SAMIA: HAMNA HAJA YA KUPOTEZA NGUVU ZENU KUPIGIA KURA UPANDE MWINGINE
> Amesema "Ni sawa na kwamba unachukua fedha yako unatia shimoni. Haina faida, haina tija"
> Amewataka wananchi waipigie kura CCM ili kuendelea na safari ya maendeleo
Soma https://jamii.app/SamiaSingida
#TZ2020
> Amesema "Ni sawa na kwamba unachukua fedha yako unatia shimoni. Haina faida, haina tija"
> Amewataka wananchi waipigie kura CCM ili kuendelea na safari ya maendeleo
Soma https://jamii.app/SamiaSingida
#TZ2020
LISSU: UAMUZI WA NEC HAUKUBALIKI, KAMPENI ZITAENDELEA JUMAPILI
> Amesema hajapokea malalamiko ya ukiukwaji wa Maadili ya Uchaguzi na hajawasilisha utetezi wake
> Pia, amesema hajapokea nakala ya kusimamishwa japokuwa ipo mitandaoni
Soma - https://jamii.app/LissuVsTume
#Uchaguzi2020
> Amesema hajapokea malalamiko ya ukiukwaji wa Maadili ya Uchaguzi na hajawasilisha utetezi wake
> Pia, amesema hajapokea nakala ya kusimamishwa japokuwa ipo mitandaoni
Soma - https://jamii.app/LissuVsTume
#Uchaguzi2020
KENYATTA: NABADILI KATIBA KUWEKA UMOJA WA KITAIFA SIO KUBAKI MADARAKANI
> Rais wa #Kenya amekanusha kutaka kugombea kwa muhula wa 3
> Mabadiliko yanayopendekezwa ni kuundwa Ofisi ya Waziri Mkuu mwenye Mamlaka na Rais atakayechaguliwa na Bunge
Soma https://jamii.app/KenyattaKatiba
> Rais wa #Kenya amekanusha kutaka kugombea kwa muhula wa 3
> Mabadiliko yanayopendekezwa ni kuundwa Ofisi ya Waziri Mkuu mwenye Mamlaka na Rais atakayechaguliwa na Bunge
Soma https://jamii.app/KenyattaKatiba
#TAKUKURU: UDSM INAONGOZA KWA RUSHWA YA NGONO
> Utafiti uliofanyika kuhusu rushwa ya ngono ktk Chuo cha Dar na Dodoma umegundua UDSM inaongoza kwa 40.5% na UDOM 38.6%
> Mbinu zinazotumika kurubuni ni ahadi ya kuolewa, Cheo na kuongezewa ufaulu
Soma https://jamii.app/RushwaNgonoVyuoni
> Utafiti uliofanyika kuhusu rushwa ya ngono ktk Chuo cha Dar na Dodoma umegundua UDSM inaongoza kwa 40.5% na UDOM 38.6%
> Mbinu zinazotumika kurubuni ni ahadi ya kuolewa, Cheo na kuongezewa ufaulu
Soma https://jamii.app/RushwaNgonoVyuoni
#COVID19-UGANDA: WAGONJWA WASIOONESHA DALILI KUTOKA HOSPITALI BILA KUPIMWA
> Ni baada ya Serikali kurekebisha mwongozo wake wa kukabiliana na Virusi hivyo
> Awali, wagonjwa walipimwa mara 2 kabla ya kutoka, hatua ambayo baadhi waliilalamikia
Soma https://jamii.app/Corona-UG
> Ni baada ya Serikali kurekebisha mwongozo wake wa kukabiliana na Virusi hivyo
> Awali, wagonjwa walipimwa mara 2 kabla ya kutoka, hatua ambayo baadhi waliilalamikia
Soma https://jamii.app/Corona-UG
MSAJILI: NI MUHIMU KUEPUKA MIGONGANO NA SERIKALI SIKU ZILIZOSALIA
> Jaji Mstaafu Francis Mutungi amewataka wenye malalamiko kufika Tume ya Uchaguzi
