MTOTO AMUUA MPENZI WA MAMAKE
> Mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika Kijiji cha Deriat kaunti ya Kericho, Kenya amemuua mzee (65) kwa kumchoma kisu kifuani baada ya kumkuta akishiriki tendo la ndoa na mama yake
> Adai huyo si babake na hivyo hana mamlaka ya kulala nyumbani kwao
Soma - https://jamii.app/AuaMpenziMama
#JFInternational
> Mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika Kijiji cha Deriat kaunti ya Kericho, Kenya amemuua mzee (65) kwa kumchoma kisu kifuani baada ya kumkuta akishiriki tendo la ndoa na mama yake
> Adai huyo si babake na hivyo hana mamlaka ya kulala nyumbani kwao
Soma - https://jamii.app/AuaMpenziMama
#JFInternational
MATUMIZI YA SIMU YACHANGIA DOLA BILIONI 2.5 KATIKA UCHUMI WA TANZANIA
> Simu zimerahisisha huduma za mawasiliano, uzalishaji, na kuchangia kwenye pato la taifa
> Ajira kwa watu milioni 1.5 sawa na 2.6% ya idadi ya Watanzania zimetengenezwa
Soma > https://jamii.app/TzDigitalIndustry
#JFLeo
> Simu zimerahisisha huduma za mawasiliano, uzalishaji, na kuchangia kwenye pato la taifa
> Ajira kwa watu milioni 1.5 sawa na 2.6% ya idadi ya Watanzania zimetengenezwa
Soma > https://jamii.app/TzDigitalIndustry
#JFLeo
MTOTO WA MWAKA MMOJA AFIA KWENYE DIMBWI LA MAJI
> Mtoto Alex Fredrick Sanga, mwaka mmoja na miezi saba, Mkazi wa Mapinduzi, Mkoani Mbeya amekutwa amefariki kwenye korongo lenye maji ambalo lipo jirani na nyumbani kwao
> Marehemu alikuwa akicheza na wenzake wakati mama yake akifua na baada ya muda akatoweka
Soma - https://jamii.app/MtotoKifoDimbwi
#JFLeo
> Mtoto Alex Fredrick Sanga, mwaka mmoja na miezi saba, Mkazi wa Mapinduzi, Mkoani Mbeya amekutwa amefariki kwenye korongo lenye maji ambalo lipo jirani na nyumbani kwao
> Marehemu alikuwa akicheza na wenzake wakati mama yake akifua na baada ya muda akatoweka
Soma - https://jamii.app/MtotoKifoDimbwi
#JFLeo
MAMA AMCHOMA MTOTO WAKE KWA MAJI MOTO
> Mkazi wa Kijiji cha Ndachi Mkoani Dodoma, Asha Juma anashutumiwa kwa kosa la kumchoma mwanae, Godfrey Banda (13) mikono kwa maji ya moto kwa kile kilichoelezwa kuwa ni udokozi wa nyama
Soma - https://jamii.app/AchomaMtotoMaji
#JFLeo
> Mkazi wa Kijiji cha Ndachi Mkoani Dodoma, Asha Juma anashutumiwa kwa kosa la kumchoma mwanae, Godfrey Banda (13) mikono kwa maji ya moto kwa kile kilichoelezwa kuwa ni udokozi wa nyama
Soma - https://jamii.app/AchomaMtotoMaji
#JFLeo
BUKOBA: BASI LA KAMPUNI YA FRESTER LALIGONGA BASI LA DAR LUX
> Ajali imetokea baada ya basi la Frester lililokuwa likitoka Bukoba kuelekea Mwanza kuligonga basi la Kampuni ya Dar Lux lililokuwa likielekea Dar
> Abiria wachache wamejeruhiwa
Soma > https://jamii.app/FresterVsDarLuxBukoba
#JFLeo
> Ajali imetokea baada ya basi la Frester lililokuwa likitoka Bukoba kuelekea Mwanza kuligonga basi la Kampuni ya Dar Lux lililokuwa likielekea Dar
> Abiria wachache wamejeruhiwa
Soma > https://jamii.app/FresterVsDarLuxBukoba
#JFLeo
SPIKA WA UINGEREZA AKATAA MPANGO WA BREXIT KUPIGIWA KURA TENA
> Mpango wa Waziri Mkuu, Theresa May kuhusu kujiondoa kutoka Umoja wa Ulaya (EU), maarufu kama Brexit umepata pigo jipya baada ya Spika wa Bunge, John Bercow kutangaza kuwa mpango huo hauwezi kupigiwa tena kura Bungeni, isipokuwa pale utakapofanyiwa marekebisho makubwa
