MICHEZO: Shirikisho la Ngumi za Kulipwa Duniani limewavua Mikanda ya Ubingwa wa WBF Intercontinental Mabondia wa Tanzania, Hassan Mwakinyo (Champez) na Ibrahim Class kutokana na kutotetea mikanda hiyo kwa muda mrefu kama sheria za WBF zilivyo
Soma https://jamii.app/MwakinyoNoWBF
#JFSports
Soma https://jamii.app/MwakinyoNoWBF
#JFSports
TCRA YAAGIZWA KUELEKEZA KAMPUNI ZA MAWASILIANO KUSITISHA BEI MPYA ZA VIFURUSHI
Waziri wa Habari amesema "Kuna gharama kidogo zimeongezeka kwa baadhi ya Mitandao ya Simu. Tunataka Mawasiliano yawe rahisi, bora na kisasa"
Asema Serikali inatambua pengine ni mahitaji ya Soko, lakini kasi ya kuongeza gharama hizo isiwe kubwa
Soma - https://jamii.app/NapeBeiVifurushi
#DigitalRights
Waziri wa Habari amesema "Kuna gharama kidogo zimeongezeka kwa baadhi ya Mitandao ya Simu. Tunataka Mawasiliano yawe rahisi, bora na kisasa"
Asema Serikali inatambua pengine ni mahitaji ya Soko, lakini kasi ya kuongeza gharama hizo isiwe kubwa
Soma - https://jamii.app/NapeBeiVifurushi
#DigitalRights
MDAU: MITANDAO NI KICHOCHEO KIPYA CHA DEMOKRASIA NA MABADILIKO
Mshiriki wa #StoriesOfChange anasema baadhi ya taarifa ambazo zimesaidia Serikali, Vyama vya Siasa, Asasi za Kiraia, Mashirika ya Dini na Makundi mbalimbali ya Jamii kuchukua hatua zilianzia Mitandaoni
Anashauri Mitandao ya kijamii itumike vizuri, na uwekezaji mkubwa ufanyike kwenye Teknolojia ili kuwafikia wengi zaidi
Soma - https://jamii.app/MitandaoSOC
#Democracy
Mshiriki wa #StoriesOfChange anasema baadhi ya taarifa ambazo zimesaidia Serikali, Vyama vya Siasa, Asasi za Kiraia, Mashirika ya Dini na Makundi mbalimbali ya Jamii kuchukua hatua zilianzia Mitandaoni
Anashauri Mitandao ya kijamii itumike vizuri, na uwekezaji mkubwa ufanyike kwenye Teknolojia ili kuwafikia wengi zaidi
Soma - https://jamii.app/MitandaoSOC
#Democracy
IRINGA: ASKARI ASHIKILIWA NA TAKUKURU KWA RUSHWA
Taratibu za kumfikisha Mahakamani Koplo Steven Philimoni Mchomvu ambaye picha zake zimesambaa Mitandaoni zinaendelea
Askari huyo wa Usalama Barabarani alikamatwa akipokea Rushwa inayofikia Tsh. 152,000 kutoka kwenye Magari
Soma - https://jamii.app/PCCBAskari
#KemeaRushwa #JFUwajibikaji
Taratibu za kumfikisha Mahakamani Koplo Steven Philimoni Mchomvu ambaye picha zake zimesambaa Mitandaoni zinaendelea
Askari huyo wa Usalama Barabarani alikamatwa akipokea Rushwa inayofikia Tsh. 152,000 kutoka kwenye Magari
Soma - https://jamii.app/PCCBAskari
#KemeaRushwa #JFUwajibikaji
MUTAHABA: WANAFUNZI KUTOWAPENDA WALIMU WA HESABU HUCHANGIA KUFELI
Kamishna wa Elimu, Dkt. Lyabwene Mutahaba, amesema sababu nyingine ya Wanafunzi kufanya vibaya ni mazingira ya ufundishaji kutokuwa rafiki
Amefafanua, "Baadhi ya Shule Mwalimu akitoa Hesabu 10 anakuwa na mzigo wa fimbo. Mwanafunzi atakayekosa Hesabu 5 atachapwa viboko 5, akikosa 3 atachapwa fimbo 3"
