WAZIRI MKUU: MPAKA WA HOLILI HAUKO SALAMA, NJIA ZA PANYA ZIMEKITHIRI
> Amesema mpaka huo kati ya Tanzania na Kenya uliopo wilayani Rombo(Kilimanjaro) una njia nyingi za panya zinazotumiwa wahalifu kupitisha silaha na bidhaa za magendo
Soma > https://jamii.app/MajaliwaMpakaHolili
#JFLeo
> Amesema mpaka huo kati ya Tanzania na Kenya uliopo wilayani Rombo(Kilimanjaro) una njia nyingi za panya zinazotumiwa wahalifu kupitisha silaha na bidhaa za magendo
Soma > https://jamii.app/MajaliwaMpakaHolili
#JFLeo
BAADHI YA SIFA ZINAZOWASILISHWA ILI KUMJUA MTU ANAYEKUFAA KIMAPENZI
> Hatangoja kujua nini unahitaji kwa kuwa hana sababu ya kusubiri kuombwa ndiyo atoe msaada
> Ni yule atakayejua wakati gani huna furaha au una furaha na atakuwa na wewe katika hali ya raha na shida pia
> Atakupenda kwa moyo wake wote na wala si kwa ajili ya shinikizo fulani (pesa au mali) na ataonesha kuthamini nafasi yako mbele ya wengine
Zaidi, soma - https://jamii.app/SifaMpenziKweli
#JFMahusiano
> Hatangoja kujua nini unahitaji kwa kuwa hana sababu ya kusubiri kuombwa ndiyo atoe msaada
> Ni yule atakayejua wakati gani huna furaha au una furaha na atakuwa na wewe katika hali ya raha na shida pia
> Atakupenda kwa moyo wake wote na wala si kwa ajili ya shinikizo fulani (pesa au mali) na ataonesha kuthamini nafasi yako mbele ya wengine
Zaidi, soma - https://jamii.app/SifaMpenziKweli
#JFMahusiano
MICHEZO: Klabu ya Barcelona yainyuka Sevilla kwa mabao 4 kwa 2
> Mshambualiaji raia wa Argentina, Lionel Messi afunga mabao 3 maarufu kama 'hat-trick'
> Hii ni hat-trick ya 32 kwa Messi tangu aanze kuitumikia Klabu ya Barcelona ktk La Liga
> Messi amebakiza hat-trick 2 ili kuifikia rekodi iliyowekwa na Cristiano Ronaldo aliyefunga 34 akiwa na Real Madrid
#JFSports
> Mshambualiaji raia wa Argentina, Lionel Messi afunga mabao 3 maarufu kama 'hat-trick'
> Hii ni hat-trick ya 32 kwa Messi tangu aanze kuitumikia Klabu ya Barcelona ktk La Liga
> Messi amebakiza hat-trick 2 ili kuifikia rekodi iliyowekwa na Cristiano Ronaldo aliyefunga 34 akiwa na Real Madrid
#JFSports
WATAALAMU 9 WA ARDHI WAPOTEZA MAISHA KWENYE AJALI
> Watu 9, wataalam wa idara ya Ardhi wamefariki baada ya gari aina ya Land Cruiser walilokuwa wakisafiria kutumbukia mtoni Wilayani Kilombero mkoani Morogoro
> Gari hiyo ilikuwa na watu 13
Soma - https://jamii.app/WataalamuArdhiWafariki
> Watu 9, wataalam wa idara ya Ardhi wamefariki baada ya gari aina ya Land Cruiser walilokuwa wakisafiria kutumbukia mtoni Wilayani Kilombero mkoani Morogoro
> Gari hiyo ilikuwa na watu 13
Soma - https://jamii.app/WataalamuArdhiWafariki
MTWARA: KOROSHO ZARUDISHWA KWA WAKULIMA ZIKIDAIWA HAZINA UBORA
- Zaidi ya tani 68 za korosho zimekataliwa kuingizwa kwenye maghala makuu ya TANECU ili ziuzwe
- Wakulima wamedai pamoja na kuzichambua na kuzianika zikubaliwe bado zimekataliwa
Zaidi, soma https://jamii.app/WakulimaWarudishiwaKorosho
- Zaidi ya tani 68 za korosho zimekataliwa kuingizwa kwenye maghala makuu ya TANECU ili ziuzwe
- Wakulima wamedai pamoja na kuzichambua na kuzianika zikubaliwe bado zimekataliwa
Zaidi, soma https://jamii.app/WakulimaWarudishiwaKorosho
KOCHA WA YANGA ASEMA ANAWEZA KUONDOKA MWISHO WA MSIMU HUU
- Kocha Mwinyi Zahera amesema anaweza kuondoka kutokana na Wanachama na Mashabiki kutompa ushirikiano
- Aidha, zipo tetesi zinazodai kuwa Kocha huyo anaenda kuifundisha klabu ya Azam
Zaidi, soma https://jamii.app/ZaheraAtishiaKuondoka
