HUAWEI NA MAREKANI ZAENDELEA KUTUNISHIANA MISULI
> Mwanzilishi wa Huawei amesema, hakuna njia ambayo Marekani inaweza kuitumia ili kuivunja kampuni hiyo
> Ren Zhengfei amesema hata kukamatwa kwa binti yake, ni hatua ya kisiasa tu
Soma - https://jamii.app/HuaweiVsUS
> Mwanzilishi wa Huawei amesema, hakuna njia ambayo Marekani inaweza kuitumia ili kuivunja kampuni hiyo
> Ren Zhengfei amesema hata kukamatwa kwa binti yake, ni hatua ya kisiasa tu
Soma - https://jamii.app/HuaweiVsUS
WATANZANIA WANACHANGIA HARUSI MILIONI 300, LAKINI SI CHOO CHA SHULE CHA MILIONI 20
> Ndani ya JamiiForums kuna mada inayoelezea suala hili na mleta mada anasema kwake anaona huu kama ugonjwa wa kujitakia
Zaidi kuhusu mada hii, soma > https://jamii.app/MichangoHarusi
#JFHoja
> Ndani ya JamiiForums kuna mada inayoelezea suala hili na mleta mada anasema kwake anaona huu kama ugonjwa wa kujitakia
Zaidi kuhusu mada hii, soma > https://jamii.app/MichangoHarusi
#JFHoja
KENYA: MKE AUAWA, MUME AJERUHIWA NA MABINTI ZAO 3 WABAKWA
> Jeshi la Polisi linawatafuta wahuni waliomuua mwanamke mmoja kwa kumkatakata hovyo, kumjeruhiwa vibaya mumewe na kuwabaka mabinti 3 alfajiri ya leo, eneo la Letein
Soma - https://jamii.app/MauajiUbakajiKE
> Jeshi la Polisi linawatafuta wahuni waliomuua mwanamke mmoja kwa kumkatakata hovyo, kumjeruhiwa vibaya mumewe na kuwabaka mabinti 3 alfajiri ya leo, eneo la Letein
Soma - https://jamii.app/MauajiUbakajiKE
SAKATA LA MAUAJI SIMIYU: IGP AMNG'OA KAMANDA WA POLISI
> IGP Sirro amemuondoa RPC Deusdedit Nsimeki kwa kushindwa kudhibiti matukio ya mauaji ya watoto
> Amesema kuwa amekuwa akilalamikiwa na Wananchi kushindwa kudhibiti uhalifu huo
Soma > https://jamii.app/IGPVsRPCSimiyu
#JFLeo
> IGP Sirro amemuondoa RPC Deusdedit Nsimeki kwa kushindwa kudhibiti matukio ya mauaji ya watoto
> Amesema kuwa amekuwa akilalamikiwa na Wananchi kushindwa kudhibiti uhalifu huo
Soma > https://jamii.app/IGPVsRPCSimiyu
#JFLeo
ATEKETEA KWA MOTO ALIOUWASHA SHAMBANI KWAKE
> Mkazi wa Kijiji cha Kilongo, Muheza mkoani Tanga, Saidi Sekizenge (72), amefariki kwa kuteketea kwa moto akiwa shambani kwake
> Mzee huyo alikuwa akichoma majani yaliyokauka shambani mwake
Soma - https://jamii.app/AteketeaMotoShambani
> Mkazi wa Kijiji cha Kilongo, Muheza mkoani Tanga, Saidi Sekizenge (72), amefariki kwa kuteketea kwa moto akiwa shambani kwake
> Mzee huyo alikuwa akichoma majani yaliyokauka shambani mwake
Soma - https://jamii.app/AteketeaMotoShambani
MBINU ZA KUKUWEZESHA KUFANYA BIASHARA KWA MTAJI MDOGO
> Chagua wazo la biashara unalolipenda na kuliweza vyema
> Anza na unachokijua pasipo kuhusisha mambo mengi mageni kwa kuwa huna pesa za kuyagharamia
> Waambie watu unachokifanya ili kupata wateja na kufahamika na usiogope kueleza kuwa unafanya biashara ya aina fulani
Soma - https://jamii.app/BiasharaMtajiMdogo
> Chagua wazo la biashara unalolipenda na kuliweza vyema
> Anza na unachokijua pasipo kuhusisha mambo mengi mageni kwa kuwa huna pesa za kuyagharamia
> Waambie watu unachokifanya ili kupata wateja na kufahamika na usiogope kueleza kuwa unafanya biashara ya aina fulani
Soma - https://jamii.app/BiasharaMtajiMdogo
MUSEVENI APITISHWA KUGOMBEA TENA URAIS UGANDA
> Kamati kuu ya Chama Tawala nchini Uganda, NRM imemtangaza Rais Yoweri Museveni kugombea tena nafasi hiyo katika uchaguzi mkuu utakaofanyika mwaka 2021
> Rais Museveni amekuwa madarakani kwa zaidi ya miaka 30
Soma - https://jamii.app/NRMEndorsesMuseveni6thPhase
> Kamati kuu ya Chama Tawala nchini Uganda, NRM imemtangaza Rais Yoweri Museveni kugombea tena nafasi hiyo katika uchaguzi mkuu utakaofanyika mwaka 2021
> Rais Museveni amekuwa madarakani kwa zaidi ya miaka 30
Soma - https://jamii.app/NRMEndorsesMuseveni6thPhase
JE, KUFANIKIWA NI BAHATI AU NI JUHUDI ZA MTU BINAFSI?
