ARUSHA: TANI 8 ZA NYAMA YA NG'OMBE NA NGURUWE ZATEKETEZWA
- Serikali imeteketeza nyama hizo zenye viambata vya sumu na zilizokwisha muda wa matumizi
- Zimekamatwa zikiuzwa katika maduka makubwa licha ya kutofaa kwa matumizi ya binadamu
Zaidi, soma https://jamii.app/NyamaZateketezwaArusha
- Serikali imeteketeza nyama hizo zenye viambata vya sumu na zilizokwisha muda wa matumizi
- Zimekamatwa zikiuzwa katika maduka makubwa licha ya kutofaa kwa matumizi ya binadamu
Zaidi, soma https://jamii.app/NyamaZateketezwaArusha
TAKUKURU YAWASHIKILIA VIONGOZI WA CCM KWA TUHUMA ZA RUSHWA
- Ni Katibu CCM tawi la Amana, Jenipher Mushi; Katibu Kata CCM Ilala, Devota Bantulaki na Katibu Hamasa CCM-Dar, Frank Mang'ati
- Waliomba rushwa ya Tsh. Milioni 5 na kupokea Tsh. Milioni 3
Zaidi, soma https://jamii.app/ViongoziCCMIlalaMbaroni
- Ni Katibu CCM tawi la Amana, Jenipher Mushi; Katibu Kata CCM Ilala, Devota Bantulaki na Katibu Hamasa CCM-Dar, Frank Mang'ati
- Waliomba rushwa ya Tsh. Milioni 5 na kupokea Tsh. Milioni 3
Zaidi, soma https://jamii.app/ViongoziCCMIlalaMbaroni
RAIS MAGUFULI AKUTANA NA WACHEZAJI WA TAIFA STARS NA BONDIA MWAKINYO
> Amekutana na Wachezaji wa Taifa Stars, viongozi wa TFF, Kamati ya Uhamasishaji na Bondia Hassan Mwakinyo
> Rais atawapongeza na kula nao chakula cha mchana
Zaidi, soma => https://jamii.app/RaisWanamichezoIkulu
> Amekutana na Wachezaji wa Taifa Stars, viongozi wa TFF, Kamati ya Uhamasishaji na Bondia Hassan Mwakinyo
> Rais atawapongeza na kula nao chakula cha mchana
Zaidi, soma => https://jamii.app/RaisWanamichezoIkulu
RAIS MAGUFULI AWAPATIA VIWANJA WACHEZAJI WA TAIFA STARS
- Wachezaji hao na Bondia Hassan Mwanyiko na Mwalimu wake watapatiwa viwanja mkoani Dodoma
- Rais amesema hiyo ni zawadi ya Serikali kwa niaba ya Watanzania kama shukrani
Zaidi, soma https://jamii.app/RaisWanamichezoIkulu
- Wachezaji hao na Bondia Hassan Mwanyiko na Mwalimu wake watapatiwa viwanja mkoani Dodoma
- Rais amesema hiyo ni zawadi ya Serikali kwa niaba ya Watanzania kama shukrani
Zaidi, soma https://jamii.app/RaisWanamichezoIkulu
RAIS MAGUFULI AMPA MCHEZAJI WA ZAMANI TSH. MILIONI 5
- Aliyepewa ni Peter Tino mchezaji aliyekuwepo kwenye kikosi cha mwaka 1979 kilichofuzu AFCON
- Amempatia wakati alipokutana na Wachezaji wa Taifa Stars na Bondia Mwakinyo
Zaidi, soma https://jamii.app/RaisWanamichezoIkulu
- Aliyepewa ni Peter Tino mchezaji aliyekuwepo kwenye kikosi cha mwaka 1979 kilichofuzu AFCON
- Amempatia wakati alipokutana na Wachezaji wa Taifa Stars na Bondia Mwakinyo
Zaidi, soma https://jamii.app/RaisWanamichezoIkulu
SERIKALI YATOA BILIONI 1 KWA MAANDALIZI YA U-17 AFRICA CUP OF NATIONS
- Rais Magufuli ametoa ahadi hiyo ili kusaidia maandalizi ya michuano hiyo ya chini ya miaka 17 itakayofanyika nchini
- Itafanyika Aprili 14 hadi Aprili 28 mwaka huu ambapo Tanzania inashiriki kwa mara ya pili
Zaidi, soma https://jamii.app/RaisWanamichezoIkulu
- Rais Magufuli ametoa ahadi hiyo ili kusaidia maandalizi ya michuano hiyo ya chini ya miaka 17 itakayofanyika nchini
- Itafanyika Aprili 14 hadi Aprili 28 mwaka huu ambapo Tanzania inashiriki kwa mara ya pili
Zaidi, soma https://jamii.app/RaisWanamichezoIkulu
KIMBUNGA IDAI: IDADI YA WATU WALIOFARIKI NI ZAIDI YA 750
- Msumbiji idadi ya Watu waliofariki imefikia 446, Zimbabwe imefikia 259 huku Malawi ikiwa ni 56
- Mamlaka inasema kuna uwezekano mkubwa kutokea kwa magonjwa ya Mlipuko
Zaidi, soma https://jamii.app/KimbungaChauaZimbabwe
