MBOWE: LISSU ANAKUWA RAIS, MUNGU AKIPENDA MIMI NITAKUWA WAZIRI MKUU
> Aidha, ameongeza, "Uchaguzi huu sio kati ya CHADEMA na CCM wala Lissu na Magufuli bali ni kati ya wanaopenda uhuru na #haki na waliokandamiza uhuru na #Demokrasia"
Soma - https://jamii.app/MboweWaziriMkuu
#TZ2020
> Aidha, ameongeza, "Uchaguzi huu sio kati ya CHADEMA na CCM wala Lissu na Magufuli bali ni kati ya wanaopenda uhuru na #haki na waliokandamiza uhuru na #Demokrasia"
Soma - https://jamii.app/MboweWaziriMkuu
#TZ2020
SHINYANGA: WATANO MBARONI KWA VURUGU KATIKA MSAFARA WA CHADEMA NA CCM
> Vurugu zilitokea msafara wa Patrobas Katambi (CCM) na Salome Makamba (CHADEMA) ulipokutana
> Polisi imewataka Wanasiasa na wafuasi kuacha maandamano baada ya kampeni
Soma https://jamii.app/5FujoShinyanga
#TZ2020
> Vurugu zilitokea msafara wa Patrobas Katambi (CCM) na Salome Makamba (CHADEMA) ulipokutana
> Polisi imewataka Wanasiasa na wafuasi kuacha maandamano baada ya kampeni
Soma https://jamii.app/5FujoShinyanga
#TZ2020
MGOMBEA(SAU): KAMA MWENZAKO AMEFANYA KAZI NZURI MPONGEZE
> Muttamwega Mgaywa amesema akiingia Ikulu atamteua Dkt. Magufuli kuwa Waziri Mkuu kutokana na utendaji wake
> Asema, ataanzia alipoishia Magufuli na ataleta ndege 30 ktk Uongozi wake
Soma https://jamii.app/SAUMagufuli
#TZ2020
> Muttamwega Mgaywa amesema akiingia Ikulu atamteua Dkt. Magufuli kuwa Waziri Mkuu kutokana na utendaji wake
> Asema, ataanzia alipoishia Magufuli na ataleta ndege 30 ktk Uongozi wake
Soma https://jamii.app/SAUMagufuli
#TZ2020
IGP SIRRO: TUNA TAARIFA ZA VIKUNDI VINAVYOPANGA KUVURUGA UCHAGUZI ARUSHA
> Amewaomba Wananchi kuendelea kuimarisha Amani na Utulivu siku ya Uchaguzi
> Asema, Polisi wapo tayari kulinda Taifa ktk nyanja zote na Wahalifu watawashughulikiwa
Tazama - https://youtu.be/Lx8NLJyZEms
#TZ2020
> Amewaomba Wananchi kuendelea kuimarisha Amani na Utulivu siku ya Uchaguzi
> Asema, Polisi wapo tayari kulinda Taifa ktk nyanja zote na Wahalifu watawashughulikiwa
Tazama - https://youtu.be/Lx8NLJyZEms
#TZ2020
DKT. BASHIRU: CCM IMEFANYA KAMPENI ZA KISTAARABU, UPENDO UMETAWALA
> Amesema wamefanya Kampeni ambazo hazikuwa na hasira licha ya umati mkubwa
> Vilevile, amesema watajitahidi ushindi wao uambatane na kudumisha amani na upendo kwa watu wote
Soma https://jamii.app/BashiruCCM
#TZ2020
> Amesema wamefanya Kampeni ambazo hazikuwa na hasira licha ya umati mkubwa
> Vilevile, amesema watajitahidi ushindi wao uambatane na kudumisha amani na upendo kwa watu wote
Soma https://jamii.app/BashiruCCM
#TZ2020
DKT. MAGUFULI: SUMAYE NI MWANACCM HALISI AMBAYE ALIKUMBWA NA MAPEPO
> Amesema, “Mungu alipoumba Malaika wengine wakagoma wakatupwa Duniani. Wale ndio wakamgusa Mzee Sumaye akahamia chama ambacho ni cha ajabu, kinachomtukana kila mmoja"