Soma - https://jamii.app/KufeliHisabati
#JFElimu
Kamishna wa Elimu, Dkt. Lyabwene Mutahaba, amesema sababu nyingine ya Wanafunzi kufanya vibaya ni mazingira ya ufundishaji kutokuwa rafiki
Amefafanua, "Baadhi ya Shule Mwalimu akitoa Hesabu 10 anakuwa na mzigo wa fimbo. Mwanafunzi atakayekosa Hesabu 5 atachapwa viboko 5, akikosa 3 atachapwa fimbo 3"
Soma - https://jamii.app/KufeliHisabati
#JFElimu
MVUA ZAATHIRI MIUNDOMBINU YA UMEME
Upepo mkali na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali Nchini zimeathiri Miundombinu ya Umeme
Shirika la Umeme lasema hali hiyo imepelekea baadhi ya watu kukosa huduma ya umeme kwa nyakati tofauti
Soma - https://jamii.app/TZMvuaUmeme
Upepo mkali na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali Nchini zimeathiri Miundombinu ya Umeme
Shirika la Umeme lasema hali hiyo imepelekea baadhi ya watu kukosa huduma ya umeme kwa nyakati tofauti
Soma - https://jamii.app/TZMvuaUmeme
RAIS SAMIA: SERIKALI ITASHIRIKIANA NA MACHIFU
Akishiriki Tamasha la Utamaduni amesema, "Kumekuwa na maneno mengi kuhusu Serikali na Uchifu. Tumeamua kuwa na jukwaa la pamoja baina ya Serikali, Machifu na Wazee wa Kimila ili kuhifadhi Desturi zetu"
Soma - https://jamii.app/SerikaliMachifu
#JFSiasa
Akishiriki Tamasha la Utamaduni amesema, "Kumekuwa na maneno mengi kuhusu Serikali na Uchifu. Tumeamua kuwa na jukwaa la pamoja baina ya Serikali, Machifu na Wazee wa Kimila ili kuhifadhi Desturi zetu"
Soma - https://jamii.app/SerikaliMachifu
#JFSiasa
ARUSHA: MKE WA MTU ADAIWA KUULIWA NA MCHEPUKO WAKE
Mwili wa Teddy Mallya umekutwa umetupwa ktk Shamba la Migomba ukiwa na majeraha ikiwemo ya kungβatwa
Emmanuel Lazaro anadaiwa kutekeleza mauaji hayo akimtuhumu marehemu kutoa ujauzito wake
Soma - https://jamii.app/MkeKifoHawara
#GBV #UkatiliKijinsia #JFMatukio
Mwili wa Teddy Mallya umekutwa umetupwa ktk Shamba la Migomba ukiwa na majeraha ikiwemo ya kungβatwa
Emmanuel Lazaro anadaiwa kutekeleza mauaji hayo akimtuhumu marehemu kutoa ujauzito wake
Soma - https://jamii.app/MkeKifoHawara
#GBV #UkatiliKijinsia #JFMatukio
#AFCON2021: HATUA YA MTOANO KUENDELEA KESHO
Hatua ya makundi ya michuano hiyo inayofanyika Cameroon imemalizika Januari 20, 2021.
Timu 16 zilizofuzu kucheza hatua ya mtoano zitaendelea na michuano kesho.
Je, ni timu gani unaipa nafasi ya kuweza kuondoka na Kombe?
#JFSports
Hatua ya makundi ya michuano hiyo inayofanyika Cameroon imemalizika Januari 20, 2021.
Timu 16 zilizofuzu kucheza hatua ya mtoano zitaendelea na michuano kesho.
Je, ni timu gani unaipa nafasi ya kuweza kuondoka na Kombe?
#JFSports
UTURUKI: Polisi Nchini humo wanamshikilia Mwanahabari Sedef Kabas kwa madai ya kumtusi Rais Recep Tayyip Erdogan kwenye Runinga na #Twitter
Kumtusi Rais ni uhalifu Nchini Uturuki na huenda ukasababisha kifungo cha miaka minne jela.
