MICHEZO: TFF YATOA UFAFANUZI KUHUSU JEZI ZINAZOSAMBAA MITANDAONI
> Imekana kuhusika na jezi hizo na kwamba ile sio sare inayotumiwa na timu ya Taifa
> Wanaoendelea kuuza jezi hizo watakiwa kuacha mara moja kabla hatua kali hazijachukuliwa
Zaidi, soma https://jamii.app/TFFvsJeziFeki
> Imekana kuhusika na jezi hizo na kwamba ile sio sare inayotumiwa na timu ya Taifa
> Wanaoendelea kuuza jezi hizo watakiwa kuacha mara moja kabla hatua kali hazijachukuliwa
Zaidi, soma https://jamii.app/TFFvsJeziFeki
TANZIA: BEHEWA SEMBWANA AFARIKI DUNIA
> Kiungo wa Kagera Sugar, Behewa Sembwana amefariki dunia leo alfajiri kutokana na maradhi ya tumbo
> Behewa aliwahi kuchezea timu za Njombe Mji na Coastal Union kabla ya kujiunga na Kagera Sugar
Zaidi, soma https://jamii.app/RIPBehewaSembwana
> Kiungo wa Kagera Sugar, Behewa Sembwana amefariki dunia leo alfajiri kutokana na maradhi ya tumbo
> Behewa aliwahi kuchezea timu za Njombe Mji na Coastal Union kabla ya kujiunga na Kagera Sugar
Zaidi, soma https://jamii.app/RIPBehewaSembwana
RC RUKWA AAGIZA MSAKO WA WAGANGA WA KIENYEJI
> Amemuagiza RPC Mathias Nyangi kuwakamata waganga wa kienyeji wote wasio na leseni halali
> Ni baada ya mganga mmoja huko Sumbawanga kuua watoto wawili kwa kuwafungia kwenye gari siku 2
Zaidi, soma https://jamii.app/MsakoWagangaRukwa
> Amemuagiza RPC Mathias Nyangi kuwakamata waganga wa kienyeji wote wasio na leseni halali
> Ni baada ya mganga mmoja huko Sumbawanga kuua watoto wawili kwa kuwafungia kwenye gari siku 2
Zaidi, soma https://jamii.app/MsakoWagangaRukwa
CANADA: PADRI ASHAMBULIWA AKIWA ANAONGOZA IBADA
> Claude Grou(77) aliyekuwa anaongoza ibada ndani ya Kanisa Katoliki, alivamiwa na mwanaume aliyekuwa amevaa kofia
> Sababu za kuvamiwa bado hazijafahamika, mtuhumiwa anashikiliwa na polisi
Zaidi, soma https://jamii.app/PadreCanadaAshambuliwa
> Claude Grou(77) aliyekuwa anaongoza ibada ndani ya Kanisa Katoliki, alivamiwa na mwanaume aliyekuwa amevaa kofia
> Sababu za kuvamiwa bado hazijafahamika, mtuhumiwa anashikiliwa na polisi
Zaidi, soma https://jamii.app/PadreCanadaAshambuliwa
DAR: WAISLAM WAUNGANA KWENYE DUA KUOMBA MVUA
> Dua hiyo kwa ajili ya kuombea mvua inyeshe na ili kuondokana na ukame imefanyika viwanja vya Mnazi Mmoja leo, Machi 24
> Mufti Abubakar amewataka Maimamu nchini kwenye swala ya Ijumaa kuomba Dua ya Kunuti
Zaidi, soma https://jamii.app/WaislamDuaMvua
> Dua hiyo kwa ajili ya kuombea mvua inyeshe na ili kuondokana na ukame imefanyika viwanja vya Mnazi Mmoja leo, Machi 24
> Mufti Abubakar amewataka Maimamu nchini kwenye swala ya Ijumaa kuomba Dua ya Kunuti
Zaidi, soma https://jamii.app/WaislamDuaMvua
MICHEZO: Tanzania imefuzu kushiriki Michuano ya Mataifa ya Africa (AFCON) baada ya kuinyuka Uganda goli 3-0
- Matokeo ya Lesotho na Cape Verde ni 0-0 na timu hizo zimeondolewa kwenye mashindano hayo
#afcon2019
- Matokeo ya Lesotho na Cape Verde ni 0-0 na timu hizo zimeondolewa kwenye mashindano hayo
#afcon2019
TETEMEKO LATIKISA MAENEO YA KENYA, KILIMANJARO & ARUSHA
> Tetemeko la Ardhi lenye ukubwa wa 4.8 kwa kipimo cha Richa limeyakumba maeneo kadhaa ya Kenya & Kilimanjaro na Arusha kwa Tanzania
> Athari za tetemeko hilo hazijajulikana
Soma jamii.app/TetemekoKenya
#earthquake #JFLeo
