NEC: TUNAWEZA KUWAFUNGIA WAGOMBEA AMBAO KAZI YAO NI KUSAMBAZA MATUSI
- Mkurugenzi wa Uchaguzi amesema Sheria ipo hivyo wahusika wazingatie maadili ya Uchaguzi waliyosaini
> Amewataka wauze sera zao ili Wananchi wawachague kwa manufaa yao
Soma https://jamii.app/NECVsWagombea
#TZ2020
- Mkurugenzi wa Uchaguzi amesema Sheria ipo hivyo wahusika wazingatie maadili ya Uchaguzi waliyosaini
> Amewataka wauze sera zao ili Wananchi wawachague kwa manufaa yao
Soma https://jamii.app/NECVsWagombea
#TZ2020
MBEYA: MBARONI KWA KUKUTWA NA NYAMA YA NYATI
> Tatu Ndumbula (38) alikutwa na nyara za Serikali ambazo ni vipande 27 vya nyama ya Nyati kinyume cha sheria
> Nyama hiyo ilikutwa nyumbani kwake na atafikishwa Mahakamani upelelezi ukikamilika
Soma https://jamii.app/MbeyaNyaraNyati
#JFLeo
> Tatu Ndumbula (38) alikutwa na nyara za Serikali ambazo ni vipande 27 vya nyama ya Nyati kinyume cha sheria
> Nyama hiyo ilikutwa nyumbani kwake na atafikishwa Mahakamani upelelezi ukikamilika
Soma https://jamii.app/MbeyaNyaraNyati
#JFLeo
WADAU WALALAMIKIA MATANGAZO YA KONDOMU NA TAULO ZA KIKE
> Wadau wanaona matangazo hayo hayana maadili na wanakwazwa na namna ujumbe unavyooneshwa kiasi ambacho inawawia vigumu kuwa na raha ya kuangalia runinga wakiwa na watoto
> Aidha, wengine wanaona ni sahihi kwa watoto kupata Elimu ya Uzazi mapema
> Je, ni utovu wa maadili au ni sehemu ya watoto kupata Elimu ya Uzazi?
Soma https://jamii.app/CondomPadsAds
#JFLeo
> Wadau wanaona matangazo hayo hayana maadili na wanakwazwa na namna ujumbe unavyooneshwa kiasi ambacho inawawia vigumu kuwa na raha ya kuangalia runinga wakiwa na watoto
> Aidha, wengine wanaona ni sahihi kwa watoto kupata Elimu ya Uzazi mapema
> Je, ni utovu wa maadili au ni sehemu ya watoto kupata Elimu ya Uzazi?
Soma https://jamii.app/CondomPadsAds
#JFLeo
UCHAGUZI 2020: NCHI 15 ZARUHUSIWA KULETA WAANGALIZI
> Ni baada ya nchi hizo kupitia Balozi zao zilizoko nchini kukamilisha taratibu zote za kutuma maombi
> Uchaguzi Mkuu unatarajiwa kufanyika Oktoba 28 ambapo Vyama 17 vya Siasa vinashiriki
Soma https://jamii.app/InternationalObservers
#JFLeo
> Ni baada ya nchi hizo kupitia Balozi zao zilizoko nchini kukamilisha taratibu zote za kutuma maombi
> Uchaguzi Mkuu unatarajiwa kufanyika Oktoba 28 ambapo Vyama 17 vya Siasa vinashiriki
Soma https://jamii.app/InternationalObservers
#JFLeo
MAALIM SEIF: MKINICHAGUA, HELIKOPTA ZITAKUWA ZINAPITA JUU KUWALINDA WAVUVI
> Amesema, Serikali ya ACT-Wazalendo itahakikisha wavuvi wanatapata vyombo vya kisasa kwa ajili ya uvuvi bila ubaguzi ambapo vyombo hivyo vitakuwa na spidi kubwa
Soma https://jamii.app/MaalimSeifUvuvi
#Uchaguzi2020