- Kocha Mwinyi Zahera amesema anaweza kuondoka kutokana na Wanachama na Mashabiki kutompa ushirikiano
- Aidha, zipo tetesi zinazodai kuwa Kocha huyo anaenda kuifundisha klabu ya Azam
Zaidi, soma https://jamii.app/ZaheraAtishiaKuondoka
MKURUGENZI HALMASHAURI YA ROMBO APEWA SIKU 16 KUTOA TSH. MILIONI 114
- Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amemuagiza Mkurugenzi Magreth John, apeleke fedha hizo katika kijiji cha Holili
- Ni 20% ya mauzo ya madini ya pozolana ambayo Wananchi wanadai hawajalipwa
Zaidi, soma https://jamii.app/FedhaMadiniHoliliKLM
- Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amemuagiza Mkurugenzi Magreth John, apeleke fedha hizo katika kijiji cha Holili
- Ni 20% ya mauzo ya madini ya pozolana ambayo Wananchi wanadai hawajalipwa
Zaidi, soma https://jamii.app/FedhaMadiniHoliliKLM
SERIKALI: MFANYABIASHARA MDOGO ANAYEGOMA KUCHUKUA KITAMBULISHO ATALIPA KODI
> Yasema kama Tsh. 20,000/- zinaonekana nyingi wanaweza kulipa kwa awamu
> Viongozi waonywa kutotoa kitambulisho kabla ya mfanyabiashara kumaliza malipo kuepusha kutoroka
Zaidi, soma https://jamii.app/VitambulishoUmachingaVsKodi
> Yasema kama Tsh. 20,000/- zinaonekana nyingi wanaweza kulipa kwa awamu
> Viongozi waonywa kutotoa kitambulisho kabla ya mfanyabiashara kumaliza malipo kuepusha kutoroka
Zaidi, soma https://jamii.app/VitambulishoUmachingaVsKodi
RAIS WA KOREA KASKAZINI ATUMIA TRENI KWENDA KUKUTANA NA RAIS TRUMP
- Kim Jong Un anakwenda Vietnam kushiriki kikao chake cha pili na Rais wa Marekani, Donald Trump
- Kikao kitafanyika Februari 27 na Februari 28, 2019 katika mji mkuu wa Vietnam, Hanoi
Zaidi, soma https://jamii.app/Kim-TrumpSummit
- Kim Jong Un anakwenda Vietnam kushiriki kikao chake cha pili na Rais wa Marekani, Donald Trump
- Kikao kitafanyika Februari 27 na Februari 28, 2019 katika mji mkuu wa Vietnam, Hanoi
Zaidi, soma https://jamii.app/Kim-TrumpSummit
ISRAEL YATUMA CHOMBO KWENDA MWEZINI
> Kimeitwa Beresheet kikimaanisha "Mwanzo" kwa lugha ya Kiyahudi na kinatarajiwa kutua mwezini Aprili 11, 2019
> Kimebeba Biblia ya dijitali, Bendera na wimbo wa Taifa la Israel na michoro ya Watoto
Zaidi, soma https://jamii.app/IsraelChomboMwezini-2019
> Kimeitwa Beresheet kikimaanisha "Mwanzo" kwa lugha ya Kiyahudi na kinatarajiwa kutua mwezini Aprili 11, 2019
> Kimebeba Biblia ya dijitali, Bendera na wimbo wa Taifa la Israel na michoro ya Watoto
Zaidi, soma https://jamii.app/IsraelChomboMwezini-2019
DEREVA ALIYEFARIKI KATIKA AJALI ILIYOUA WATU 19 SONGWE KUSHTAKIWA
- Kamanda wa Usalama barabarani, Fortunatus Muslim ameagiza hivyo iwapo dereva atakutwa na makosa
- Pia, mmiliki wa lori anatakiwa kujibu tuhuma za kuruhusu gari bovu kutembea barabarani
Zaidi, soma https://jamii.app/DerevaAliyefarikiKushtakiwa
- Kamanda wa Usalama barabarani, Fortunatus Muslim ameagiza hivyo iwapo dereva atakutwa na makosa
- Pia, mmiliki wa lori anatakiwa kujibu tuhuma za kuruhusu gari bovu kutembea barabarani
Zaidi, soma https://jamii.app/DerevaAliyefarikiKushtakiwa
ALGERIA: MAMIA WAANDAMANA KUPINGA RAIS BOUTEFLIKA KUGOMBEA URAIS
- Wanapinga Rais wa sasa Abdelaziz Bouteflika aliyeiongoza nchi hiyo tangu mwaka 1999, kugombea tena kwa awamu ya 5 katika uchaguzi ujao
- Hata hivyo, Rais huyo anaonekana atashinda kutokana na Upinzani kuwa dhaifu na kugawanyika
Zaidi, soma https://jamii.app/AlgeriansVsPresBouteflika
