SHINYANGA: WATU 2 WAFARIKI DUNIA BAADA YA KUANGUKIA KWENYE SHIMO LA MACHIMBO YA KOKOTO
> Shimo hilo limejaa maji kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha kwenye kijiji cha Kadoto huko Mwalukwa
Zaidi, soma => https://jamii.app/WafarikiShimoKokoto
> Shimo hilo limejaa maji kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha kwenye kijiji cha Kadoto huko Mwalukwa
Zaidi, soma => https://jamii.app/WafarikiShimoKokoto
SLOVENIA: MBUNGE AJIUZULU BAADA YA KUIBA MKATE
> Mbunge Krajcic wa Slovenia amejiuzulu baada ya kuiba mkate maarufu ''sandwich'' katika duka moja kwa madai kuwa wahudumu wa sehemu hiyo walimpuuzia
> Ameomba msamaha na kujutia kufanya hivyo
Soma - https://jamii.app/PmResignsStealingSandwich
> Mbunge Krajcic wa Slovenia amejiuzulu baada ya kuiba mkate maarufu ''sandwich'' katika duka moja kwa madai kuwa wahudumu wa sehemu hiyo walimpuuzia
> Ameomba msamaha na kujutia kufanya hivyo
Soma - https://jamii.app/PmResignsStealingSandwich
AFARIKI KWA KUCHOMWA KISU NA MKEWE
> Mkazi wa Kijiji cha Lugalawa, Wilaya ya Ludewa-Njombe, Osmund Joseph Mwinuka(37) amefariki baada ya kuchomwa Kisu tumboni na mke wake kwa wivu wa Mapenzi
> Kamanda wa Polisi amethibitisha taarifa hiyo
Soma - https://jamii.app/MkeAuaMumeLudewa
> Mkazi wa Kijiji cha Lugalawa, Wilaya ya Ludewa-Njombe, Osmund Joseph Mwinuka(37) amefariki baada ya kuchomwa Kisu tumboni na mke wake kwa wivu wa Mapenzi
> Kamanda wa Polisi amethibitisha taarifa hiyo
Soma - https://jamii.app/MkeAuaMumeLudewa
KONDOMU ZADAIWA KUADIMIKA WILAYANI MAFINGA
> Kondomu za kike na kiume zimeonekana kupungua mjini hapo huku zilizopo zikielezwa kupanda bei na kuuzwa ghali kuanzia shilingi 1,000 mpaka 3,000
Soma - https://jamii.app/UhabaKondomuMafinga
> Kondomu za kike na kiume zimeonekana kupungua mjini hapo huku zilizopo zikielezwa kupanda bei na kuuzwa ghali kuanzia shilingi 1,000 mpaka 3,000
Soma - https://jamii.app/UhabaKondomuMafinga
SERIKALI KURUDISHA KODI KWENYE TAULO ZA KIKE KAMA HAZITASHUKA BEI
> Hii ni kutokana na wauzaji na wasambazaji wa taulo hizo kushindwa kupunguza bei licha ya kodi kuondolewa
> Waziri wa Fedha na wa Viwanda watakiwa kuanza kusimamia
Soma > https://jamii.app/BeiTauloKike
> Hii ni kutokana na wauzaji na wasambazaji wa taulo hizo kushindwa kupunguza bei licha ya kodi kuondolewa
> Waziri wa Fedha na wa Viwanda watakiwa kuanza kusimamia
Soma > https://jamii.app/BeiTauloKike
KILIMANJARO: MADUKA ZAIDI YA 150 YAFUNGWA KUPINGA ONGEZEKO LA KODI
> Wafanyabiashara katika kituo kikuu cha mabasi wamefunga maduka yao wakipinga ongezeko la kodi
> Manispaa imewataka walipe kodi ya 400,000/- hadi 450,000/- kwa kila pango
Soma > https://jamii.app/MgomoMadukaMoshi
> Wafanyabiashara katika kituo kikuu cha mabasi wamefunga maduka yao wakipinga ongezeko la kodi
> Manispaa imewataka walipe kodi ya 400,000/- hadi 450,000/- kwa kila pango
Soma > https://jamii.app/MgomoMadukaMoshi
ARUMERU: SERIKALI ITAWACHUKULIA HATUA ASKARI WANAOSAFIRISHA DAWA ZA KULEVYA
> Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola asema watakaobainika kutumia magari ya Jeshi la Polisi kubeba/kusafirisha/kusindikiza #DawaZaKulevya watawajibishwa
Zaidi, soma => https://jamii.app/KangiArumeru
> Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola asema watakaobainika kutumia magari ya Jeshi la Polisi kubeba/kusafirisha/kusindikiza #DawaZaKulevya watawajibishwa