- Msumbiji idadi ya Watu waliofariki imefikia 446, Zimbabwe imefikia 259 huku Malawi ikiwa ni 56
- Mamlaka inasema kuna uwezekano mkubwa kutokea kwa magonjwa ya Mlipuko
Zaidi, soma https://jamii.app/KimbungaChauaZimbabwe
SERENGETI, MARA: AFUNGWA MIAKA 30 KWA HATIA YA KUMBAKA MAMA YAKE MZAZI
> Mahakama imemkuta na hatia hiyo Choral Samson(28) aliyembaka Bi. Robhi Nyang'ombe(65)
> Kijana huyo ameiomba Mahakama impunguzie adhabu kwani ni kosa lake la kwanza
Soma => https://jamii.app/Miaka30jelaKumbakaMama
> Mahakama imemkuta na hatia hiyo Choral Samson(28) aliyembaka Bi. Robhi Nyang'ombe(65)
> Kijana huyo ameiomba Mahakama impunguzie adhabu kwani ni kosa lake la kwanza
Soma => https://jamii.app/Miaka30jelaKumbakaMama
MOSHI, KILIMANJARO: VIBAKA WAVAMIA HOSPITALI NA KUIBA
> Vibaka hao wanaoelezwa kuwa walikuwa wawili walivamia Wodi namba 1 katika Hospitali ya Kilimanjaro CRCT
> Katika Wodi hiyo walipora simu, fedha na mikoba ya akina Mama waliolazwa
Soma > https://jamii.app/VibakaHospitali
#JFLeo
> Vibaka hao wanaoelezwa kuwa walikuwa wawili walivamia Wodi namba 1 katika Hospitali ya Kilimanjaro CRCT
> Katika Wodi hiyo walipora simu, fedha na mikoba ya akina Mama waliolazwa
Soma > https://jamii.app/VibakaHospitali
#JFLeo
KISUTU: MAHAKAMA YAKATAA MDHAMINI WA TUNDU LISSU KUJITOA KWENYE KESI
- Mdhamini Robert Katula katika kesi ya uchochezi aliomba kujitoa akidai kukosa ushirikiano wa Mshtakiwa
- Hakimu amesema Mdhamini hawezi kujitoa mshtakiwa asipokuwepo
Zaidi, soma https://jamii.app/MdhaminiLissuKujitoaKesi
- Mdhamini Robert Katula katika kesi ya uchochezi aliomba kujitoa akidai kukosa ushirikiano wa Mshtakiwa
- Hakimu amesema Mdhamini hawezi kujitoa mshtakiwa asipokuwepo
Zaidi, soma https://jamii.app/MdhaminiLissuKujitoaKesi
KAMPALA, UGANDA: MAJAJI WA MAHAKAMA KUU WAGOMA, WADAI MASLAHI BORA
> Waamua kusitisha huduma kwenye vituo vya kimahakama 20 kwa maelezo kuwa serikali inapuuza madai yao
> Wanadai ongezeko la marupurupu, fedha za uendeshaji na watumishi
Zaidi, soma https://jamii.app/MajajiWagomaUG
> Waamua kusitisha huduma kwenye vituo vya kimahakama 20 kwa maelezo kuwa serikali inapuuza madai yao
> Wanadai ongezeko la marupurupu, fedha za uendeshaji na watumishi
Zaidi, soma https://jamii.app/MajajiWagomaUG
SERIKALI YA NIGERIA YASHINDWA KUTHIBITISHA MADAI DHIDI YA JAJI MKUU
- Jaji Onnoghen alisimamishwa kazi na Rais Buhari akishutumiwa kushindwa kuweka wazi mali alizokuwa nazo kabla ya kuwa Jaji Mkuu
- Serikali yafunga kesi iliyokuwa inamkabili
Zaidi, soma https://jamii.app/SerikaliNGRvJajiMkuu
- Jaji Onnoghen alisimamishwa kazi na Rais Buhari akishutumiwa kushindwa kuweka wazi mali alizokuwa nazo kabla ya kuwa Jaji Mkuu
- Serikali yafunga kesi iliyokuwa inamkabili
Zaidi, soma https://jamii.app/SerikaliNGRvJajiMkuu
KENYA: JAJI MWENYE UMRI WA MIAKA 69 APINGA KUSTAAFU
> Jaji wa Mahakama ya Rufani, Erastus Githinji afungua shauri la kupinga muda wake wa kustaafu
> Asema alizaliwa Desemba 30, 1949 hivyo atastaafu Desemba 29, 2019 na si Julai 1, 2019
Soma > https://jamii.app/JajiKenyaKustaafu
> Jaji wa Mahakama ya Rufani, Erastus Githinji afungua shauri la kupinga muda wake wa kustaafu
> Asema alizaliwa Desemba 30, 1949 hivyo atastaafu Desemba 29, 2019 na si Julai 1, 2019
Soma > https://jamii.app/JajiKenyaKustaafu
DAR: MTOTO WA MIAKA 7 AFARIKI DUNIA BAADA YA KUKANYAGWA UWANJA WA TAIFA
> Mtoto Ibrahim Hassan amefariki dunia baada ya kukanyagwa na kuangukiwa na watu jana
