoja na Naibu Kamishna Mkuu wa TRA, Msafiri Lameck Mbibo
- Amewataka viongozi hao kwenda kushughulikia dosari zilizopo katika ofisi zao
Zaidi, soma https://jamii.app/UapishajiIkuluApril2019
- Rais Magufuli leo amemuapisha Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha atakayeshughulikia sera, Adolf Hyasinth Ndunguru pamoja na Naibu Kamishna Mkuu wa TRA, Msafiri Lameck Mbibo
- Amewataka viongozi hao kwenda kushughulikia dosari zilizopo katika ofisi zao
Zaidi, soma https://jamii.app/UapishajiIkuluApril2019
AFRIKA KUSINI: WAGENI WAKESHA VITUO VYA POLISI KUKWEPA KUUAWA
> Watu 3 wameuawa huku takribani wengine 50 wakitafuta hifadhi kwenye vituo vya Polisi katika mji wa Durban kufuatia mashambulizi yaliyofanywa na baadhi ya raia wa Afrika Kusini, wanaopinga uwepo wa wageni nchini humo wakidai wanamaliza ajira
> Tukio hilo limetokea leo, Aprili 1
Zaidi, soma https://jamii.app/NativesVsForeignersSA
> Watu 3 wameuawa huku takribani wengine 50 wakitafuta hifadhi kwenye vituo vya Polisi katika mji wa Durban kufuatia mashambulizi yaliyofanywa na baadhi ya raia wa Afrika Kusini, wanaopinga uwepo wa wageni nchini humo wakidai wanamaliza ajira
> Tukio hilo limetokea leo, Aprili 1
Zaidi, soma https://jamii.app/NativesVsForeignersSA