> Tetemeko la Ardhi lenye ukubwa wa 4.8 kwa kipimo cha Richa limeyakumba maeneo kadhaa ya Kenya & Kilimanjaro na Arusha kwa Tanzania
> Athari za tetemeko hilo hazijajulikana
Soma jamii.app/TetemekoKenya
#earthquake #JFLeo
WALIMU WAANDAMANA NCHINI MOROCCO
- Wameandamana hapo jana katika mitaa ya Rabat wakitaka kuboreshwa kwa mazingira ya kazi
- Wengi ni vijana wanaotaka ajira ya kudumu kwa kuwa wakistaafu hawapati haki sawa na wenye mikataba ya kudumu
Zaidi, soma https://jamii.app/MoroccoTeachersProtest1
- Wameandamana hapo jana katika mitaa ya Rabat wakitaka kuboreshwa kwa mazingira ya kazi
- Wengi ni vijana wanaotaka ajira ya kudumu kwa kuwa wakistaafu hawapati haki sawa na wenye mikataba ya kudumu
Zaidi, soma https://jamii.app/MoroccoTeachersProtest1
RAIS MAGUFULI KUKUTANA NA TAIFA STARS NA BONDIA MWAKINYO
- Rais atakutana na Wanamichezo hao leo Ikulu jijini Dar ili kuwapongeza na kula nao chakula cha mchana
- Pia katika msafara huo atakutana na Viongozi wa TFF na Kamati ya uhamasishaji
Zaidi, soma https://jamii.app/MagufuliWanamichezoIkulu-Machi2019
- Rais atakutana na Wanamichezo hao leo Ikulu jijini Dar ili kuwapongeza na kula nao chakula cha mchana
- Pia katika msafara huo atakutana na Viongozi wa TFF na Kamati ya uhamasishaji
Zaidi, soma https://jamii.app/MagufuliWanamichezoIkulu-Machi2019
MWALIMU KUTOKA KENYA ASHINDA TUZO YA MWALIMU BORA DUNIANI
- Mwalimu wa hesabu na fizikia, Peter Tabishi kutoka shule moja ya Sekondari ameshinda tuzo hiyo kwa mwaka 2019
- Amewashinda Walimu wengine 9 kutoka sehemu mbalimbali Ulimwenguni
Zaidi, soma https://jamii.app/MwalimuBoraDuniani-2019
- Mwalimu wa hesabu na fizikia, Peter Tabishi kutoka shule moja ya Sekondari ameshinda tuzo hiyo kwa mwaka 2019
- Amewashinda Walimu wengine 9 kutoka sehemu mbalimbali Ulimwenguni
Zaidi, soma https://jamii.app/MwalimuBoraDuniani-2019
ARUSHA: TANI 8 ZA NYAMA YA NG'OMBE NA NGURUWE ZATEKETEZWA
- Serikali imeteketeza nyama hizo zenye viambata vya sumu na zilizokwisha muda wa matumizi
- Zimekamatwa zikiuzwa katika maduka makubwa licha ya kutofaa kwa matumizi ya binadamu
Zaidi, soma https://jamii.app/NyamaZateketezwaArusha
- Serikali imeteketeza nyama hizo zenye viambata vya sumu na zilizokwisha muda wa matumizi
- Zimekamatwa zikiuzwa katika maduka makubwa licha ya kutofaa kwa matumizi ya binadamu
Zaidi, soma https://jamii.app/NyamaZateketezwaArusha
TAKUKURU YAWASHIKILIA VIONGOZI WA CCM KWA TUHUMA ZA RUSHWA
- Ni Katibu CCM tawi la Amana, Jenipher Mushi; Katibu Kata CCM Ilala, Devota Bantulaki na Katibu Hamasa CCM-Dar, Frank Mang'ati
- Waliomba rushwa ya Tsh. Milioni 5 na kupokea Tsh. Milioni 3
Zaidi, soma https://jamii.app/ViongoziCCMIlalaMbaroni
- Ni Katibu CCM tawi la Amana, Jenipher Mushi; Katibu Kata CCM Ilala, Devota Bantulaki na Katibu Hamasa CCM-Dar, Frank Mang'ati
- Waliomba rushwa ya Tsh. Milioni 5 na kupokea Tsh. Milioni 3
Zaidi, soma https://jamii.app/ViongoziCCMIlalaMbaroni
RAIS MAGUFULI AKUTANA NA WACHEZAJI WA TAIFA STARS NA BONDIA MWAKINYO
> Amekutana na Wachezaji wa Taifa Stars, viongozi wa TFF, Kamati ya Uhamasishaji na Bondia Hassan Mwakinyo
> Rais atawapongeza na kula nao chakula cha mchana
Zaidi, soma => https://jamii.app/RaisWanamichezoIkulu
> Amekutana na Wachezaji wa Taifa Stars, viongozi wa TFF, Kamati ya Uhamasishaji na Bondia Hassan Mwakinyo