> Wapo wanaosema mafanikio mara nyingii huendana na bahati ya mtu kwasababu kuna wengi wamepambana/wanapambana vya kutosha bila kufikia mafanikio mpaka hujikatia tamaa
> Wengine hudai kufanikiwa bali juhudi binafsi za mtu na ndizo humpeleka kwenye mafanikio tarajiwa na wote waliofanikiwa wamepambana vya kutosha
> Mtazamo wako ni upi katika hili?
Tembelea - https://jamii.app/BahatiVsJuhudiKufanikiwa
> Wapo wanaosema mafanikio mara nyingii huendana na bahati ya mtu kwasababu kuna wengi wamepambana/wanapambana vya kutosha bila kufikia mafanikio mpaka hujikatia tamaa
> Wengine hudai kufanikiwa bali juhudi binafsi za mtu na ndizo humpeleka kwenye mafanikio tarajiwa na wote waliofanikiwa wamepambana vya kutosha
> Mtazamo wako ni upi katika hili?
Tembelea - https://jamii.app/BahatiVsJuhudiKufanikiwa
RAIS MAGUFULI ATEUA MKURUGENZI WA TAASISI YA ELIMU YA WATU WAZIMA NA MWENYEKITI WA BARAZA LA USHINDANI
> Mkurugenzi mpya wa Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima ni Dkt. Ng'umbi
> Jaji Magoiga ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Ushindani
Soma > https://jamii.app/UteuziTEWW
#JFLeo
> Mkurugenzi mpya wa Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima ni Dkt. Ng'umbi
> Jaji Magoiga ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Ushindani
Soma > https://jamii.app/UteuziTEWW
#JFLeo
WAZIRI MKUU ATOA ONYO KWA MKUU WA WILAYA NA MKURUGENZI WA HALMASHAUR, ATAKA WAPATANE
> Amewaonya DC wa Wilaya ya Biharamulo, Sada Malunde na Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Wende Ng'ahara wanaotuhumiana kwa ushirikina(kurogana)
Zaidi, soma => https://jamii.app/PMVsDCDEDBiharamulo
> Amewaonya DC wa Wilaya ya Biharamulo, Sada Malunde na Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Wende Ng'ahara wanaotuhumiana kwa ushirikina(kurogana)
Zaidi, soma => https://jamii.app/PMVsDCDEDBiharamulo
BARRICK WAAHIDI KUILIPA TANZANIA BILIONI 682.5, ACACIA WAKANA
> Mtendaji Mkuu wa Barrick Gold, Dkt. Willem Jacobs ameahidi kutekeleza malipo hayo
> Acacia ambao wana hisa nyingi ndani ya Barrick Gold leo wamekana kuwa na taarifa
Soma => https://jamii.app/BarrickTzAcacia
> Mtendaji Mkuu wa Barrick Gold, Dkt. Willem Jacobs ameahidi kutekeleza malipo hayo
> Acacia ambao wana hisa nyingi ndani ya Barrick Gold leo wamekana kuwa na taarifa
Soma => https://jamii.app/BarrickTzAcacia
CROATIA: MWILI WA BINTI ALIYETOWEKA MWAKA 2000 WAKUTWA KWENYE JOKOFU LA DADA YAKE
> Jasmina Dominic(23) alitoweka mwaka 2000 wakati akiwa Mwanafunzi
> Mwaka 2005 familia yake ilisema aliwaaga anakwenda kufanya kazi kwenye Meli
Zaidi, soma => https://jamii.app/CroatiaMwiliFriji
> Jasmina Dominic(23) alitoweka mwaka 2000 wakati akiwa Mwanafunzi
> Mwaka 2005 familia yake ilisema aliwaaga anakwenda kufanya kazi kwenye Meli
Zaidi, soma => https://jamii.app/CroatiaMwiliFriji
RAIA WA PERU ALIYEINGIZA DAWA ZA KULEVYA NCHINI AFUNGWA MIAKA 20
> Hukumu hiyo imetolewa na Mahakama Kuu kwa raia wa Peru, Wallenstein Santillan baada ya kumkuta na hatia ya kuingiza nchini #DawaZaKulevya aina ya Cocaine gramu 1420.78
Soma => https://jamii.app/RaiaPeruHukumu
> Hukumu hiyo imetolewa na Mahakama Kuu kwa raia wa Peru, Wallenstein Santillan baada ya kumkuta na hatia ya kuingiza nchini #DawaZaKulevya aina ya Cocaine gramu 1420.78
Soma => https://jamii.app/RaiaPeruHukumu
WAHAMIAJI 22 WAKAMATWA TABORA
> Jeshi la Polisi mkoani Tabora limewakamata wahamiaji haramu 22 ambao walikuwa wakisafiri kutoka nchini Burundi kupitia Kigoma, Tabora na kisha kuelekea nchini Zambia kwa basi
