VENEZUELA YAFUNGA MPAKA WAKE NA BRAZIL
> Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro ameamuru kufungwa kwa mpaka wa Kusini mwa nchi yake, ambao unaitenganisha na Brazil
> Hatua hii imeanza kutumika rasmi usiku wa kuamkia leo kwa saa za Venezuela
Soma - https://jamii.app/MaduroBlocksBrazil
> Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro ameamuru kufungwa kwa mpaka wa Kusini mwa nchi yake, ambao unaitenganisha na Brazil
> Hatua hii imeanza kutumika rasmi usiku wa kuamkia leo kwa saa za Venezuela
Soma - https://jamii.app/MaduroBlocksBrazil
ELIMU YA URAIA: JE, POLISI ANAWEZA KUMKAMATA MWENZAKE AKIFANYA UHALIFU?
> Askari wa Jesho la Polisi anayefahamu kuwa Polisi mwenzake anajihusisha na vitendo vya kijinai halafu akashindwa kuchukua hatua yoyote ile atakuwa anafanya makosa
Zaidi, soma > https://jamii.app/Mambo101Polisi
#JFCivic
> Askari wa Jesho la Polisi anayefahamu kuwa Polisi mwenzake anajihusisha na vitendo vya kijinai halafu akashindwa kuchukua hatua yoyote ile atakuwa anafanya makosa
Zaidi, soma > https://jamii.app/Mambo101Polisi
#JFCivic
JINSI YA KUTENGENEZA BARAFU ZA KULA(ICE CREAM)
> Weka maji lita 7 kwenye sufuria kubwa na yachemshe, ongeza sukari na chumvi (ukipenda)
> Ongeza corn starch au ubuyu na maziwa ya unga kwenye hayo maji yanayochemka, koroga vizuri, chemsha kwa dk 8, kisha acha ipoe na ongeza ladha uipendayo
> Funga kwenye vile vifuko na gandisha hadi ziwe barafu
Soma - https://jamii.app/KutengenezaIceCream
#JFMapishi
> Weka maji lita 7 kwenye sufuria kubwa na yachemshe, ongeza sukari na chumvi (ukipenda)
> Ongeza corn starch au ubuyu na maziwa ya unga kwenye hayo maji yanayochemka, koroga vizuri, chemsha kwa dk 8, kisha acha ipoe na ongeza ladha uipendayo
> Funga kwenye vile vifuko na gandisha hadi ziwe barafu
Soma - https://jamii.app/KutengenezaIceCream
#JFMapishi
RAIS MAGUFULI ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA VIFO 19 KATIKA AJALI MKOANI SONGWE
> Ametuma salamu kwenda kwa familia zilizopoteza ndugu/jamaa ktk ajali iliyotokea Wilayani Mbozi
> Rais amezitaka mamlaka kuchunguza na kuchukua hatua
Soma > https://jamii.app/RaisPoleSongwe
> Ametuma salamu kwenda kwa familia zilizopoteza ndugu/jamaa ktk ajali iliyotokea Wilayani Mbozi
> Rais amezitaka mamlaka kuchunguza na kuchukua hatua
Soma > https://jamii.app/RaisPoleSongwe
ARUSHA: WAZEE WAPIGANA, KISA WIVU WA MAPENZI
> Bibi aliyejulikana kwa jina la Ester Taiko(64) amepigwa na Mumewe Christopher Shanguro(74) kwa tuhuma za kutoka nje ya ndoa
> Mzee Christopher anatuhumiwa kumpiga mkewe na kumwagia oili
Soma => https://jamii.app/UgoviVikongweArusha
> Bibi aliyejulikana kwa jina la Ester Taiko(64) amepigwa na Mumewe Christopher Shanguro(74) kwa tuhuma za kutoka nje ya ndoa
> Mzee Christopher anatuhumiwa kumpiga mkewe na kumwagia oili
Soma => https://jamii.app/UgoviVikongweArusha
KISUTU, DAR: WANAFUNZI 2 NA WATU WENGINE 6 WAHUKUMIWA KIFUNGO CHA MAISHA JELA
> Mahakama imetoa hukumu hiyo baada ya kuwakuta na hatia ya kuchoma Kituo cha Polisi Bunju A
> Halifani Mshengeli mwenye miaka 19 ni kati ya waliohukumiwa
Soma > https://jamii.app/HukumuMaishaBunju
> Mahakama imetoa hukumu hiyo baada ya kuwakuta na hatia ya kuchoma Kituo cha Polisi Bunju A
> Halifani Mshengeli mwenye miaka 19 ni kati ya waliohukumiwa
Soma > https://jamii.app/HukumuMaishaBunju
ENGLAND: CHELSEA FC YAFUNGIWA KUSAJILI KWA MISIMU MIWILI
> Shirikisho la Soka Duniani(FIFA) limeipiga marufuku klabu hiyo kufanya usajili ndani ya misimu 2 ijayo
> Pia imetakiwa kulipa faini ya Shilingi za Kitanzania Bilioni 1.4
Soma => https://jamii.app/FIFAVsChelseaFC
> Shirikisho la Soka Duniani(FIFA) limeipiga marufuku klabu hiyo kufanya usajili ndani ya misimu 2 ijayo
