UKARABATI WA SEKONDARI YA MZUMBE WATILIWA MASHAKA
> Serikali imeagiza uchunguzi wa mkataba wa ukarabati wa shule ya Sekondari ya Mzumbe baada ya kiasi kinachodaiwa kutumika kukarabati shule hiyo kutofautiana na fedha halisi zilizotolewa
Soma - https://jamii.app/UkarabatiSekondariMzumbe
#JFLeo
> Serikali imeagiza uchunguzi wa mkataba wa ukarabati wa shule ya Sekondari ya Mzumbe baada ya kiasi kinachodaiwa kutumika kukarabati shule hiyo kutofautiana na fedha halisi zilizotolewa
Soma - https://jamii.app/UkarabatiSekondariMzumbe
#JFLeo
MAREKANI YATANGAZA DAU KWA MWENYE TAARIFA ZA MTOTO WA OSAMA
> Marekani imetangaza dau la dola milioni 1 kwa yeyote mwenye taarifa kuhusu mtoto wa kiume wa aliyekuwa Kiongozi wa kundi la al-Qaeda - Osama Bin Laden, Hamza Bin Laden
Soma - https://jamii.app/USRamsonOsamaSon
#JFInternational
> Marekani imetangaza dau la dola milioni 1 kwa yeyote mwenye taarifa kuhusu mtoto wa kiume wa aliyekuwa Kiongozi wa kundi la al-Qaeda - Osama Bin Laden, Hamza Bin Laden
Soma - https://jamii.app/USRamsonOsamaSon
#JFInternational
BASATA LASITISHA USAJILI WA DUDU BAYA
> Baraza la Sanaa Tanzania limetangaza kusitisha usajili wa msanii Godfrey Tumaini, maarufu Dudu Baya kuanzia Februari 28
> Anatuhumiwa kumkashifu Marehemu Ruge Mutahaba na kuzungumza maneno ya kejeli
Soma - https://jamii.app/UsajiliDudubayaWasitishwa
#JFLeo
> Baraza la Sanaa Tanzania limetangaza kusitisha usajili wa msanii Godfrey Tumaini, maarufu Dudu Baya kuanzia Februari 28
> Anatuhumiwa kumkashifu Marehemu Ruge Mutahaba na kuzungumza maneno ya kejeli
Soma - https://jamii.app/UsajiliDudubayaWasitishwa
#JFLeo
WATU 15 WAPOTEZA MAISHA KWENYE MLIPUKO MJINI MOGADISHU
> Mlipuko mkubwa, sauti za bunduki na mabomu imesikika ndani ya Hoteli ya Maka Al-Mukarama na kundi la Al-Shabaab linadaiwa kuhusika na tukio hilo
> Idadi ya majeruhi mpaka sasa imefikia watu zaidi ya 60
#JFInternational
> Mlipuko mkubwa, sauti za bunduki na mabomu imesikika ndani ya Hoteli ya Maka Al-Mukarama na kundi la Al-Shabaab linadaiwa kuhusika na tukio hilo
> Idadi ya majeruhi mpaka sasa imefikia watu zaidi ya 60
#JFInternational
ARUSHA: VITAMBULISHO VYA WAFANYABIASHARA WADOGO SIO KINGA YA KULIPA USHURU
> Kwa mujibu wa taarifa ya Mkurugenzi wa Jiji la Arusha, imeeleza kuwa Vitambulisho vilivyotolewa na Serikali ni kwa ajili ya kodi ya TRA
Zaidi, soma => https://jamii.app/UshuruMachingaArusha
#JFLeo
> Kwa mujibu wa taarifa ya Mkurugenzi wa Jiji la Arusha, imeeleza kuwa Vitambulisho vilivyotolewa na Serikali ni kwa ajili ya kodi ya TRA
Zaidi, soma => https://jamii.app/UshuruMachingaArusha
#JFLeo
RUFAA YA DPP DHIDI YA MBOWE NA MATIKO YATUPILIWA MBALI
> Mahakama ya Rufaa jijini Dar, leo imetupilia mbali rufaa iliyokatwa na Mkurugenzi wa Mashtaka nchini dhidi ya M/kiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na Mbunge wa Tarime Mjini, Esther Matiko
Soma - https://jamii.app/MboweMatikoDhamanaYarejeshwa