> Amesema, Serikali ya ACT-Wazalendo itahakikisha wavuvi wanatapata vyombo vya kisasa kwa ajili ya uvuvi bila ubaguzi ambapo vyombo hivyo vitakuwa na spidi kubwa
Soma https://jamii.app/MaalimSeifUvuvi
#Uchaguzi2020
MICHEZO: JACK GREALISH ASAINI MKATABA KUBAKI ASTON VILLA
> Nahodha wa Klabu ya Aston Villa, Jack Grealish (25) amesaini mkataba ili kuendelea na Klabu hiyo hadi 2025
> Christian Purslow amesema, Mchezaji huyo ni nembo ya Aston Villa
Soma https://jamii.app/JackAstonVilla
#JFMichezo
> Nahodha wa Klabu ya Aston Villa, Jack Grealish (25) amesaini mkataba ili kuendelea na Klabu hiyo hadi 2025
> Christian Purslow amesema, Mchezaji huyo ni nembo ya Aston Villa
Soma https://jamii.app/JackAstonVilla
#JFMichezo
RAIA WA TANZANIA RUKSA KUINGIA NCHINI KENYA BILA KUKAA KARANTINI
> Kenya imeorodhesha nchi 147 ambazo Raia wake wataingia bila kukaa karantini Tanzania ikiwemo
> Kenya ilikuwa inaweka Raia wa nchi nyingine karantini ili kujilinda na #COVID19
Soma https://jamii.app/KeExemptsTz
#JFLeo
> Kenya imeorodhesha nchi 147 ambazo Raia wake wataingia bila kukaa karantini Tanzania ikiwemo
> Kenya ilikuwa inaweka Raia wa nchi nyingine karantini ili kujilinda na #COVID19
Soma https://jamii.app/KeExemptsTz
#JFLeo
NEC YAWAREJESHA WAGOMBEA WENGINE 47 WA UDIWANI
> Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeshughulikia rufaa nyingine 87 za Udiwani na kuzikataa rufaa 30 za Wagombea waliokosa teuzi
> Aidha, Tume imekataa rufaa 10 za kupinga Madiwani walioteuliwa
Soma https://jamii.app/NEC47Rufaa
#JFSiasa
> Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeshughulikia rufaa nyingine 87 za Udiwani na kuzikataa rufaa 30 za Wagombea waliokosa teuzi
> Aidha, Tume imekataa rufaa 10 za kupinga Madiwani walioteuliwa
Soma https://jamii.app/NEC47Rufaa
#JFSiasa
KENYA: MADAKTARI WATISHIA KUGOMA KUTOKANA NA MAZINGIRA MABOVU YA KUFANYIA KAZI
- Wanalalamikia mazingira mbaya ya kazi hasa wakati huu wa #CoronaVirus
- Wadai kuchoshwa na ahadi za Serikali ambazo hazitekelezwi
Soma > https://jamii.app/MadaktariKenya
#COVID19 #Kenya #JFAfya #JFLeo
- Wanalalamikia mazingira mbaya ya kazi hasa wakati huu wa #CoronaVirus
- Wadai kuchoshwa na ahadi za Serikali ambazo hazitekelezwi
Soma > https://jamii.app/MadaktariKenya
#COVID19 #Kenya #JFAfya #JFLeo
WATU 29,188,347 WATARAJIWA KUPIGA KURA OKTOBA 28
> Idadi hiyo ya wapiga kura imeongezeka, mwaka 2015 walioandikishwa walikuwa 23,161,440
> Aidha, Tume imewaondoa wapiga kura 30,487 kutokana na kukosa sifa kwa mujibu wa Sheria
Soma https://jamii.app/NECUchaguziWaandishi
#TZ2020 #Uchaguzi2020
> Idadi hiyo ya wapiga kura imeongezeka, mwaka 2015 walioandikishwa walikuwa 23,161,440
> Aidha, Tume imewaondoa wapiga kura 30,487 kutokana na kukosa sifa kwa mujibu wa Sheria
Soma https://jamii.app/NECUchaguziWaandishi
