KAMPENI YAANZISHWA KUSHINIKIZA KUACHIWA KWA WATOTO WALIOKAMATWA KISA PICHA YA RAIS
- Baadhi ya Watumiaji wa mtandao wa Twitter wanasambaza picha za Rais Nkurunzinza wa Burundi zilizochorwa vibaya
- Zinaambatanishwa na hashtag ya FreeOurGirls
Zaidi, soma https://jamii.app/KampeniKuachiwaWatotoBRND
- Baadhi ya Watumiaji wa mtandao wa Twitter wanasambaza picha za Rais Nkurunzinza wa Burundi zilizochorwa vibaya
- Zinaambatanishwa na hashtag ya FreeOurGirls
Zaidi, soma https://jamii.app/KampeniKuachiwaWatotoBRND
ACT-WAZALENDO YAPEWA SIKU 14 KUJIELEZA KWANINI ISIFUTIWE USAJILI
- Msajili wa Vyama vya Siasa ameeleza kuwa Chama hicho kimevunja sheria kadhaa za vyama vya Siasa
- Ikiwemo viongozi wa chama kutokemea vitendo vya kuchomwa kwa bendera za CUF
Zaidi, soma https://jamii.app/ACTSiku14Kujieleza
- Msajili wa Vyama vya Siasa ameeleza kuwa Chama hicho kimevunja sheria kadhaa za vyama vya Siasa
- Ikiwemo viongozi wa chama kutokemea vitendo vya kuchomwa kwa bendera za CUF
Zaidi, soma https://jamii.app/ACTSiku14Kujieleza
TEKNOLOJIA: MAMBO UNAYOWEZA KUFANYA KWA KAMERA YA SIMU
> Kamera ya simu inaweza kufanya kazi nyingi za faida zaidi ya kutumika katika kupiga picha. Baadhi ya kazi hizo ni ku-Scan nyaraka, ukalimani na ku-scan barcodes
Zaidi, soma => https://jamii.app/CameraZaSimu
#JFTeknolojia
> Kamera ya simu inaweza kufanya kazi nyingi za faida zaidi ya kutumika katika kupiga picha. Baadhi ya kazi hizo ni ku-Scan nyaraka, ukalimani na ku-scan barcodes
Zaidi, soma => https://jamii.app/CameraZaSimu
#JFTeknolojia
MKOA WA DAR KINARA KWA BIASHARA HARAMU YA KUSAFIRISHA BINADAMU
- Waziri Lugola amebainisha hayo na kuwaonya wanaojihusisha na biashara hiyo kuacha
- Aidha, kuanzia Januari-Disemba 2018 Watanzania 147 wahanga wa biashara hiyo wameokolewa
Zaidi, soma https://jamii.app/HumanTraffickingDar
- Waziri Lugola amebainisha hayo na kuwaonya wanaojihusisha na biashara hiyo kuacha
- Aidha, kuanzia Januari-Disemba 2018 Watanzania 147 wahanga wa biashara hiyo wameokolewa
Zaidi, soma https://jamii.app/HumanTraffickingDar
TAHADHARI YA JOTO KALI NA UKAME YATOLEWA AFRIKA MASHARIKI
- Ni kwa mujibu wa Kituo cha Utabiri wa Hali ya Hewa cha Mamlaka ya Maendeleo Kenya(IGAD)
- Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania(TMA) imesema mwaka huu kutakuwa na kipindi kifupi cha mvua
Zaidi, soma https://jamii.app/TahadhariUkameJoto-2019
- Ni kwa mujibu wa Kituo cha Utabiri wa Hali ya Hewa cha Mamlaka ya Maendeleo Kenya(IGAD)
- Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania(TMA) imesema mwaka huu kutakuwa na kipindi kifupi cha mvua
Zaidi, soma https://jamii.app/TahadhariUkameJoto-2019
WATU WATANO WANAODAIWA KUWA MAJAMBAZI WAUAWA KIGOMA
- Polisi imewaua Watu hao wakati wakijiandaa kuteka magari katika pori la Rusohoko barabara ya Kibondo-Kasulu
- Katika tukio hilo, Askari 2 wameheruhiwa na Majambazi wengine kadhaa kukimbia
Zaidi, soma https://jamii.app/MajambaziWauawaKGM
- Polisi imewaua Watu hao wakati wakijiandaa kuteka magari katika pori la Rusohoko barabara ya Kibondo-Kasulu
- Katika tukio hilo, Askari 2 wameheruhiwa na Majambazi wengine kadhaa kukimbia
Zaidi, soma https://jamii.app/MajambaziWauawaKGM
MKURUGENZI MKUU MAMLAKA YA VIWANJA VYA NDEGE NCHINI(TAA) ATENGULIWA
- Rais Magufuli ametengua uteuzi wa aliyekuwa akishikilia nafasi hiyo Richard Mayongela
- Meneja wa TANROADS-Dar, Mhandisi Julius Ndyamukama ameteuliwa kushika nafasi hiyo
Zaidi, soma https://jamii.app/UteuziMkurugenziTAA-Machi2019
