JE, ILANI YA CHAUMMA INASEMA NINI KUHUSU ELIMU NA MALEZI YA TAIFA?
- Itabadili mitaala kuanzia Elimu ya Msingi hadi Vyuo Vikuu ili kuipa ubora wa hali ya juu
- Itahakikisha mitaala yote nchini ni ile tu yenye manufaa na maana
Soma > https://jamii.app/IlaniCHAUMMA
#Uchaguzi2020 #Siasa
- Itabadili mitaala kuanzia Elimu ya Msingi hadi Vyuo Vikuu ili kuipa ubora wa hali ya juu
- Itahakikisha mitaala yote nchini ni ile tu yenye manufaa na maana
Soma > https://jamii.app/IlaniCHAUMMA
#Uchaguzi2020 #Siasa
DKT. MAGUFULI: MAENDELEO HAYANA CHAMA LAKINI UNACHAGUA CHAMA NA KIONGOZI KWA MAENDELEO
> Ameyasema hayo alipokuwa Kasulu na ameahidi kujenga lami ili Kigoma iwe kama Ulaya
> Ameongeza kuwa, ametenga Tsh. bilioni 402 za kuiendeleza Kigoma
Soma https://jamii.app/MaendeleoChama
#JFSiasa
> Ameyasema hayo alipokuwa Kasulu na ameahidi kujenga lami ili Kigoma iwe kama Ulaya
> Ameongeza kuwa, ametenga Tsh. bilioni 402 za kuiendeleza Kigoma
Soma https://jamii.app/MaendeleoChama
#JFSiasa
JE, ILANI YA CUF INASEMA NINI KUHUSU ELIMU?
- CUF itatumia si chini ya asilimia 25 ya bajeti yake kila mwaka kuboresha Sekta ya Elimu kwa ujumla
- Lishe kwa wanafunzi: Utafiti unaonyesha kuwa watoto wenye njaa hawafundishiki
Soma > https://jamii.app/IlaniCUF
#Uchaguzi2020 #TZ2020
- CUF itatumia si chini ya asilimia 25 ya bajeti yake kila mwaka kuboresha Sekta ya Elimu kwa ujumla
- Lishe kwa wanafunzi: Utafiti unaonyesha kuwa watoto wenye njaa hawafundishiki
Soma > https://jamii.app/IlaniCUF
#Uchaguzi2020 #TZ2020
NJOMBE: TAKUKURU YAMSHTAKI RAIA ALIYETOA USHAHIDI WA UONGO
> Inadaiwa, awali Eliezer Lutumo aliieleza TAKUKURU kuwa alitoa Tsh. 10,000 na kumpa Bryson Lupenza
> Alipoitwa Mahakamani mbele ya Hakimu Mkazi, Lutumo alikana maelezo hayo
Soma https://jamii.app/KizimbaniUshahidi
#JFLeo
> Inadaiwa, awali Eliezer Lutumo aliieleza TAKUKURU kuwa alitoa Tsh. 10,000 na kumpa Bryson Lupenza
> Alipoitwa Mahakamani mbele ya Hakimu Mkazi, Lutumo alikana maelezo hayo
Soma https://jamii.app/KizimbaniUshahidi
#JFLeo
KILIMANJARO: TAKUKURU YAREJESHA TSH. MILIONI 2.6 ZA SHULE
> Aliyekuwa Mkuu wa Shule na Mhasibu walizitumia kwa matumizi yao
> Fedha hizo zilitolewa na wafadhili kwa ajili ya chakula cha mchana kwa watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu
Soma https://jamii.app/PCCBtsh2b
#JFLeo
> Aliyekuwa Mkuu wa Shule na Mhasibu walizitumia kwa matumizi yao
> Fedha hizo zilitolewa na wafadhili kwa ajili ya chakula cha mchana kwa watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu
Soma https://jamii.app/PCCBtsh2b
#JFLeo
NI KOSA KUBANDIKA PICHA YA MGOMBEA JUU YA PICHA YA MGOMBEA MWINGINE
> Hayo yameainishwa kwenye Maadili ya Uchaguzi ya mwaka 2020
> Pia, kuzidisha muda, kukiuka ratiba ya kampeni na kutoa Lugha ya matusi na kashfa vimezuiwa
Soma https://jamii.app/MaadiliUchaguzi
#TZ2020
> Hayo yameainishwa kwenye Maadili ya Uchaguzi ya mwaka 2020
