MATOKEO-EPL: HUDDERSFIELD YASHUKA DARAJA, MANCHESTER UNITED YASHINDA
- Imekuwa timu ya pili kushuka daraja kabla ya mwezi Machi kuisha kwenye historia ya Ligi baada ya kufungwa na Crystal Palace goli 2-0
- Man. Utd imefanikiwa kupata ushindi wa goli 2-1 dhidi ya Watford na kuendelea kuweka hai ndoto zake za kumaliza ndani ya nne bora
#JFLeo
- Imekuwa timu ya pili kushuka daraja kabla ya mwezi Machi kuisha kwenye historia ya Ligi baada ya kufungwa na Crystal Palace goli 2-0
- Man. Utd imefanikiwa kupata ushindi wa goli 2-1 dhidi ya Watford na kuendelea kuweka hai ndoto zake za kumaliza ndani ya nne bora
#JFLeo
KAGERA: POLISI WAKAMATA MALI ZILIVYOPORWA NA MAJAMBAZI
- Mali hizo ni simu za mkononi 9, kompyuta mpakato na chaja yake, begi lenye nguo na pia polisi wamekamata bangi na kisu
- Jeshi la polisi bado linaendelea kuwatafuta majambazi hao
Soma https://jamii.app/PolisiWakamataVituKagera
#JFLeo
- Mali hizo ni simu za mkononi 9, kompyuta mpakato na chaja yake, begi lenye nguo na pia polisi wamekamata bangi na kisu
- Jeshi la polisi bado linaendelea kuwatafuta majambazi hao
Soma https://jamii.app/PolisiWakamataVituKagera
#JFLeo
RAIS MAGUFULI AMTEUA BW. ADOLF MOHONDELA NDUNGURU KUWA NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO(SERA)
- Rais amefanya uteuzi huu kwa kuwa nafasi hiyo ilikuwa wazi
- Aidha, amemteua Bw. Msafiri Lameck Mbibo kuwa Naibu Kamishna wa TRA
Soma https://jamii.app/MagufuliAmteuaNduguru
#JFLeo
- Rais amefanya uteuzi huu kwa kuwa nafasi hiyo ilikuwa wazi
- Aidha, amemteua Bw. Msafiri Lameck Mbibo kuwa Naibu Kamishna wa TRA
Soma https://jamii.app/MagufuliAmteuaNduguru
#JFLeo
UCHAGUZI ARUMERU MASHARIKI MEI 19, 2019
> Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) yatangaza tarehe ya uchaguzi mdogo wa Ubunge katika Jimbo la Arumeru Mashariki
> Jimbo hilo liko wazi baada ya Joshua Nassari(CHADEMA) kuvuliwa Ubunge kwa utoro
Soma jamii.app/UchaguziArumer…
#JFLeo
> Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) yatangaza tarehe ya uchaguzi mdogo wa Ubunge katika Jimbo la Arumeru Mashariki
> Jimbo hilo liko wazi baada ya Joshua Nassari(CHADEMA) kuvuliwa Ubunge kwa utoro
Soma jamii.app/UchaguziArumer…
#JFLeo
DC KISARAWE ANENA BAADA YA HARAMBEE YA “TOKOMEZA ZERO”
> Ni ya kuchangia ujenzi wa shule ya mabweni ya wasichana iliyofanyika Machi 30, 2019 Jijini Dar
> Amshukuru Pierre “Mzee wa Liquid” kwa kushiriki kikamilifu na kumuomba msamaha kwa kukwazwa na RC Makonda
Soma https://jamii.app/JokateThanksPierre
#JFLeo
> Ni ya kuchangia ujenzi wa shule ya mabweni ya wasichana iliyofanyika Machi 30, 2019 Jijini Dar
> Amshukuru Pierre “Mzee wa Liquid” kwa kushiriki kikamilifu na kumuomba msamaha kwa kukwazwa na RC Makonda
Soma https://jamii.app/JokateThanksPierre
#JFLeo
UKRAINE: MCHEKESHAJI ATAJWA KUONGOZA KURA ZA URAIS
> Zelenskiy(41) anaongoza kwa wingi wa kura zinazoendelea kuhesabiwa ktk duru ya kwanza ya Uchaguzi
