LISSU: DUNIA HAIHITAJI TANZANIA ILA TANZANIA INAIHITAJI DUNIA
> Amesema bidhaa kama Dhahabu, Korosho na Chai zinaweza kupatikana ktk nchi nyingine hivyo, Serikali yake (CHADEMA) itahakikisha inashirikiana vyema na Mataifa mengine
Soma https://jamii.app/PoliticalCoalition
#TZ2020
> Amesema bidhaa kama Dhahabu, Korosho na Chai zinaweza kupatikana ktk nchi nyingine hivyo, Serikali yake (CHADEMA) itahakikisha inashirikiana vyema na Mataifa mengine
Soma https://jamii.app/PoliticalCoalition
#TZ2020
SIKU YA WAZEE DUNIANI: DUNIA NA JAMII TUWAJIBIKE KUWATUNZA WAZEE
> Oktoba 1 kila mwaka, ni Maadhimisho ya Siku ya Wazee Duniani inayotumiwa kutambua Ustawi wa Wazee
> Tanzania imefanikiwa kupunguza mauaji na kuboresha Huduma na Vituo vya Wazee
Soma https://jamii.app/SikuYaWazee
> Oktoba 1 kila mwaka, ni Maadhimisho ya Siku ya Wazee Duniani inayotumiwa kutambua Ustawi wa Wazee
> Tanzania imefanikiwa kupunguza mauaji na kuboresha Huduma na Vituo vya Wazee
Soma https://jamii.app/SikuYaWazee
MTU WA KWANZA KUTIBIWA UKIMWI, AFARIKI KWA SARATANI
> Raia wa Marekani, Timothy Ray Brown (54), alipata UKIMWI 1995, alipandikizwa Uboho (Bone Marrow) wa mtu aliyekuwa na kinga ya VVU
> Njia iliyotumika kumtibu ni ghali sana lakini ilileta tumaini Duniani
Soma https://jamii.app/UKIMWISaratani
> Raia wa Marekani, Timothy Ray Brown (54), alipata UKIMWI 1995, alipandikizwa Uboho (Bone Marrow) wa mtu aliyekuwa na kinga ya VVU
> Njia iliyotumika kumtibu ni ghali sana lakini ilileta tumaini Duniani
Soma https://jamii.app/UKIMWISaratani
ZANZIBAR: MAALIM SEIF AAHIDI MUUNGANO WA SERIKALI 3
> Akiwa Pemba, amewataka wananchi kumpa kura na kumuwezesha kuleta mabadiliko
> Pia, amesema akipewa ridhaa, atazungumza na Serikali ya Muungano kuhusu muundo wa Jeshi la Polisi
Soma - https://jamii.app/MaalimKampeniZNZ
#Uchaguzi2020
> Akiwa Pemba, amewataka wananchi kumpa kura na kumuwezesha kuleta mabadiliko
> Pia, amesema akipewa ridhaa, atazungumza na Serikali ya Muungano kuhusu muundo wa Jeshi la Polisi
Soma - https://jamii.app/MaalimKampeniZNZ
#Uchaguzi2020
DKT. MAGUFULI: SERIKALI IKO PAMOJA NA WAZEE
> Ktk kuadhimisha Siku ya Wazee(Oktoba 1) amesema, Serikali imehakikisha Wazee wanatibiwa bure kwenye hospitali za Serikali
> Changamoto chache zilizobaki watazishughulikia miaka 5 inayokuja
Soma https://jamii.app/MagufuliMbalizi
#Uchaguzi2020
> Ktk kuadhimisha Siku ya Wazee(Oktoba 1) amesema, Serikali imehakikisha Wazee wanatibiwa bure kwenye hospitali za Serikali
> Changamoto chache zilizobaki watazishughulikia miaka 5 inayokuja
Soma https://jamii.app/MagufuliMbalizi
#Uchaguzi2020
DAR: SERIKALI YAZINDUA CHUO CHA MAFUNZO YA ELIMU YA MICHEZO NA UKOCHA