Soma - https://jamii.app/KabasArrested
#PressFreedom
Kumtusi Rais ni uhalifu Nchini Uturuki na huenda ukasababisha kifungo cha miaka minne jela.
Soma - https://jamii.app/KabasArrested
#PressFreedom
DODOMA: WATU WATANO WA FAMILIA MOJA WAUAWA
Waliouawa ni Mume, Mke, Watoto wawili na Mjukuu mmoja ambao ni Wakazi wa kijiji cha Zanka wilayani Bahi
Kamanda wa Polisi Mkoani humo, Onesmo Lyanga amesema miili yao inafanyiwa Uchunguzi
Soma - https://jamii.app/Vifo5Dodoma
#JFMatukio
Waliouawa ni Mume, Mke, Watoto wawili na Mjukuu mmoja ambao ni Wakazi wa kijiji cha Zanka wilayani Bahi
Kamanda wa Polisi Mkoani humo, Onesmo Lyanga amesema miili yao inafanyiwa Uchunguzi
Soma - https://jamii.app/Vifo5Dodoma
#JFMatukio
YAOUNDE, CAMEROON: MOTO WAUA TAKRIBAN WATU 16 NA KUJERUHI 8
Serikali imesema Ripoti ya Awali inaonesha moto ulisababishwa na milipuko ya fataki ambazo mara nyingi zinatumika maeneo hayo
Milipuko hiyo ilipelekea hofu na mkanyagano
Soma - https://jamii.app/NightClubFire
#JFMatukio
Serikali imesema Ripoti ya Awali inaonesha moto ulisababishwa na milipuko ya fataki ambazo mara nyingi zinatumika maeneo hayo
Milipuko hiyo ilipelekea hofu na mkanyagano
Soma - https://jamii.app/NightClubFire
#JFMatukio
#AFCON2021: BURKINA FASO YAFUZU KUINGIA ROBO FAINALI
- #TeamBurkinaFaso imefanikiwa kuingia hatua ya robo fainali kwenye michuano hiyo baada ya kuifunga #TeamGabon kwa mikwaju ya penati 7-6
- Timu hizo zilimaliza dakika 120 za mchezo zikiwa zimefungana goli 1-1
#JFSports
- #TeamBurkinaFaso imefanikiwa kuingia hatua ya robo fainali kwenye michuano hiyo baada ya kuifunga #TeamGabon kwa mikwaju ya penati 7-6
- Timu hizo zilimaliza dakika 120 za mchezo zikiwa zimefungana goli 1-1
#JFSports
BURKINA FASO: Waziri wa Ulinzi, Aime Barthelemy amesema Rais wa Nchi hiyo, Rorch Marc Christian Kabore hayuko kizuizini
> Amekiri uwepo wa ghasia ktk kambi za Jeshi ambapo milio ya risasi imesikika. Pia, Wananchi waliandamana kutaka Rais ajiuzulu
Soma https://jamii.app/BurkinaFasoMapinduzi
#Governance
> Amekiri uwepo wa ghasia ktk kambi za Jeshi ambapo milio ya risasi imesikika. Pia, Wananchi waliandamana kutaka Rais ajiuzulu
Soma https://jamii.app/BurkinaFasoMapinduzi
#Governance
ARMENIA: RAIS AJIUZULU AKISEMA KATIBA HAIMPI MAMLAKA YA KUTOSHA
Rais Armen Sarkissian amewasilisha maombi ya kujiuzulu akisema anaamini Katiba haimpi madaraka ya kutosha kushawishi matukio
Nafasi ya Waziri Mkuu inaonekana kuwa kubwa kuliko ya Rais
Soma https://jamii.app/SarkissianResigns
#Governance
Rais Armen Sarkissian amewasilisha maombi ya kujiuzulu akisema anaamini Katiba haimpi madaraka ya kutosha kushawishi matukio
Nafasi ya Waziri Mkuu inaonekana kuwa kubwa kuliko ya Rais
Soma https://jamii.app/SarkissianResigns
#Governance