> Kura za maoni zatabiri atashinda dhidi ya Rais na Waziri Mkuu waliomaliza muda wao
Soma https://jamii.app/ComedianPresUKRN
#JFLeo
> Zelenskiy(41) anaongoza kwa wingi wa kura zinazoendelea kuhesabiwa ktk duru ya kwanza ya Uchaguzi
> Kura za maoni zatabiri atashinda dhidi ya Rais na Waziri Mkuu waliomaliza muda wao
Soma https://jamii.app/ComedianPresUKRN
#JFLeo
CAG AKABIDHI RIPOTI 17 ZA UKAGUZI KWA RAIS
> Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali amekabidhi ripoti hizo za mwaka wa fedha ulioisha Juni 30, 2018
> Ipo ripoti ya Ukaguzi wa Serikali Kuu, Serikali za Mitaa na Miradi ya Maendeleo
Zaidi, soma - https://jamii.app/CAGRipotiRais
> Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali amekabidhi ripoti hizo za mwaka wa fedha ulioisha Juni 30, 2018
> Ipo ripoti ya Ukaguzi wa Serikali Kuu, Serikali za Mitaa na Miradi ya Maendeleo
Zaidi, soma - https://jamii.app/CAGRipotiRais
MONDULI: MTU MMOJA AFARIKI NA SITA KUJERUHIWA KATIKA MAPIGANO YA ARDHI
- Aliyefariki ni Simeli Oltialulu mkazi wa kijiji cha Lendikinya
- Mgogoro huo umekuwapo kwa muda mrefu ukihusisha vijiji vitatu vya Lendikinya, Emairete na Arkalia
Zaidi, soma https://jamii.app/MapiganoMonduli2
- Aliyefariki ni Simeli Oltialulu mkazi wa kijiji cha Lendikinya
- Mgogoro huo umekuwapo kwa muda mrefu ukihusisha vijiji vitatu vya Lendikinya, Emairete na Arkalia
Zaidi, soma https://jamii.app/MapiganoMonduli2
RAIS KUANZA ZIARA YA SIKU MBILI MKOANI MTWARA KESHO
> Rais Magufuli anatarajia kufanya ziara ya kikazi mkoani Mtwara kuanzia Aprili 2 hadi April 4
> Atazindua na kuweka mawe ya msingi katika miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo upanuzi wa uwanja wa ndege wa Mtwara na ujenzi wa barabara ya Mtwara-Mnivata (Km 50)
Soma https://jamii.app/RaisZiaraMTR
> Rais Magufuli anatarajia kufanya ziara ya kikazi mkoani Mtwara kuanzia Aprili 2 hadi April 4
> Atazindua na kuweka mawe ya msingi katika miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo upanuzi wa uwanja wa ndege wa Mtwara na ujenzi wa barabara ya Mtwara-Mnivata (Km 50)
Soma https://jamii.app/RaisZiaraMTR
TANZANIA NA MISRI ZARIDHIA UJENZI WA KIWANDA CHA KUCHAKATA NYAMA NCHINI
- Zimesaini hati ya makubaliano ya ujenzi wa kiwanda hicho katika Ranchi ya Ruvu
- Kinatarajiwa kuajiri watu 5000 na kuchinja ng'ombe 1,500 na mbuzi 4,500 kwa siku
Zaidi, soma https://jamii.app/KiwandaNyamaTZ-EGY
- Zimesaini hati ya makubaliano ya ujenzi wa kiwanda hicho katika Ranchi ya Ruvu
- Kinatarajiwa kuajiri watu 5000 na kuchinja ng'ombe 1,500 na mbuzi 4,500 kwa siku
Zaidi, soma https://jamii.app/KiwandaNyamaTZ-EGY
ALIYEUA MPENZIWE HOSTELI ZA MABIBO AHUKUMIWA KUNYONGWA
> Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imemhukumu kunyongwa hadi kufa Masamba Musiba (39) kwa hatia ya kumuua mpenzi wake, Betha Mwarabu Juni 2009