> Amesema hafurahishwi na baadhi ya kauli za Wagombea zinazoenda kinyume na Kanuni
Soma - https://jamii.app/MsajiliUchaguzi
#Uchaguzi2020
> Jaji Mstaafu Francis Mutungi amewataka wenye malalamiko kufika Tume ya Uchaguzi
> Amesema hafurahishwi na baadhi ya kauli za Wagombea zinazoenda kinyume na Kanuni
Soma - https://jamii.app/MsajiliUchaguzi
#Uchaguzi2020
MAJAJI WA USKOCHI, URUGUAY NA UGANDA KUSIMAMIA KESI YA KABUGA
> Majaji 3 watasimamia kesi ya Felicien Kabuga anayetuhumiwa kufadhili mauaji ya Kimbari ya #Rwanda 1994
> Kesi hiyo itasikilizwa Jijini Arusha na tarehe ya kusikilizwa haijatajwa
Soma https://jamii.app/UNArushaMajaji
> Majaji 3 watasimamia kesi ya Felicien Kabuga anayetuhumiwa kufadhili mauaji ya Kimbari ya #Rwanda 1994
> Kesi hiyo itasikilizwa Jijini Arusha na tarehe ya kusikilizwa haijatajwa
Soma https://jamii.app/UNArushaMajaji
QUEEN SENDIGA: MKULIMA KUTUMIA JEMBE LA MKONO NI JAMBO LA HURUMA
> Akiwa Pwani, amesema Mkulima anahitaji nyenzo bora, pembejeo za kisasa na uhakika wa kuuza mazao
> Amesema ataweka mkazo ktk hayo endapo atapigiwa kura Oktoba 28
Angalia https://youtu.be/lm-d8er9kZ4
#Uchaguzi2020
> Akiwa Pwani, amesema Mkulima anahitaji nyenzo bora, pembejeo za kisasa na uhakika wa kuuza mazao
> Amesema ataweka mkazo ktk hayo endapo atapigiwa kura Oktoba 28
Angalia https://youtu.be/lm-d8er9kZ4
#Uchaguzi2020
YouTube
Mgombea urais wa JMT wa ADC, Queen Sendiga: Kutumia jembe la Mkono ni jambo la huruma
PROF. LIPUMBA: NITATUMIA ELIMU YANGU KUKUZA UCHUMI NA KUFUTA UMASIKINI
> Mgombea Urais wa JMT kupitia CUF, Msomi wa Uchumi, Prof. Ibrahim Lipumba amesema ukuaji wa Uchumi haujapunguza idadi ya masikini
> Amedai umasikini umeongezeka
Soma https://jamii.app/ProfLipumbaUchumi
#Uchaguzi2020
> Mgombea Urais wa JMT kupitia CUF, Msomi wa Uchumi, Prof. Ibrahim Lipumba amesema ukuaji wa Uchumi haujapunguza idadi ya masikini
> Amedai umasikini umeongezeka
Soma https://jamii.app/ProfLipumbaUchumi
#Uchaguzi2020
DKT. MAGUFULI NA DKT. MWINYI KUENDELEA NA KAMPENI ZANZIBAR
> Mgombea Urais JMT na Mgombea Urais Zanzibar (CCM) watafanya kampeni leo ktk Viwanja vya Mnazi Mmoja
> Magufuli aliwasili jana na kumtembelea Kada wa CCM aliyeshambuliwa kwa mapanga
Soma https://jamii.app/MagufuliMwinyi
#TZ2020
> Mgombea Urais JMT na Mgombea Urais Zanzibar (CCM) watafanya kampeni leo ktk Viwanja vya Mnazi Mmoja
> Magufuli aliwasili jana na kumtembelea Kada wa CCM aliyeshambuliwa kwa mapanga
Soma https://jamii.app/MagufuliMwinyi
#TZ2020
RAIS TRUMP AFIKISHWA HOSPITALI KWA HELIKOPTA
> Ni baada ya kupata #COVID19. Rais huyo amepewa kingamwili ya majaribio na alikuwa na uchovu
