DAR: WAZIRI MKUU ATEMBELEA KITUO CHA MAGARI YA MWENDOKASI GEREZANI
> Kassim Majaliwa amebaini mfumo wa kusoma tiketi haufanyi kazi kutokana na mgogoro na msambazaji
> Meneja ametakiwa kuongeza magari kwani wakazi wa Kimara hupata shida
Soma https://jamii.app/MabasiYaMwendokasi
> Kassim Majaliwa amebaini mfumo wa kusoma tiketi haufanyi kazi kutokana na mgogoro na msambazaji
> Meneja ametakiwa kuongeza magari kwani wakazi wa Kimara hupata shida
Soma https://jamii.app/MabasiYaMwendokasi
SERIKALI KUTOA MAFUNZO YA KUFUNDISHA HISABATI KWA WALIMU
- Serikali itaanza kutoa mafunzo kazini kuanzia Julai Mosi ikiwemo mbinu za ufundishaji
- Prof. Mkumbo asema wamebaini kuna Walimu hawamudu kufundisha baadhi ya mada katika somo hilo
Soma - https://jamii.app/MafunzoHisabati
- Serikali itaanza kutoa mafunzo kazini kuanzia Julai Mosi ikiwemo mbinu za ufundishaji
- Prof. Mkumbo asema wamebaini kuna Walimu hawamudu kufundisha baadhi ya mada katika somo hilo
Soma - https://jamii.app/MafunzoHisabati
DAR: MMOJA ASHIKILIWA KWA TUHUMA ZA MAUAJI YA MTANGAZAJI WA ITV
- Jeshi la Polisi Kinondoni linamshikilia Mtu mmoja ambaye jina linahifadhiwa kufuatia kifo cha Blandina Sembu ambaye Machi 27, 2021 mwili wake ulikutwa pembezoni mwa barabara
Soma - https://jamii.app/MbaroniKifoBlandina
- Jeshi la Polisi Kinondoni linamshikilia Mtu mmoja ambaye jina linahifadhiwa kufuatia kifo cha Blandina Sembu ambaye Machi 27, 2021 mwili wake ulikutwa pembezoni mwa barabara
Soma - https://jamii.app/MbaroniKifoBlandina
MALAWI: WAZIRI WA KAZI ATIMULIWA KWA KUTUMIA VIBAYA FEDHA ZA COVID19
> Rais wa Malawi, Lazarus Chakwera amewafukuza kazi maafisa wawili na Waziri wa Kazi, Ken Kandodo, kwa ubadhirifu wa Tsh. Bilioni 18 zilizolengwa kupambana na #COVID19
Soma - https://jamii.app/WaziriMalawi
> Rais wa Malawi, Lazarus Chakwera amewafukuza kazi maafisa wawili na Waziri wa Kazi, Ken Kandodo, kwa ubadhirifu wa Tsh. Bilioni 18 zilizolengwa kupambana na #COVID19
Soma - https://jamii.app/WaziriMalawi
DR-CONGO YAANZA KUTOA CHANJO YA CORONA
> Taifa hilo limepokea Dozi Milioni 1.7 za Chanjo ya #AstraZeneca na wameanza kutoa kwa hiari kwa raia
> Awali utoaji chanjo hiyo ulisitishwa baada ya mataifa mengine kushuku usalama na ufanisi wake
Soma https://jamii.app/ChanjoDRC
> Taifa hilo limepokea Dozi Milioni 1.7 za Chanjo ya #AstraZeneca na wameanza kutoa kwa hiari kwa raia
> Awali utoaji chanjo hiyo ulisitishwa baada ya mataifa mengine kushuku usalama na ufanisi wake
Soma https://jamii.app/ChanjoDRC
RC CHALAMILA: MNAOMUONGELEA VIBAYA MAGUFULI WAKATI HAYUPO, MNATUCHOSHA AKILI
- Asema kuna Watu wameacha kufanya kazi wanakaa ili kumjadili Hayati Dkt. John Magufuli
- Asema kama wanaongea yenye maana ilifaa wafikishe ujumbe wakati akiwa hai
Soma https://jamii.app/ChalamilaSemaMagu
- Asema kuna Watu wameacha kufanya kazi wanakaa ili kumjadili Hayati Dkt. John Magufuli
- Asema kama wanaongea yenye maana ilifaa wafikishe ujumbe wakati akiwa hai
Soma https://jamii.app/ChalamilaSemaMagu
TIGO NA ZANTEL ZAUZWA KWA KAMPUNI YA MADAGASCAR
> Millicom International inayomiliki Tigo na Zantel, imetia saini ya kuuza biashara zake kwa Kampuni ya Axian Group
> Wateja wamehakikishiwa hakutakuwa na mabadiliko katika utoaji huduma
Soma - https://jamii.app/MilicomYauzaKampuni