> Inaelezwa kuwa zilitokea ghasia katika geti la kuingilia uwanjani hapo
Zaidi, soma => https://jamii.app/MtotoAfarikiGetiUwanjaTaifa
> Mtoto Ibrahim Hassan amefariki dunia baada ya kukanyagwa na kuangukiwa na watu jana
> Inaelezwa kuwa zilitokea ghasia katika geti la kuingilia uwanjani hapo
Zaidi, soma => https://jamii.app/MtotoAfarikiGetiUwanjaTaifa
CHUO CHA URUBANI KUJENGWA NCHINI KWA UFADHILI WA CHINA
- Kitajengwa katika eneo la uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro(KIA)
- Kinajengwa huko kwa ajili ya urahisi wa mazoezi kwani ni karibu na viwanja vya ndege Moshi, Tanga na Arusha
Zaidi, soma https://jamii.app/ChuoUrubaniTanzaniaKujengwa
- Kitajengwa katika eneo la uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro(KIA)
- Kinajengwa huko kwa ajili ya urahisi wa mazoezi kwani ni karibu na viwanja vya ndege Moshi, Tanga na Arusha
Zaidi, soma https://jamii.app/ChuoUrubaniTanzaniaKujengwa
KENYA: MWANAMKE AFIKISHWA MAHAKAMANI KWA KUMNYONYESHA MTOTO HUKU AKIJUA AMEATHIRIKA KWA VVU
> Amefikishwa Mahakamani kwa tuhuma za kumnyonyesha Mtoto wa muajiri wake mwenye miezi 11
> Alikamatwa baada ya kuonekana kwenye Camera za CCTV
Soma > https://jamii.app/VVUAnyonyeshaKE
> Amefikishwa Mahakamani kwa tuhuma za kumnyonyesha Mtoto wa muajiri wake mwenye miezi 11
> Alikamatwa baada ya kuonekana kwenye Camera za CCTV
Soma > https://jamii.app/VVUAnyonyeshaKE
KAMPENI YAANZISHWA KUSHINIKIZA KUACHIWA KWA WATOTO WALIOKAMATWA KISA PICHA YA RAIS
- Baadhi ya Watumiaji wa mtandao wa Twitter wanasambaza picha za Rais Nkurunzinza wa Burundi zilizochorwa vibaya
- Zinaambatanishwa na hashtag ya FreeOurGirls
Zaidi, soma https://jamii.app/KampeniKuachiwaWatotoBRND
- Baadhi ya Watumiaji wa mtandao wa Twitter wanasambaza picha za Rais Nkurunzinza wa Burundi zilizochorwa vibaya
- Zinaambatanishwa na hashtag ya FreeOurGirls
Zaidi, soma https://jamii.app/KampeniKuachiwaWatotoBRND
ACT-WAZALENDO YAPEWA SIKU 14 KUJIELEZA KWANINI ISIFUTIWE USAJILI
- Msajili wa Vyama vya Siasa ameeleza kuwa Chama hicho kimevunja sheria kadhaa za vyama vya Siasa
- Ikiwemo viongozi wa chama kutokemea vitendo vya kuchomwa kwa bendera za CUF
Zaidi, soma https://jamii.app/ACTSiku14Kujieleza
- Msajili wa Vyama vya Siasa ameeleza kuwa Chama hicho kimevunja sheria kadhaa za vyama vya Siasa
- Ikiwemo viongozi wa chama kutokemea vitendo vya kuchomwa kwa bendera za CUF
Zaidi, soma https://jamii.app/ACTSiku14Kujieleza
TEKNOLOJIA: MAMBO UNAYOWEZA KUFANYA KWA KAMERA YA SIMU
> Kamera ya simu inaweza kufanya kazi nyingi za faida zaidi ya kutumika katika kupiga picha. Baadhi ya kazi hizo ni ku-Scan nyaraka, ukalimani na ku-scan barcodes
Zaidi, soma => https://jamii.app/CameraZaSimu
#JFTeknolojia
> Kamera ya simu inaweza kufanya kazi nyingi za faida zaidi ya kutumika katika kupiga picha. Baadhi ya kazi hizo ni ku-Scan nyaraka, ukalimani na ku-scan barcodes
Zaidi, soma => https://jamii.app/CameraZaSimu
#JFTeknolojia
MKOA WA DAR KINARA KWA BIASHARA HARAMU YA KUSAFIRISHA BINADAMU
- Waziri Lugola amebainisha hayo na kuwaonya wanaojihusisha na biashara hiyo kuacha
- Aidha, kuanzia Januari-Disemba 2018 Watanzania 147 wahanga wa biashara hiyo wameokolewa
Zaidi, soma https://jamii.app/HumanTraffickingDar
- Waziri Lugola amebainisha hayo na kuwaonya wanaojihusisha na biashara hiyo kuacha
- Aidha, kuanzia Januari-Disemba 2018 Watanzania 147 wahanga wa biashara hiyo wameokolewa
Zaidi, soma https://jamii.app/HumanTraffickingDar