Ungana nasi katika Mjadala huu unaoendelea ndani ya Clubhouse - https://jamii.app/MjadalaSarataniWatoto
#JFAfya
#JFAfya
Ungana nasi katika Mjadala huu unaoendelea ndani ya Clubhouse - https://jamii.app/MjadalaSarataniWatoto
#JFAfya
#JFAfya
Baadhi ya yaliyojadiliwa katika Mjadala na Wataalamu kuhusu Saratani kwa Watoto uliofanyika kupitia Clubhouse ya JamiiForums
#JFAfya
#JFAfya
DAR: Maila Majula (29) Mkazi wa Makongo Juu, anashikiliwa na Polisi kwa kudanganya kuibiwa Gari aina ya Toyota IST
Uchunguzi ulibaini alipewa Tsh. Milioni 10 na Kaka yake ili akaziweke Benki ila alizitumia na kuamua kutengeneza tukio hilo
Soma - https://jamii.app/AjifanyaPolisi
#JFMatukio
Uchunguzi ulibaini alipewa Tsh. Milioni 10 na Kaka yake ili akaziweke Benki ila alizitumia na kuamua kutengeneza tukio hilo
Soma - https://jamii.app/AjifanyaPolisi
#JFMatukio
KESI YA MBOWE: UPANDE WA MASHTAKA WAFUNGA USHAHIDI
Wakili wa Serikali, Robert Kidando amesema "Baada ya Ushahidi wa Shahidi wa 13 tunaialika Mahakama ione Washtakiwa wote 4 wana Kesi ya kujibu hivyo hatua nyingine kwa ajili ya kujitetea ifuate"
Soma - https://jamii.app/MboweKesiUshahidi
#JFSiasa
Wakili wa Serikali, Robert Kidando amesema "Baada ya Ushahidi wa Shahidi wa 13 tunaialika Mahakama ione Washtakiwa wote 4 wana Kesi ya kujibu hivyo hatua nyingine kwa ajili ya kujitetea ifuate"
Soma - https://jamii.app/MboweKesiUshahidi
#JFSiasa
NAPE: HAKUNA WIZI KWENYE 'BUNDLE' ZA SIMU
Amesema, "Malalamiko kwamba kuna 'Bundle' zinatumika bila Mtumiaji kuzitumia yamekuwepo. Uchambuzi umefanyika na Matokeo yanaonesha hakuna wizi uliotokea, isipokuwa kuna tatizo la matumizi ya simu za kisasa"
Soma - https://jamii.app/WiziBandoSimu
#DigitalRights
Amesema, "Malalamiko kwamba kuna 'Bundle' zinatumika bila Mtumiaji kuzitumia yamekuwepo. Uchambuzi umefanyika na Matokeo yanaonesha hakuna wizi uliotokea, isipokuwa kuna tatizo la matumizi ya simu za kisasa"
Soma - https://jamii.app/WiziBandoSimu
#DigitalRights
SERIKALI YASEMA MSIMAMO KUHUSU 'EPA' UKO PALEPALE
Serikali imekanusha suala la kusaini Economic Partnership Agreement 'EPA'
> EPA ni makubaliano yatakayoruhusu nchi za Ulaya kuingiza bidhaa ktk nchi zinazoendelea bila kutozwa kodi
Soma https://jamii.app/TanzaniaEPA
#JFUchumi
Serikali imekanusha suala la kusaini Economic Partnership Agreement 'EPA'
> EPA ni makubaliano yatakayoruhusu nchi za Ulaya kuingiza bidhaa ktk nchi zinazoendelea bila kutozwa kodi
Soma https://jamii.app/TanzaniaEPA
#JFUchumi
TABORA: Jeshi la Polisi limekamata Watu 9 ambao wametajwa kuhusika na tuhuma za Mauaji na mauziano ya viungo vya Binadamu
Huwachoma Watu na kitu chenye ncha kali Shingoni na kukinga Damu ambayo hununuliwa kwa Tsh. 600,000 kwa chupa.
Soma - https://jamii.app/SehemuZaSiri
#HumanRights #JFMatukio
Huwachoma Watu na kitu chenye ncha kali Shingoni na kukinga Damu ambayo hununuliwa kwa Tsh. 600,000 kwa chupa.
Soma - https://jamii.app/SehemuZaSiri
#HumanRights #JFMatukio