> Chuo hicho cha Maendeleo ya Michezo kinatoa Stashahada ya Utawala na Uongozi ktk #Michezo na Stashahada ya Ukocha nchini kwa kuzingatia Mitaala iliyopitishwa Kimataifa
Soma https://jamii.app/ChuoMichezo
> Chuo hicho cha Maendeleo ya Michezo kinatoa Stashahada ya Utawala na Uongozi ktk #Michezo na Stashahada ya Ukocha nchini kwa kuzingatia Mitaala iliyopitishwa Kimataifa
Soma https://jamii.app/ChuoMichezo
UCHAGUZI MAREKANI: MIKE POMPEO AKATALIWA KUONANA NA PAPA FRANCIS
> Wanadiplomasia wa juu wa Vatican wamesema uamuzi huo umefikiwa kwasababu Kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki aliweka wazi kuwa Wanasiasa hawatapokelewa kipindi cha Uchaguzi
Soma - https://jamii.app/PompeoVatican
> Wanadiplomasia wa juu wa Vatican wamesema uamuzi huo umefikiwa kwasababu Kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki aliweka wazi kuwa Wanasiasa hawatapokelewa kipindi cha Uchaguzi
Soma - https://jamii.app/PompeoVatican
VYAMA VINAVYOTAKA KUUNGANA OKTOBA 03 VYATAKIWA KUACHA MPANGO HUO
> Msajili Msaidizi wa Vyama vya Siasa amevitaka kutofanya hivyo kwasababu ni ukiukwaji wa Sheria
> Amesema, Ofisi yake imeshaviandikia barua vyama hivyo
Soma - https://jamii.app/MsajiliVyamaOkt3
#Uchaguzi2020
> Msajili Msaidizi wa Vyama vya Siasa amevitaka kutofanya hivyo kwasababu ni ukiukwaji wa Sheria
> Amesema, Ofisi yake imeshaviandikia barua vyama hivyo
Soma - https://jamii.app/MsajiliVyamaOkt3
#Uchaguzi2020
DKT. MAGUFULI AAHIDI TSH. MILIONI 5 YA KUJENGEA MADARASA YA SHULE YA MSINGI ULANGA
> Ameahidi hela hiyo baada ya mwanafunzi aliyekuwa kwenye mkutano kutaja madarasa kuwa changamoto
> Amesema hakutoa palepale kuepuka rushwa ya Uchaguzi
Soma https://jamii.app/MagufuliTshMil5
#Uchaguzi2020
> Ameahidi hela hiyo baada ya mwanafunzi aliyekuwa kwenye mkutano kutaja madarasa kuwa changamoto
> Amesema hakutoa palepale kuepuka rushwa ya Uchaguzi
Soma https://jamii.app/MagufuliTshMil5
#Uchaguzi2020
π1
MAGANJA: TANZANIA INGEONGOZWA VIZURI TANGU UHURU BASI INGEKUWA UJERUMANI YA AFRIKA
> Mgombea Urais wa JMT kupitia NCCR, Yeremia Maganja amesema chanzo cha haya ni utekelezaji wa Azimio la Arusha ambao haukuzingatia mazingira ya watu wake
Soma - https://jamii.app/MgombeaNCCR
#Uchaguzi2020
> Mgombea Urais wa JMT kupitia NCCR, Yeremia Maganja amesema chanzo cha haya ni utekelezaji wa Azimio la Arusha ambao haukuzingatia mazingira ya watu wake
Soma - https://jamii.app/MgombeaNCCR
#Uchaguzi2020
GUINEA: VIKOSI VYA USALAMA VYALAUMIWA KUUA WATU 50 KATIKA MAANDAMANO
> Ripoti zinataja watu 50 kuuawa, 200 kujeruhiwa na 70 kuzuiliwa kinyume cha Sheria mwaka 2019
> Ni katika maandamano ya kupinga Rais Alpha CondΓ© kuongeza Muhula wa Tatu