Soma - https://jamii.app/BercowVsTheresaBrexit
#JFInternational
> Mpango wa Waziri Mkuu, Theresa May kuhusu kujiondoa kutoka Umoja wa Ulaya (EU), maarufu kama Brexit umepata pigo jipya baada ya Spika wa Bunge, John Bercow kutangaza kuwa mpango huo hauwezi kupigiwa tena kura Bungeni, isipokuwa pale utakapofanyiwa marekebisho makubwa
Soma - https://jamii.app/BercowVsTheresaBrexit
#JFInternational
KAMATI YA BUNGE YAISHAURI SERIKALI KUILIPIA TANESCO DENI LA TRILIONI 1.39
> Mashirika ya IPTL, Songas, PAET na TPDC yanaidai TANESCO kiasi cha shilingi bilioni 950 na mabenki ya biashara nayo yanalidai shirika hilo shilingi bilioni 442
Soma => https://jamii.app/PICDeniTANESCO
#JFLeo
> Mashirika ya IPTL, Songas, PAET na TPDC yanaidai TANESCO kiasi cha shilingi bilioni 950 na mabenki ya biashara nayo yanalidai shirika hilo shilingi bilioni 442
Soma => https://jamii.app/PICDeniTANESCO
#JFLeo
MAMBO YA MSINGI KWENYE KUANZISHA BIASHARA YA 'CATERING'
> WAPISHI: Tafuta wapishi wazuri wanaoweza kupika vyakula mbalimbali kwa ufanisi wa hali ya juu
> VIFAA: Unatakiwa kuwa na vifaa muhimu na maalumu vya kuhifadhia na kuandalia vyakula, vitakavyomfanya mlaji afurahie chakula. Unaweza kununua ama kukodi
> BEI: Bei zako inapaswa ziwe zenye kumshawishi mteja kukupa tenda na tengeneza 'menu' yako katika mfumo wa tofauti kwa kuongeza vitu vya ziada ili kukufanya ukae akilini mwa mteja na kukupatia wateja zaidi
Tembelea - https://jamii.app/UjasiriamaliCatering
#JFBiashara
> WAPISHI: Tafuta wapishi wazuri wanaoweza kupika vyakula mbalimbali kwa ufanisi wa hali ya juu
> VIFAA: Unatakiwa kuwa na vifaa muhimu na maalumu vya kuhifadhia na kuandalia vyakula, vitakavyomfanya mlaji afurahie chakula. Unaweza kununua ama kukodi
> BEI: Bei zako inapaswa ziwe zenye kumshawishi mteja kukupa tenda na tengeneza 'menu' yako katika mfumo wa tofauti kwa kuongeza vitu vya ziada ili kukufanya ukae akilini mwa mteja na kukupatia wateja zaidi
Tembelea - https://jamii.app/UjasiriamaliCatering
#JFBiashara
MARA: WATUMISHI 2 WA MUWASA WAFIKISHWA MAHAKAMANI KWA UBADHIRIFU
> Watu 3 wakiwemo watumishi 2 wa Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Mara(MUWASA) wamefikishwa Mahakani na TAKUKURU
> Wanatuhumiwa kwa kuitia MUWASA hasara ya milioni 613
Soma > https://jamii.app/TakukuruMuwasa
#JFLeo
> Watu 3 wakiwemo watumishi 2 wa Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Mara(MUWASA) wamefikishwa Mahakani na TAKUKURU
> Wanatuhumiwa kwa kuitia MUWASA hasara ya milioni 613
Soma > https://jamii.app/TakukuruMuwasa
#JFLeo
MIGORI KENYA: MTANZANIA AJIUA KWA KUJINYONGA
> Jeshi la Polisi limeanza uchunguzi wa kifo hicho cha Mtanzania aliyefahamika kwa majina ya Chacha Olupe
> Mwili wake ulikutwa ukiwa unaning'inia juu ya mti siku ya jana(Jumanne)
Zaidi, soma => https://jamii.app/MtanzaniaAjinyongaKenya
#JFLeo
> Jeshi la Polisi limeanza uchunguzi wa kifo hicho cha Mtanzania aliyefahamika kwa majina ya Chacha Olupe
> Mwili wake ulikutwa ukiwa unaning'inia juu ya mti siku ya jana(Jumanne)
Zaidi, soma => https://jamii.app/MtanzaniaAjinyongaKenya