Zaidi, soma => https://jamii.app/KangiArumeru
KAGERA: WALIOKUTWA NA HATIA YA KUCHOMA KANISA WAHUKUMIWA KIFUNGO CHA MAISHA
> Mahakama imetoa hukumu hiyo kwa Watu watatu iliyowakuta na hatia ya kuchoma moto Kanisa Katoliki Kigango cha Nyarwele, Parokia ya Kimiza
Zaidi, soma => https://jamii.app/KageraKifungoMaisha
> Mahakama imetoa hukumu hiyo kwa Watu watatu iliyowakuta na hatia ya kuchoma moto Kanisa Katoliki Kigango cha Nyarwele, Parokia ya Kimiza
Zaidi, soma => https://jamii.app/KageraKifungoMaisha
MAREKANI: MKE AMUUA MUMEWE ILI AFUNGE NDOA NA MPENZI WAKE
> Mfanyakazi wa gereza, Amy Murray(40) anatuhumiwa kumuua mumewe, Joshua Murray(72) kwa kumtilia sumu kwenye chakula, ili apate nafasi ya kufunga ndoa na mpenzi wake ambaye ni mfungwa
Soma https://jamii.app/WifeKillsHusbandUS
> Mfanyakazi wa gereza, Amy Murray(40) anatuhumiwa kumuua mumewe, Joshua Murray(72) kwa kumtilia sumu kwenye chakula, ili apate nafasi ya kufunga ndoa na mpenzi wake ambaye ni mfungwa
Soma https://jamii.app/WifeKillsHusbandUS
SAA 5 KABLA YA UCHAGUZI NIGERIA: TUME YATANGAZA KUAHIRISHA KWA WIKI MOJA
> Uchaguzi wa Rais na Wabunge umesogezwa mbele hadi Jumamosi tarehe 23 mwezi huu
> Aidha, uchaguzi wa Magavana umepangwa kufanyika tarehe 9 ya mwezi Machi 2019
Soma => https://jamii.app/NigeriaElectionDelayed
> Uchaguzi wa Rais na Wabunge umesogezwa mbele hadi Jumamosi tarehe 23 mwezi huu
> Aidha, uchaguzi wa Magavana umepangwa kufanyika tarehe 9 ya mwezi Machi 2019
Soma => https://jamii.app/NigeriaElectionDelayed
WANAWAKE WENYE MIAKA 30+ HATARINI KUUGUA SARATANI
> Breast Cancer Now limefadhili utafiti uliobaini kwamba, Saratani hutambulika mapema kwa wanawake wenye umri kati ya miaka 35 hadi 39 wanapofanyiwa uchunguzi kila mwaka(mammograms)
Zaidi, soma - https://jamii.app/WomenVsBreastCancer
#JFAfya
> Breast Cancer Now limefadhili utafiti uliobaini kwamba, Saratani hutambulika mapema kwa wanawake wenye umri kati ya miaka 35 hadi 39 wanapofanyiwa uchunguzi kila mwaka(mammograms)
Zaidi, soma - https://jamii.app/WomenVsBreastCancer
#JFAfya
MISRI: MCHAKATO WA RAIS ABDEL FATTAH KUKAA MADARAKANI HADI 2034 WAANZA
> Mchakato huo utamuwezesha rais Abdel Fattah al-Sisi kukaa madarakani hata baada ya muhula wake kuisha 2022
> Wabunge 485 kati ya 596 wameunga mkono mabadiliko hayo
Soma => https://jamii.app/MisriRais2034
#JFInternational
> Mchakato huo utamuwezesha rais Abdel Fattah al-Sisi kukaa madarakani hata baada ya muhula wake kuisha 2022
> Wabunge 485 kati ya 596 wameunga mkono mabadiliko hayo
Soma => https://jamii.app/MisriRais2034
#JFInternational
KAYA 2,086 ZAKUMBWA NA MAFURIKO MTWARA
> Wananchi wa vitongoji vya Migombani-Mbuyuni na Mchangani wamelazimika kuyahama makazi yao kufuatia kufurika kwa maji ktk Mto Ruvuma
> Kumetokea uharibifu wa zaidi ya Ekari 3,014 za Mpunga na Mahindi
Soma - https://jamii.app/Kaya2086MafurikoMTR
> Wananchi wa vitongoji vya Migombani-Mbuyuni na Mchangani wamelazimika kuyahama makazi yao kufuatia kufurika kwa maji ktk Mto Ruvuma
> Kumetokea uharibifu wa zaidi ya Ekari 3,014 za Mpunga na Mahindi
Soma - https://jamii.app/Kaya2086MafurikoMTR
ARUSHA: MKURUGENZI WA KAMPUNI YA OBC AFIKISHWA MAHAKAMANI
> Siku 3 zilizopita Serikali iliagiza kukamatwa kwa ndugu, Isack Mollel(59) Mkurugenzi wa Ortello Business Cooperation, kwa tuhuma za kuajiri Wafanyakazi 10 wa kigeni bila vibali
