WAZIRI MKUU ATOA ONYO KWA MKUU WA WILAYA NA MKURUGENZI WA HALMASHAUR, ATAKA WAPATANE
> Amewaonya DC wa Wilaya ya Biharamulo, Sada Malunde na Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Wende Ng'ahara wanaotuhumiana kwa ushirikina(kurogana)
Zaidi, soma => https://jamii.app/PMVsDCDEDBiharamulo
> Amewaonya DC wa Wilaya ya Biharamulo, Sada Malunde na Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Wende Ng'ahara wanaotuhumiana kwa ushirikina(kurogana)
Zaidi, soma => https://jamii.app/PMVsDCDEDBiharamulo
BARRICK WAAHIDI KUILIPA TANZANIA BILIONI 682.5, ACACIA WAKANA
> Mtendaji Mkuu wa Barrick Gold, Dkt. Willem Jacobs ameahidi kutekeleza malipo hayo
> Acacia ambao wana hisa nyingi ndani ya Barrick Gold leo wamekana kuwa na taarifa
Soma => https://jamii.app/BarrickTzAcacia
> Mtendaji Mkuu wa Barrick Gold, Dkt. Willem Jacobs ameahidi kutekeleza malipo hayo
> Acacia ambao wana hisa nyingi ndani ya Barrick Gold leo wamekana kuwa na taarifa
Soma => https://jamii.app/BarrickTzAcacia
CROATIA: MWILI WA BINTI ALIYETOWEKA MWAKA 2000 WAKUTWA KWENYE JOKOFU LA DADA YAKE
> Jasmina Dominic(23) alitoweka mwaka 2000 wakati akiwa Mwanafunzi
> Mwaka 2005 familia yake ilisema aliwaaga anakwenda kufanya kazi kwenye Meli
Zaidi, soma => https://jamii.app/CroatiaMwiliFriji
> Jasmina Dominic(23) alitoweka mwaka 2000 wakati akiwa Mwanafunzi
> Mwaka 2005 familia yake ilisema aliwaaga anakwenda kufanya kazi kwenye Meli
Zaidi, soma => https://jamii.app/CroatiaMwiliFriji
RAIA WA PERU ALIYEINGIZA DAWA ZA KULEVYA NCHINI AFUNGWA MIAKA 20
> Hukumu hiyo imetolewa na Mahakama Kuu kwa raia wa Peru, Wallenstein Santillan baada ya kumkuta na hatia ya kuingiza nchini #DawaZaKulevya aina ya Cocaine gramu 1420.78
Soma => https://jamii.app/RaiaPeruHukumu
> Hukumu hiyo imetolewa na Mahakama Kuu kwa raia wa Peru, Wallenstein Santillan baada ya kumkuta na hatia ya kuingiza nchini #DawaZaKulevya aina ya Cocaine gramu 1420.78
Soma => https://jamii.app/RaiaPeruHukumu
WAHAMIAJI 22 WAKAMATWA TABORA
> Jeshi la Polisi mkoani Tabora limewakamata wahamiaji haramu 22 ambao walikuwa wakisafiri kutoka nchini Burundi kupitia Kigoma, Tabora na kisha kuelekea nchini Zambia kwa basi
> 9 kati yao ni watoto wadogo
Soma - https://jamii.app/Wahamiaji22WakamatwaTBR
> Jeshi la Polisi mkoani Tabora limewakamata wahamiaji haramu 22 ambao walikuwa wakisafiri kutoka nchini Burundi kupitia Kigoma, Tabora na kisha kuelekea nchini Zambia kwa basi
> 9 kati yao ni watoto wadogo
Soma - https://jamii.app/Wahamiaji22WakamatwaTBR
KATIBU MKUU UN ATEUA KAMANDA MPYA WA TUME YA KULINDA AMANI
> Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres amemteua Meja Jenerali Zia Ur Rehman kuwa Kamanda wa kikosi cha Tume ya Umoja huo Magharibi mwa Jangwa la Sahara MINURSO
Soma- https://jamii.app/UNNewForceCommander
> Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres amemteua Meja Jenerali Zia Ur Rehman kuwa Kamanda wa kikosi cha Tume ya Umoja huo Magharibi mwa Jangwa la Sahara MINURSO
Soma- https://jamii.app/UNNewForceCommander
POLISI WAMKAMATA MTUHUMIWA WA MAUAJI YA MWANAHARAKATI WA UJANGILI
> Jeshi la Polisi Mkoani Manyara, limemkamata Limito Lebangu kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya mwanaharakati wa kupambana na ujangili, Faustine Sanka ktk Hifadhi ya Tarangire
Soma https://jamii.app/MuuajiSankaAkamatwa
> Jeshi la Polisi Mkoani Manyara, limemkamata Limito Lebangu kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya mwanaharakati wa kupambana na ujangili, Faustine Sanka ktk Hifadhi ya Tarangire
