MAHAKAMA YA AFRIKA MASHARIKI KUAMUA KUHUSU KESI YA SHERIA YA HUDUMA ZA HABARI
> Sheria inayolalamikiwa ilipitishwa na Bunge, Februari 2, 2016 na kusainiwa na Rais Magufuli Februari 13
> Kifungu cha 18 kinaelezwa kinakiuka Mkataba wa EAC
Soma > https://jamii.app/KesiAfrikaMashariki
> Sheria inayolalamikiwa ilipitishwa na Bunge, Februari 2, 2016 na kusainiwa na Rais Magufuli Februari 13
> Kifungu cha 18 kinaelezwa kinakiuka Mkataba wa EAC
Soma > https://jamii.app/KesiAfrikaMashariki
MAHOJIANO YA MAALIM SEIF YAFUTWA
> Mahojiano yalipangwa kufanyika katika kipindi cha asubuhi cha Clouds 36O
> Imeelezwa kuwa mahojiano hayo hayatakuwepo kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wao(Clouds Tv)
Soma > https://jamii.app/MaalimuClouds360
> Mahojiano yalipangwa kufanyika katika kipindi cha asubuhi cha Clouds 36O
> Imeelezwa kuwa mahojiano hayo hayatakuwepo kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wao(Clouds Tv)
Soma > https://jamii.app/MaalimuClouds360
IKULU, DAR: BALOZI WA TANZANIA NCHINI CUBA AAPISHWA
- Rais Magufuli amemuapisha Kamishna Valentino Mlowola kuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba
- Aidha, Balozi Mlowola amekula kiapo cha uadilifu mbele ya Jaji
Soma https://jamii.app/KuapishwaBaloziRipotiTAKUKURU
- Rais Magufuli amemuapisha Kamishna Valentino Mlowola kuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba
- Aidha, Balozi Mlowola amekula kiapo cha uadilifu mbele ya Jaji
Soma https://jamii.app/KuapishwaBaloziRipotiTAKUKURU
TANZANIA YATAKIWA KUHAKIKISHA VIFUNGU VYA SHERIA YA HUDUMA ZA HABARI VINAENDANA NA MKATABA WA EAC
> Hii ni baada ya Mahakama kukubaliana na waleta maombi kwamba vifungu vya Sheria ya Huduma za Habari, 2016 vinakiuka Mkataba wa EAC
Zaidi, soma > https://jamii.app/TanzaniaVsEACJ
> Hii ni baada ya Mahakama kukubaliana na waleta maombi kwamba vifungu vya Sheria ya Huduma za Habari, 2016 vinakiuka Mkataba wa EAC
Zaidi, soma > https://jamii.app/TanzaniaVsEACJ
IKULU, DAR: Baadhi ya nukuu za alichokisema Rais Magufuli wakati akimuapisha Balozi mteule, Valentino Mlowola anayekwenda kuiwakilisha Tanzania nchini Cuba
MANCHESTER UNITED YAMPA OLE GUNNAR SOLSKJAER MKATABA WA KUDUMU
- Amepewa mkataba wa miaka mitatu baada ya kukabidhiwa timu hiyo kama kocha wa muda Desemba 2018 alipotimuliwa Jose Mourinho
- Tangu akabidhiwe timu hiyo ameshinda michezo 14 kati ya 19 aliyoiongoza
#JFLeo
- Amepewa mkataba wa miaka mitatu baada ya kukabidhiwa timu hiyo kama kocha wa muda Desemba 2018 alipotimuliwa Jose Mourinho
- Tangu akabidhiwe timu hiyo ameshinda michezo 14 kati ya 19 aliyoiongoza
#JFLeo
TUNDU LISSU AANDIKA BARUA YA KUDAI POSHO NA MSHAHARA WAKE
> Amemwandikia barua Katibu wa Bunge akitaka malipo hayo yafanyike ndani ya siku 14 vinginevyo ataenda Mahakamani
> Katibu wa Bunge, Stephen Kigaigai akana kupokea barua hiyo
Soma > https://jamii.app/LissuVsKatibuBunge
> Amemwandikia barua Katibu wa Bunge akitaka malipo hayo yafanyike ndani ya siku 14 vinginevyo ataenda Mahakamani
> Katibu wa Bunge, Stephen Kigaigai akana kupokea barua hiyo
Soma > https://jamii.app/LissuVsKatibuBunge
JE, WAIJUA HISTORIA YA NENO DALADALA?
> Miaka 1980 kulikuwa na shida ya usafiri Dar, nauli ikaongezeka na kufikia shilingi 5
> Makondakta walianza kuita 'Kariakoo dala dala!' maana shilingi 5 ilikuwa sawa na dola 1 ya Marekani
Soma > https://jamii.app/HistoriaDaladala
#JFHistoria
> Miaka 1980 kulikuwa na shida ya usafiri Dar, nauli ikaongezeka na kufikia shilingi 5
> Makondakta walianza kuita 'Kariakoo dala dala!' maana shilingi 5 ilikuwa sawa na dola 1 ya Marekani
Soma > https://jamii.app/HistoriaDaladala
#JFHistoria
KESI YA MEMBE DHIDI YA MUSIBA YAPIGWA KALENDA
- Bernad Membe amefika Mahakama Kuu kwa ajili ya kesi ya madai ya fidia ya Tsh. Bilioni 10 dhidi ya Cyprian Musiba
- Imeahirishwa baada ya Musiba kuomba muda wa kuwasilisha majibu dhidi ya Membe
Soma https://jamii.app/KesiMembe-MusibaYaahirishwa
- Bernad Membe amefika Mahakama Kuu kwa ajili ya kesi ya madai ya fidia ya Tsh. Bilioni 10 dhidi ya Cyprian Musiba
- Imeahirishwa baada ya Musiba kuomba muda wa kuwasilisha majibu dhidi ya Membe
Soma https://jamii.app/KesiMembe-MusibaYaahirishwa
DURBAN, AFRIKA KUSINI: MAGARI 7 YATEKETEZWA NA MOTO KATIKA GHASIA ZA MGOMO WA MADEREVA
> Mgomo wa madereva wa magari ya mizigo ulianza Jumapili ktk viunga vya KwaZulu-Natal
> Madereva wazawa wanadai wageni wanachukua kazi zao
Soma > https://jamii.app/MgomoMaderevaSA
> Mgomo wa madereva wa magari ya mizigo ulianza Jumapili ktk viunga vya KwaZulu-Natal
> Madereva wazawa wanadai wageni wanachukua kazi zao
Soma > https://jamii.app/MgomoMaderevaSA
BURUDANI: JE, NI NINI KIMESABISHA MUZIKI WA DANSI USHUKE?
> Kuanzia miaka ya 1970 hadi miaka ya katikati ya 2000 muziki wa dansi ulisikika na kujizolea mashabiki kila kona ya nchi
> Lakini kwa sasa bendi nyingi zimesambaratika ama wanamuziki wake kufanya kazi ya kuimba kwenye baa ili kupata pesa ya kujikimu
#JFBurudani
> Kuanzia miaka ya 1970 hadi miaka ya katikati ya 2000 muziki wa dansi ulisikika na kujizolea mashabiki kila kona ya nchi
> Lakini kwa sasa bendi nyingi zimesambaratika ama wanamuziki wake kufanya kazi ya kuimba kwenye baa ili kupata pesa ya kujikimu
#JFBurudani