Siku ya Kimataifa ya Elimu huadhimishwa kila Januari 24. Kwa mujibu wa Takwimu za Umoja wa Mataifa, hivi leo Watoto na Vijana Milioni 258 hawaendi Shule
Pasipo Elimu Bora, Nchi hazitofanikiwa kufikia Usawa wa Kijinsia na kupiga vita umasikini ambao unawaacha nyuma Mamilioni ya Watoto, Vijana na Watu wazima
Soma - https://jamii.app/WorldEduDay
#EducationDay #JFElimu
Pasipo Elimu Bora, Nchi hazitofanikiwa kufikia Usawa wa Kijinsia na kupiga vita umasikini ambao unawaacha nyuma Mamilioni ya Watoto, Vijana na Watu wazima
Soma - https://jamii.app/WorldEduDay
#EducationDay #JFElimu
#AFGHANISTAN: Wajumbe wa Taliban wamepanga kukutana na Maafisa wa Nchi za Magharibi, leo Januari 24 kuomba Fedha zilizofichwa ktk Benki za Marekani
Baadhi ya Wanaharakati wamefanya maandamano kupinga hatua ya #Taliban kupewa nafasi ya mazungumzo
Soma - https://jamii.app/TalibanMazungumzo
#Governance
Baadhi ya Wanaharakati wamefanya maandamano kupinga hatua ya #Taliban kupewa nafasi ya mazungumzo
Soma - https://jamii.app/TalibanMazungumzo
#Governance
REUTERS YARIPOTI RAIS WA BURKINA FASO KUSHIKILIWA NA JESHI
Taarifa ya kushikiliwa kwa Rais Kabore inakuja saa kadhaa baada ya Waziri wa Ulinzi kukanusha tukio hilo
Magari ya msafara wa Rais yadaiwa kuonekana na alama za risasi na Damu
Soma - https://jamii.app/RaisBurkinaFaso
#Democracy
Taarifa ya kushikiliwa kwa Rais Kabore inakuja saa kadhaa baada ya Waziri wa Ulinzi kukanusha tukio hilo
Magari ya msafara wa Rais yadaiwa kuonekana na alama za risasi na Damu
Soma - https://jamii.app/RaisBurkinaFaso
#Democracy
TCRA YAZUIA KIPINDI CHA EFATHA KWA MIEZI MITATU
Kamati ya Maudhui ya TCRA imesema Kituo cha Star TV kimeonesha uzembe na udhaifu katika kusimamia kipindi cha EFATHA Ministries kwa kuruhusu maudhui yenye ukakasi, kinyume na Kanuni za Mawasiliano
Star TV yapewa onyo na kuamriwa kuomba radhi kwa siku tatu mfululizo
Soma - https://jamii.app/EFATHA-TCRA
#DigitalRights
Kamati ya Maudhui ya TCRA imesema Kituo cha Star TV kimeonesha uzembe na udhaifu katika kusimamia kipindi cha EFATHA Ministries kwa kuruhusu maudhui yenye ukakasi, kinyume na Kanuni za Mawasiliano
Star TV yapewa onyo na kuamriwa kuomba radhi kwa siku tatu mfululizo
Soma - https://jamii.app/EFATHA-TCRA
#DigitalRights
WAZIRI UMMY: MADUKA YA DAWA YALIYO NDANI YA MITA 500 ZA HOSPITALI KUONDOLEWA
Asema yapo kinyume cha Sheria, akihoji "Hospitali Dawa hakuna lakini kwenye Maduka ya Nje zipo"
Ni siku chache baada ya Wadau ndani ya JamiiForums.com kusema yanachangia kukosekana kwa Dawa Hospitalini
Soma https://jamii.app/MadukaDawa
#JFAfya
Asema yapo kinyume cha Sheria, akihoji "Hospitali Dawa hakuna lakini kwenye Maduka ya Nje zipo"
Ni siku chache baada ya Wadau ndani ya JamiiForums.com kusema yanachangia kukosekana kwa Dawa Hospitalini
Soma https://jamii.app/MadukaDawa
#JFAfya