LSF: KUPATA TAARIFA NI HAKI YA MSINGI YA KILA MTU
- Mkurugenzi wa Shirika la Legal Services Facility (LSF) Lulu Ngβwanakilala amesema ili kuwa na Jamii yenye maendeleo nyanja zote ni muhimu kuwa na taarifa sahihi zitakazowawezesha wananchi kufanya maamuzi sahihi
- Amesema hayo leo katika maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Habari ambayo kilele chake kinafanyika Arusha
- Ameeleza, "Tunapoadhimisha Siku hii ya #UhuruWaHabari napenda kusisitiza kuwa kupata taarifa ni Haki ya msingi ya kila mtu"
Soma > https://jamii.app/PressFreedomDay
#WPFD #WorldPressFreedomDay #AccessToInformation
- Mkurugenzi wa Shirika la Legal Services Facility (LSF) Lulu Ngβwanakilala amesema ili kuwa na Jamii yenye maendeleo nyanja zote ni muhimu kuwa na taarifa sahihi zitakazowawezesha wananchi kufanya maamuzi sahihi
- Amesema hayo leo katika maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Habari ambayo kilele chake kinafanyika Arusha
- Ameeleza, "Tunapoadhimisha Siku hii ya #UhuruWaHabari napenda kusisitiza kuwa kupata taarifa ni Haki ya msingi ya kila mtu"
Soma > https://jamii.app/PressFreedomDay
#WPFD #WorldPressFreedomDay #AccessToInformation
TEF: MWAKABIBI AMEKUWA AKIKAMATA WAANDISHI, TUNAPONGEZA HATUA ZILIZOCHUKULIWA
- Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri, Deodatus Balile amesema aliyekuwa Mkurugenzi wa Halmashauri Temeke, Lusabilo Mwakabibi amekuwa akikamata waandishi na kuwaweka ndani na wanaipongeza Serikali kwa kuchukua hatua ya kumsimamisha kupisha uchunguzi
- Amesema Kumekuwa na wimbi la Watendaji wa Serikali na baadhi ya Askari kuwanyangβanya Wanahabari vitendea kazi na kuwashikilia bila sababu za msingi na wanakemea matukio hayo kama Wanahabari
Soma > https://jamii.app/PressFreedomDay
#WPFD #WorldPressFreedomDay #AccessToInformation
- Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri, Deodatus Balile amesema aliyekuwa Mkurugenzi wa Halmashauri Temeke, Lusabilo Mwakabibi amekuwa akikamata waandishi na kuwaweka ndani na wanaipongeza Serikali kwa kuchukua hatua ya kumsimamisha kupisha uchunguzi
- Amesema Kumekuwa na wimbi la Watendaji wa Serikali na baadhi ya Askari kuwanyangβanya Wanahabari vitendea kazi na kuwashikilia bila sababu za msingi na wanakemea matukio hayo kama Wanahabari
Soma > https://jamii.app/PressFreedomDay
#WPFD #WorldPressFreedomDay #AccessToInformation
- Wabunge hao wakiongozwa na aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake CHADEMA, Halima Mdee, walifukuzwa uanachama Novemba 27, 2020 baada kwenda Bungeni kuapishwa kuchukua nafasi za viti maalum
- Akizungumza leo Bungeni baada ya kipindi cha maswali na majibu, Ndugai amewataka Wabunge hao wachape Kazi kwa kuwa wako mikono salama, huku akionya Vyama viache kuwanyanyasa Wanawake
- Akizungumza leo Bungeni baada ya kipindi cha maswali na majibu, Ndugai amewataka Wabunge hao wachape Kazi kwa kuwa wako mikono salama, huku akionya Vyama viache kuwanyanyasa Wanawake
NYALANDU: KABLA YA UCHAGUZI, NILIPIGIWA SIMU KUAMBIWA MGOMBEA URAIS WANGU HANITAKI