> Pia imetakiwa kulipa faini ya Shilingi za Kitanzania Bilioni 1.4
Soma => https://jamii.app/FIFAVsChelseaFC
JINSI YA KUTENGENEZA MWILI BILA KWENDA 'GYM'
> Anza na Pushap za Kawaida ila usikunje ngumi. Utaanza kwa kwenda juu chini hiyo ni 1, utafanya hivyo mara 20. Utapumzika sekunde 10 na kurudia tena mara 4
> Fanya pushap za miguu ikiwa imeinuka. Unaweza ukaiweka kwenye stuli, jiwe, ndoo au hata kwenye ngazi. Juu chini mara 20 na kurudia tena mara 4
Jifunze zaidi hapa - https://jamii.app/BodyBuildNoGym
#JFUtanashati
> Anza na Pushap za Kawaida ila usikunje ngumi. Utaanza kwa kwenda juu chini hiyo ni 1, utafanya hivyo mara 20. Utapumzika sekunde 10 na kurudia tena mara 4
> Fanya pushap za miguu ikiwa imeinuka. Unaweza ukaiweka kwenye stuli, jiwe, ndoo au hata kwenye ngazi. Juu chini mara 20 na kurudia tena mara 4
Jifunze zaidi hapa - https://jamii.app/BodyBuildNoGym
#JFUtanashati
AKAMATWA NA POLISI KWA KUWALISHA WANANCHI NYAMA YA MBWA
> Mkazi wa kijiji cha Mitonji, Mkoani Mtwara, Dismasi Malikitu(kizito) anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa kosa la kuwauzia wananchi nyama ya Mbwa huku akiwadanganya ni nyama ya mbuzi
Soma - https://jamii.app/MatataniNyamaMbwa
> Mkazi wa kijiji cha Mitonji, Mkoani Mtwara, Dismasi Malikitu(kizito) anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa kosa la kuwauzia wananchi nyama ya Mbwa huku akiwadanganya ni nyama ya mbuzi
Soma - https://jamii.app/MatataniNyamaMbwa
DRC: AJALI YAUA 18, DEREVA ADAIWA KUWA NI MTANZANIA
> Watu 18 wamepoteza maisha na 12 kujeruhiwa ktk ajali ya barabarani mjini Lubumbashi, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
> Taarifa zinasema dereva huyo (Mtanzania) alikuwa amelewa
Soma- https://jamii.app/18DeadCarAccident
#JFInternational
> Watu 18 wamepoteza maisha na 12 kujeruhiwa ktk ajali ya barabarani mjini Lubumbashi, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
> Taarifa zinasema dereva huyo (Mtanzania) alikuwa amelewa
Soma- https://jamii.app/18DeadCarAccident
#JFInternational
DODOMA: RAIA WA CHINA WAKAMATWA KWA KUSAMBAZA MASHINE ZA KAMARI KINYEMELA
> Wamekamatwa kwa tuhuma ya kusambaza takribani mashine 138
> Aidha, wanatuhumiwa kutoa rushwa ya shilingi milioni 1 kwa Polisi waliowakamata
Soma https://jamii.app/WachinaMashineKamari
> Wamekamatwa kwa tuhuma ya kusambaza takribani mashine 138
> Aidha, wanatuhumiwa kutoa rushwa ya shilingi milioni 1 kwa Polisi waliowakamata
Soma https://jamii.app/WachinaMashineKamari
UCHAGUZI MKUU NCHINI NIGERIA KUFANYIKA KESHO
> Rais wa Nigeria, Muhamadu Buhari amewahimiza raia wa nchi hiyo kujitokeza kesho, Februari 23 ili kupiga kura ya kuchagua Rais na Wabunge
> Rais huyo anakabiliwa na ushindani kutoka kwa mfanyabiashara, Atiku Abubakar
#JFInternational
> Rais wa Nigeria, Muhamadu Buhari amewahimiza raia wa nchi hiyo kujitokeza kesho, Februari 23 ili kupiga kura ya kuchagua Rais na Wabunge
> Rais huyo anakabiliwa na ushindani kutoka kwa mfanyabiashara, Atiku Abubakar
#JFInternational
MAPENZI: UKIONA DALILI HIZI TAMBUA MWANAUME HUYO SI MUOAJI
> Katika mahusiano wengi hujikuta wamepoteza muda kwa kutojua au kutabiri iwapo wenza wao hasa wa kiume kama ni wa kudumu au wapita njia
> Ndani ya JamiiForums kuna uchambuzi wa dalili mbalimbali ambazo yawezekana zikabainisha iwapo Mwanaume si muoaji
Soma => https://jamii.app/DaliliSiMuoaji
> Katika mahusiano wengi hujikuta wamepoteza muda kwa kutojua au kutabiri iwapo wenza wao hasa wa kiume kama ni wa kudumu au wapita njia
> Ndani ya JamiiForums kuna uchambuzi wa dalili mbalimbali ambazo yawezekana zikabainisha iwapo Mwanaume si muoaji
Soma => https://jamii.app/DaliliSiMuoaji
RAIA WA ETHIOPIA AHUKUMIWA MIAKA MIWILI JELA
> Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Tabora imemuhukumu kutumikia kifungo cha miaka miwili jela, Gashahuni Degu(21) baada ya kupatikana na hatia ya kuingia nchini bila kibali
Zaidi, soma https://jamii.app/RaiaEthiopiaJela
> Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Tabora imemuhukumu kutumikia kifungo cha miaka miwili jela, Gashahuni Degu(21) baada ya kupatikana na hatia ya kuingia nchini bila kibali
Zaidi, soma https://jamii.app/RaiaEthiopiaJela
BABATI, MANYARA: AJINYONGA HADI KUFA KWA TAULO
> Ni Mwanafunzi Mathayo Ezekiel(11) wa darasa la 5 katika shule ya msingi Mikiroy
> Sababu bado haijafahamika ila alijinyonga nyumbani kwao alipotoka shule wakati wazazi wake hawapo
Soma https://jamii.app/MwanafunziAfarikiKujinyonga
> Ni Mwanafunzi Mathayo Ezekiel(11) wa darasa la 5 katika shule ya msingi Mikiroy
> Sababu bado haijafahamika ila alijinyonga nyumbani kwao alipotoka shule wakati wazazi wake hawapo
Soma https://jamii.app/MwanafunziAfarikiKujinyonga
CHICAGO, MAREKANI: KESI YA R KELLY YACHUKUA SURA MPYA
> Kesi ya Mwanamuziki huyo imechukua sura mpya baada ya kushtakiwa kwa makosa mapya
> Anatuhumiwa kwa makosa 10 ya unyanyasaji dhidi ya Watoto aliyoyatenda mwaka 1995/6
Soma => https://jamii.app/RKellyCharges
#JFCelebrity
> Kesi ya Mwanamuziki huyo imechukua sura mpya baada ya kushtakiwa kwa makosa mapya
> Anatuhumiwa kwa makosa 10 ya unyanyasaji dhidi ya Watoto aliyoyatenda mwaka 1995/6
Soma => https://jamii.app/RKellyCharges
#JFCelebrity
KENYA: AJIRUSHA MBELE YA LORI BAADA YA KUGUNDUA KASALITIWA NA MPENZIWE
> Jamaa mmoja mjini Naivasha, amejitoa uhai kwa kujirusha mbele ya lori lililokuwa kwenye mwendokasi ktk barabara kuu ya Nakuru
> Chanzo ni kusalitiwa kimapenzi
Soma https://jamii.app/AjiuaKujirushaBarabarani
#JFInternational
> Jamaa mmoja mjini Naivasha, amejitoa uhai kwa kujirusha mbele ya lori lililokuwa kwenye mwendokasi ktk barabara kuu ya Nakuru
> Chanzo ni kusalitiwa kimapenzi
Soma https://jamii.app/AjiuaKujirushaBarabarani
#JFInternational
BAADHI YA VIONGOZI WA DRC WAPIGWA MARUFUKU KUINGIA MAREKANI
> Marekani imetangaza kuwapiga marufuku kuingia Marekani baadhi ya viongozi wa DRC pamoja na familia zao kutokana na kujihusisha na ufisadi mkubwa ktk mchakato wa uchaguzi
Soma https://jamii.app/USSanctionsDRCOfficials
#JFInternational
> Marekani imetangaza kuwapiga marufuku kuingia Marekani baadhi ya viongozi wa DRC pamoja na familia zao kutokana na kujihusisha na ufisadi mkubwa ktk mchakato wa uchaguzi
Soma https://jamii.app/USSanctionsDRCOfficials
#JFInternational
SERIKALI YA SUDAN YAVUNJWA, HALI YA DHARURA YATANGAZWA
> Rais wa Sudan, Omar Al Bashir ametangaza kuivunja Serikali kuu ya nchi hiyo na Serikali 18 za majimbo
> Ametangaza hali ya dharura kwa mwaka 1 na Jeshi ndilo litasimamia nchi
Soma https://jamii.app/SudanStateEmergency
#JFInternational
> Rais wa Sudan, Omar Al Bashir ametangaza kuivunja Serikali kuu ya nchi hiyo na Serikali 18 za majimbo
> Ametangaza hali ya dharura kwa mwaka 1 na Jeshi ndilo litasimamia nchi
Soma https://jamii.app/SudanStateEmergency
#JFInternational
KATIBU MKUU UN AIONYA VENEZUELA
> Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa(UN), Antonio Guterres akiwa kwenye mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Venezuela ameionya Serikali ya nchi hiyo kutokiuka haki za binadamu inapowadhibiti Waandamanaji
Soma > https://jamii.app/GuterresVsVenezuela
#JFInternational
> Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa(UN), Antonio Guterres akiwa kwenye mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Venezuela ameionya Serikali ya nchi hiyo kutokiuka haki za binadamu inapowadhibiti Waandamanaji
Soma > https://jamii.app/GuterresVsVenezuela
#JFInternational