ARUSHA: POLISI WAMKAMATA MFANYABIASHARA KWA UTAPELI WA VIWANJA 51
> Joseph Rwekeza anashikiliwa na Polisi kwa kushindwa kutoa hati za viwanja zaidi ya 51 alivyouza
> Alipata Milioni 590 na kutokomea kusikojulikana
Soma - https://jamii.app/MbaroniUtapeliViwanja51
> Joseph Rwekeza anashikiliwa na Polisi kwa kushindwa kutoa hati za viwanja zaidi ya 51 alivyouza
> Alipata Milioni 590 na kutokomea kusikojulikana
Soma - https://jamii.app/MbaroniUtapeliViwanja51
MFAHAMU MTU MWENYE TATTOO NYINGI DUNIANI
> Lucky Diamond Rich, pia ametoboa masikio na kuyavuta (kama Wamasai) na amejitoboa sehemu kadhaa za mwili wake
> Alianza kujiweka michoro mwilini akiwa na miaka 16 na alimaliza akiwa na miaka 28
Soma https://jamii.app/RekodiTattoo2019
> Lucky Diamond Rich, pia ametoboa masikio na kuyavuta (kama Wamasai) na amejitoboa sehemu kadhaa za mwili wake
> Alianza kujiweka michoro mwilini akiwa na miaka 16 na alimaliza akiwa na miaka 28
Soma https://jamii.app/RekodiTattoo2019
APEWA KESI YA UHUJUMU UCHUMI KWA KUSINGIZIA AMEKUFA ILI ALIPWE MAFAO KWA MKUPUO
> George Mbuga alitakiwa kulipwa kwa mafao yake kwa Awamu Tano baada ya kustaafu. Aliamua kutumia njia ya mkato (Kujifanya amekufa) kupata fedha hizo
Soma - https://jamii.app/AdaiKufaMalipoMkupuo
> George Mbuga alitakiwa kulipwa kwa mafao yake kwa Awamu Tano baada ya kustaafu. Aliamua kutumia njia ya mkato (Kujifanya amekufa) kupata fedha hizo
Soma - https://jamii.app/AdaiKufaMalipoMkupuo
AFYA: Saratani ya shingo ya kizazi husababishwa na virusi aina ya ''Human Papilloma'' ambapo mtu anaweza kupatwa na virusi hivi wakati wa kujamiana
> Visababishi vingine ni kufanya mapenzi katika umri mdogo ambapo Wanawake wanaofanya mapenzi chini ya miaka 16, wanadaiwa kuwa katika hatari kubwa ya kuugua
> Dalili zake ni kutokwa na damu ukeni, kutokwa na uchafu au usaha, maumivu makali wakati wa kujamiiana na kusababisha kutokwa na damu, maumivu ya tumbo chini ya kitovu na maumivu ya kiuno
Kwa uelewe zaidi, soma - https://jamii.app/SarataniShingoKizazi
#JFAfya
> Visababishi vingine ni kufanya mapenzi katika umri mdogo ambapo Wanawake wanaofanya mapenzi chini ya miaka 16, wanadaiwa kuwa katika hatari kubwa ya kuugua
> Dalili zake ni kutokwa na damu ukeni, kutokwa na uchafu au usaha, maumivu makali wakati wa kujamiiana na kusababisha kutokwa na damu, maumivu ya tumbo chini ya kitovu na maumivu ya kiuno
Kwa uelewe zaidi, soma - https://jamii.app/SarataniShingoKizazi
#JFAfya
UPDATE: Baraza la Usalama la Niger limesema Askari wake 89 na Wanajihadi 77 wameuawa katika mapigano yaliyotokea kwenye Kambi ya Chinagoder
> Aidha, Serikali imetangaza siku 3 za Maombolezo ya Kitaifa kuanzia leo ambapo Bendera zitapeperushwa Nusu Mlingoti nchi nzima
#JFLeo
> Aidha, Serikali imetangaza siku 3 za Maombolezo ya Kitaifa kuanzia leo ambapo Bendera zitapeperushwa Nusu Mlingoti nchi nzima
#JFLeo
JESSICA COX, RUBANI MWANAMKE ASIYE NA MIKONO
- Alipata leseni yake mnamo Oktoba 10, 2008 baada ya kupata mafunzo kwa Miaka Mitatu
- Pia, ana Mkanda Mweusi katika 'Taekwondo', anapiga piano, anapiga mbizi na ni 'Motivational Speaker'
Soma https://jamii.app/RubaniHanaMikono
#JFLeo
- Alipata leseni yake mnamo Oktoba 10, 2008 baada ya kupata mafunzo kwa Miaka Mitatu
- Pia, ana Mkanda Mweusi katika 'Taekwondo', anapiga piano, anapiga mbizi na ni 'Motivational Speaker'
Soma https://jamii.app/RubaniHanaMikono
#JFLeo
UGANDA: MWANAMKE AKAMATWA AMEBEBA VIPODOZI HARAMU AKIDAI NI MTOTO
> Vipodozi hivyo vilivalishwa nguo na kujenga picha kuwa ni mtoto
> Mamlaka ya Mapato yasema mbinu hiyo inafahamika hivyo sio rahisi kupitisha Vipodozi Haramu
Soma - https://jamii.app/MbaroniVipodoziFeki
> Vipodozi hivyo vilivalishwa nguo na kujenga picha kuwa ni mtoto
> Mamlaka ya Mapato yasema mbinu hiyo inafahamika hivyo sio rahisi kupitisha Vipodozi Haramu
Soma - https://jamii.app/MbaroniVipodoziFeki
