JamiiForums
52.8K subscribers
34.4K photos
2.44K videos
31.3K links
Official Telegram Channel | Inform x Engage x Empower
Download Telegram
Ungana nasi katika Mjadala huu unaoendelea ndani ya Clubhouse - https://jamii.app/MjadalaSarataniWatoto

#JFAfya
Ungana nasi katika Mjadala huu unaoendelea ndani ya Clubhouse - https://jamii.app/MjadalaSarataniWatoto

#JFAfya
Baadhi ya yaliyojadiliwa katika Mjadala na Wataalamu kuhusu Saratani kwa Watoto uliofanyika kupitia Clubhouse ya JamiiForums

#JFAfya
DAR: Maila Majula (29) Mkazi wa Makongo Juu, anashikiliwa na Polisi kwa kudanganya kuibiwa Gari aina ya Toyota IST

Uchunguzi ulibaini alipewa Tsh. Milioni 10 na Kaka yake ili akaziweke Benki ila alizitumia na kuamua kutengeneza tukio hilo

Soma - https://jamii.app/AjifanyaPolisi

#JFMatukio
KESI YA MBOWE: UPANDE WA MASHTAKA WAFUNGA USHAHIDI

Wakili wa Serikali, Robert Kidando amesema "Baada ya Ushahidi wa Shahidi wa 13 tunaialika Mahakama ione Washtakiwa wote 4 wana Kesi ya kujibu hivyo hatua nyingine kwa ajili ya kujitetea ifuate"

Soma - https://jamii.app/MboweKesiUshahidi

#JFSiasa
NAPE: HAKUNA WIZI KWENYE 'BUNDLE' ZA SIMU

Amesema, "Malalamiko kwamba kuna 'Bundle' zinatumika bila Mtumiaji kuzitumia yamekuwepo. Uchambuzi umefanyika na Matokeo yanaonesha hakuna wizi uliotokea, isipokuwa kuna tatizo la matumizi ya simu za kisasa"

Soma - https://jamii.app/WiziBandoSimu

#DigitalRights
SERIKALI YASEMA MSIMAMO KUHUSU 'EPA' UKO PALEPALE

Serikali imekanusha suala la kusaini Economic Partnership Agreement 'EPA'

> EPA ni makubaliano yatakayoruhusu nchi za Ulaya kuingiza bidhaa ktk nchi zinazoendelea bila kutozwa kodi

Soma https://jamii.app/TanzaniaEPA
#JFUchumi
TABORA: Jeshi la Polisi limekamata Watu 9 ambao wametajwa kuhusika na tuhuma za Mauaji na mauziano ya viungo vya Binadamu

Huwachoma Watu na kitu chenye ncha kali Shingoni na kukinga Damu ambayo hununuliwa kwa Tsh. 600,000 kwa chupa.

Soma - https://jamii.app/SehemuZaSiri

#HumanRights #JFMatukio