> Mahakama ya Rufaa jijini Dar, leo imetupilia mbali rufaa iliyokatwa na Mkurugenzi wa Mashtaka nchini dhidi ya M/kiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na Mbunge wa Tarime Mjini, Esther Matiko
Soma - https://jamii.app/MboweMatikoDhamanaYarejeshwa
MTOTO ALIYEIBWA NA KUUZWA TSH 30,000 APATIKANA
> Mtoto Shazira Yahaya aliyeibwa akiwa na siku 7 ktk Kijiji cha Likalangiro-Songea, amepatikana ktk Wilaya ya Moshi Vijijini ambako aliuzwa kwa Tsh 30,000
> Aliibwa Septemba 26, 2018
Soma - https://jamii.app/MtotoAliyeibwaApatikana
> Mtoto Shazira Yahaya aliyeibwa akiwa na siku 7 ktk Kijiji cha Likalangiro-Songea, amepatikana ktk Wilaya ya Moshi Vijijini ambako aliuzwa kwa Tsh 30,000
> Aliibwa Septemba 26, 2018
Soma - https://jamii.app/MtotoAliyeibwaApatikana
RAIS MAGUFULI AFANYA UTEUZI WA MAKAMISHNA WA POLISI
> Charles Mkumbo ataongoza Kamisheni ya Intelijensia na Liberatus Sabas amekuwa Mkuu wa operesheni na mafunzo
> Leonard Lwabuzala ataongoza kamisheni ya fedha na logistics
Zaidi, soma - https://jamii.app/UteuziMakamishnaPolisi
#JFLeo
> Charles Mkumbo ataongoza Kamisheni ya Intelijensia na Liberatus Sabas amekuwa Mkuu wa operesheni na mafunzo
> Leonard Lwabuzala ataongoza kamisheni ya fedha na logistics
Zaidi, soma - https://jamii.app/UteuziMakamishnaPolisi
#JFLeo
IGP SIRRO AFANYA MABADILIKO YA MAOFISA WA JESHI LA POLISI
> James Mushi, Kamanda wa Polisi Ruvuma awa Mkuu wa Chuo cha Polisi (CCP) Moshi na RPC wa Njombe, Renata Mzinga arudishwa Makao Makuu
> Aidha, ametaja Makamanda wapya wa Mikoa
Zaidi - https://jamii.app/UteuziMakamishnaPolisi
#JFLeo
> James Mushi, Kamanda wa Polisi Ruvuma awa Mkuu wa Chuo cha Polisi (CCP) Moshi na RPC wa Njombe, Renata Mzinga arudishwa Makao Makuu
> Aidha, ametaja Makamanda wapya wa Mikoa
Zaidi - https://jamii.app/UteuziMakamishnaPolisi
#JFLeo
TUNDURU: MWANAFUNZI WA DARASA LA PILI AUAWA KWA KULIWA NA MAMBA
> Mwanafunzi huyo alikuwa na Mama yake wakifua nguo kwenye Mto Ligoma
> Bimwana Swalehe(12) alikuwa akisoma Darasa la Pili Shule ya Msingi Makoteni
Soma > https://jamii.app/MambaWauaTunduru
> Mwanafunzi huyo alikuwa na Mama yake wakifua nguo kwenye Mto Ligoma
> Bimwana Swalehe(12) alikuwa akisoma Darasa la Pili Shule ya Msingi Makoteni
Soma > https://jamii.app/MambaWauaTunduru
KENYA: OFISI YA RAIS YAKUMBWA NA KASHFA YA UFISADI
> Tume ya kupambana na ufisadi nchini Kenya (EACC) imefichua sakata ya ufisadi wa Ksh bilioni 4.8 katika idara ya Magereza kuhusu ununuzi wa bunduki
> Inaripotiwa kwamba wahusika walikuwa tayari wameshapokea 80% ya Ksh bilioni 4.8 za zabuni ya kununulia vifaa hivyo ambavyo vingewekwa katika Magereza kabla ya EACC kuingilia kati na kufichua uozo huo
#JFInternational
> Tume ya kupambana na ufisadi nchini Kenya (EACC) imefichua sakata ya ufisadi wa Ksh bilioni 4.8 katika idara ya Magereza kuhusu ununuzi wa bunduki
> Inaripotiwa kwamba wahusika walikuwa tayari wameshapokea 80% ya Ksh bilioni 4.8 za zabuni ya kununulia vifaa hivyo ambavyo vingewekwa katika Magereza kabla ya EACC kuingilia kati na kufichua uozo huo
#JFInternational
NAIROBI, KENYA: RAIS KENYATTA AFANYA MABADILIKO MADOGO YA BARAZA LA MAWAZIRI