- Aliyekuwa Mgombea Ubunge Jimbo la Singida Kaskazini kupitia CHADEMA, Lazaro Nyalandu, amesema βKuna mitihani ilitokea kwenye Uchaguzi. Kulikuwa na chaguzi za aina mbili, moja ni kupigiwa kura kwenye Kamati kisha Baraza Kuu. Kwenye Kamati Kuu nilipata 100%, kilichotokea Viongozi wakasema Nyalandu asije akawa kama Lowassaβ
Soma - https://jamii.app/NyalanduChadema
#Siasa
- Aliyekuwa Mgombea Ubunge Jimbo la Singida Kaskazini kupitia CHADEMA, Lazaro Nyalandu, amesema βKuna mitihani ilitokea kwenye Uchaguzi. Kulikuwa na chaguzi za aina mbili, moja ni kupigiwa kura kwenye Kamati kisha Baraza Kuu. Kwenye Kamati Kuu nilipata 100%, kilichotokea Viongozi wakasema Nyalandu asije akawa kama Lowassaβ
Soma - https://jamii.app/NyalanduChadema
#Siasa
UHURU WA HABARI: TANZANIA IMESHUKA NAFASI 53 NDANI YA MIAKA 4
- Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri (TEF) Deodatus Balile amesema Tanzania imeshuka nafasi 53 ndani ya miaka 4 katika orodha ya dunia ya #UhuruWaHabari na jambo hilo linapaswa kuangaliwa kwa kina
- Balile amesema wanampongeza wazi Rais Samia Suluhu Hassan ambaye alifungulia Vyombo vya Habari katika hotuba yake Aprili 6, 2021
- Hata hivyo amesema, "Tunasikitika kuwa baada ya muda mfupi agizo hili pana lilitolewa tafsiri finyu na baadhi ya Watendaji wa Serikali"
Soma > https://jamii.app/PressFreedomDay
#WPFD #WorldPressFreedomDay #AccessToInformation
- Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri (TEF) Deodatus Balile amesema Tanzania imeshuka nafasi 53 ndani ya miaka 4 katika orodha ya dunia ya #UhuruWaHabari na jambo hilo linapaswa kuangaliwa kwa kina
- Balile amesema wanampongeza wazi Rais Samia Suluhu Hassan ambaye alifungulia Vyombo vya Habari katika hotuba yake Aprili 6, 2021
- Hata hivyo amesema, "Tunasikitika kuwa baada ya muda mfupi agizo hili pana lilitolewa tafsiri finyu na baadhi ya Watendaji wa Serikali"
Soma > https://jamii.app/PressFreedomDay
#WPFD #WorldPressFreedomDay #AccessToInformation
UNESCO: UHURU WA HABARI NI MSINGI WA DEMOKRASIA
- Kiongozi na Mwakilishi wa UNESCO Tanzania, Tirso Dos Santos amesema #UhuruWaHabari ndio msingi wa Demokrasia ya kweli na kufikia jamii yenye Amani na Haki
- Amesema wamechagua maeneo 5 muhimu ya mjadala kwa manufaa ya Tanzania ambayo ni Uhuru na Kujitegemea kwa Vyombo vya Habari, Maendeleo ya Rasilimali Watu na Uwezeshaji wa Wanawake kwenye Vyombo vya Habari
- Mengine ni Mazingira ya Kisheria na hali ya utendaji kazi, Ulinzi na Usalama wa Wanahabari na Uelewa wa Vyombo vya Habari na Taarifa pamoja na teknolojia ya kidijitali
Soma > https://jamii.app/PressFreedomDay
#WPFD #WorldPressFreedomDay
- Kiongozi na Mwakilishi wa UNESCO Tanzania, Tirso Dos Santos amesema #UhuruWaHabari ndio msingi wa Demokrasia ya kweli na kufikia jamii yenye Amani na Haki
- Amesema wamechagua maeneo 5 muhimu ya mjadala kwa manufaa ya Tanzania ambayo ni Uhuru na Kujitegemea kwa Vyombo vya Habari, Maendeleo ya Rasilimali Watu na Uwezeshaji wa Wanawake kwenye Vyombo vya Habari
- Mengine ni Mazingira ya Kisheria na hali ya utendaji kazi, Ulinzi na Usalama wa Wanahabari na Uelewa wa Vyombo vya Habari na Taarifa pamoja na teknolojia ya kidijitali
Soma > https://jamii.app/PressFreedomDay
#WPFD #WorldPressFreedomDay
