JamiiForums
52.5K subscribers
34.4K photos
2.47K videos
31.4K links
Official Telegram Channel | Inform x Engage x Empower
Download Telegram
TANZANIA YATAKIWA KUHAKIKISHA VIFUNGU VYA SHERIA YA HUDUMA ZA HABARI VINAENDANA NA MKATABA WA EAC

> Hii ni baada ya Mahakama kukubaliana na waleta maombi kwamba vifungu vya Sheria ya Huduma za Habari, 2016 vinakiuka Mkataba wa EAC

Zaidi, soma > https://jamii.app/TanzaniaVsEACJ
IKULU, DAR: Baadhi ya nukuu za alichokisema Rais Magufuli wakati akimuapisha Balozi mteule, Valentino Mlowola anayekwenda kuiwakilisha Tanzania nchini Cuba
MANCHESTER UNITED YAMPA OLE GUNNAR SOLSKJAER MKATABA WA KUDUMU

- Amepewa mkataba wa miaka mitatu baada ya kukabidhiwa timu hiyo kama kocha wa muda Desemba 2018 alipotimuliwa Jose Mourinho

- Tangu akabidhiwe timu hiyo ameshinda michezo 14 kati ya 19 aliyoiongoza

#JFLeo
TUNDU LISSU AANDIKA BARUA YA KUDAI POSHO NA MSHAHARA WAKE

> Amemwandikia barua Katibu wa Bunge akitaka malipo hayo yafanyike ndani ya siku 14 vinginevyo ataenda Mahakamani

> Katibu wa Bunge, Stephen Kigaigai akana kupokea barua hiyo

Soma > https://jamii.app/LissuVsKatibuBunge
JE, WAIJUA HISTORIA YA NENO DALADALA?

> Miaka 1980 kulikuwa na shida ya usafiri Dar, nauli ikaongezeka na kufikia shilingi 5

> Makondakta walianza kuita 'Kariakoo dala dala!' maana shilingi 5 ilikuwa sawa na dola 1 ya Marekani

Soma > https://jamii.app/HistoriaDaladala

#JFHistoria
RAIS MAGUFULI ATEMBELEA NDEGE YA SERIKALI INAYOPAKWA RANGI YA ATCL

- Ndege hiyo aina ya Foker 50 iliyokuwa inabeba Viongozi inabadilishwa iwe ya ATCL na ianze kubeba abiria

- Mapema leo akiwa Ikulu, Rais amesema kuwa upakaji rangi wa ndege hiyo umegharimu Tsh. Milioni 5
KESI YA MEMBE DHIDI YA MUSIBA YAPIGWA KALENDA

- Bernad Membe amefika Mahakama Kuu kwa ajili ya kesi ya madai ya fidia ya Tsh. Bilioni 10 dhidi ya Cyprian Musiba

- Imeahirishwa baada ya Musiba kuomba muda wa kuwasilisha majibu dhidi ya Membe

Soma https://jamii.app/KesiMembe-MusibaYaahirishwa
DURBAN, AFRIKA KUSINI: MAGARI 7 YATEKETEZWA NA MOTO KATIKA GHASIA ZA MGOMO WA MADEREVA

> Mgomo wa madereva wa magari ya mizigo ulianza Jumapili ktk viunga vya KwaZulu-Natal

> Madereva wazawa wanadai wageni wanachukua kazi zao

Soma > https://jamii.app/MgomoMaderevaSA
BURUDANI: JE, NI NINI KIMESABISHA MUZIKI WA DANSI USHUKE?

> Kuanzia miaka ya 1970 hadi miaka ya katikati ya 2000 muziki wa dansi ulisikika na kujizolea mashabiki kila kona ya nchi

> Lakini kwa sasa bendi nyingi zimesambaratika ama wanamuziki wake kufanya kazi ya kuimba kwenye baa ili kupata pesa ya kujikimu

#JFBurudani
LISHE BORA: 35% YA WATOTO CHINI YA MIAKA 5 NCHINI WAMEDUMAA

- Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Chakula Duniani(WFP) nchini, Michael Dunford amesema hali hiyo inachangiwa na matumizi ya nafaka pekee katika kuandaa lishe ya Watoto

Soma https://jamii.app/LisheDuniWatotoWadumaa

#JFLeo #LisheBora
BOEING YATANGAZA MATENGENEZO KATIKA NDEGE ZAKE AINA YA 737 MAX

- Imetangaza mabadiliko kwenye mfumo wake wa kuzuia ajali unaohusishwa na ajali mbili za ndege za aina hiyo

- Itaweka mfumo wa kuashiria ajali ambao awali ulikua si wa lazima

Zaidi, soma https://jamii.app/MatengezoBoeing737Max
SOMALIA: MLIPUKO WA BOMU WAUA WATU 15

> Gari iliyotegwa bomu imelipuka karibu na Hoteli moja iliyopo Mji Mkuu Mogadishu. Al-Shabaab watuhumiwa kuhusika

> Watu 17 wamekimbizwa Hospitali baada ya kujeruhiwa katika mlipuko huo.

Zaidi, soma => https://jamii.app/BomuLaua15Somalia