- Rais Magufuli ametengua uteuzi wa aliyekuwa akishikilia nafasi hiyo Richard Mayongela
- Meneja wa TANROADS-Dar, Mhandisi Julius Ndyamukama ameteuliwa kushika nafasi hiyo
Zaidi, soma https://jamii.app/UteuziMkurugenziTAA-Machi2019
JUMA DUNI HAJI ATEULIWA KUWA NAIBU KIONGOZI ACT-WAZALENDO
- Kiongozi wa chama, Zitto Kabwe amesema Kamati ya Uongozi imeridhia pendekezo lake la kuteua Naibu Kiongozi
- Uteuzi wa Duni aliyejiunga ACT akitokea CUF utaanza rasmi kesho Machi 27
Zaidi, soma https://jamii.app/DuniNaibuKiongoziACT
- Kiongozi wa chama, Zitto Kabwe amesema Kamati ya Uongozi imeridhia pendekezo lake la kuteua Naibu Kiongozi
- Uteuzi wa Duni aliyejiunga ACT akitokea CUF utaanza rasmi kesho Machi 27
Zaidi, soma https://jamii.app/DuniNaibuKiongoziACT
TAKUKURU YAINGIZA BILIONI 14.9 KWA KUTAIFISHA MALI ZA MAFISADI
> Kisasi hicho kimepatikana baada ya kutaifisha nyumba 7 magari manne kutoka kwa watu wanaoelezwa kuwa ni mafisadi
> Fedha hizo zimepatika kuanzia mwaka 2016 hadi 2019
Soma > https://jamii.app/TAKUKURUBilioni14
> Kisasi hicho kimepatikana baada ya kutaifisha nyumba 7 magari manne kutoka kwa watu wanaoelezwa kuwa ni mafisadi
> Fedha hizo zimepatika kuanzia mwaka 2016 hadi 2019
Soma > https://jamii.app/TAKUKURUBilioni14
AFYA: MADHARA YA KUTUMIA DAWA BILA YA USHAURI WA DAKTARI
> Matumizi holela ya dawa yanaweza kusababisha kifo, kuharibu baadhi ya seli za mwili na kuzifanya kugeuka kuwa seli za saratani, usugu wa maradhi na tatizo la mzio(Allegy)
Zaidi, soma => https://jamii.app/MadharaYaDawa
> Matumizi holela ya dawa yanaweza kusababisha kifo, kuharibu baadhi ya seli za mwili na kuzifanya kugeuka kuwa seli za saratani, usugu wa maradhi na tatizo la mzio(Allegy)
Zaidi, soma => https://jamii.app/MadharaYaDawa
WALIOCHOMA BENDERA ZA CUF KUFIKISHWA MAHAKAMANI
- CUF imefungua kesi dhidi ya watu walioshiriki kuchoma bendera na kubadilisha rangi za ofisi za chama hicho
- Kesi imefunguliwa jana katika Mahakama ya Vuga iliyopo Mjini Unguja, Zanzibar
Zaidi, soma https://jamii.app/WaliochomaBenderaCUF
- CUF imefungua kesi dhidi ya watu walioshiriki kuchoma bendera na kubadilisha rangi za ofisi za chama hicho
- Kesi imefunguliwa jana katika Mahakama ya Vuga iliyopo Mjini Unguja, Zanzibar
Zaidi, soma https://jamii.app/WaliochomaBenderaCUF
JE, NIFANYAJE IWAPO POLISI HATAKI KUNISAIDA AU ANAVUNJA HAKI ZANGU?
> Iwapo Askari Polisi hana msaada au amevunja haki yako, unaweza kulalamika kwa afisa wa Polisi wa ngazi ya juu kwa kupeleka malalamiko kwa barua
Kwa elimu zaidi, fungua https://jamii.app/Mambo101Polisi
#JFCivicSpace
> Iwapo Askari Polisi hana msaada au amevunja haki yako, unaweza kulalamika kwa afisa wa Polisi wa ngazi ya juu kwa kupeleka malalamiko kwa barua
Kwa elimu zaidi, fungua https://jamii.app/Mambo101Polisi
#JFCivicSpace
ACT-WAZALENDO YAZUNGUMZIA BARUA YA MSAJILI KUTAKA KUKIFUTA CHAMA HICHO
- Yasema madai ya kutowasilisha hesabu za mwaka 2013/14 si ukweli
- Kuhusu kuchomwa bendera za CUF, imesema msajili anaonesha hana uhakika waliofanya hivyo ni akina nani
Zaidi, soma https://jamii.app/ACTWazalendo-MsajiliVyama
- Yasema madai ya kutowasilisha hesabu za mwaka 2013/14 si ukweli
- Kuhusu kuchomwa bendera za CUF, imesema msajili anaonesha hana uhakika waliofanya hivyo ni akina nani
Zaidi, soma https://jamii.app/ACTWazalendo-MsajiliVyama
SAMATTA AITAKA TFF IMKUMBUKE SHOMARI KAPOMBE KATIKA ZAWADI