Soma https://jamii.app/Maandamano50Guinea
> Ripoti zinataja watu 50 kuuawa, 200 kujeruhiwa na 70 kuzuiliwa kinyume cha Sheria mwaka 2019
> Ni katika maandamano ya kupinga Rais Alpha CondΓ© kuongeza Muhula wa Tatu
Soma https://jamii.app/Maandamano50Guinea
RAIS MAGUFULI AFUTA TOZO YA TSH. 50,000 KWA WAJAWAZITO WANAOCHELEWA KLINIKI
> Amesema kumekuwa na malalamiko dhidi ya kampeni ya Mama Kamandoo ya kuwatoza wajawazito wanaochelewa kujiandikisha kliniki Tsh. 50,000
> Amewataka Viongozi wa Serikali na Wizara ya Afya kusimamia utekelezaji wa agizo hilo kuhusu tozo
Angalia https://youtu.be/4OQ-dYNWxOI
#Uchaguzi2020
> Amesema kumekuwa na malalamiko dhidi ya kampeni ya Mama Kamandoo ya kuwatoza wajawazito wanaochelewa kujiandikisha kliniki Tsh. 50,000
> Amewataka Viongozi wa Serikali na Wizara ya Afya kusimamia utekelezaji wa agizo hilo kuhusu tozo
Angalia https://youtu.be/4OQ-dYNWxOI
#Uchaguzi2020
YouTube
Rais Magufuli: Marufuku kampeni ya βMama Komandooβ kuendelea
Asema wanawake wasisumbuliwe, waachwe wabebe mimba na kuzaa bila bughudha
#COVID19: AFRIKA KUSINI YAFUNGUA MIPAKA KWA NCHI ZA AFRIKA
> Wasafiri kutoka nchi zenye idadi kubwa ya visa na vifo kuliko Afrika Kusini hawataruhusiwa kuingia kwa ajili ya utalii
> Nchi hiyo ina visa 674,339, vifo 16,734 na 608,112 wamepona
Soma https://jamii.app/SAOpensBorders
> Wasafiri kutoka nchi zenye idadi kubwa ya visa na vifo kuliko Afrika Kusini hawataruhusiwa kuingia kwa ajili ya utalii
> Nchi hiyo ina visa 674,339, vifo 16,734 na 608,112 wamepona
Soma https://jamii.app/SAOpensBorders
JESHI LA POLISI LAWATAKA WANANCHI KUTII SHERIA
> Wakati huu wa Uchaguzi, Jeshi limetoa rai kwa wananchi kuepuka matusi, kujichukulia Sheria mkononi na kutotoa taarifa za uongo ambazo zinalenga kuleta chuki miongoni mwa Watanzania
Soma - https://jamii.app/SheriaPolisiUchaguzi
#Uchaguzi2020
> Wakati huu wa Uchaguzi, Jeshi limetoa rai kwa wananchi kuepuka matusi, kujichukulia Sheria mkononi na kutotoa taarifa za uongo ambazo zinalenga kuleta chuki miongoni mwa Watanzania
Soma - https://jamii.app/SheriaPolisiUchaguzi
#Uchaguzi2020
LISSU: CHADEMA YA LEO SIO ILE YA 2015, TUTAWEKA MAWAKALA KILA MAHALI
> Amesema hivi sasa wana uongozi na matawi kwenye takriban kila Kijiji
> Amesema hawatokubali Mawakala wao wasiapishwe, watatumia mbinu zote kuhakikisha wanaapishwa
Soma https://jamii.app/CHADEMAPress
#Uchaguzi2020
> Amesema hivi sasa wana uongozi na matawi kwenye takriban kila Kijiji
> Amesema hawatokubali Mawakala wao wasiapishwe, watatumia mbinu zote kuhakikisha wanaapishwa
Soma https://jamii.app/CHADEMAPress
#Uchaguzi2020
DPP AIDHINISHA MASHTAKA YA KUUAWA KWA KADA WA CCM IRINGA