> Mshitakiwa pamoja na Betha walikuwa wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM)
Zaidi, soma - https://jamii.app/HukumuKunyongwaMauaji
> Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imemhukumu kunyongwa hadi kufa Masamba Musiba (39) kwa hatia ya kumuua mpenzi wake, Betha Mwarabu Juni 2009
> Mshitakiwa pamoja na Betha walikuwa wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM)
Zaidi, soma - https://jamii.app/HukumuKunyongwaMauaji
KUKATIKA UMEME VENEZUELA: SAA ZA KAZI KUPUNGUZWA
- Serikali imetangaza kufunga shule na kupunguza saa za kazi hadi saa 8 mchana kwa ofisi za Umma na binafsi
- Aidha, Rais Nicolas Maduro ametangaza mpango wa siku 30 wa kurejesha nishati hiyo
Zaidi, soma https://jamii.app/SaaKaziKupunguaVENZ
- Serikali imetangaza kufunga shule na kupunguza saa za kazi hadi saa 8 mchana kwa ofisi za Umma na binafsi
- Aidha, Rais Nicolas Maduro ametangaza mpango wa siku 30 wa kurejesha nishati hiyo
Zaidi, soma https://jamii.app/SaaKaziKupunguaVENZ
MBEYA: MSIMAMIZI KIWANDA CHA KUCHENJUA DHAHABU KUKAMATWA
- Waziri wa Madini, Dotto Biteko ameagiza kukamatwa kwa msimamizi wa Ntolah Gold Elusion baada ya kubaini utoroshaji wa dhahabu
- Pia, ameamuru Polisi kufunga na kulinda kiwanda hicho
Zaidi, soma https://jamii.app/MsimamiziNtolahKukamatwa
- Waziri wa Madini, Dotto Biteko ameagiza kukamatwa kwa msimamizi wa Ntolah Gold Elusion baada ya kubaini utoroshaji wa dhahabu
- Pia, ameamuru Polisi kufunga na kulinda kiwanda hicho
Zaidi, soma https://jamii.app/MsimamiziNtolahKukamatwa
POLISI YAUA WATU WATATU WANAODAIWA KUWA MAJAMBAZI
> Jeshi la Polisi Mkoani Kigoma katika tukio hilo limefanikiwa pia kukamata risasi 42
> Katika kurushiana risasi Askari mmoja, James Mwita(37) na raia, Sophia Dicksoni(60) walijeruhiwa na wanaendelea na matibabu katika Hospitali ya Kibondo
Zaidi, soma https://jamii.app/PolisiKifoMajambazi
> Jeshi la Polisi Mkoani Kigoma katika tukio hilo limefanikiwa pia kukamata risasi 42
> Katika kurushiana risasi Askari mmoja, James Mwita(37) na raia, Sophia Dicksoni(60) walijeruhiwa na wanaendelea na matibabu katika Hospitali ya Kibondo
Zaidi, soma https://jamii.app/PolisiKifoMajambazi
AZAKI: TUNASHUHUDIA HAKI ZA KIDEMOKRASIA, UHURU WA KUJUMUIKA VIKIZIDI KUZOROTA
- Asasi za Kiraia 65 zimetoa Tamko leo Aprili 01, 2019 zikielezea kuguswa na mwenendo wa demokrasia, haki ya kujumuika na uhuru wa kujiunga na vyama nchini
- Pia, Asasi zimemshauri Rais Magufuli kuona umuhimu wa kukutana na vyama vya upinzani nchini na kuzungumza navyo
Zaidi, soma https://jamii.app/TamkoAzaki2019
- Asasi za Kiraia 65 zimetoa Tamko leo Aprili 01, 2019 zikielezea kuguswa na mwenendo wa demokrasia, haki ya kujumuika na uhuru wa kujiunga na vyama nchini
- Pia, Asasi zimemshauri Rais Magufuli kuona umuhimu wa kukutana na vyama vya upinzani nchini na kuzungumza navyo
Zaidi, soma https://jamii.app/TamkoAzaki2019
WAFANYAKAZI OFISI YA MADINI CHUNYA WASIMAMISHWA KAZI