Soma https://jamii.app/MuuajiSankaAkamatwa
PAKA ARITHISHWA UTAJIRI WA BILIONI 456
> Paka aliyekuwa akimilikiwa na mkongwe wa mitindo Duniani, marehemu Karl Lagerfeld ndiye mrithi wa utajiri unaotajwa kufikia zaidi ya shilingi Bilioni 456 za Kitanzania
> Karl(85) alifariki Februari 19
Soma - https://jamii.app/PakaArithiBil465
> Paka aliyekuwa akimilikiwa na mkongwe wa mitindo Duniani, marehemu Karl Lagerfeld ndiye mrithi wa utajiri unaotajwa kufikia zaidi ya shilingi Bilioni 456 za Kitanzania
> Karl(85) alifariki Februari 19
Soma - https://jamii.app/PakaArithiBil465
SERIKALI KUUNDA KAMATI ILI KUCHUNGUZA KISA CHA MAHABUSU KUTESWA
> Waziri Kangi Lugola ameagiza kuundwa kwa kamati itakayochunguza tukio la Musa Yahya, anayedai kupigwa na kuingiziwa chupa sehemu za siri akiwa Kituo cha Polisi Loliondo
Soma - https://jamii.app/TumeMahabusuKuteswa
> Waziri Kangi Lugola ameagiza kuundwa kwa kamati itakayochunguza tukio la Musa Yahya, anayedai kupigwa na kuingiziwa chupa sehemu za siri akiwa Kituo cha Polisi Loliondo
Soma - https://jamii.app/TumeMahabusuKuteswa
BANGLADESH: AJALI YA MOTO YASABABISHA VIFO 70
> Moto mkali uliozuka usiku kwenye nyumba kadhaa ktk mji mkuu wa Dhaka nchini Bangladesh, umesababisha vifo vya takribani watu 70, hasa wanawake na watoto na wengine kadhaa kujeruhiwa
Soma - https://jamii.app/70DeadFireAccident
> Moto mkali uliozuka usiku kwenye nyumba kadhaa ktk mji mkuu wa Dhaka nchini Bangladesh, umesababisha vifo vya takribani watu 70, hasa wanawake na watoto na wengine kadhaa kujeruhiwa
Soma - https://jamii.app/70DeadFireAccident
ELIMU YA URAIA: Askari Polisi anaweza kunilazimisha kukiri kosa?
> Mtuhumiwa akikataa kuongea ni wajibu wa Polisi kumfikisha Mahakamani ndani ya saa 24
> Maelezo ya kukiri kosa yatokanayo na kuteswa hayakubaliki kama ushahidi Mahakamani
Soma > https://jamii.app/Mambo101Polisi
#JFCivic
> Mtuhumiwa akikataa kuongea ni wajibu wa Polisi kumfikisha Mahakamani ndani ya saa 24
> Maelezo ya kukiri kosa yatokanayo na kuteswa hayakubaliki kama ushahidi Mahakamani
Soma > https://jamii.app/Mambo101Polisi
#JFCivic
WAZIRI ATENGUA KAULI KUHUSU UAGIZAJI WA SUKARI NJE
> Waziri wa Kilimo, Japhet Hasunga ametengua kauli yake kuhusu Sukari kutokuagizwa kutoka nje ya nchi na kuwataka wazalishaji kuendelea kuagiza bidhaa hiyo
> Alitoa zuio hilo Februari 12
Soma - https://jamii.app/VibaliSukariVyarejeshwa
> Waziri wa Kilimo, Japhet Hasunga ametengua kauli yake kuhusu Sukari kutokuagizwa kutoka nje ya nchi na kuwataka wazalishaji kuendelea kuagiza bidhaa hiyo
> Alitoa zuio hilo Februari 12
Soma - https://jamii.app/VibaliSukariVyarejeshwa
MWANZA: MWANDISHI WA KAMPUNI YA MWANANCHI AKAMATWA NA JESHI LA POLISI
> Jonathan Musa anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa mahojiano baada ya kumpiga picha Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai(RCO) wa Mwanza, Faustine Mafwere
Zaidi, soma => https://jamii.app/MwandishiMwananchiMwanza
#JFLeo
> Jonathan Musa anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa mahojiano baada ya kumpiga picha Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai(RCO) wa Mwanza, Faustine Mafwere
Zaidi, soma => https://jamii.app/MwandishiMwananchiMwanza
#JFLeo
MWANAFUNZI AFARIKI KWA KUJIPIGA RISASI KICHWANI
> Jasmini Ngoye (18), mwanafunzi wa kidato cha nne Manispaa ya Morogoro, amekutwa amekufa baada ya kujipiga risasi ya kichwa Februari 19 huku chanzo cha kifo kikidaiwa kuwa ni msongo wa mawazo
