MAKOSA YA MTANDAO: BOB CHACHA WANGWE ASHINDA KESI DHIDI YA JAMHURI
- Mahakama Kuu imeona hukumu ya kesi ya Jamhuri dhidi ya Wangwe ya kutotii Sheria ya Mtandao haikuwa na mashiko
- Wangwe alilipa faini ya Tsh. Milioni 5 katika kesi hiyo
Zaidi, soma https://jamii.app/WangweAibwagaJamhuri
- Mahakama Kuu imeona hukumu ya kesi ya Jamhuri dhidi ya Wangwe ya kutotii Sheria ya Mtandao haikuwa na mashiko
- Wangwe alilipa faini ya Tsh. Milioni 5 katika kesi hiyo
Zaidi, soma https://jamii.app/WangweAibwagaJamhuri
DAR: POLISI YAZUIA MKUTANO WA ACT-WAZALENDO NA WANAHABARI
- Imezuia mkutano wa Viongozi wa ACT na Wanahabari katika ofisi za chama hicho zilizopo Kijitonyama
- Viongozi walitaka kuongea baada ya mapema leo kuzuiliwa kufanya mkutano wa ndani
Zaidi, soma https://jamii.app/PolisiVsMkutanoACT
- Imezuia mkutano wa Viongozi wa ACT na Wanahabari katika ofisi za chama hicho zilizopo Kijitonyama
- Viongozi walitaka kuongea baada ya mapema leo kuzuiliwa kufanya mkutano wa ndani
Zaidi, soma https://jamii.app/PolisiVsMkutanoACT
WALIOTOROSHA MAKONTENA 329 BANDARINI WAFUNGWA MIAKA 3
- Hukumu hiyo imetolewa katika Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi
- Watuhumiwa hao watatu wametiwa hatiani katika mashtaka 107 kati ya 110 yaliyokuwa yakiwakabili
Zaidi, soma https://jamii.app/WaliotoroshaMakontenaWafungwa
- Hukumu hiyo imetolewa katika Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi
- Watuhumiwa hao watatu wametiwa hatiani katika mashtaka 107 kati ya 110 yaliyokuwa yakiwakabili
Zaidi, soma https://jamii.app/WaliotoroshaMakontenaWafungwa
MEYA WA MANISPAA YA MTWARA MIKINDANI AJIUNGA CCM AKITOKEA CUF
- Meya huyo ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Tandika, Geoffrey Isack Mwachisye ametangaza uamuzi huo leo
- Amesema ameamua kufanya hivyo ili kuunga mkono juhudi za Rais Magufuli
Zaidi, soma https://jamii.app/MeyaMtwaraAjiungaCCM
- Meya huyo ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Tandika, Geoffrey Isack Mwachisye ametangaza uamuzi huo leo
- Amesema ameamua kufanya hivyo ili kuunga mkono juhudi za Rais Magufuli
Zaidi, soma https://jamii.app/MeyaMtwaraAjiungaCCM
MWANZA: WATUHUMIWA WA KESI YA KUTOROSHA MADINI WAKIRI MAKOSA YAO
> Askari wa Polisi wanaotuhumiwa kuomba rushwa na kuwasindikiza wafanyabiashara hao wao wamekana mashtaka dhidi yao
> Serikali imewasilisha ushahidi wake kwenye kesi hiyo
Soma > https://jamii.app/KesiMadiniMwanza
#JFLeo
> Askari wa Polisi wanaotuhumiwa kuomba rushwa na kuwasindikiza wafanyabiashara hao wao wamekana mashtaka dhidi yao
> Serikali imewasilisha ushahidi wake kwenye kesi hiyo
Soma > https://jamii.app/KesiMadiniMwanza
#JFLeo
BURUNDI: WATOTO WALIOKAMATWA KWA KUCHORA VIBAYA PICHA YA RAIS WAACHIWA
- Wameachiwa kwa muda ikiwa ni siku chache tangu baadhi ya watumiaji wa Twitter kuanzisha kampeni ili waachiwe
- Walichora vibaya picha ya Rais Nkurunziza ktk vitabu vyao
Soma https://jamii.app/WatotoPichaRaisWaachiwa
- Wameachiwa kwa muda ikiwa ni siku chache tangu baadhi ya watumiaji wa Twitter kuanzisha kampeni ili waachiwe
- Walichora vibaya picha ya Rais Nkurunziza ktk vitabu vyao
Soma https://jamii.app/WatotoPichaRaisWaachiwa
KILIMANJARO: VIJANA WATUMIA SUMU YA PANYA KAMA MBADALA WA DAWA ZA KULEVYA
