RAIS MAGUFULI AITAKA TBA KUTOA MAELEZO YA MATUMIZI YA BILIONI 10
> Rais Magufuli amefanya ziara ya kushtukiza katika mradi wa ujenzi wa nyumba za makazi ya Askari Magereza wa Gereza la Ukonga, Dar
> Ameagiza mradi huo ukabidhiwe kwa JWTZ
Soma > https://jamii.app/RaisMagufuliVsTBA
#JFLeo
> Rais Magufuli amefanya ziara ya kushtukiza katika mradi wa ujenzi wa nyumba za makazi ya Askari Magereza wa Gereza la Ukonga, Dar
> Ameagiza mradi huo ukabidhiwe kwa JWTZ
Soma > https://jamii.app/RaisMagufuliVsTBA
#JFLeo
SENETA APIGWA KWA UBAGUZI WA DINI
> Seneta Fraser Anning wa Queensland, Australia amepigwa na yai na kijana mmoja baada ya kudai Waislamu wanaohamia New Zealand ndio chanzo cha shambulio lililotokea Msikini na kuua watu 49
Soma > https://jamii.app/NZSenator
#JFInternational
> Seneta Fraser Anning wa Queensland, Australia amepigwa na yai na kijana mmoja baada ya kudai Waislamu wanaohamia New Zealand ndio chanzo cha shambulio lililotokea Msikini na kuua watu 49
Soma > https://jamii.app/NZSenator
#JFInternational
SHAMBULIO LA KIGAIDI, NEW ZEALAND: IDADI YA WALIOFARIKI YAFIKIA 50
- Idadi hiyo inafikiwa huku majeruhi wawili wakiwa katika hali mbaya
- Aidha, waliojeruhiwa pia ni 50 huku 36 miongoni mwao wakiwa bado wamelazwa hospitalini
Zaidi, soma https://jamii.app/DeathTollRises50-NWZLND
- Idadi hiyo inafikiwa huku majeruhi wawili wakiwa katika hali mbaya
- Aidha, waliojeruhiwa pia ni 50 huku 36 miongoni mwao wakiwa bado wamelazwa hospitalini
Zaidi, soma https://jamii.app/DeathTollRises50-NWZLND
PAPUA, INDONESIA: TAKRIBANI WATU 50 WAMEFARIKI KWA MAFURIKO
- Maafisa wa Serikali wamesema idadi hiyo inaweza kuongezeka wakati uokoaji ukiendelea
- Mafuriko hayo yaliyosababishwa na mvua kubwa na maporomoko ya ardhi yamejeruhi watu wengine 50
Zaidi, soma https://jamii.app/FloodsIndonesia-Machi2019
- Maafisa wa Serikali wamesema idadi hiyo inaweza kuongezeka wakati uokoaji ukiendelea
- Mafuriko hayo yaliyosababishwa na mvua kubwa na maporomoko ya ardhi yamejeruhi watu wengine 50
Zaidi, soma https://jamii.app/FloodsIndonesia-Machi2019
ARDHI KUSAJILIWA KIELEKTRONIKI KWA SHILINGI 5,000
- Wizara ya Ardhi imezindua mpango wa kusajili kila kipande cha ardhi na kutoa leseni au hati ya kieletroniki itakayodumu miaka mitano
- Kuanza Dar es Salaam na kisha kuendelea mikoa yote
Zaidi, soma https://jamii.app/ElectronicLandLicence
- Wizara ya Ardhi imezindua mpango wa kusajili kila kipande cha ardhi na kutoa leseni au hati ya kieletroniki itakayodumu miaka mitano
- Kuanza Dar es Salaam na kisha kuendelea mikoa yote
Zaidi, soma https://jamii.app/ElectronicLandLicence
MARA: MALIGHAFI ZISIZO NA KIBALI ZA KUTENGENEZEA POMBE ZAKAMATWA
- Kituo cha Forodha Sirari kimekamata mapipa 386 ya lita za ujazo 96,500 yenye malighafi ya thamani ya Tsh. Milioni 246.6
- Yalikuwa yakisafirishwa kinyemela kwenda Kenya
Zaidi, soma https://jamii.app/MalighafiZakamatwaSirari
- Kituo cha Forodha Sirari kimekamata mapipa 386 ya lita za ujazo 96,500 yenye malighafi ya thamani ya Tsh. Milioni 246.6
- Yalikuwa yakisafirishwa kinyemela kwenda Kenya
Zaidi, soma https://jamii.app/MalighafiZakamatwaSirari
NASSARI ASEMA ATAENDA MAHAKAMANI ASIPOPATA HAKI YAKE
- Asema hakuhudhuria Bunge la Novemba 2018 na Januari 2019 kutokana na mke wake kuwa na matatizo ya kiafya