> DPP Biswalo Mganga ameidhinisha mashtaka dhidi watuhumiwa 4 (3 ni Makada wa CHADEMA) ambao wamekiri kumteka na kumuua Emmanuel Mlelwa, aliyekuwa Mwenyekiti wa UVCCM Vyuo Vikuu Iringa
Soma https://jamii.app/DPPMauajiMlelwa
> DPP Biswalo Mganga ameidhinisha mashtaka dhidi watuhumiwa 4 (3 ni Makada wa CHADEMA) ambao wamekiri kumteka na kumuua Emmanuel Mlelwa, aliyekuwa Mwenyekiti wa UVCCM Vyuo Vikuu Iringa
Soma https://jamii.app/DPPMauajiMlelwa
TUNDU LISSU ATAKIWA KURIPOTI POLISI
> IGP Simon Sirro amemtaka Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CHADEMA kuripoti Kituo cha Polisi Kilimanjaro ili aeleze aliyofanya jana
> Amesema ameona mara kadhaa Lissu akigombana na viongozi wa Polisi
Angalia - https://youtu.be/ylpcJW4hG6Q
> IGP Simon Sirro amemtaka Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CHADEMA kuripoti Kituo cha Polisi Kilimanjaro ili aeleze aliyofanya jana
> Amesema ameona mara kadhaa Lissu akigombana na viongozi wa Polisi
Angalia - https://youtu.be/ylpcJW4hG6Q
YouTube
IGP Sirro amtaka Tundu Lissu kuripoti kituo cha Polisi Kilimanjaro kwa kile alichokofanya jana
DKT. MAGUFULI: MKINICHANGANYIA MBUNGE SILETI MRADI WA MAJI
> Mgombea Urais kupitia CCM amesema wana mipango ya kutoa maji Ileje kwenda Tunduma Muhula ujao
> Amewataka wananchi kumchagua Silinde (CCM) na hii ni mara ya mwisho kuwabembeleza
Tazama https://youtu.be/xjJ1nLDvm9k
#TZ2020
> Mgombea Urais kupitia CCM amesema wana mipango ya kutoa maji Ileje kwenda Tunduma Muhula ujao
> Amewataka wananchi kumchagua Silinde (CCM) na hii ni mara ya mwisho kuwabembeleza
Tazama https://youtu.be/xjJ1nLDvm9k
#TZ2020
YouTube
Dkt. Magufuli akiwa Tunduma: Msinichanganyie, Mkiniletea hao Maji hamuyapati
KAMPUNI YA INDIANA YAFUNGUA KESI YA MADAI YA TAKRIBANI TSH. BILIONI 220 DHIDI YA TANZANIA
> Indiana Resources inadai fidia baada ya kuathirika na mabadiliko ya Sheria ya Madini nchini
> Tanzania ilizifuta leseni za uhifadhi zilizotolewa kabla ya 2018
Soma https://jamii.app/MadaiBilion220
> Indiana Resources inadai fidia baada ya kuathirika na mabadiliko ya Sheria ya Madini nchini
> Tanzania ilizifuta leseni za uhifadhi zilizotolewa kabla ya 2018
Soma https://jamii.app/MadaiBilion220
LISSU: BARUA YA POLISI HAIKUELEZA KOSA, NAENDELEA NA RATIBA ZANGU
> Lissu amedai barua haikutaja kosa na imeelekezwa kwa Mwenyekiti wa Chama, hivyo ataendelea na ratiba zake
> Jana, IGP Sirro alimshutumu Lissu kugombana na Wakuu wa Polisi
Soma https://jamii.app/BaruaPolisiRatiba
#Uchaguzi2020
> Lissu amedai barua haikutaja kosa na imeelekezwa kwa Mwenyekiti wa Chama, hivyo ataendelea na ratiba zake
> Jana, IGP Sirro alimshutumu Lissu kugombana na Wakuu wa Polisi
Soma https://jamii.app/BaruaPolisiRatiba
#Uchaguzi2020