> Pia, kuzidisha muda, kukiuka ratiba ya kampeni na kutoa Lugha ya matusi na kashfa vimezuiwa
Soma https://jamii.app/MaadiliUchaguzi
#TZ2020
DAR: 5 WAHUKUMIWA KUNYONGWA KWA MAUAJI YA DKT. SENGONDO MVUNGI, 1 AACHIWA HURU
> Dkt. Mvungi alivamiwa nyumbani kwake Novemba 3, 2013
> Aliwahi kugombea Urais wa JMT 2005 kupitia NCCR-Mageuzi na alikuwa Mjumbe wa Tume ya Katiba ya Jaji Warioba
Soma https://jamii.app/HukumuWauajiDrMvungi
> Dkt. Mvungi alivamiwa nyumbani kwake Novemba 3, 2013
> Aliwahi kugombea Urais wa JMT 2005 kupitia NCCR-Mageuzi na alikuwa Mjumbe wa Tume ya Katiba ya Jaji Warioba
Soma https://jamii.app/HukumuWauajiDrMvungi
SINGIDA: MIAKA 30 JELA KWA KUMBAKA MTOTO WAKE
> Hamisi Mtanda (37) amekutwa na hatia ya kumbaka mwanaye wa kike wa kumzaa wa miaka 11
> Katika kujitetea, mshtakiwa alisema mtoto huyo alifanya ngono na mwalimu bila kutaja ni mwalimu yupi
Soma https://jamii.app/BabaAmbakaMwanaye
#JFLeo
> Hamisi Mtanda (37) amekutwa na hatia ya kumbaka mwanaye wa kike wa kumzaa wa miaka 11
> Katika kujitetea, mshtakiwa alisema mtoto huyo alifanya ngono na mwalimu bila kutaja ni mwalimu yupi
Soma https://jamii.app/BabaAmbakaMwanaye
#JFLeo
DIAMOND PLATNUMZ ASHIRIKISHWA KWENYE ALBUM YA ALICIA KEYS
> Alicia Keys ametoa Album mpya inayoitwa 'Alicia' ambapo Msanii kutoka Tanzania, Naseeb Abdul amepata nafasi ya kushirikishwa kwenye wimbo wenye jina Wasted Energy
Soma https://jamii.app/DiamondAliciaKeys
#JFBurudani #Entertainment
> Alicia Keys ametoa Album mpya inayoitwa 'Alicia' ambapo Msanii kutoka Tanzania, Naseeb Abdul amepata nafasi ya kushirikishwa kwenye wimbo wenye jina Wasted Energy
Soma https://jamii.app/DiamondAliciaKeys
#JFBurudani #Entertainment
❤1
DKT. MAGUFULI ATOA WITO KWA WASIOAMINI MUNGU WAJE KUJIONEA TANZANIA
> Dkt. John Magufuli ametoa wito kwa wasioamini Mungu waje wajionee Mungu alivyoifukuza #CoronaVirus Tanzania
> Pia amesema, hata wale waliobeza awali na kusema watu milioni 4 wangekufa kwa #COVID19, hawana la kusema sasa
Soma https://jamii.app/WitoKuaminiMungu
#TZ2020
> Dkt. John Magufuli ametoa wito kwa wasioamini Mungu waje wajionee Mungu alivyoifukuza #CoronaVirus Tanzania
> Pia amesema, hata wale waliobeza awali na kusema watu milioni 4 wangekufa kwa #COVID19, hawana la kusema sasa
Soma https://jamii.app/WitoKuaminiMungu
#TZ2020
IGP SIRRO AONGEZEWA MWAKA 1 ZAIDI KUIONGOZA EAPCCO
> Shirikisho la Wakuu wa Polisi Mashariki mwa Afrika wamemtaka IGP Simon Sirro kuendelea kuwa Mwenyekiti wao
> IGP Sirro amesema watahakikisha wanabadilishana uzoefu na kufanya mafunzo ya pamoja
Soma https://jamii.app/IGPSirroEAPCCO
#JFLeo
> Shirikisho la Wakuu wa Polisi Mashariki mwa Afrika wamemtaka IGP Simon Sirro kuendelea kuwa Mwenyekiti wao
> IGP Sirro amesema watahakikisha wanabadilishana uzoefu na kufanya mafunzo ya pamoja
Soma https://jamii.app/IGPSirroEAPCCO
#JFLeo
JE, ILANI YA NCCR-MAGEUZI IMEZUNGUMZA NINI KUHUSU AFYA NA USTAWI WA JAMII?