- Waziri Biteko ameagiza wasimamishwe kwa tuhuma za kushirikiana na wachenjuaji kutorosha dhahabu
- Mapema leo aliagiza kukamatwa kwa msimamizi wa kiwanda cha kuchenjua dhahabu cha Ntolah
Zaidi, soma https://jamii.app/MsimamiziNtolahKukamatwa
- Waziri Biteko ameagiza wasimamishwe kwa tuhuma za kushirikiana na wachenjuaji kutorosha dhahabu
- Mapema leo aliagiza kukamatwa kwa msimamizi wa kiwanda cha kuchenjua dhahabu cha Ntolah
Zaidi, soma https://jamii.app/MsimamiziNtolahKukamatwa
PERU: WATU 20 WAPOTEZA MAISHA KATIKA AJALI YA BASI KUUNGUA
> Watu 20 wamepoteza maisha baada ya basi la abiria walilokuwa wakisafiria kushika moto karibu na mji mkuu wa Peru, Lima
> Lilikuwa likielekea katika moja ya miji ya Kaskazini mwa nchi hiyo na inasemekana halikuwa na vifaa vya kuzima moto
Zaidi, soma https://jamii.app/Vifo20BasiMoto
> Watu 20 wamepoteza maisha baada ya basi la abiria walilokuwa wakisafiria kushika moto karibu na mji mkuu wa Peru, Lima
> Lilikuwa likielekea katika moja ya miji ya Kaskazini mwa nchi hiyo na inasemekana halikuwa na vifaa vya kuzima moto
Zaidi, soma https://jamii.app/Vifo20BasiMoto
SERIKALI: KANUNI MPYA KWA AJILI YA KUBADILI FEDHA ZA KIGENI ZAANDALIWA
- Waziri wa Fedha, Dkt. Mpango amesema kanuni zitaeleza namna ya kuomba leseni za uendeshaji wa maduka ya kubadili fedha
- Zinalenga kuweka mazingira mazuri ya biashara
Zaidi, soma https://jamii.app/KanuniMadukaFedha-TZ
- Waziri wa Fedha, Dkt. Mpango amesema kanuni zitaeleza namna ya kuomba leseni za uendeshaji wa maduka ya kubadili fedha
- Zinalenga kuweka mazingira mazuri ya biashara
Zaidi, soma https://jamii.app/KanuniMadukaFedha-TZ
SERIKALI YAKABIDHI NDEGE YAKE KWA ATCL
- Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi amekabidhi ndege hiyo katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar
- Ndege hiyo ilitolewa na Rais Magufuli ili ikasaidie kubeba abira wa Shirika la ndege la ATCL
#JFLeo
- Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi amekabidhi ndege hiyo katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar
- Ndege hiyo ilitolewa na Rais Magufuli ili ikasaidie kubeba abira wa Shirika la ndege la ATCL
#JFLeo
IKULU: NAIBU KATIBU WIZARA YA FEDHA NA NAIBU KAMISHNA TRA WAAPISHWA
- Rais Magufuli leo amemuapisha Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha atakayeshughulikia sera, Adolf Hyasinth Ndunguru pamoja na Naibu Kamishna Mkuu wa TRA, Msafiri Lameck Mbibo
- Amewataka viongozi hao kwenda kushughulikia dosari zilizopo katika ofisi zao
Zaidi, soma https://jamii.app/UapishajiIkuluApril2019
- Rais Magufuli leo amemuapisha Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha atakayeshughulikia sera, Adolf Hyasinth Ndunguru pamoja na Naibu Kamishna Mkuu wa TRA, Msafiri Lameck Mbibo
- Amewataka viongozi hao kwenda kushughulikia dosari zilizopo katika ofisi zao
Zaidi, soma https://jamii.app/UapishajiIkuluApril2019