- Kapombe hakuweza kuendelea kuwa katika Kikosi cha Taifa Stars baada ya kupata majeraha ktk maandalizi ya mchezo wa kuwania kufuzu AFCON kati ya Taifa Stars dhidi ya Lesotho
Soma > https://jamii.app/SamattaShomariTFF
- Kapombe hakuweza kuendelea kuwa katika Kikosi cha Taifa Stars baada ya kupata majeraha ktk maandalizi ya mchezo wa kuwania kufuzu AFCON kati ya Taifa Stars dhidi ya Lesotho
Soma > https://jamii.app/SamattaShomariTFF
BRAZIL: RAIS WA ZAMANI AACHIWA BAADA YA KUKAMATWA KWA TUHUMA ZA RUSHWA
- Michel Temer aliachiwa huru jana baada ya kuwa kizuizini tangu Alhamisi wiki iliyopita
- Mahakama imesema Wapelelezi hawajaeleza umuhimu wa kumuweka kizuizini Rais huyo
Soma https://jamii.app/ExPresidentArrested
- Michel Temer aliachiwa huru jana baada ya kuwa kizuizini tangu Alhamisi wiki iliyopita
- Mahakama imesema Wapelelezi hawajaeleza umuhimu wa kumuweka kizuizini Rais huyo
Soma https://jamii.app/ExPresidentArrested
KIGOMA: NYUMBA YA TEMBE ILIYOUNGANISHIWA UMEME YAZINDULIWA NA WAZIRI
> Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani ameizindua nyumba ya Rose Kagoma iliyounganishiwa umeme wa REA katika Kijiji cha Ruganga Wilayani Kibondo
Zaidi, soma => https://jamii.app/NyumbeTembeUmeme
#JFLeo
> Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani ameizindua nyumba ya Rose Kagoma iliyounganishiwa umeme wa REA katika Kijiji cha Ruganga Wilayani Kibondo
Zaidi, soma => https://jamii.app/NyumbeTembeUmeme
#JFLeo
MFANYABIASHARA ALIYETUHUMIWA KUTAKA KUWAUA WANAODAIWA KUWA WANAUSALAMA APEWA DHAMANA
> MARA: Ndugu, Peter Zakaria alikamatwa na kushikiliwa tangu Julai 5, 2018 kwa tuhuma za kujaribu kuwaua kwa kuwapiga risasi Ahmed Segule na Isaac Bwire
Soma > https://jamii.app/PeterZakariaDhamana
> MARA: Ndugu, Peter Zakaria alikamatwa na kushikiliwa tangu Julai 5, 2018 kwa tuhuma za kujaribu kuwaua kwa kuwapiga risasi Ahmed Segule na Isaac Bwire
Soma > https://jamii.app/PeterZakariaDhamana
ALGERIA: MKUU WA MAJESHI ATAKA RAIS WA NCHI ATANGAZWE KUPOTEZA SIFA YA KUONGOZA
- Ahmed Salah ametaka hivyo kufuatia maandamano kadhaa dhidi Rais Abdelaziz Bouteflika
- Anataka kuanzisha mchakato wa Kikatiba utakaomtangaza Rais kupoteza sifa
Zaidi, soma https://jamii.app/ArmyChief-BouteflikaALG
- Ahmed Salah ametaka hivyo kufuatia maandamano kadhaa dhidi Rais Abdelaziz Bouteflika
- Anataka kuanzisha mchakato wa Kikatiba utakaomtangaza Rais kupoteza sifa
Zaidi, soma https://jamii.app/ArmyChief-BouteflikaALG
TANZANIA MBIONI KUISHIWA DAWA ZA KUTULIZA MAUMIVU MAKALI
> Taarifa hii ni kwa mujibu wa tovuti ya 'The East African' imeelezwa kuwa taasisi ya Wagonjwa wa Saratani ya Ocean Road ilitoa taarifa za tishio la kuisha kwa dawa hizo tangu 2018
Soma => https://jamii.app/DawaMaumivu
> Taarifa hii ni kwa mujibu wa tovuti ya 'The East African' imeelezwa kuwa taasisi ya Wagonjwa wa Saratani ya Ocean Road ilitoa taarifa za tishio la kuisha kwa dawa hizo tangu 2018
Soma => https://jamii.app/DawaMaumivu
MPENZI WANGU ANAUZA MAJENEZA, HAMU IMENIISHA
> Mdau wa JamiiForums anaeleza kuwa amekuwa kwenye mahusiano na huyo Mwanamke kwa muda wa miezi 6 sasa
> Anasema walikutana Kariakoo kwenye duka la simu la Mwanamke huyo lakini hakujua kama anamiliki duka la majeneza
Zaidi, soma => https://jamii.app/MpenziMajeneza
> Mdau wa JamiiForums anaeleza kuwa amekuwa kwenye mahusiano na huyo Mwanamke kwa muda wa miezi 6 sasa
> Anasema walikutana Kariakoo kwenye duka la simu la Mwanamke huyo lakini hakujua kama anamiliki duka la majeneza
Zaidi, soma => https://jamii.app/MpenziMajeneza