#JFLeo
RC SONGWE: MARUFUKU WANACCM KUVAA SARE KWENYE SHEREHE ZA KUWASHA MWENGE
> Brigedia Jeneral Mstaafu, Nicodemus Mwengela amesema kuwa shughuli hiyo si ya chama(CCM)
> Mwenge wa uhuru unatarajiwa kuwashwa Aprili 2 Wilayani Mbozi, Songwe
Soma > https://jamii.app/RCSongweVsCCM
#JFLeo
> Brigedia Jeneral Mstaafu, Nicodemus Mwengela amesema kuwa shughuli hiyo si ya chama(CCM)
> Mwenge wa uhuru unatarajiwa kuwashwa Aprili 2 Wilayani Mbozi, Songwe
Soma > https://jamii.app/RCSongweVsCCM
#JFLeo
UGOMVI WA CHAKULA: MWANAMKE AMSHAMBULIA MUMEWE KWA PANGA
> Inaelezwa kuwa Mwanaume huyo alirejea nyumbani kutoka kazini na kuomba apewe chakula
> Hata hivyo ulizuka ugomvi ndipo Mwanamke huyo alichukua panga na kumjeruhi mumewe
Soma > https://jamii.app/MwanamkeAjeruhi
#JFInternational
> Inaelezwa kuwa Mwanaume huyo alirejea nyumbani kutoka kazini na kuomba apewe chakula
> Hata hivyo ulizuka ugomvi ndipo Mwanamke huyo alichukua panga na kumjeruhi mumewe
Soma > https://jamii.app/MwanamkeAjeruhi
#JFInternational
BAADHI YA DALILI ZA KUTAMBUA KAMA MTOTO ANATUMIKA KINGONO
> Hupata shida wakati wa kukaa au kutembea (miaka 2 -10) na kuwaogopa baadhi ya watu kupita kiasi au sehemu fulani au vitu (miaka 0-5)
> Hupenda kujishika sehemu za siri kiasi cha kujisahau na kukaa chooni muda mrefu au kuhitaji kujisaidia mara kwa mara (miaka 0-5)
> Hushindwa kuzuia haja kubwa (miaka 4-7), kuwa mkimya isivyo kawaida (umri wa balehe) na Msongo wa mawazo (8-17)
Je, unafahamu dalili zingine? Ongezea hapa
Zaidi, soma - https://jamii.app/DaliliMtotoKingono
#JFMalezi
> Hupata shida wakati wa kukaa au kutembea (miaka 2 -10) na kuwaogopa baadhi ya watu kupita kiasi au sehemu fulani au vitu (miaka 0-5)
> Hupenda kujishika sehemu za siri kiasi cha kujisahau na kukaa chooni muda mrefu au kuhitaji kujisaidia mara kwa mara (miaka 0-5)
> Hushindwa kuzuia haja kubwa (miaka 4-7), kuwa mkimya isivyo kawaida (umri wa balehe) na Msongo wa mawazo (8-17)
Je, unafahamu dalili zingine? Ongezea hapa
Zaidi, soma - https://jamii.app/DaliliMtotoKingono
#JFMalezi
DROO YA HATUA YA ROBO FAINALI YA LIGI YA MABINGWA AFRIKA KUPANGWA LEO
> Klabu ya Simba SC ndiyo timu pekee iliyobakia kutoka ukanda wa Afrika Mashariki
> Kuna uwezekano Simba SC ikapangwa kucheza na Esperance(Tunisia) Wydad Casablanca (Morocco) au TP Mazembe(DRC)
#CAFCLDraw
> Klabu ya Simba SC ndiyo timu pekee iliyobakia kutoka ukanda wa Afrika Mashariki
> Kuna uwezekano Simba SC ikapangwa kucheza na Esperance(Tunisia) Wydad Casablanca (Morocco) au TP Mazembe(DRC)
#CAFCLDraw
VIWANGO VYA FURAHA: TANZANIA YASHIKA NAFASI YA 153 KATI YA 156
> Hii ni ripoti ya 7 tangu ripoti hizi zianze kuchapishwa
> Teknolojia ya mawasiliano, utawala na maisha ya jamii yamechangia kwa kiwango kikubwa katika kuandaa ripoto hii
Soma => https://jamii.app/HappinessIndex
#JFLeo
> Hii ni ripoti ya 7 tangu ripoti hizi zianze kuchapishwa
> Teknolojia ya mawasiliano, utawala na maisha ya jamii yamechangia kwa kiwango kikubwa katika kuandaa ripoto hii
Soma => https://jamii.app/HappinessIndex
#JFLeo
KENYA: POLISI WAKAMATA SANDUKU LENYE NOTI BANDIA BARCLAYS