Soma => https://jamii.app/MkurugenziOBCMahakamani
> Siku 3 zilizopita Serikali iliagiza kukamatwa kwa ndugu, Isack Mollel(59) Mkurugenzi wa Ortello Business Cooperation, kwa tuhuma za kuajiri Wafanyakazi 10 wa kigeni bila vibali
Soma => https://jamii.app/MkurugenziOBCMahakamani
SERIKALI YAAHIDI KUSHIGHULIKIA SUALA LA KIJANA ALIYEPIGWA RISASI NA POLISI, ARUSHA
> Ahadi hiyo imetolewa na Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola
> Richard Peter, alipigwa risasi na Askari Polisi ktk eneo la Kituo cha Polisi, Usa River
Soma > https://jamii.app/SerikaliVsMauajiArusha
> Ahadi hiyo imetolewa na Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola
> Richard Peter, alipigwa risasi na Askari Polisi ktk eneo la Kituo cha Polisi, Usa River
Soma > https://jamii.app/SerikaliVsMauajiArusha
Mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara kati ya Yanga SC dhidi ya Simba SC umemalizika kwa Simba kuibuka na ushindi wa bao 1 kwa 0
> Goli pekee la Simba SC limefungwa na Meddie Kagere kunako dakika ya 71 ya mchezo huo
#JFLeo #JFMichezo
> Goli pekee la Simba SC limefungwa na Meddie Kagere kunako dakika ya 71 ya mchezo huo
#JFLeo #JFMichezo
MAREKANI: WATANO WAFARIKI KWENYE MAJIBIZANO YA RISASI
> Watu 5 wameripotiwa kufariki na askari 5 kujeruhiwa ktk makabiliano ya risasi yaliyotokea ktk jimbo la Illinois nchini Marekani
> Aliyeendesha shambulizi hilo naye ameuawa
Soma - https://jamii.app/5KilledGunmanUS
#JFInternational
> Watu 5 wameripotiwa kufariki na askari 5 kujeruhiwa ktk makabiliano ya risasi yaliyotokea ktk jimbo la Illinois nchini Marekani
> Aliyeendesha shambulizi hilo naye ameuawa
Soma - https://jamii.app/5KilledGunmanUS
#JFInternational
AKIUA KICHANGA KWA KUJIFUNGULIA KWENYE NDOO ILIYOJAA MAJI
- Polisi mkoani Manyara inamshikilia Ramla Omary(23) kwa kutupa kichanga shimoni baada ya kukiua alipokuwa anajifungua
- Inaelezwa Ramla amefanya hivyo kwa madai kuwa ana maisha magumu
Zaidi, soma https://jamii.app/AjifunguliaNdooMNYR
- Polisi mkoani Manyara inamshikilia Ramla Omary(23) kwa kutupa kichanga shimoni baada ya kukiua alipokuwa anajifungua
- Inaelezwa Ramla amefanya hivyo kwa madai kuwa ana maisha magumu
Zaidi, soma https://jamii.app/AjifunguliaNdooMNYR
SIMIYU: MWILI WAOKOTWA UKIWA UMETOLEWA BAADHI YA VIUNGO
- Mwili wa Mmwanamke ambaye jina lake halijafahamika umeokotwa katika kijiji cha Lamadi Wilayani Busega
- Umekutwa katika nyumba chakavu ukiwa umekatwa sehemu za siri na titi la kushoto
Zaidi, soma https://jamii.app/MauajiMwanamkeSMY1
- Mwili wa Mmwanamke ambaye jina lake halijafahamika umeokotwa katika kijiji cha Lamadi Wilayani Busega
- Umekutwa katika nyumba chakavu ukiwa umekatwa sehemu za siri na titi la kushoto
Zaidi, soma https://jamii.app/MauajiMwanamkeSMY1
UFARANSA: MAANDAMANO YAFANYIKA KWA MIEZI MITATU MFULULIZO
- Waandamanaji wanaovaa vizibao vya njano na kupinga sera za kiuchumi za Rais Macron waliandamana jana
- Takribani Waandamanaji 41,500 waliandamana ikiwa ni wikiendi ya 14 mfululizo
Zaidi, soma https://jamii.app/MaandamaniVisibaoNjano
- Waandamanaji wanaovaa vizibao vya njano na kupinga sera za kiuchumi za Rais Macron waliandamana jana
- Takribani Waandamanaji 41,500 waliandamana ikiwa ni wikiendi ya 14 mfululizo
Zaidi, soma https://jamii.app/MaandamaniVisibaoNjano