Soma - https://jamii.app/MwanafunziAjipigaRisasi
> Jasmini Ngoye (18), mwanafunzi wa kidato cha nne Manispaa ya Morogoro, amekutwa amekufa baada ya kujipiga risasi ya kichwa Februari 19 huku chanzo cha kifo kikidaiwa kuwa ni msongo wa mawazo
Soma - https://jamii.app/MwanafunziAjipigaRisasi
MGOGORO WA ARDHI: MMOJA AJERUHIWA KWA MKUKI NA MABOMA ZAIDI YA 20 YATEKETEZWA KWA MOTO
> Tukio hilo limetokea katika eneo la Mferejini lililopo mpakani mwa Wilaya ya Arumeru na Monduli
> Mgogoro huo umewahusisha wakulima na wafugaji
Soma > https://jamii.app/MgogoroAruMonduli
#JFLeo
> Tukio hilo limetokea katika eneo la Mferejini lililopo mpakani mwa Wilaya ya Arumeru na Monduli
> Mgogoro huo umewahusisha wakulima na wafugaji
Soma > https://jamii.app/MgogoroAruMonduli
#JFLeo
OHIO, MAREKANI: AMSHAMBULIA WAKILI WAKE BAADA YA KUFUNGWA MIAKA 47 JELA
> David Chislton aliyehukumiwa kifungo cha miaka 47 jela amemshambuliwa Wakili Aaron Brockler na kumvunja pua
> Asema ameshindwa kumtetea
Zaidi, soma => https://jamii.app/OhioManAttacksHisLawyer
#JFInternational
> David Chislton aliyehukumiwa kifungo cha miaka 47 jela amemshambuliwa Wakili Aaron Brockler na kumvunja pua
> Asema ameshindwa kumtetea
Zaidi, soma => https://jamii.app/OhioManAttacksHisLawyer
#JFInternational
UNAKUMBUKA NYIMBO GANI ZILIZOTAMBA KIPINDI CHA NYUMA
> Kila kukicha wasanii wa Bongo Fleva wanaongezeka na mahadhi ya nyimbo zao hubadilika kila siku
> Tujikumbushe nyimbo za Bongo Fleva zilizotamba kipindi cha nyuma na nyingine bado zinabamba hata sasa
Tembelea - https://jamii.app/BongoFlevaKale
#JFBurudani
> Kila kukicha wasanii wa Bongo Fleva wanaongezeka na mahadhi ya nyimbo zao hubadilika kila siku
> Tujikumbushe nyimbo za Bongo Fleva zilizotamba kipindi cha nyuma na nyingine bado zinabamba hata sasa
Tembelea - https://jamii.app/BongoFlevaKale
#JFBurudani
👍1
KONDOMU MILIONI 1 ZIKO NJIANI KUELEKEA MAFINGA & NJOMBE
> Mafinga & Njombe uhitaji ni mkubwa, Serikali imelazimika kupeleka mipira hiyo kwa dharura
> Mwisho wa mwezi kondomu milioni 9 zitaingia nchini na mwezi Machi zitaingia Millioni 90
Soma > https://jamii.app/KondomuNjombe
> Mafinga & Njombe uhitaji ni mkubwa, Serikali imelazimika kupeleka mipira hiyo kwa dharura
> Mwisho wa mwezi kondomu milioni 9 zitaingia nchini na mwezi Machi zitaingia Millioni 90
Soma > https://jamii.app/KondomuNjombe
RPC MBEYA ATHIBITISHA KUMHOJI 'SUGU' KWA KUTOA KAULI YA UCHOCHEZI
> Kamanda wa Polisi Ulrich Matei amethibitisha kumuhoji Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi maarufu kama Sugu kwa kukashfu vitambulisho vya Serikali
Zaidi, soma => https://jamii.app/SuguVsRPCMbeya
> Kamanda wa Polisi Ulrich Matei amethibitisha kumuhoji Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi maarufu kama Sugu kwa kukashfu vitambulisho vya Serikali
Zaidi, soma => https://jamii.app/SuguVsRPCMbeya
CHINA YAIUNGA MKONO TANZANIA KWA KUMFUNGA MALKIA WA MENO YA TEMBO
> Serikali ya China imetangaza kuiunga Mkono Tanzania baada ya kumhukumu Yang Fenglan kifungo cha miaka 17 kwa hatia ya kuua na kusafirisha meno ya Tembo 700 kwenda nje
Soma => https://jamii.app/ChinaBacksTanzania
> Serikali ya China imetangaza kuiunga Mkono Tanzania baada ya kumhukumu Yang Fenglan kifungo cha miaka 17 kwa hatia ya kuua na kusafirisha meno ya Tembo 700 kwenda nje
Soma => https://jamii.app/ChinaBacksTanzania
👍1