> Millicom International inayomiliki Tigo na Zantel, imetia saini ya kuuza biashara zake kwa Kampuni ya Axian Group
> Wateja wamehakikishiwa hakutakuwa na mabadiliko katika utoaji huduma
Soma - https://jamii.app/MilicomYauzaKampuni
RAIS SAMIA ATEUA VIONGOZI DIT, NACTE, COSTECH, DMI, TLSB, TAEC, TAFORI NA BODI YA MAABARA
- Dkt. Richard Masika anakuwa M/kiti wa Baraza la Taasisi ya Teknolojia(DIT)
- Prof. Joseph Msambichaka ni M/kiti wa Bodi ya Tume ya Nguvu za Atomiki (TAEC)
Soma - https://jamii.app/UteuziDIT
- Dkt. Richard Masika anakuwa M/kiti wa Baraza la Taasisi ya Teknolojia(DIT)
- Prof. Joseph Msambichaka ni M/kiti wa Bodi ya Tume ya Nguvu za Atomiki (TAEC)
Soma - https://jamii.app/UteuziDIT
KENYA: WATU MILIONI 1.4 WAKABILIWA NA NJAA
> Shirika la Msalaba Mwekundu limebainisha Watoto 400,000 wasio na lishe bora wanahitaji msaada wa dharura
> Hali ya njaa inaweza kusababisha mapigano kugombea rasilimali finyu zilizopo
Soma - https://jamii.app/NjaaaKenya
> Shirika la Msalaba Mwekundu limebainisha Watoto 400,000 wasio na lishe bora wanahitaji msaada wa dharura
> Hali ya njaa inaweza kusababisha mapigano kugombea rasilimali finyu zilizopo
Soma - https://jamii.app/NjaaaKenya
MDAU ASHAURI WANAUME KUTOKUWA NA BAADHI YA TABIA
> Mdau ameshauri Mwanaume kutotumia maneno kama ‘Xaxa’, 'Jomoni' au kutumia emoji za kuona aibu kwa Mwanaume mwenzako
> Je, ni vitu gani zaidi Mwanaume asifanye kwa Mwanaume mwenzake?
Soma https://jamii.app/TabiaZaKiume
> Mdau ameshauri Mwanaume kutotumia maneno kama ‘Xaxa’, 'Jomoni' au kutumia emoji za kuona aibu kwa Mwanaume mwenzako
> Je, ni vitu gani zaidi Mwanaume asifanye kwa Mwanaume mwenzake?
Soma https://jamii.app/TabiaZaKiume
BURUDANI: MUIGIZAJI GANI HUCHOKI KUANGALIA FILAMU ZAKE?
> Muigizaji nyota anaweza kutoa filamu mbovu na isiyofanya vizuri sokoni lakini bado watakuwepo watakaoifurahia
> Je unampenda muigizaji gani ambaye utaangalia filamu yake hata kama ni mbaya?
Soma https://jamii.app/FavoriteActors
> Muigizaji nyota anaweza kutoa filamu mbovu na isiyofanya vizuri sokoni lakini bado watakuwepo watakaoifurahia
> Je unampenda muigizaji gani ambaye utaangalia filamu yake hata kama ni mbaya?
Soma https://jamii.app/FavoriteActors
URUSI YAMPELEKA ALEXEI HOSPITALI BAADA YA MASHINIKIZO
- Kiongozi Mkuu wa Upinzani Nchini Urusi, Alexei Navalny amepelekwa Hospitali ya Wafungwa siku ya 20 tangu alipogoma kula
- Wafuasi wake wamepanga maandamano siku ya kesho (Aprili 21)
Soma - https://jamii.app/AlexeiHospital
- Kiongozi Mkuu wa Upinzani Nchini Urusi, Alexei Navalny amepelekwa Hospitali ya Wafungwa siku ya 20 tangu alipogoma kula
- Wafuasi wake wamepanga maandamano siku ya kesho (Aprili 21)
Soma - https://jamii.app/AlexeiHospital
TANGA: WALIMU WANNE WANAISHI NYUMBA MOJA KUTOKANA NA NYUMBA KUEZULIWA NA UPEPO
> Shule ya Msingi Mandera iliyopo Mswaha, Wilayani Korogwe ina uchakavu mkubwa Vyumba vya Madarasa na Nyumba za Walimu hali inayowatia hofu walimu
Soma https://jamii.app/ChakavuMandera
> Shule ya Msingi Mandera iliyopo Mswaha, Wilayani Korogwe ina uchakavu mkubwa Vyumba vya Madarasa na Nyumba za Walimu hali inayowatia hofu walimu
Soma https://jamii.app/ChakavuMandera
WAFUGAJI WATAHADHARISHWA KUHUSU DAWA FEKI YA MIFUGO
> Ni Dawa ya Alben Blue 2.5% toleo Na. 019394 lililotengenezwa Novemba 2019 na mwisho wa matumizi Oktoba mwaka 2022