TEF: UTAYARI WA KUFANYIA MABADILIKO SHERIA ZA HABARI ISIWE AHADI HEWA
- Jukwaa la Wahariri (TEF) limeomba utayari wa Serikali kufanya mabadiliko ya Sheria za Habari isiwe ahadi hewa na utekelezaji wake ufanyike haraka
- Mwenyekiti wa TEF, Deodatus Balile ameomba Sheria za Media Services Act, Cybercrimes Act, Statistics Act, Access to Information Act na Online Content Regulations zifanyiwe mabadiliko katika sehemu zinazominya #UhuruWaHabari
Soma > https://jamii.app/PressFreedomDay
- Jukwaa la Wahariri (TEF) limeomba utayari wa Serikali kufanya mabadiliko ya Sheria za Habari isiwe ahadi hewa na utekelezaji wake ufanyike haraka
- Mwenyekiti wa TEF, Deodatus Balile ameomba Sheria za Media Services Act, Cybercrimes Act, Statistics Act, Access to Information Act na Online Content Regulations zifanyiwe mabadiliko katika sehemu zinazominya #UhuruWaHabari
Soma > https://jamii.app/PressFreedomDay
BASHUNGWA: MITANDAO ITUMIKE VYEMA, KUNA WATU WAMEJIKITA KWENYE UPOTOSHAJI
- Waziri wa Habari, Innocent Bashungwa, amesema Serikali inatoa jukwaa kwa watu kupata Haki ya kupata na kutoa taarifa lakini wapo wachache wanaotumia kichaka hicho kwenda tofauti na maadili ya Uandishi
- Amesema, "Kuna watu wamejikita kufanya upotoshaji kwenye mitandao na wana vikosi vyao wanavyovitumia. Tujitahidi kutumia majukwaa haya vyema ili tusiwaathiri wengi wanaotumia mitandao kwa manufaa mema"
- Ameongeza kuwa Habari ni mhimili muhimu katika kujenga Nchi na ndio daraja la kushirikisha wananchi katika shughuli za Maendeleo
#WPFD #UhuruWaHabari
- Waziri wa Habari, Innocent Bashungwa, amesema Serikali inatoa jukwaa kwa watu kupata Haki ya kupata na kutoa taarifa lakini wapo wachache wanaotumia kichaka hicho kwenda tofauti na maadili ya Uandishi
- Amesema, "Kuna watu wamejikita kufanya upotoshaji kwenye mitandao na wana vikosi vyao wanavyovitumia. Tujitahidi kutumia majukwaa haya vyema ili tusiwaathiri wengi wanaotumia mitandao kwa manufaa mema"
- Ameongeza kuwa Habari ni mhimili muhimu katika kujenga Nchi na ndio daraja la kushirikisha wananchi katika shughuli za Maendeleo
#WPFD #UhuruWaHabari
COLOMBIA: MAANDAMANO YAPELEKEA SERIKALI KUFUTA MUSWADA WA KUONGEZA KODI
- Awali, Rais alisema ongezeko la Kodi lilihitajika kukabiliana na mdororo wa kiuchumi uliosababishwa na Corona
- Muswada ulikasirisha wananchi na kupelekea maelfu kuandamana
Soma https://jamii.app/ColombiaTaxBill
- Awali, Rais alisema ongezeko la Kodi lilihitajika kukabiliana na mdororo wa kiuchumi uliosababishwa na Corona
- Muswada ulikasirisha wananchi na kupelekea maelfu kuandamana
Soma https://jamii.app/ColombiaTaxBill
UHURU WA HABARI: SERIKALI YASEMA HAIJAWAHI KUZUIA USAJILI KWA WENYE VIGEZO
- Serikali imesema haijawahi kuzuia usajili wa wenye vigezo, na Tanzania ni miongoni mwa Nchi zenye Vyombo vingi vya Habari. Hayo yameelezwa na Waziri Innocent Bashungwa katika kilele cha maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Habari
- Amesema "Tuna Magazeti 256, Televisheni 53, Redio 194, Redio za Mitandaoni 23, Blogs 120, Televisheni za Mtandaoni 440. Nina wasiwasi takwimu hizi hazifiki kwenye Taasisi zinazotoa orodha za #UhuruWaHabari ndio maana 'ranking' inakuwa mbaya"