> Imesisitizwa kuwa, amefikishwa Hospitali kama tahadhari na ataendelea kufanya kazi kutoka hapo
Soma - https://jamii.app/TrumpHospCorona
> Ni baada ya kupata #COVID19. Rais huyo amepewa kingamwili ya majaribio na alikuwa na uchovu
> Imesisitizwa kuwa, amefikishwa Hospitali kama tahadhari na ataendelea kufanya kazi kutoka hapo
Soma - https://jamii.app/TrumpHospCorona
KENYA: CHAMA TAWALA CHAPENDEKEZA NAIBU RAIS KUFUTWA UONGOZI
> Jubilee kimependekeza William Ruto kuondolewa ktk nafasi yake kama Naibu Kiongozi wa Chama
> Katibu Mkuu wa Jubilee, amedai Ruto ni mjeuri, ana dharau na hamuheshimu Rais Kenyatta
Soma https://jamii.app/JubileeRutoKE
> Jubilee kimependekeza William Ruto kuondolewa ktk nafasi yake kama Naibu Kiongozi wa Chama
> Katibu Mkuu wa Jubilee, amedai Ruto ni mjeuri, ana dharau na hamuheshimu Rais Kenyatta
Soma https://jamii.app/JubileeRutoKE
KAMATI YA MAADILI: TAFSIRI YA KWAMBA LISSU AMEADHIBIWA NA NEC SIO SAHIHI
> Katibu wa Kamati ya Maadili ya Kitaifa amesema Lissu ameadhibiwa na Kamati ambayo inajumuisha wawakilishi wa vyama vya siasa vinavyoshiriki Uchaguzi wa Rais
Soma - https://jamii.app/KamatiMaadiliLissu
#Uchaguzi2020
> Katibu wa Kamati ya Maadili ya Kitaifa amesema Lissu ameadhibiwa na Kamati ambayo inajumuisha wawakilishi wa vyama vya siasa vinavyoshiriki Uchaguzi wa Rais
Soma - https://jamii.app/KamatiMaadiliLissu
#Uchaguzi2020
POLEPOLE: WAPINZANI HAWAONGEZEKI HADI CCM WAWE NA MGOGORO NDANI YA CHAMA
> Katibu Mwenezi wa CCM, Humphrey Polepole amesema awamu hii CCM haikuwa na migogoro ya ndani hivyo imekuwa ngumu kwa Upinzani kuongezeka
Soma https://jamii.app/UpinzaniCCM
#Uchaguzi2020
> Katibu Mwenezi wa CCM, Humphrey Polepole amesema awamu hii CCM haikuwa na migogoro ya ndani hivyo imekuwa ngumu kwa Upinzani kuongezeka
Soma https://jamii.app/UpinzaniCCM
#Uchaguzi2020
DKT. MWINYI: MUUNGANO UNALETA UMOJA WA KITAIFA
> Mgombea Urais Zanzibar kupitia CCM, Dkt. Hussein Mwinyi amesema, Muungano unaleta amani, utulivu na unatoa fursa kwa Wazanzibari kufanya biashara na kumiliki ardhi Tanzania Bara
Soma https://jamii.app/DktMwinyiMuungano
#Uchaguzi2020
> Mgombea Urais Zanzibar kupitia CCM, Dkt. Hussein Mwinyi amesema, Muungano unaleta amani, utulivu na unatoa fursa kwa Wazanzibari kufanya biashara na kumiliki ardhi Tanzania Bara
Soma https://jamii.app/DktMwinyiMuungano
#Uchaguzi2020
DKT. MAGUFULI: MIPAKA YA TANZANIA SIO YA KURITHI KWA WAKOLONI
> Amesema nchi nyingi za Afrika zina mipaka iliyowekwa na kipindi cha Ukoloni lakini Muungano wa #Tanganyika na #Zanzibar unaifanya #Tanzania kuwa nchi isiyo na mipaka ya kurithi
Soma https://jamii.app/TzMipakaUkoloni