Soma https://jamii.app/SumayeMapepo
#TZ2020
> Amesema, “Mungu alipoumba Malaika wengine wakagoma wakatupwa Duniani. Wale ndio wakamgusa Mzee Sumaye akahamia chama ambacho ni cha ajabu, kinachomtukana kila mmoja"
Soma https://jamii.app/SumayeMapepo
#TZ2020
MAGANJA WA NCCR-MAGEUZI AAHIDI KUBADILI SHERIA KANDAMIZI
> Jeremiah Maganja pia amesema, ataboresha uchumi na kutengeneza mazingira rafiki kwa wafanyabiashara
> Atafuta Vitambulisho vya Bima ya Afya kwani haviwanufaishi walionavyo
Soma - https://jamii.app/AhadiNCCR
#Uchaguzi2020
> Jeremiah Maganja pia amesema, ataboresha uchumi na kutengeneza mazingira rafiki kwa wafanyabiashara
> Atafuta Vitambulisho vya Bima ya Afya kwani haviwanufaishi walionavyo
Soma - https://jamii.app/AhadiNCCR
#Uchaguzi2020
MAJALIWA: KAMPIGIE KURA MAGUFULI HATA KAMA UNATOKA UPINZANI
> Akiwa Mkoani Lindi, amewataka wakazi wa eneo hilo kumshukuru Dkt. Magufuli kwa mazuri aliyowafanyia kwa kumpa kura nyingi za kishindo siku ya Uchaguzi Mkuu, Oktoba 28
Soma - https://jamii.app/MajaliwaLindi
#Uchaguzi2020
> Akiwa Mkoani Lindi, amewataka wakazi wa eneo hilo kumshukuru Dkt. Magufuli kwa mazuri aliyowafanyia kwa kumpa kura nyingi za kishindo siku ya Uchaguzi Mkuu, Oktoba 28
Soma - https://jamii.app/MajaliwaLindi
#Uchaguzi2020
LISSU: MADARASA MIJINI YAMEFURIKA WANAFUNZI, TUTAJENGA SHULE MPYA
> Amesema ujenzi wa miundombinu umekuwa duni ukilinganisha na ongezeko la Wanafunzi
> Atafanya mabadiliko kwa kuhakikisha Shule, Vyoo na Nyumba za Walimu mpya zinajengwa
Soma - https://jamii.app/LissuElimu
#TZ2020
> Amesema ujenzi wa miundombinu umekuwa duni ukilinganisha na ongezeko la Wanafunzi
> Atafanya mabadiliko kwa kuhakikisha Shule, Vyoo na Nyumba za Walimu mpya zinajengwa
Soma - https://jamii.app/LissuElimu
#TZ2020
NEC: JINA LA LISSU NI LA MWISHO KWENYE KARATASI KWASABABU ALIKUWA WA MWISHO KURUDISHA FOMU
> Ofisa Elimu kwa Umma wa NEC amesema, kigezo kilichotumika ni urejeshwaji fomu
> Amesema, hii sio sababu ya Mpiga Kura kutompigia Mgombea anayemtaka
Soma https://jamii.app/NECMajinaWagombea
#TZ2020
> Ofisa Elimu kwa Umma wa NEC amesema, kigezo kilichotumika ni urejeshwaji fomu
> Amesema, hii sio sababu ya Mpiga Kura kutompigia Mgombea anayemtaka
Soma https://jamii.app/NECMajinaWagombea
#TZ2020
SIMIYU: MINADA NA MAGULIO YASITISHWA KUPISHA UCHAGUZI
> RC Anthony Mtaka amesitisha magulio na minada yote siku ya Uchaguzi Mkuu, Oktoba 28
> Hatua hiyo inalenga kuwapa nafasi wananchi kupiga kura kuchagua Rais, Wabunge na Madiwani
Soma - https://jamii.app/MinadaOkt28
#Uchaguzi2020
> RC Anthony Mtaka amesitisha magulio na minada yote siku ya Uchaguzi Mkuu, Oktoba 28