> Jeshi la Polisi jijini Nairobi linawashikilia watu 6 kwa tuhuma za kumiliki pesa bandia zenye thamani ya Dola milioni 20 (zaidi ya Tsh bilioni 46) zilizopatikana ndani ya chumba cha kuhifadhia fedha cha tawi la Benki ya Barclays
> Kati yao wapo Maafisa wawili wa Benki hiyo
Soma - https://jamii.app/NotiBandiaBarclaysKE
#JFInternational
> Jeshi la Polisi jijini Nairobi linawashikilia watu 6 kwa tuhuma za kumiliki pesa bandia zenye thamani ya Dola milioni 20 (zaidi ya Tsh bilioni 46) zilizopatikana ndani ya chumba cha kuhifadhia fedha cha tawi la Benki ya Barclays
> Kati yao wapo Maafisa wawili wa Benki hiyo
Soma - https://jamii.app/NotiBandiaBarclaysKE
#JFInternational
MFANYABIASHARA ALIYEBAMBIKIWA KESI ABAINIKA KUWA MKORA
> Mussa Adam alishawahi kufungwa miaka 20 jela kwa kosa la kubaka, alishaiba mahali na kukimbia na pingu na tukio la mwisho lililomfanya atiwe mbaroni na kubambikwa kesi ya mauaji, ni la wizi wa simu kwenye kituo cha mabasi ambako alipigwa hadi kuvuliwa shati
Soma - https://jamii.app/AliyeachiwaAbainikaMkora
#JFLeo
> Mussa Adam alishawahi kufungwa miaka 20 jela kwa kosa la kubaka, alishaiba mahali na kukimbia na pingu na tukio la mwisho lililomfanya atiwe mbaroni na kubambikwa kesi ya mauaji, ni la wizi wa simu kwenye kituo cha mabasi ambako alipigwa hadi kuvuliwa shati
Soma - https://jamii.app/AliyeachiwaAbainikaMkora
#JFLeo
WANAOTAKA KUNUNUA ARDHI WANASHAURIWA KUFANYA HAYA
> Mjue mtu anayekuuzia na hakikisha unapata taarifa kuhusu umiliki wake, alipataje eneo hilo, ikiwa kuna mgogoro wowote
> Muombe kivuli cha hati (kopi) ili uipeleke ardhi kujiridhisha kuhusu hayo uliyomuuliza hapo juu
> Jiridhishe juu ya uhalisi wa hati miliki (genuineness of certificate of title)
> Baada ya kuafikiana masharti ya mauziano, mnatakiwa kuandika mikataba kwa mujibu wa kifungu cha 64(1) Sheria ya Ardhi, kusainishana, na Wakili kugonga mihuri
Zaidi, tembelea - https://jamii.app/TaratibuUnunuziArdhi
#JFSheria
> Mjue mtu anayekuuzia na hakikisha unapata taarifa kuhusu umiliki wake, alipataje eneo hilo, ikiwa kuna mgogoro wowote
> Muombe kivuli cha hati (kopi) ili uipeleke ardhi kujiridhisha kuhusu hayo uliyomuuliza hapo juu
> Jiridhishe juu ya uhalisi wa hati miliki (genuineness of certificate of title)
> Baada ya kuafikiana masharti ya mauziano, mnatakiwa kuandika mikataba kwa mujibu wa kifungu cha 64(1) Sheria ya Ardhi, kusainishana, na Wakili kugonga mihuri
Zaidi, tembelea - https://jamii.app/TaratibuUnunuziArdhi
#JFSheria
ROBO FAINALI LIGI YA MABINGWA AFRIKA: SIMBA SC YAPANGWA KUCHEZA NA TP MAZEMBE
> Simba SC ilifuzu hatua hiyo baada ya kujinyakulia alama 9 katika michezo 6 ya kundi lake
> Simba SC ndio timu pekee kutoka ukanda wa Afrika Mashariki inayoshiriki michuano hii
> Timu nyingine zimepangwa kama ifuatavyo; Constantine Vs Esperance, Mamelodi Sundowns Vs Al Ahly na Horoya Vs Wydad Casablanca
#CAFCLDraw
> Simba SC ilifuzu hatua hiyo baada ya kujinyakulia alama 9 katika michezo 6 ya kundi lake
> Simba SC ndio timu pekee kutoka ukanda wa Afrika Mashariki inayoshiriki michuano hii
> Timu nyingine zimepangwa kama ifuatavyo; Constantine Vs Esperance, Mamelodi Sundowns Vs Al Ahly na Horoya Vs Wydad Casablanca
#CAFCLDraw