#TZ2020 #Uchaguzi2020
TANZIA: KAMANDA SHANA AFARIKI DUNIA
> Aliyekuwa Kamanda wa Polisi mkoani Arusha, Jonathan Shana amefariki katika Hospitali ya Taifa Muhimbili
> ACP Jonathan Shana amefariki akiwa Afisa Mnadhimu Namba Moja ktk Chuo cha Polisi (CCP) Moshi
Soma https://jamii.app/ACPShanaRIP
#JFLeo
> Aliyekuwa Kamanda wa Polisi mkoani Arusha, Jonathan Shana amefariki katika Hospitali ya Taifa Muhimbili
> ACP Jonathan Shana amefariki akiwa Afisa Mnadhimu Namba Moja ktk Chuo cha Polisi (CCP) Moshi
Soma https://jamii.app/ACPShanaRIP
#JFLeo
TANZANIA YAPINGA RIPOTI YA UN KUHUSU MAZINGIRA YA SIASA NCHINI
> Tume ya #HakiZaBinadamu ilionesha wasiwasi juu ya ukandamizaji wa #Demokrasia
> Serikali imesema tathmini iliyotolewa haina uhalisia kwa kuwa mazingira ya kisiasa yako vizuri
Soma https://jamii.app/TanzaniaUN
#JFLeo
> Tume ya #HakiZaBinadamu ilionesha wasiwasi juu ya ukandamizaji wa #Demokrasia
> Serikali imesema tathmini iliyotolewa haina uhalisia kwa kuwa mazingira ya kisiasa yako vizuri
Soma https://jamii.app/TanzaniaUN
#JFLeo
RAIS MAGUFULI ATAKA MKUU WA SHULE ILIYOUNGUA AACHIWE
> Rais Magufuli amewataka Polisi kumuachia Mkuu wa Shule ya Msingi Islamic Byamungu, upelelezi unaweza fanywa akiwa nje
> Shule hiyo iliungua mabweni na kuua watoto 10 na wengine 6 kujeruhiwa
Soma https://jamii.app/MkuuShuleKagera
#JFSiasa
> Rais Magufuli amewataka Polisi kumuachia Mkuu wa Shule ya Msingi Islamic Byamungu, upelelezi unaweza fanywa akiwa nje
> Shule hiyo iliungua mabweni na kuua watoto 10 na wengine 6 kujeruhiwa
Soma https://jamii.app/MkuuShuleKagera
#JFSiasa
TANZANIA YAFUNGUA ANGA KWA NDEGE ZA KENYA KUTUA
> Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA) imeruhusu mashirika ya Ndege kutoka #Kenya kutua nchini baada ya Kenya kuondoa sharti la raia wa #Tanzania kukaa karantini kwa siku 14 wanapoingia nchini humo
Soma https://jamii.app/TCAAVsKE
#JFLeo
> Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA) imeruhusu mashirika ya Ndege kutoka #Kenya kutua nchini baada ya Kenya kuondoa sharti la raia wa #Tanzania kukaa karantini kwa siku 14 wanapoingia nchini humo
Soma https://jamii.app/TCAAVsKE
#JFLeo
ILANI YA UCHAGUZI YA NCCR INASEMA NINI KUHUSU SERA YA ELIMU?
- Kubadili sera ya elimu ya Taifa kwa kuipa maudhui na upeo kulingana na mahitaji ya kimaadili ya maendeleo
- Itaweka 30% kuwa kiwango cha chini cha bajeti ya Taifa ya elimu
Soma https://jamii.app/IlaniNCCR
#Uchaguzi2020
- Kubadili sera ya elimu ya Taifa kwa kuipa maudhui na upeo kulingana na mahitaji ya kimaadili ya maendeleo
- Itaweka 30% kuwa kiwango cha chini cha bajeti ya Taifa ya elimu
Soma https://jamii.app/IlaniNCCR
#Uchaguzi2020
ILANI YA CHADEMA INASEMA NINI KUHUSU MASLAHI YA WALIMU?