- Wanapinga Rais wa sasa Abdelaziz Bouteflika aliyeiongoza nchi hiyo tangu mwaka 1999, kugombea tena kwa awamu ya 5 katika uchaguzi ujao
- Hata hivyo, Rais huyo anaonekana atashinda kutokana na Upinzani kuwa dhaifu na kugawanyika
Zaidi, soma https://jamii.app/AlgeriansVsPresBouteflika
KOCHA WA YANGA AKANA KUTAKA KUJIUNGA NA AZAM FC
- Kocha Mwinyi Zahera amesema habari hizo zinazozunguka kwenye mitandao ya kijamii ni za uongo na za hovyo
- Amesema hajawasiliana na Kiongozi yeyote wa klabu ya Azam na wala hawafahamiani
Zaidi, soma https://jamii.app/ZaheraAtishiaKuondoka
- Kocha Mwinyi Zahera amesema habari hizo zinazozunguka kwenye mitandao ya kijamii ni za uongo na za hovyo
- Amesema hajawasiliana na Kiongozi yeyote wa klabu ya Azam na wala hawafahamiani
Zaidi, soma https://jamii.app/ZaheraAtishiaKuondoka
KENYA: WIZARA YA ARDHI YASHINDWA KUELEZEA MATUMIZI YA TSH. BILIONI 46O
- Ripoti ya mwaka 2017/18 ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali imebainisha hivyo
- Imeelezwa kuna utofauti uliodhahiri na Makadirio yasiyo sahihi katika taarifa za fedha za Wizara hiyo
Zaidi, soma https://jamii.app/Ksh20bnHazionekaniWizarani
- Ripoti ya mwaka 2017/18 ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali imebainisha hivyo
- Imeelezwa kuna utofauti uliodhahiri na Makadirio yasiyo sahihi katika taarifa za fedha za Wizara hiyo
Zaidi, soma https://jamii.app/Ksh20bnHazionekaniWizarani
HALIMA MDEE AACHIWA KWA DHAMANA BAADA YA SAA 24
- Mbunge huyo wa Kawe(CHADEMA) alikuwa akishikiliwa katika Kituo cha Polisi Oysterbay jijini Dar
- Alikamatwa akidaiwa kutoa maneno ya uchochezi katika mkutano wa hadhara alioufanya Februari 21, 2019
Zaidi, soma https://jamii.app/MdeeApataDhamana-Feb2019
- Mbunge huyo wa Kawe(CHADEMA) alikuwa akishikiliwa katika Kituo cha Polisi Oysterbay jijini Dar
- Alikamatwa akidaiwa kutoa maneno ya uchochezi katika mkutano wa hadhara alioufanya Februari 21, 2019
Zaidi, soma https://jamii.app/MdeeApataDhamana-Feb2019
TATIZO LA KUKOSA USINGIZI (INSOMNIA) NA TIBA YAKE
> Hutokana na upungufu wa homoni, magonjwa mbalimbali, msongo wa mawazo
> Wenye tatizo wanashauriwa kutumia asali mbichi vijiko viwili kila usiku
Zaidi, soma https://jamii.app/TatizoKukosaUsingizi
> Hutokana na upungufu wa homoni, magonjwa mbalimbali, msongo wa mawazo
> Wenye tatizo wanashauriwa kutumia asali mbichi vijiko viwili kila usiku
Zaidi, soma https://jamii.app/TatizoKukosaUsingizi
AMCHOMA MOTO MTOTO MIKONONI KWA MADAI YA KUDOKOA CHAKULA
- Polisi mkoani Dodoma inamshikilia Eliza Deni(23) kwa tuhuma za kumfanyia hivyo mtoto wake wa kambo, Jackson Denis(5)
- Atafikishwa Mahakamani kujibu shtaka hilo siku za hivi karibuni
Zaidi, soma https://jamii.app/MtotoAchomwaMotoDOM-2019
- Polisi mkoani Dodoma inamshikilia Eliza Deni(23) kwa tuhuma za kumfanyia hivyo mtoto wake wa kambo, Jackson Denis(5)
- Atafikishwa Mahakamani kujibu shtaka hilo siku za hivi karibuni
Zaidi, soma https://jamii.app/MtotoAchomwaMotoDOM-2019
KONDOA, DODOMA: WATUHUMIWA WA UJAMBAZI WAUAWA
> Wameuawa kwa kupigwa na Wananchi wa kijiji cha Kinyasi baada ya kuvamia kituo cha mafuta
> Walifanya uporaji wa zaidi ya shilingi milioni kumi katika kituo hicho
Zaidi, soma => https://jamii.app/MajambaziKondoa
#JFLeo
> Wameuawa kwa kupigwa na Wananchi wa kijiji cha Kinyasi baada ya kuvamia kituo cha mafuta
> Walifanya uporaji wa zaidi ya shilingi milioni kumi katika kituo hicho
Zaidi, soma => https://jamii.app/MajambaziKondoa
#JFLeo