> Mwanadiplomasia Amina Mohamed ameteuliwa kuwa Waziri wa Michezo
> Anachukua nafasi ya Rashid Echesa ambaye uteuzi wake umetenguliwa rasmi
Zaidi, soma => https://jamii.app/KenyattaMawaziri
#JFInternational
> Mwanadiplomasia Amina Mohamed ameteuliwa kuwa Waziri wa Michezo
> Anachukua nafasi ya Rashid Echesa ambaye uteuzi wake umetenguliwa rasmi
Zaidi, soma => https://jamii.app/KenyattaMawaziri
#JFInternational
FASTJET KUNUNUA NDEGE 6 ILI KUREJESHA SHUGHULI ZAKE TANZANIA
> Shirika la ndege la FastJet limesema liko mbioni kununua ndege 6 ili kurejesha shughuli zake kwenye soko la Tanzania
> Pia kurejesha safari za Afrika Kusini, Nairobi na Mombasa
Soma - https://jamii.app/FastJetKurejeaSokoni
#JFLeo
> Shirika la ndege la FastJet limesema liko mbioni kununua ndege 6 ili kurejesha shughuli zake kwenye soko la Tanzania
> Pia kurejesha safari za Afrika Kusini, Nairobi na Mombasa
Soma - https://jamii.app/FastJetKurejeaSokoni
#JFLeo
MWILI WA RUGE MUTAHABA KUAGWA KESHO VIWANJA VYA KARIMJEE
> Mwili wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media Group umewasili nchini jioni ya leo
> Maelfu ya Watanzania wamejitokeza kuusindikiza msafara uliobeba mwili wake
#RIPRuge #RugeMutahaba
> Mwili wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media Group umewasili nchini jioni ya leo
> Maelfu ya Watanzania wamejitokeza kuusindikiza msafara uliobeba mwili wake
#RIPRuge #RugeMutahaba
ELUMU YA URAIA: JE, POLISI ANAWEZA KUKUSHIKILIA MAFICHONI?
> Hapana. Jeshi la Polisi likikushikilia mafichoni ni kinyume cha sheria
> Askari Polisi wanapokuweka rumande ni jukumu lao kuangalia afya yako na kuzilinda haki zako
Zaidi, soma => https://jamii.app/Mambo101Polisi
#JFLeo
> Hapana. Jeshi la Polisi likikushikilia mafichoni ni kinyume cha sheria
> Askari Polisi wanapokuweka rumande ni jukumu lao kuangalia afya yako na kuzilinda haki zako
Zaidi, soma => https://jamii.app/Mambo101Polisi
#JFLeo
MVUA YAUA WATU WAWILI ZANZIBAR
> Watu wawili wamefariki katika matukio mawili tofauti yaliyosababishwa na mvua kubwa za masika zilizoanza kunyesha visiwani Unguja
> Waliofariki ni mtoto, Hassan Mohamed (4) na Skachi Abdallah Zahor (26)
Soma - https://jamii.app/MvuaVifoUnguja
#JFLeo
> Watu wawili wamefariki katika matukio mawili tofauti yaliyosababishwa na mvua kubwa za masika zilizoanza kunyesha visiwani Unguja
> Waliofariki ni mtoto, Hassan Mohamed (4) na Skachi Abdallah Zahor (26)
Soma - https://jamii.app/MvuaVifoUnguja
#JFLeo
HUSSEIN BASHE: KIKWETE ULIMDHALILISHA LOWASSA, ALIONDOKA CCM KWA SABABU YAKO
> Mbunge wa Jimbo la Nzega Mjini(CCM), Hussein Bashe amemjibu Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete aliyemkaribisha tena Edward Lowassa ndani ya CCM
Zaidi, soma => https://jamii.app/BasheVsKikweteTwitter
#JFLeo
> Mbunge wa Jimbo la Nzega Mjini(CCM), Hussein Bashe amemjibu Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete aliyemkaribisha tena Edward Lowassa ndani ya CCM
Zaidi, soma => https://jamii.app/BasheVsKikweteTwitter
#JFLeo