> 9 kati yao ni watoto wadogo
Soma - https://jamii.app/Wahamiaji22WakamatwaTBR
> Jeshi la Polisi mkoani Tabora limewakamata wahamiaji haramu 22 ambao walikuwa wakisafiri kutoka nchini Burundi kupitia Kigoma, Tabora na kisha kuelekea nchini Zambia kwa basi
> 9 kati yao ni watoto wadogo
Soma - https://jamii.app/Wahamiaji22WakamatwaTBR
KATIBU MKUU UN ATEUA KAMANDA MPYA WA TUME YA KULINDA AMANI
> Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres amemteua Meja Jenerali Zia Ur Rehman kuwa Kamanda wa kikosi cha Tume ya Umoja huo Magharibi mwa Jangwa la Sahara MINURSO
Soma- https://jamii.app/UNNewForceCommander
> Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres amemteua Meja Jenerali Zia Ur Rehman kuwa Kamanda wa kikosi cha Tume ya Umoja huo Magharibi mwa Jangwa la Sahara MINURSO
Soma- https://jamii.app/UNNewForceCommander
POLISI WAMKAMATA MTUHUMIWA WA MAUAJI YA MWANAHARAKATI WA UJANGILI
> Jeshi la Polisi Mkoani Manyara, limemkamata Limito Lebangu kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya mwanaharakati wa kupambana na ujangili, Faustine Sanka ktk Hifadhi ya Tarangire
Soma https://jamii.app/MuuajiSankaAkamatwa
> Jeshi la Polisi Mkoani Manyara, limemkamata Limito Lebangu kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya mwanaharakati wa kupambana na ujangili, Faustine Sanka ktk Hifadhi ya Tarangire
Soma https://jamii.app/MuuajiSankaAkamatwa
PAKA ARITHISHWA UTAJIRI WA BILIONI 456
> Paka aliyekuwa akimilikiwa na mkongwe wa mitindo Duniani, marehemu Karl Lagerfeld ndiye mrithi wa utajiri unaotajwa kufikia zaidi ya shilingi Bilioni 456 za Kitanzania
> Karl(85) alifariki Februari 19
Soma - https://jamii.app/PakaArithiBil465
> Paka aliyekuwa akimilikiwa na mkongwe wa mitindo Duniani, marehemu Karl Lagerfeld ndiye mrithi wa utajiri unaotajwa kufikia zaidi ya shilingi Bilioni 456 za Kitanzania
> Karl(85) alifariki Februari 19
Soma - https://jamii.app/PakaArithiBil465
SERIKALI KUUNDA KAMATI ILI KUCHUNGUZA KISA CHA MAHABUSU KUTESWA
> Waziri Kangi Lugola ameagiza kuundwa kwa kamati itakayochunguza tukio la Musa Yahya, anayedai kupigwa na kuingiziwa chupa sehemu za siri akiwa Kituo cha Polisi Loliondo
Soma - https://jamii.app/TumeMahabusuKuteswa
> Waziri Kangi Lugola ameagiza kuundwa kwa kamati itakayochunguza tukio la Musa Yahya, anayedai kupigwa na kuingiziwa chupa sehemu za siri akiwa Kituo cha Polisi Loliondo
Soma - https://jamii.app/TumeMahabusuKuteswa
BANGLADESH: AJALI YA MOTO YASABABISHA VIFO 70
> Moto mkali uliozuka usiku kwenye nyumba kadhaa ktk mji mkuu wa Dhaka nchini Bangladesh, umesababisha vifo vya takribani watu 70, hasa wanawake na watoto na wengine kadhaa kujeruhiwa
Soma - https://jamii.app/70DeadFireAccident
> Moto mkali uliozuka usiku kwenye nyumba kadhaa ktk mji mkuu wa Dhaka nchini Bangladesh, umesababisha vifo vya takribani watu 70, hasa wanawake na watoto na wengine kadhaa kujeruhiwa
Soma - https://jamii.app/70DeadFireAccident
ELIMU YA URAIA: Askari Polisi anaweza kunilazimisha kukiri kosa?
> Mtuhumiwa akikataa kuongea ni wajibu wa Polisi kumfikisha Mahakamani ndani ya saa 24
> Maelezo ya kukiri kosa yatokanayo na kuteswa hayakubaliki kama ushahidi Mahakamani
Soma > https://jamii.app/Mambo101Polisi
#JFCivic
> Mtuhumiwa akikataa kuongea ni wajibu wa Polisi kumfikisha Mahakamani ndani ya saa 24
> Maelezo ya kukiri kosa yatokanayo na kuteswa hayakubaliki kama ushahidi Mahakamani
Soma > https://jamii.app/Mambo101Polisi
#JFCivic