> Itaimarisha afya ya Mama na Mtoto kwa kusogeza Huduma za Afya karibu na makazi ya watu
- Itaongeza mishahara na marupurupu kwa watumishi wa Sekta ya Afya
Soma https://jamii.app/IlaniNCCR
#Uchaguzi2020
> Itaimarisha afya ya Mama na Mtoto kwa kusogeza Huduma za Afya karibu na makazi ya watu
- Itaongeza mishahara na marupurupu kwa watumishi wa Sekta ya Afya
Soma https://jamii.app/IlaniNCCR
#Uchaguzi2020
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
DKT. MAGUFULI ATAJA MPANGO WA KUPANUA UWANJA WA NDEGE WA KIGOMA
> Mgombea Urais (CCM) amesema wanataka Airbus ziwe zinatua ktk Uwanja wa Ndege wa Kigoma ili kukuza utalii
> Asema, Sekta ya Utalii imeajiri watu milioni 4 kwa miaka 5 iliyopita
Soma https://jamii.app/WitoKuaminiMungu
#TZ2020
> Mgombea Urais (CCM) amesema wanataka Airbus ziwe zinatua ktk Uwanja wa Ndege wa Kigoma ili kukuza utalii
> Asema, Sekta ya Utalii imeajiri watu milioni 4 kwa miaka 5 iliyopita
Soma https://jamii.app/WitoKuaminiMungu
#TZ2020
KAGERA: SERIKALI YATOA 250,000 KWA FAMILIA ZILIZOFIWA KATIKA AJALI YA MOTO
> Ni rambirambi kwa kila familia iliyofiwa na mtoto ktk ajali ya moto, Shule ya Msingi Islamic Byamungu
> Pia, Serikali inawagharamia wanafunzi 6 wanaopatiwa matibabu
Soma https://jamii.app/AjaliKageraSerikali
#JFLeo
> Ni rambirambi kwa kila familia iliyofiwa na mtoto ktk ajali ya moto, Shule ya Msingi Islamic Byamungu
> Pia, Serikali inawagharamia wanafunzi 6 wanaopatiwa matibabu
Soma https://jamii.app/AjaliKageraSerikali
#JFLeo
JE, WAJUA UMUHIMU WA JESHI LA POLISI TANZANIA?