> Hatua hiyo inalenga kuwapa nafasi wananchi kupiga kura kuchagua Rais, Wabunge na Madiwani
Soma - https://jamii.app/MinadaOkt28
#Uchaguzi2020
MEMBE KUFUNGA KAMPENI ZAKE KESHO MKOANI LINDI
> Amesema, Oktoba 28 ni siku ya kupiga kura ya kurejesha Uhuru uliopotea na kuchagua mtu mwenye uchungu na maendeleo ya Nchi
> Awataka Wananchi kupuuza watu wanaosema amejiondoa kugombea Urais
Soma - https://jamii.app/MembeKampeni
#TZ2020
> Amesema, Oktoba 28 ni siku ya kupiga kura ya kurejesha Uhuru uliopotea na kuchagua mtu mwenye uchungu na maendeleo ya Nchi
> Awataka Wananchi kupuuza watu wanaosema amejiondoa kugombea Urais
Soma - https://jamii.app/MembeKampeni
#TZ2020
CHEMBA, DODOMA: DKT. MAGUFULI AAHIDI KUTATUA TATIZO LA MAJI
> Mgombea huyo wa Urais (CCM) amesema, "Hatuwezi tukawa na Wilaya jirani na Makao Makuu halafu haina maji"
> Amesema, tumeweza Treni ya Umeme na Bwawa la Nyerere, hatusindwi maji
Soma https://jamii.app/JPMChemba
#TZ2020
> Mgombea huyo wa Urais (CCM) amesema, "Hatuwezi tukawa na Wilaya jirani na Makao Makuu halafu haina maji"
> Amesema, tumeweza Treni ya Umeme na Bwawa la Nyerere, hatusindwi maji
Soma https://jamii.app/JPMChemba
#TZ2020
SHEIKH MWAIPOPO: LISSU ANAWATUMIA MASHEIKH WA GEREZANI KUOMBA KURA
> Amesema, wakati Masheikh wanakamatwa, Tundu Lissu alikuwa Mwanasheria ila hajawahi kuwatetea
> Amwomba Dkt. Magufuli awaonee huruma Masheikh hao ingawa yeye hakuwakamata
Soma - https://jamii.app/MasheikhLissu
#TZ2020
> Amesema, wakati Masheikh wanakamatwa, Tundu Lissu alikuwa Mwanasheria ila hajawahi kuwatetea
> Amwomba Dkt. Magufuli awaonee huruma Masheikh hao ingawa yeye hakuwakamata
Soma - https://jamii.app/MasheikhLissu
#TZ2020
FAHAMU WATU WANAORUHUSIWA KUWEPO WAKATI WA KUHESABU KURA
> Kwa mujibu wa Sheria ya Uchaguzi ya Taifa Kifungu cha 72(1)
> a) Msimamizi wa Kituo cha Uchaguzi
> b) Msaidizi wa Msimamizi wa Kituo
> c) Wakala wa Mgombea au mbadala wake
Soma > https://jamii.app/WahusikaVituo
#Uchaguzi2020
> Kwa mujibu wa Sheria ya Uchaguzi ya Taifa Kifungu cha 72(1)
> a) Msimamizi wa Kituo cha Uchaguzi
> b) Msaidizi wa Msimamizi wa Kituo
> c) Wakala wa Mgombea au mbadala wake
Soma > https://jamii.app/WahusikaVituo
#Uchaguzi2020
TUMIA HAKI YAKO YA KIKATIBA KUCHAGUA VIONGOZI. NENDA KAPIGE KURA OKTOBA 28
> Kura inampa nafasi Mwananchi ya kutimiza #haki yake kwa kushiriki ktk ujenzi wa maendeleo ya nchi
> Kura inatoa nafasi ya kidemokrasia kwa Mwananchi kukabidhi Madaraka na Mamlaka ya Kikatiba aliyonayo kwa Serikali kupitia wawakilishi
#Uchaguzi2020
> Kura inampa nafasi Mwananchi ya kutimiza #haki yake kwa kushiriki ktk ujenzi wa maendeleo ya nchi
