NDEJEMBI: TIMU ZINAPOFUNGWA NA YANGA ZIKUBALIANE NA MATOKEO
- Akiwa Bungeni Dodoma, Naibu Waziri wa Utumishi na Utawala Bora amesema baadhi ya Viongozi wa Timu wamekuwa wakitoa kauli ya kwamba walihongwa hususan wanapofungwa na Yanga
Soma > https://jamii.app/RushwaSoka
#Sports
- Akiwa Bungeni Dodoma, Naibu Waziri wa Utumishi na Utawala Bora amesema baadhi ya Viongozi wa Timu wamekuwa wakitoa kauli ya kwamba walihongwa hususan wanapofungwa na Yanga
Soma > https://jamii.app/RushwaSoka
#Sports
BURKINA FASO: TAKRIBAN WANAKIJIJI 30 WAUAWA
- Wanamgambo wanaosadikika wa kundi la Jihad wamevamia kijiji cha Kodyel na kufanya mauaji hayo
- Mashambulio yameongezeka Nchini humo katika Mikoa inayopakana na #Niger na #Mali
Soma > https://jamii.app/MauajiBurkinafaso
#HumanRightsViolations
- Wanamgambo wanaosadikika wa kundi la Jihad wamevamia kijiji cha Kodyel na kufanya mauaji hayo
- Mashambulio yameongezeka Nchini humo katika Mikoa inayopakana na #Niger na #Mali
Soma > https://jamii.app/MauajiBurkinafaso
#HumanRightsViolations
ETHIOPIA: MZOZO WA #TIGRAY KUTENGANISHA WATOTO NA WAZAZI WAO
- Zaidi ya #Watoto 5,000 watenganishwa na wazazi wao kutokana na mapigano yanayoendelea
- Watoto hao wako ktk hatari ya kupata njaa, kunyanyasika kimwili na kingono
Soma > https://jamii.app/WatotoTigray
- Zaidi ya #Watoto 5,000 watenganishwa na wazazi wao kutokana na mapigano yanayoendelea
- Watoto hao wako ktk hatari ya kupata njaa, kunyanyasika kimwili na kingono
Soma > https://jamii.app/WatotoTigray
NDALICHAKO: SERIKALI ITAONDOA TOZO YA 6% YA KULINDA THAMANI KTK MIKOPO YA ELIMU JULAI 1
- Pia, Serikali imeiagiza Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi kuondoa tozo ya adhabu ya 10% ambayo inatozwa kwa wanaochelewa kulipa Mikopo
Soma - https://jamii.app/TozoMikopoElimu
- Pia, Serikali imeiagiza Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi kuondoa tozo ya adhabu ya 10% ambayo inatozwa kwa wanaochelewa kulipa Mikopo
Soma - https://jamii.app/TozoMikopoElimu
MBUNGE: WIZARA YA ELIMU IKUBALI MFUMO UNA TATIZO
- Akiwa Bungeni, Bernadeta Mushashu amesema Wizara ifungue mjadala mpana tuangalie kitu gani kinakosekana na tuongeze nini
- Pia, ametoa wito kwa Serikali kuweka mkakati wa kuajiri Walimu
Soma > https://jamii.app/MfumoElimu
- Akiwa Bungeni, Bernadeta Mushashu amesema Wizara ifungue mjadala mpana tuangalie kitu gani kinakosekana na tuongeze nini
- Pia, ametoa wito kwa Serikali kuweka mkakati wa kuajiri Walimu
Soma > https://jamii.app/MfumoElimu
LIGI YA MABINGWA ULAYA: NANI KUTINGA FAINALI, MAN CITY AU PSG?
- Mchezo wa pili wa Nusu Fainali kati ya Manchester City dhidi ya PSG kuchezwa hii leo majira ya saa 4:00 usiku
- Mchezo wa kwanza katika hatua hiyo Manchester City iliibuka na ushindi wa goli 2-1
- Ili kutinga Fainali PSG inahitaji kushinda si chini ya magoli 2-0 wakati Man City ikihitaji sare au ushindi wowote
- Mchezo wa pili wa Nusu Fainali kati ya Manchester City dhidi ya PSG kuchezwa hii leo majira ya saa 4:00 usiku
- Mchezo wa kwanza katika hatua hiyo Manchester City iliibuka na ushindi wa goli 2-1
- Ili kutinga Fainali PSG inahitaji kushinda si chini ya magoli 2-0 wakati Man City ikihitaji sare au ushindi wowote
MBUNGE: WATOTO 15 KATI YA 45 DARASANI HAWAFUNDISHIKI
- Neema Lugangira amesema suala la Lishe Shuleni linapaswa kupewa uzito, na hali ya Udumavu inachangia Watoto kutofaulu na kufundishika kwa kiasi kikubwa
Soma > https://jamii.app/WatotoLishe
- Neema Lugangira amesema suala la Lishe Shuleni linapaswa kupewa uzito, na hali ya Udumavu inachangia Watoto kutofaulu na kufundishika kwa kiasi kikubwa
Soma > https://jamii.app/WatotoLishe
SIMBACHAWENE: KITAMBULISHO CHA NIDA HAKIHALALISHI KUWA RAIA WA TANZANIA
- Waziri huyo ameeleza Uraia wa Tanzania una #Sheria na mchakato wake
- Kitambulisho ni kwa ajili ya kuwatambua Watu na hutolewa hata kwa Wakimbizi na Wahamiaji wakazi
Soma - https://jamii.app/NIDAUraia
- Waziri huyo ameeleza Uraia wa Tanzania una #Sheria na mchakato wake
- Kitambulisho ni kwa ajili ya kuwatambua Watu na hutolewa hata kwa Wakimbizi na Wahamiaji wakazi
Soma - https://jamii.app/NIDAUraia
JOSE MOURINHO ATANGAZWA KUWA KOCHA MPYA WA AS ROMA
- AS Roma ya Italia imemtangaza Mourinho (58) kuwa Kocha wake ikiwa ni wiki mbili tangu kibarua chake kiote nyasi akiwa Tottenham
- Amesaini kandarasi ya miaka mitatu na ataanza kuinoa AS Roma mwanzoni mwa msimu ujao
#JFSports
- AS Roma ya Italia imemtangaza Mourinho (58) kuwa Kocha wake ikiwa ni wiki mbili tangu kibarua chake kiote nyasi akiwa Tottenham
- Amesaini kandarasi ya miaka mitatu na ataanza kuinoa AS Roma mwanzoni mwa msimu ujao
#JFSports
MEXICO: 23 WAFARIKI NA 70 WAJERUHIWA BAADA YA BARABARA YA JUU KUPOROMOKA
- Sehemu ya barabara ya juu iliporomoka na kusababisha treni kuanguka ktk barabara ya chini iliyokuwa na watu wengi
- Kiwango cha barabara hiyo kimewahi kulalamikiwa
Soma > https://jamii.app/AjaliMexico
- Sehemu ya barabara ya juu iliporomoka na kusababisha treni kuanguka ktk barabara ya chini iliyokuwa na watu wengi
- Kiwango cha barabara hiyo kimewahi kulalamikiwa
Soma > https://jamii.app/AjaliMexico