#TZ2020
> Amesema nchi nyingi za Afrika zina mipaka iliyowekwa na kipindi cha Ukoloni lakini Muungano wa #Tanganyika na #Zanzibar unaifanya #Tanzania kuwa nchi isiyo na mipaka ya kurithi
Soma https://jamii.app/TzMipakaUkoloni
#TZ2020
DKT. MAGUFULI: NIKICHAGULIWA, NITAPATA SHIDA KUMPATA WAZIRI WA ULINZI
> Amesema Waziri wa Ulinzi ana uwezo hata wa kupindua nchi kutokana na vifaa vyote kuwa chini yake
> Amesema ni vigumu kumpata mtu mwadilifu kama alivyokuwa Dkt. Mwinyi
Soma https://jamii.app/WaziriUlinziRais
#TZ2020
> Amesema Waziri wa Ulinzi ana uwezo hata wa kupindua nchi kutokana na vifaa vyote kuwa chini yake
> Amesema ni vigumu kumpata mtu mwadilifu kama alivyokuwa Dkt. Mwinyi
Soma https://jamii.app/WaziriUlinziRais
#TZ2020
ZITTO KABWE: LENGO LETU NI KUMSHINDA MAGUFULI
> Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo akiwa kwenye Kampeni Tandahimba amewaambia wananchi wamchague Mgombea wanayeona ana Nguvu za Kumshinda Dkt. Magufuli (CCM) na wala wasizigawe kura zao
Angalia https://youtu.be/nJYE7F1RC_8
#Uchaguzi2020
> Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo akiwa kwenye Kampeni Tandahimba amewaambia wananchi wamchague Mgombea wanayeona ana Nguvu za Kumshinda Dkt. Magufuli (CCM) na wala wasizigawe kura zao
Angalia https://youtu.be/nJYE7F1RC_8
#Uchaguzi2020
YouTube
Zitto Kabwe: Lengo letu ni kumshinda Magufuli, tukienda vibaya tutazigawa kura atapita katikati
Lengo letu ni kumshinda Magufuli, tukienda vibaya tutazigawa kura atapita katikati. Maelekezo yetu, chagueni mgombea mnaemuona ana nguvu za kumshinda Magufuli
QUEEN SENDIGA: TUTAHAKIKISHA KILA MVUVI ANAKUWA MVUVI BORA
> Mgombea Urais kupitia ADC amesema watahakikisha Mvuvi wa Kitanzania anakuwa Mvuvi bora kwa kupatiwa elimu ya Uvuvi, vitendea kazi bora na kuondolewa tozo zisizoendana na uwezo wake
Soma https://jamii.app/SendigaBagamoyo
#TZ2020
> Mgombea Urais kupitia ADC amesema watahakikisha Mvuvi wa Kitanzania anakuwa Mvuvi bora kwa kupatiwa elimu ya Uvuvi, vitendea kazi bora na kuondolewa tozo zisizoendana na uwezo wake
Soma https://jamii.app/SendigaBagamoyo
#TZ2020
CHINA YATOA CHANJO YA MAJARIBIO YA #COVID19
> Maelfu wametumia chanjo licha ya kwamba hatua ya 3 ya majaribio kuthibitisha ubora wake ilikuwa haijakamilika
> Maafisa wa Afya wanasema hatua hiyo imeidhinishwa na Shirika la Afya Duniani (WHO)
Soma https://jamii.app/CoronaVaccineCH
> Maelfu wametumia chanjo licha ya kwamba hatua ya 3 ya majaribio kuthibitisha ubora wake ilikuwa haijakamilika
> Maafisa wa Afya wanasema hatua hiyo imeidhinishwa na Shirika la Afya Duniani (WHO)
Soma https://jamii.app/CoronaVaccineCH