> TMDA imesema Dawa hiyo ya Mifugo imebainika haina viambata hai
Soma - https://jamii.app/MifugoDawa
> Ni Dawa ya Alben Blue 2.5% toleo Na. 019394 lililotengenezwa Novemba 2019 na mwisho wa matumizi Oktoba mwaka 2022
> TMDA imesema Dawa hiyo ya Mifugo imebainika haina viambata hai
Soma - https://jamii.app/MifugoDawa
#MAREKANI: ALIYEWAHI KUWA MAKAMU WA RAIS AFARIKI DUNIA
> Walter F. Mondale amefariki akiwa na miaka 93. Alikuwa Makamu wa Rais Jimmy Carter kuanzia 1977-1981
> Alishindwa kupata Urais 1984, lakini aliweka rekodi ya kuwa na Mgombea Mwenza Mwanamke
Soma - https://jamii.app/MakamuMarekani
> Walter F. Mondale amefariki akiwa na miaka 93. Alikuwa Makamu wa Rais Jimmy Carter kuanzia 1977-1981
> Alishindwa kupata Urais 1984, lakini aliweka rekodi ya kuwa na Mgombea Mwenza Mwanamke
Soma - https://jamii.app/MakamuMarekani
UTAFITI-MAREKANI: MTU 1 KATI YA 4 ANAFIKIRIA KUACHA KAZI BAADA YA #COVID19
- 80% wataacha kazi kwa sababu wana wasiwasi juu ya maendeleo ya taaluma zao
- Wengine Corona imesababisha wajifunze ujuzi na ustadi mpya ili kupata kazi za aina nyingine
Soma - https://jamii.app/JobQuitCorona
- 80% wataacha kazi kwa sababu wana wasiwasi juu ya maendeleo ya taaluma zao
- Wengine Corona imesababisha wajifunze ujuzi na ustadi mpya ili kupata kazi za aina nyingine
Soma - https://jamii.app/JobQuitCorona
WAZIRI UMMY AMSIMAMISHA KAZI MKURUGENZI WA SENGEREMA
- Waziri wa TAMISEMI amemsimamisha kazi Magesa Boniphace kuanzia leo baada ya kupokea malalamiko na tuhuma za Ubadhirifu wa fedha za Miradi ya Maendeleo kutoka kwa Wananchi na Mbunge wa Jimbo
Soma - https://jamii.app/DEDSengeremaOut
- Waziri wa TAMISEMI amemsimamisha kazi Magesa Boniphace kuanzia leo baada ya kupokea malalamiko na tuhuma za Ubadhirifu wa fedha za Miradi ya Maendeleo kutoka kwa Wananchi na Mbunge wa Jimbo
Soma - https://jamii.app/DEDSengeremaOut
KENYA: WALIOMALIZA KIDATO CHA NNE WALALA NJE KUTOKANA NA ZUIO LA KUTEMBEA USIKU
> Wanafunzi waliotakiwa kurudi kwao wamelazimika kulala ktk Viwanja vya Uhuru vilivyopo Nairobi
> Muda wa kutotoka nje uliwakuta wakiwa hawajapata usafiri
Soma https://jamii.app/CurfewNairobi
> Wanafunzi waliotakiwa kurudi kwao wamelazimika kulala ktk Viwanja vya Uhuru vilivyopo Nairobi
> Muda wa kutotoka nje uliwakuta wakiwa hawajapata usafiri
Soma https://jamii.app/CurfewNairobi
KAJALA NA PAULA WAHOJIWA KUHUSU TUHUMA ZA KUSAMBAZA PICHA ZA UTUPU ZA HARMONIZE
> Kajala Masanja na mwanaye walikamatwa na Polisi Aprili 19 jioni walipowasili nchini wakitokea Dubai na walihojiwa kwa saa kadhaa. Wameachiwa kwa dhamana
Soma https://jamii.app/KajalaPaula
#JFBurudani
> Kajala Masanja na mwanaye walikamatwa na Polisi Aprili 19 jioni walipowasili nchini wakitokea Dubai na walihojiwa kwa saa kadhaa. Wameachiwa kwa dhamana
Soma https://jamii.app/KajalaPaula
#JFBurudani
MHASIBU WA TPA KIGOMA AKAMATWA NA TAKUKURU KWA TUHUMA ZA UHUJUMU UCHUMI
> Madaraka Robert aliyekuwa anatafutwa na TAKUKURU tangu Agosti 2020 amekamatwa Nyasaka Mkoani Mwanza
> Anatuhumiwa kukwepa kodi zaidi ya Tsh. Milioni 153.5
Soma https://jamii.app/MhasibuTPAKigoma
#KemeaRushwa
> Madaraka Robert aliyekuwa anatafutwa na TAKUKURU tangu Agosti 2020 amekamatwa Nyasaka Mkoani Mwanza
> Anatuhumiwa kukwepa kodi zaidi ya Tsh. Milioni 153.5
Soma https://jamii.app/MhasibuTPAKigoma
#KemeaRushwa