JamiiForums
52.8K subscribers
34.4K photos
2.44K videos
31.3K links
Official Telegram Channel | Inform x Engage x Empower
Download Telegram
UTEUZI: RAIS MAGUFULI ATEUA MWENYEKITI WA BODI YA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI

> Aliyeteuliwa ni Dkt. Simbaiga na uteuzi wake ulianza rasmi tarehe 23 Machi 2019

> Kabla ya uteuzi alikuwa Mhadhiri Mwandamizi wa Idara ya Sosholojia(UDSM)

Soma > https://jamii.app/UteuziSimbaiga
NAMTUMBO: VIONGOZI 11 WA CHAMA CHA USHIRIKA WAKAMATWA KWA KUWAIBIA WAKULIMA

> Ni viongozi wa chama cha Ushirika cha Mjimwema

> Wanatuhumiwa kuchezea mizani na kuwaibia Wakulima tani 10 za Korosho zenye thamani ya Tsh. Milioni 33

Soma > https://jamii.app/ViongoziKoroshoNamtumbo
MICHEZO: KLABU YA BAYERN MUNICH YAMSAJILI BEKI LUCAS HERNANDEZ KWA ADA YA EURO MILIONI 80

> Mfaransa huyo amesaini mkataba wa miaka 5 na atajiunga na Bayern Julai 1, 2019

> Lucas Hernandez anaichezea Atletico Madrid kwa sasa

Soma > https://jamii.app/HernandezBayern

#JFSports
KENYA: MAJAJI WAPENDEKEZA KUPUNGUZWA KWA UMRI WA KUJIHUSISHA NA NGONO

- Wamependekeza umri huo ushushwe kutoka miaka 18 hadi 16

- Wanapingana na adhabu kali wanazopewa Wanaume kwa kushiriki ngono na Wasichana walio/wanaoelekea kubalehe

Zaidi, soma https://jamii.app/UmriNgonoKenya
MALTA: PASIPOTI YA TANZANIA YASHINDA TUZO YA UBORA NA USALAMA

> Nchi zilizotangazwa kushinda ni Tanzania kupitia Pasipoti yake mpya ya Kielektroniki, Kitambulisho cha utaifa cha nchi ya Estonia na Viza mpya ya Umoja wa Ulaya

Zaidi, soma => https://jamii.app/PasipotiTZTuzoUbora
EU YASITISHA KWA MUDA OPERESHENI YA KUKABILIANA NA WAHAMIAJI HARAMU

- Imesitisha operesheni Sophia ya kukabiliana na wahamiaji haramu katika bahari ya Mediterania

- Ni baada ya Mataifa wanachama kushindwa kuafikiana kuhusu operesheni hiyo

Zaidi, soma https://jamii.app/OperesheniSophiaYasitishwa
MAHAKAMA YA AFRIKA MASHARIKI KUAMUA KUHUSU KESI YA SHERIA YA HUDUMA ZA HABARI

> Sheria inayolalamikiwa ilipitishwa na Bunge, Februari 2, 2016 na kusainiwa na Rais Magufuli Februari 13

> Kifungu cha 18 kinaelezwa kinakiuka Mkataba wa EAC

Soma > https://jamii.app/KesiAfrikaMashariki
MAHOJIANO YA MAALIM SEIF YAFUTWA

> Mahojiano yalipangwa kufanyika katika kipindi cha asubuhi cha Clouds 36O

> Imeelezwa kuwa mahojiano hayo hayatakuwepo kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wao(Clouds Tv)

Soma > https://jamii.app/MaalimuClouds360
IKULU, DAR: BALOZI WA TANZANIA NCHINI CUBA AAPISHWA

- Rais Magufuli amemuapisha Kamishna Valentino Mlowola kuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba

- Aidha, Balozi Mlowola amekula kiapo cha uadilifu mbele ya Jaji

Soma https://jamii.app/KuapishwaBaloziRipotiTAKUKURU
TANZANIA YATAKIWA KUHAKIKISHA VIFUNGU VYA SHERIA YA HUDUMA ZA HABARI VINAENDANA NA MKATABA WA EAC

> Hii ni baada ya Mahakama kukubaliana na waleta maombi kwamba vifungu vya Sheria ya Huduma za Habari, 2016 vinakiuka Mkataba wa EAC

Zaidi, soma > https://jamii.app/TanzaniaVsEACJ
IKULU, DAR: Baadhi ya nukuu za alichokisema Rais Magufuli wakati akimuapisha Balozi mteule, Valentino Mlowola anayekwenda kuiwakilisha Tanzania nchini Cuba
MANCHESTER UNITED YAMPA OLE GUNNAR SOLSKJAER MKATABA WA KUDUMU

- Amepewa mkataba wa miaka mitatu baada ya kukabidhiwa timu hiyo kama kocha wa muda Desemba 2018 alipotimuliwa Jose Mourinho

- Tangu akabidhiwe timu hiyo ameshinda michezo 14 kati ya 19 aliyoiongoza

#JFLeo