> Rais atawapongeza na kula nao chakula cha mchana
Zaidi, soma => https://jamii.app/RaisWanamichezoIkulu
RAIS MAGUFULI AWAPATIA VIWANJA WACHEZAJI WA TAIFA STARS
- Wachezaji hao na Bondia Hassan Mwanyiko na Mwalimu wake watapatiwa viwanja mkoani Dodoma
- Rais amesema hiyo ni zawadi ya Serikali kwa niaba ya Watanzania kama shukrani
Zaidi, soma https://jamii.app/RaisWanamichezoIkulu
- Wachezaji hao na Bondia Hassan Mwanyiko na Mwalimu wake watapatiwa viwanja mkoani Dodoma
- Rais amesema hiyo ni zawadi ya Serikali kwa niaba ya Watanzania kama shukrani
Zaidi, soma https://jamii.app/RaisWanamichezoIkulu
RAIS MAGUFULI AMPA MCHEZAJI WA ZAMANI TSH. MILIONI 5
- Aliyepewa ni Peter Tino mchezaji aliyekuwepo kwenye kikosi cha mwaka 1979 kilichofuzu AFCON
- Amempatia wakati alipokutana na Wachezaji wa Taifa Stars na Bondia Mwakinyo
Zaidi, soma https://jamii.app/RaisWanamichezoIkulu
- Aliyepewa ni Peter Tino mchezaji aliyekuwepo kwenye kikosi cha mwaka 1979 kilichofuzu AFCON
- Amempatia wakati alipokutana na Wachezaji wa Taifa Stars na Bondia Mwakinyo
Zaidi, soma https://jamii.app/RaisWanamichezoIkulu
SERIKALI YATOA BILIONI 1 KWA MAANDALIZI YA U-17 AFRICA CUP OF NATIONS
- Rais Magufuli ametoa ahadi hiyo ili kusaidia maandalizi ya michuano hiyo ya chini ya miaka 17 itakayofanyika nchini
- Itafanyika Aprili 14 hadi Aprili 28 mwaka huu ambapo Tanzania inashiriki kwa mara ya pili
Zaidi, soma https://jamii.app/RaisWanamichezoIkulu
- Rais Magufuli ametoa ahadi hiyo ili kusaidia maandalizi ya michuano hiyo ya chini ya miaka 17 itakayofanyika nchini
- Itafanyika Aprili 14 hadi Aprili 28 mwaka huu ambapo Tanzania inashiriki kwa mara ya pili
Zaidi, soma https://jamii.app/RaisWanamichezoIkulu
KIMBUNGA IDAI: IDADI YA WATU WALIOFARIKI NI ZAIDI YA 750
- Msumbiji idadi ya Watu waliofariki imefikia 446, Zimbabwe imefikia 259 huku Malawi ikiwa ni 56
- Mamlaka inasema kuna uwezekano mkubwa kutokea kwa magonjwa ya Mlipuko
Zaidi, soma https://jamii.app/KimbungaChauaZimbabwe
- Msumbiji idadi ya Watu waliofariki imefikia 446, Zimbabwe imefikia 259 huku Malawi ikiwa ni 56
- Mamlaka inasema kuna uwezekano mkubwa kutokea kwa magonjwa ya Mlipuko
Zaidi, soma https://jamii.app/KimbungaChauaZimbabwe
SERENGETI, MARA: AFUNGWA MIAKA 30 KWA HATIA YA KUMBAKA MAMA YAKE MZAZI
> Mahakama imemkuta na hatia hiyo Choral Samson(28) aliyembaka Bi. Robhi Nyang'ombe(65)
> Kijana huyo ameiomba Mahakama impunguzie adhabu kwani ni kosa lake la kwanza
Soma => https://jamii.app/Miaka30jelaKumbakaMama
> Mahakama imemkuta na hatia hiyo Choral Samson(28) aliyembaka Bi. Robhi Nyang'ombe(65)
> Kijana huyo ameiomba Mahakama impunguzie adhabu kwani ni kosa lake la kwanza
Soma => https://jamii.app/Miaka30jelaKumbakaMama
MOSHI, KILIMANJARO: VIBAKA WAVAMIA HOSPITALI NA KUIBA
> Vibaka hao wanaoelezwa kuwa walikuwa wawili walivamia Wodi namba 1 katika Hospitali ya Kilimanjaro CRCT
> Katika Wodi hiyo walipora simu, fedha na mikoba ya akina Mama waliolazwa
Soma > https://jamii.app/VibakaHospitali
#JFLeo
> Vibaka hao wanaoelezwa kuwa walikuwa wawili walivamia Wodi namba 1 katika Hospitali ya Kilimanjaro CRCT
> Katika Wodi hiyo walipora simu, fedha na mikoba ya akina Mama waliolazwa
Soma > https://jamii.app/VibakaHospitali
#JFLeo