> Ni baada ya #DawaZaKulevya kuadimika nchini kwa kiasi kikubwa
> Imeelezwa kuwa ni ngumu kudhibiti matumizi ya kemikali hizo kwasababu hutumika kwa mahitaji mengine
Soma > https://jamii.app/KemikaliDawaKulevya
> Ni baada ya #DawaZaKulevya kuadimika nchini kwa kiasi kikubwa
> Imeelezwa kuwa ni ngumu kudhibiti matumizi ya kemikali hizo kwasababu hutumika kwa mahitaji mengine
Soma > https://jamii.app/KemikaliDawaKulevya
MSUMBIJI: MADHARA YA KIMBUNGA IDAI
> Taarifa zinaeleza kuwa Takribani Watoto 900,000 wameachwa yatima, wametenganishwa na familia zao, wamekosa makazi
> Serikali ya Msumbiji imefanya jitihada za kuwahifadhi kwenye makambi
Zaidi, soma => https://jamii.app/WatotoYatimaIdai
> Taarifa zinaeleza kuwa Takribani Watoto 900,000 wameachwa yatima, wametenganishwa na familia zao, wamekosa makazi
> Serikali ya Msumbiji imefanya jitihada za kuwahifadhi kwenye makambi
Zaidi, soma => https://jamii.app/WatotoYatimaIdai
SHERIA ZA MIRATHI: Je, unazifahamu aina ya sheria za Mirathi zilizopo Tanzania?
> Tanzania ina Sheria 3 za Mirathi; Sheria ya Mirathi ya Kimila, Sheria ya Mirathi ya Kiislamu na Sheria ya Serikali ya Mirathi.
Kufahamu matumizi ya Sheria, fungua > https://jamii.app/SheriaMirathi
> Tanzania ina Sheria 3 za Mirathi; Sheria ya Mirathi ya Kimila, Sheria ya Mirathi ya Kiislamu na Sheria ya Serikali ya Mirathi.
Kufahamu matumizi ya Sheria, fungua > https://jamii.app/SheriaMirathi
UTEUZI: RAIS MAGUFULI ATEUA MWENYEKITI WA BODI YA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI
> Aliyeteuliwa ni Dkt. Simbaiga na uteuzi wake ulianza rasmi tarehe 23 Machi 2019
> Kabla ya uteuzi alikuwa Mhadhiri Mwandamizi wa Idara ya Sosholojia(UDSM)
Soma > https://jamii.app/UteuziSimbaiga
> Aliyeteuliwa ni Dkt. Simbaiga na uteuzi wake ulianza rasmi tarehe 23 Machi 2019
> Kabla ya uteuzi alikuwa Mhadhiri Mwandamizi wa Idara ya Sosholojia(UDSM)
Soma > https://jamii.app/UteuziSimbaiga
NAMTUMBO: VIONGOZI 11 WA CHAMA CHA USHIRIKA WAKAMATWA KWA KUWAIBIA WAKULIMA
> Ni viongozi wa chama cha Ushirika cha Mjimwema
> Wanatuhumiwa kuchezea mizani na kuwaibia Wakulima tani 10 za Korosho zenye thamani ya Tsh. Milioni 33
Soma > https://jamii.app/ViongoziKoroshoNamtumbo
> Ni viongozi wa chama cha Ushirika cha Mjimwema
> Wanatuhumiwa kuchezea mizani na kuwaibia Wakulima tani 10 za Korosho zenye thamani ya Tsh. Milioni 33
Soma > https://jamii.app/ViongoziKoroshoNamtumbo
MICHEZO: KLABU YA BAYERN MUNICH YAMSAJILI BEKI LUCAS HERNANDEZ KWA ADA YA EURO MILIONI 80
> Mfaransa huyo amesaini mkataba wa miaka 5 na atajiunga na Bayern Julai 1, 2019
> Lucas Hernandez anaichezea Atletico Madrid kwa sasa
Soma > https://jamii.app/HernandezBayern
#JFSports
> Mfaransa huyo amesaini mkataba wa miaka 5 na atajiunga na Bayern Julai 1, 2019
> Lucas Hernandez anaichezea Atletico Madrid kwa sasa
Soma > https://jamii.app/HernandezBayern
#JFSports
KENYA: MAJAJI WAPENDEKEZA KUPUNGUZWA KWA UMRI WA KUJIHUSISHA NA NGONO
- Wamependekeza umri huo ushushwe kutoka miaka 18 hadi 16
- Wanapingana na adhabu kali wanazopewa Wanaume kwa kushiriki ngono na Wasichana walio/wanaoelekea kubalehe
Zaidi, soma https://jamii.app/UmriNgonoKenya
- Wamependekeza umri huo ushushwe kutoka miaka 18 hadi 16