#WPFD #WorldPressFreedomDay
- Serikali imesema haijawahi kuzuia usajili wa wenye vigezo, na Tanzania ni miongoni mwa Nchi zenye Vyombo vingi vya Habari. Hayo yameelezwa na Waziri Innocent Bashungwa katika kilele cha maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Habari
- Amesema "Tuna Magazeti 256, Televisheni 53, Redio 194, Redio za Mitandaoni 23, Blogs 120, Televisheni za Mtandaoni 440. Nina wasiwasi takwimu hizi hazifiki kwenye Taasisi zinazotoa orodha za #UhuruWaHabari ndio maana 'ranking' inakuwa mbaya"
#WPFD #WorldPressFreedomDay
WAKILI EMMANUEL MUGA: UANDISHI WA HABARI UKIFANYIKA KISAWASAWA HAUWEZI UKAWA RAFIKI NA MAMLAKA
- Asema #Tanzania haijawahi kufanya Uandishi unaoibua mambo. Mambo mengi yanaibuliwa na Bunge lakini 'serious Journalism' bado inapwaya
Soma - https://jamii.app/WakiliMugaUandishi
#PressFreedomDay
- Asema #Tanzania haijawahi kufanya Uandishi unaoibua mambo. Mambo mengi yanaibuliwa na Bunge lakini 'serious Journalism' bado inapwaya
Soma - https://jamii.app/WakiliMugaUandishi
#PressFreedomDay
RAIS ATENGUA UONGOZI NA KUVUNJA BODI YA WAKURUGENZI WA SHIRIKA LA POSTA
- Rais Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Wakala wa Meli Tanzania (TASAC) Prof. Tadeo A. Satta na Wajumbe 6 wa Bodi hiyo
- Pia, Masta Mkuu na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Posta Tanzania wametenguliwa
Soma https://jamii.app/TASACNaPosta
- Rais Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Wakala wa Meli Tanzania (TASAC) Prof. Tadeo A. Satta na Wajumbe 6 wa Bodi hiyo
- Pia, Masta Mkuu na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Posta Tanzania wametenguliwa
Soma https://jamii.app/TASACNaPosta
MBUNGE AHOJI KUHUSU MAJI IKUNGI MASHARIKI. NDUGAI ASEMA JIMBO LILITELEKEZWA NA ALIYEKIMBILIA UBELGIJI
- Mbunge Viti Maalum alihoji kuhusu kutokuwepo maji ktk visima
- Spika akasema, "Lile Jimbo la aliyekimbilia Ubelgiji halina wa kulishughulikia"
Soma > https://jamii.app/NdugaiIkungi
- Mbunge Viti Maalum alihoji kuhusu kutokuwepo maji ktk visima
- Spika akasema, "Lile Jimbo la aliyekimbilia Ubelgiji halina wa kulishughulikia"
Soma > https://jamii.app/NdugaiIkungi
BALOZI WA MAREKANI: HAIJAWAHI KUWA VIGUMU KUWA MWANDISHI TANZANIA KAMA ILIVYO SASA
- Balozi Donald Wright amesema Waandishi wanakabiliwa na changamoto za mabadiliko ya Kiuchumi na Kiteknolojia, taarifa za uongo na #Sheria kandamizi
Soma https://jamii.app/PressFreedomTZ
#PressFreedomDay
- Balozi Donald Wright amesema Waandishi wanakabiliwa na changamoto za mabadiliko ya Kiuchumi na Kiteknolojia, taarifa za uongo na #Sheria kandamizi
Soma https://jamii.app/PressFreedomTZ
#PressFreedomDay
CHAD: JESHI LATANGAZA SERIKALI MPYA YA MPITO
- Wapinzani Nchini humo wametaka kuwepo Serikali ya Mpito inayoongozwa na Rais aliye Raia wa kawaida huku Makamu wa Rais akitokea Jeshini
- Jeshi limeahidi kufanyika Uchaguzi katika miezi 18
Soma > https://jamii.app/SerikaliChad
- Wapinzani Nchini humo wametaka kuwepo Serikali ya Mpito inayoongozwa na Rais aliye Raia wa kawaida huku Makamu wa Rais akitokea Jeshini
- Jeshi limeahidi kufanyika Uchaguzi katika miezi 18
Soma > https://jamii.app/SerikaliChad