- Bila mwalimu mwenye motisha na aliyepewa mafunzo vizuri hakuna chochote tutakachofanikiwa
- Walimu hawathaminiwi; mishahara, marupurupu, maslahi hayalingani na kazi yao ngumu
Soma https://jamii.app/IlaniCDM
#Uchaguzi2020
- Bila mwalimu mwenye motisha na aliyepewa mafunzo vizuri hakuna chochote tutakachofanikiwa
- Walimu hawathaminiwi; mishahara, marupurupu, maslahi hayalingani na kazi yao ngumu
Soma https://jamii.app/IlaniCDM
#Uchaguzi2020
ZANZIBAR: KESI YA ULAWITI YAFUTWA BAADA YA MASHAHIDI KUTOFIKA MAHAKAMANI
> Mahakama ya Mkoani Wete imeiondoa kesi iliyokuwa inamkabili Khamis Abdalla Khamis(35) aliyetuhumiwa kumwingilia kinyume na maumbile mtoto wa kiume mwenye miaka 10
Soma https://jamii.app/PembaKesi
#JFLeo
> Mahakama ya Mkoani Wete imeiondoa kesi iliyokuwa inamkabili Khamis Abdalla Khamis(35) aliyetuhumiwa kumwingilia kinyume na maumbile mtoto wa kiume mwenye miaka 10
Soma https://jamii.app/PembaKesi
#JFLeo
SULTAN WA ZANZIBAR JAMSHID BIN ABDULLAH ARUHUSIWA KUINGIA OMAN
> Sultan wa mwisho wa Zanzibar ameruhusiwa kuingia Oman toka apinduliwe Januari 12, 1964
> Alipewa hifadhi nchini Uingereza ambako ameishi kwa miaka 50 katika mji wa Portsmouth
Soma https://jamii.app/SultanZnzOman
#JFLeo
> Sultan wa mwisho wa Zanzibar ameruhusiwa kuingia Oman toka apinduliwe Januari 12, 1964
> Alipewa hifadhi nchini Uingereza ambako ameishi kwa miaka 50 katika mji wa Portsmouth
Soma https://jamii.app/SultanZnzOman
#JFLeo
ILANI YA UCHAGUZI YA SAU INASEMA NINI KUHUSU ELIMU?
> Inasema, itatoa ajira mpya kwa Walimu ili kupata Walimu wa kutosha na kufikia uwiano wa Wanafunzi 20-29 kwa Mwalimu 1
> Watahakikisha Elimu ya Awali (Chekechea) inaboreshwa na kuzingatiwa
Soma https://jamii.app/IlaniSAU
#Uchaguzi2020
> Inasema, itatoa ajira mpya kwa Walimu ili kupata Walimu wa kutosha na kufikia uwiano wa Wanafunzi 20-29 kwa Mwalimu 1
> Watahakikisha Elimu ya Awali (Chekechea) inaboreshwa na kuzingatiwa
Soma https://jamii.app/IlaniSAU
#Uchaguzi2020
NEC YAWEKA WAZI MASHARTI YA KUZINGATIWA SIKU YA KUPIGA KURA (28 OKTOBA 2020)
-
Haitaruhusiwa mtu yeyote kutumia simu ya kiganjani ndani ya kituo cha kupigia, kuhesabia au kujumlishia kura
> Wasimamizi wa Kituo ndio watakao ruhusiwa
Soma > https://jamii.app/NECMashartiUchaguzi
#Uchaguzi2020
-
Haitaruhusiwa mtu yeyote kutumia simu ya kiganjani ndani ya kituo cha kupigia, kuhesabia au kujumlishia kura
> Wasimamizi wa Kituo ndio watakao ruhusiwa
Soma > https://jamii.app/NECMashartiUchaguzi
#Uchaguzi2020