- Wanapingana na adhabu kali wanazopewa Wanaume kwa kushiriki ngono na Wasichana walio/wanaoelekea kubalehe
Zaidi, soma https://jamii.app/UmriNgonoKenya
MALTA: PASIPOTI YA TANZANIA YASHINDA TUZO YA UBORA NA USALAMA
> Nchi zilizotangazwa kushinda ni Tanzania kupitia Pasipoti yake mpya ya Kielektroniki, Kitambulisho cha utaifa cha nchi ya Estonia na Viza mpya ya Umoja wa Ulaya
Zaidi, soma => https://jamii.app/PasipotiTZTuzoUbora
> Nchi zilizotangazwa kushinda ni Tanzania kupitia Pasipoti yake mpya ya Kielektroniki, Kitambulisho cha utaifa cha nchi ya Estonia na Viza mpya ya Umoja wa Ulaya
Zaidi, soma => https://jamii.app/PasipotiTZTuzoUbora
EU YASITISHA KWA MUDA OPERESHENI YA KUKABILIANA NA WAHAMIAJI HARAMU
- Imesitisha operesheni Sophia ya kukabiliana na wahamiaji haramu katika bahari ya Mediterania
- Ni baada ya Mataifa wanachama kushindwa kuafikiana kuhusu operesheni hiyo
Zaidi, soma https://jamii.app/OperesheniSophiaYasitishwa
- Imesitisha operesheni Sophia ya kukabiliana na wahamiaji haramu katika bahari ya Mediterania
- Ni baada ya Mataifa wanachama kushindwa kuafikiana kuhusu operesheni hiyo
Zaidi, soma https://jamii.app/OperesheniSophiaYasitishwa
MAHAKAMA YA AFRIKA MASHARIKI KUAMUA KUHUSU KESI YA SHERIA YA HUDUMA ZA HABARI
> Sheria inayolalamikiwa ilipitishwa na Bunge, Februari 2, 2016 na kusainiwa na Rais Magufuli Februari 13
> Kifungu cha 18 kinaelezwa kinakiuka Mkataba wa EAC
Soma > https://jamii.app/KesiAfrikaMashariki
> Sheria inayolalamikiwa ilipitishwa na Bunge, Februari 2, 2016 na kusainiwa na Rais Magufuli Februari 13
> Kifungu cha 18 kinaelezwa kinakiuka Mkataba wa EAC
Soma > https://jamii.app/KesiAfrikaMashariki
MAHOJIANO YA MAALIM SEIF YAFUTWA
> Mahojiano yalipangwa kufanyika katika kipindi cha asubuhi cha Clouds 36O
> Imeelezwa kuwa mahojiano hayo hayatakuwepo kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wao(Clouds Tv)
Soma > https://jamii.app/MaalimuClouds360
> Mahojiano yalipangwa kufanyika katika kipindi cha asubuhi cha Clouds 36O
> Imeelezwa kuwa mahojiano hayo hayatakuwepo kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wao(Clouds Tv)
Soma > https://jamii.app/MaalimuClouds360
IKULU, DAR: BALOZI WA TANZANIA NCHINI CUBA AAPISHWA
- Rais Magufuli amemuapisha Kamishna Valentino Mlowola kuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba
- Aidha, Balozi Mlowola amekula kiapo cha uadilifu mbele ya Jaji
Soma https://jamii.app/KuapishwaBaloziRipotiTAKUKURU
- Rais Magufuli amemuapisha Kamishna Valentino Mlowola kuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba
- Aidha, Balozi Mlowola amekula kiapo cha uadilifu mbele ya Jaji
Soma https://jamii.app/KuapishwaBaloziRipotiTAKUKURU
TANZANIA YATAKIWA KUHAKIKISHA VIFUNGU VYA SHERIA YA HUDUMA ZA HABARI VINAENDANA NA MKATABA WA EAC
> Hii ni baada ya Mahakama kukubaliana na waleta maombi kwamba vifungu vya Sheria ya Huduma za Habari, 2016 vinakiuka Mkataba wa EAC
Zaidi, soma > https://jamii.app/TanzaniaVsEACJ
> Hii ni baada ya Mahakama kukubaliana na waleta maombi kwamba vifungu vya Sheria ya Huduma za Habari, 2016 vinakiuka Mkataba wa EAC
Zaidi, soma > https://jamii.app/TanzaniaVsEACJ
IKULU, DAR: Baadhi ya nukuu za alichokisema Rais Magufuli wakati akimuapisha Balozi mteule, Valentino Mlowola anayekwenda kuiwakilisha Tanzania nchini Cuba