> Jeshi la Polisi lipo kuhakikisha usalama wa raia na mali zao
> Pia, kubaini na kupambana na uhalifu na kuhakikisha kila mtu anafuata Sheria
Soma https://jamii.app/UmuhimuWaPolisi
#JFMaarifa
> Jeshi la Polisi lipo kuhakikisha usalama wa raia na mali zao
> Pia, kubaini na kupambana na uhalifu na kuhakikisha kila mtu anafuata Sheria
Soma https://jamii.app/UmuhimuWaPolisi
#JFMaarifa
MPANDA: JELA MIAKA 60 KWA KUMTOROSHA NA KUMBAKA MWANAFUNZI
> Said Selemani(20), amekutwa na hatia ya kumbaka Mwanafunzi wa Kidato cha Pili
> Katika utetezi mshtakiwa alidai alikuwa naye ili amsaidie kumrejesha kwao kwani alikuwa amefukuzwa
Soma https://jamii.app/Jela60Kubaka
#JFLeo
> Said Selemani(20), amekutwa na hatia ya kumbaka Mwanafunzi wa Kidato cha Pili
> Katika utetezi mshtakiwa alidai alikuwa naye ili amsaidie kumrejesha kwao kwani alikuwa amefukuzwa
Soma https://jamii.app/Jela60Kubaka
#JFLeo
ZANZIBAR: TAMWA YALAANI WATOTO KUCHOMWA SINDANO BILA SABABU
> Septemba 15, 2020 iliripotiwa tukio la watoto 3 kuchomwa sindano na mtu asiyejulikana
> Tukio kama hilo si la kwanza, TAMWA wanaona huo ni udhalilishaji unaopaswa kukemewa
Soma https://jamii.app/WatotoZnz
#JFLeo
> Septemba 15, 2020 iliripotiwa tukio la watoto 3 kuchomwa sindano na mtu asiyejulikana
> Tukio kama hilo si la kwanza, TAMWA wanaona huo ni udhalilishaji unaopaswa kukemewa
Soma https://jamii.app/WatotoZnz
#JFLeo
YAJUE MAMLAKA YA POLISI
> Polisi ana mamlaka kukamata, kufanya upekuzi, kushikilia, kumpeleleza mtuhumiwa, kumhoji shahidi na kufanya mahojiano na mtuhumiwa
> Kutawanya waandamanaji wenye nia ovu na kuhakikisha usalama katika jamii
Soma https://jamii.app/UmuhimuWaPolisi
#JFMaarifa
> Polisi ana mamlaka kukamata, kufanya upekuzi, kushikilia, kumpeleleza mtuhumiwa, kumhoji shahidi na kufanya mahojiano na mtuhumiwa
> Kutawanya waandamanaji wenye nia ovu na kuhakikisha usalama katika jamii
Soma https://jamii.app/UmuhimuWaPolisi
#JFMaarifa
ILANI YA UCHAGUZI YA CHADEMA INAAHIDI NINI KUHUSU SEKTA YA AFYA?
> CHADEMA itatoa motisha kwa watendaji wa Sekta ya Afya kulingana na nafasi zao
> Itaboresha mifumo ya huduma za dharura ktk maeneo yote ya utoaji huduma za afya
Soma https://jamii.app/IlaniCDM
#Uchaguzi2020
> CHADEMA itatoa motisha kwa watendaji wa Sekta ya Afya kulingana na nafasi zao
> Itaboresha mifumo ya huduma za dharura ktk maeneo yote ya utoaji huduma za afya
Soma https://jamii.app/IlaniCDM
#Uchaguzi2020
DAR: AFISA MAUDHUI WA CHADEMA KIZIMBANI
> Dominic Mgaya amepandishwa kizimbani kwa kosa la kuchapisha maudhui bila kuwa na leseni ya TCRA
> Alifanya hivyo kupitia channel ya CHADEMA MEDIA TV kati ya Oktoba 14, 2017 na Septemba 1, 2020
Soma https://jamii.app/MakosaYaMtandaoCHADEMA
#JFLeo
> Dominic Mgaya amepandishwa kizimbani kwa kosa la kuchapisha maudhui bila kuwa na leseni ya TCRA
> Alifanya hivyo kupitia channel ya CHADEMA MEDIA TV kati ya Oktoba 14, 2017 na Septemba 1, 2020
Soma https://jamii.app/MakosaYaMtandaoCHADEMA
#JFLeo