> Kura inatoa nafasi ya kidemokrasia kwa Mwananchi kukabidhi Madaraka na Mamlaka ya Kikatiba aliyonayo kwa Serikali kupitia wawakilishi
#Uchaguzi2020
MAALIM SEIF: HUU NI MWAKA WA MABADILIKO, HAKUNA LA KUTUZUIA
> Amesema, watasimama kwa pamoja kulinda ushindi wao
> Viongozi wa ACT-Wazalendo wameuhakikishia Umma watakuwa pamoja na Wananchi kuvishinda vitimbi vya ZEC na Vyombo vya Dola
Soma - https://jamii.app/MaalimUchaguziZnz
#TZ2020
> Amesema, watasimama kwa pamoja kulinda ushindi wao
> Viongozi wa ACT-Wazalendo wameuhakikishia Umma watakuwa pamoja na Wananchi kuvishinda vitimbi vya ZEC na Vyombo vya Dola
Soma - https://jamii.app/MaalimUchaguziZnz
#TZ2020
FAHAMU ALAMA INAYOKUBALIKA WAKATI WA KUPIGA KURA NA KUHESABU KURA
- (1) Alama inayokubalika ktk chumba kilichopo wazi kwenye karatasi ya kura ni alama ya vema (√)
- (2) Alama nyingine zinazokubalika ni alama eksi yaani “X”
Zaidi, soma > https://jamii.app/AlamaZaKura
#Uchaguzi2020
- (1) Alama inayokubalika ktk chumba kilichopo wazi kwenye karatasi ya kura ni alama ya vema (√)
- (2) Alama nyingine zinazokubalika ni alama eksi yaani “X”
Zaidi, soma > https://jamii.app/AlamaZaKura
#Uchaguzi2020
CHAUMMA WALALAMIKIA MAWAKALA WAO KUHUJUMIWA
> Msimamizi Jimbo la Rorya aliwaondoa Mawakala wa CHAUMMA baada ya Chama hicho kusema hakitambui Uanachama wao
> Chama hicho kimelalamika kukosa imani kikisema Mkurugenzi wa NEC hapokei simu
Soma - https://jamii.app/MawakalaCHAUMMA
#TZ2020
> Msimamizi Jimbo la Rorya aliwaondoa Mawakala wa CHAUMMA baada ya Chama hicho kusema hakitambui Uanachama wao
> Chama hicho kimelalamika kukosa imani kikisema Mkurugenzi wa NEC hapokei simu
Soma - https://jamii.app/MawakalaCHAUMMA
#TZ2020
KITUO CHA KUPIGA KURA KINAWEZA KUFUNGWA KWA SABABU YA VURUGU
- Endapo mchakato wa kupiga kura utaharibiwa na vurugu na bado kuna wapiga kura hawajamaliza kupiga kura, Msimamizi wa kituo ataahirisha zoezi hilo mpaka siku inayofuata
- Baada ya kuahirisha Msimamizi atatoa taarifa haraka kwa Msimamizi mkuu wa Uchaguzi
- Iwapo Upigaji Kura utaahirishwa ktk kituo chochote, masaa ya kupigia kura katika Siku nyingine iliyopendekezwa yatakuwa sawa kama yale ya siku halisi ya kupiga Kura
Soma > https://jamii.app/VuruguKituoni
#Uchaguzi2020
- Endapo mchakato wa kupiga kura utaharibiwa na vurugu na bado kuna wapiga kura hawajamaliza kupiga kura, Msimamizi wa kituo ataahirisha zoezi hilo mpaka siku inayofuata
- Baada ya kuahirisha Msimamizi atatoa taarifa haraka kwa Msimamizi mkuu wa Uchaguzi
- Iwapo Upigaji Kura utaahirishwa ktk kituo chochote, masaa ya kupigia kura katika Siku nyingine iliyopendekezwa yatakuwa sawa kama yale ya siku halisi ya kupiga Kura
Soma > https://jamii.app/VuruguKituoni
#Uchaguzi2020