- Asema alimtaarifu Spika kupitia anuani aliyopewa na Msaidizi wa Spika
Zaidi, soma https://jamii.app/NassariAongeaKuvuliwaUbunge
- Asema hakuhudhuria Bunge la Novemba 2018 na Januari 2019 kutokana na mke wake kuwa na matatizo ya kiafya
- Asema alimtaarifu Spika kupitia anuani aliyopewa na Msaidizi wa Spika
Zaidi, soma https://jamii.app/NassariAongeaKuvuliwaUbunge
TANZIA: WAKILI SHUKURU MLWAFU AFARIKI
- Amefariki dunia leo nyumbani kwake jijini Dodoma baada ya kuugua kwa muda mrefu
- Alikuwa akifundisha sheria UDOM na ndiye aliyefungua kesi kupinga Wafanyakazi kukatwa 15% ya mshahara na HESLB
Zaidi, soma https://jamii.app/WakiliMlwafuAfariki
- Amefariki dunia leo nyumbani kwake jijini Dodoma baada ya kuugua kwa muda mrefu
- Alikuwa akifundisha sheria UDOM na ndiye aliyefungua kesi kupinga Wafanyakazi kukatwa 15% ya mshahara na HESLB
Zaidi, soma https://jamii.app/WakiliMlwafuAfariki
SERIKALI YAAHIDI KUMALIZA MALIPO YA KOROSHO KABLA YA MACHI 31, 2019
> Yasema uhakiki umekamilika kwa kiasi kikubwa ikiwemo kuwabaini 'Kangomba' wote
> Hadi sasa Tani 222,684 zimekusanywa na Sh. Bilioni 596.9 kati ya Bilioni 723 zimeshalipwa
Zaidi, soma https://jamii.app/MalipoKoroshoMachi31
> Yasema uhakiki umekamilika kwa kiasi kikubwa ikiwemo kuwabaini 'Kangomba' wote
> Hadi sasa Tani 222,684 zimekusanywa na Sh. Bilioni 596.9 kati ya Bilioni 723 zimeshalipwa
Zaidi, soma https://jamii.app/MalipoKoroshoMachi31
TAKRIBANI WATU 150 WAMEFARIKI KUTOKANA NA KIMBUNGA
- Mamia wengine hawajulikani walipo baada Kimbunga Idai kuzikumba nchi za Malawi, Msumbuji na Zimbabwe
- Aidha, zaidi ya watu Milioni 1.5 wameathiriwa na Kimbunga hicho katika nchi hizo tatu
Zaidi, soma https://jamii.app/KimbungaChauaZimbabwe
- Mamia wengine hawajulikani walipo baada Kimbunga Idai kuzikumba nchi za Malawi, Msumbuji na Zimbabwe
- Aidha, zaidi ya watu Milioni 1.5 wameathiriwa na Kimbunga hicho katika nchi hizo tatu
Zaidi, soma https://jamii.app/KimbungaChauaZimbabwe
GEITA: UKUSANYAJI WA MADUHULI SEKTA YA MADINI WAONGEZEKA
- Kati ya mwaka 2011 hadi 2018 ukusanyaji wa maduhuli katika sekta ya madini umetoka Tsh. Bilioni 24 hadi Tsh. Bilioni 114.7
- Moja ya sababu ni mabadiliko ya kisheria yenye manufaa
Zaidi, soma https://jamii.app/UkusanyajiMaduhuliMadiniWapanda
- Kati ya mwaka 2011 hadi 2018 ukusanyaji wa maduhuli katika sekta ya madini umetoka Tsh. Bilioni 24 hadi Tsh. Bilioni 114.7
- Moja ya sababu ni mabadiliko ya kisheria yenye manufaa
Zaidi, soma https://jamii.app/UkusanyajiMaduhuliMadiniWapanda
KENYA: WAKILI AMPIGA RISASI MWANAE NA KUMUUA
- Wakili Assa Kibagedi anasema alimpiga mwanae risasi kwa bahati mbaya akiwa anaihifadhi silaha ndani ya gari walimokuwepo wote
- Wakili huyo kwa sasa yupo kituo cha Polisi huku tukio hilo likiendelea kuchunguzwa zaidi
Zaidi, soma https://jamii.app/WakiliAuaMwanaeKNY
- Wakili Assa Kibagedi anasema alimpiga mwanae risasi kwa bahati mbaya akiwa anaihifadhi silaha ndani ya gari walimokuwepo wote
- Wakili huyo kwa sasa yupo kituo cha Polisi huku tukio hilo likiendelea kuchunguzwa zaidi
Zaidi, soma https://jamii.app/WakiliAuaMwanaeKNY
WATUMISHI 12 NJOMBE KUKAMATWA KWA TUHUMA ZA UBADHILIFU
> Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Christopher Ole Sendeka ameagiza kukamatwa kwa watumishi 12 akiwemo Mkurugenzi wa Halmashauri kwa ubadhilifu wa Tsh bilioni 5.5 za ujenzi wa kituo cha mabasi
Soma - https://jamii.app/WatumishiKamatwaUbadhilifu
#JFLeo
> Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Christopher Ole Sendeka ameagiza kukamatwa kwa watumishi 12 akiwemo Mkurugenzi wa Halmashauri kwa ubadhilifu wa Tsh bilioni 5.5 za ujenzi wa kituo cha mabasi
Soma - https://jamii.app/WatumishiKamatwaUbadhilifu
#JFLeo
GEITA YAPATA SOKO LA MADINI, WATOROSHAJI KUADHIBIWA KISHERIA
> Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ametoa tahadhari kwa wadau wote wa madini kuwa atakayekamatwa anatorosha madini, atachukuliwa hatua za kisheria ikiwemo utaifishaji wa madini atakayokuwa akiyatorosha
> Ametoa tahadhari hiyo jana wakati akifungua soko la madini la Mkoa wa Geita ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Rais Magufuli la kuitaka mikoa yote ianzishe masoko ya madini
Soma - https://jamii.app/SokoMadiniGeita
#JFLeo
> Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ametoa tahadhari kwa wadau wote wa madini kuwa atakayekamatwa anatorosha madini, atachukuliwa hatua za kisheria ikiwemo utaifishaji wa madini atakayokuwa akiyatorosha
> Ametoa tahadhari hiyo jana wakati akifungua soko la madini la Mkoa wa Geita ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Rais Magufuli la kuitaka mikoa yote ianzishe masoko ya madini
Soma - https://jamii.app/SokoMadiniGeita
#JFLeo
MAHAKAMA KUU YAMTAMBUA PROF LIPUMBA KAMA MWENYEKITI HALALI WA CUF
> Kesi ilifunguliwa na Bodi ya Wadhamini wa chama hicho wanaomuunga mkono Maalim Seif baada ya Msajili wa Vyama vya Siasa kudai anamtambua Lipumba kama Mwenyekiti halali
Soma > https://jamii.app/MahakamaKuuLipumba
#JFLeo
> Kesi ilifunguliwa na Bodi ya Wadhamini wa chama hicho wanaomuunga mkono Maalim Seif baada ya Msajili wa Vyama vya Siasa kudai anamtambua Lipumba kama Mwenyekiti halali
Soma > https://jamii.app/MahakamaKuuLipumba
#JFLeo
MALI ZA MANJI ZAZUILIWA KUTOKANA NA DENI LAKE NBC
> Mahakama Kuu imezuia mali za mfanyabiashara maarufu nchini, Yusuph Manji kutokana na madeni anayodaiwa na Benki ya NBC
> Anadaiwa zaidi ya Tsh bilioni 25 ambazo hajazirejesha kwa wakati
Soma - https://jamii.app/ZuioManjiNBC
#JFLeo
> Mahakama Kuu imezuia mali za mfanyabiashara maarufu nchini, Yusuph Manji kutokana na madeni anayodaiwa na Benki ya NBC
> Anadaiwa zaidi ya Tsh bilioni 25 ambazo hajazirejesha kwa wakati
Soma - https://jamii.app/ZuioManjiNBC
#JFLeo
JESHI LA POLISI LAUA MTU MMOJA AKIDAIWA KUWA JAMBAZI
> Jeshi la Polisi Wilayani Muheza Mkoani Tanga limemuua kwa kumpiga risasi Mkazi wa Dar es Salaam, Mwinyiheri Nuhu, akidaiwa alikuwa akijihusisha na ujambazi
> Yeye na wenzake walivamia nyumba ya Mfanyabiashara Ally Nassoro Wilayani Muheza wakiwa na bunduki juzi usiku na kupora Tsh. milioni moja
Soma - https://jamii.app/JambaziKifoPolisi
#JFLeo
> Jeshi la Polisi Wilayani Muheza Mkoani Tanga limemuua kwa kumpiga risasi Mkazi wa Dar es Salaam, Mwinyiheri Nuhu, akidaiwa alikuwa akijihusisha na ujambazi
> Yeye na wenzake walivamia nyumba ya Mfanyabiashara Ally Nassoro Wilayani Muheza wakiwa na bunduki juzi usiku na kupora Tsh. milioni moja
Soma - https://jamii.app/JambaziKifoPolisi
#JFLeo