DAR: Mahakama ya Kisutu imeifuta kesi ya Meya wa Jiji la Dar, Isaya Mwita baada ya Wakili wake kuomba iondolewe kwa kuwa haina maana na hajapewa Haki ya Msingi ya Kusikilizwa
> Meya huyo leo alishindwa kuingia ofisini baada ya kukuta 'Password' za mlango zimebadilishwa
#JFLeo
> Meya huyo leo alishindwa kuingia ofisini baada ya kukuta 'Password' za mlango zimebadilishwa
#JFLeo
PAPA BENEDICT AMEMTAKA PAPA FRANCIS KUTOLEGEZA KAMBA KUHUSU SHERIA YA USEJA
> Amesema hayo katika Kitabu walichoshirikiana na Kadinali Robert Sarah
> Ni katika kujibu pendekezo la kuruhusu waliooa kutawazwa kama Makasisi huko Amazon
Soma https://jamii.app/PapaSheriaUseja
> Amesema hayo katika Kitabu walichoshirikiana na Kadinali Robert Sarah
> Ni katika kujibu pendekezo la kuruhusu waliooa kutawazwa kama Makasisi huko Amazon
Soma https://jamii.app/PapaSheriaUseja
TABORA: WAJAWAZITO WAJIFUNGULIA MAPOKEZI, WAUGUZI KUCHUKULIWA HATUA ZA KINIDHAMU
> Ni Wauguzi wa Zahanati ya Kirumbi, Kisanga na Lembeli na watumishi walevi nyakati za kazi
> Inaelezwa, mmoja wa wajawazito alilazimika kujifungulia mapokezi baada ya Muuguzi wa Zamu kudai hawezi kumsaidia kutokana na hali yake kiafya kutokuwa nzuri
Soma - https://jamii.app/WajawazitoKujifunguaMapokezi
> Ni Wauguzi wa Zahanati ya Kirumbi, Kisanga na Lembeli na watumishi walevi nyakati za kazi
> Inaelezwa, mmoja wa wajawazito alilazimika kujifungulia mapokezi baada ya Muuguzi wa Zamu kudai hawezi kumsaidia kutokana na hali yake kiafya kutokuwa nzuri
Soma - https://jamii.app/WajawazitoKujifunguaMapokezi
USHAURI KILIMO: MATUMIZI SAHIHI YA DAWA HUZUIA MAGUGU KUOTA SHAMBANI
> Uchaguzi wa dawa utategemea aina ya Magugu na hatua yaliyofikia. Mkulima unashauriwa mvua zikinyesha usikimbilie kupanda bali subiri kama wiki 2 au 3 ili majani yaote
> Kwa zao la Mpunga; Kama majani hayajaota shambani, tumia Pendamethatlin au Oxidiazon 250g/lt. Puliza dawa yoyote kati ya hizo baada ya kupanda Mpunga na hakikisha umekausha maji shambani saa 24 kabla ya kunyunyizia dawa
> Iwapo Magugu yameanza kuota tumia Bretilaclo, Pyribenzole, Tiller Gold, Penoxulum (Rainbow), Propanil, Garil, 2,4D Amine, Bentazole 480g/It
Fahamu zaidi - https://jamii.app/KilimoPaliziMazao
#JFKilimo
> Uchaguzi wa dawa utategemea aina ya Magugu na hatua yaliyofikia. Mkulima unashauriwa mvua zikinyesha usikimbilie kupanda bali subiri kama wiki 2 au 3 ili majani yaote
> Kwa zao la Mpunga; Kama majani hayajaota shambani, tumia Pendamethatlin au Oxidiazon 250g/lt. Puliza dawa yoyote kati ya hizo baada ya kupanda Mpunga na hakikisha umekausha maji shambani saa 24 kabla ya kunyunyizia dawa
> Iwapo Magugu yameanza kuota tumia Bretilaclo, Pyribenzole, Tiller Gold, Penoxulum (Rainbow), Propanil, Garil, 2,4D Amine, Bentazole 480g/It
Fahamu zaidi - https://jamii.app/KilimoPaliziMazao
#JFKilimo
CHINA: ANTENA YA REDIO KUBWA ZAIDI DUNIANI YAANZA KUFANYA KAZI
>Antena hiyo ya mawimbi ya redio iliyopewa jina la 'FAST' ina ukubwa sawa na Viwanja vya Mpira 30 na ujenzi wake ulichukua miaka 5 na ulikamilika 2016
> Gharama za ujenzi ni dola za Marekani milioni 180 (zaidi ya bilioni 400 za Kitanzania), ina uwezo wa kukusanya taarifa zenye ukubwa wa Gigabyte 38 ndani ya sekunde 1
Soma - https://jamii.app/FASTRadioTelescope
#JFTeknolojia
>Antena hiyo ya mawimbi ya redio iliyopewa jina la 'FAST' ina ukubwa sawa na Viwanja vya Mpira 30 na ujenzi wake ulichukua miaka 5 na ulikamilika 2016
> Gharama za ujenzi ni dola za Marekani milioni 180 (zaidi ya bilioni 400 za Kitanzania), ina uwezo wa kukusanya taarifa zenye ukubwa wa Gigabyte 38 ndani ya sekunde 1
Soma - https://jamii.app/FASTRadioTelescope
#JFTeknolojia
KENYA vs TANZANIA: SIFA ZA KUGOMBEA NAFASI YA URAIS
- Moja ya sifa katika Katiba ya Tanzania ni kuwa Mgombea awe Mwanachama wa Chama cha Siasa na ateuliwe na chama
- Katiba ya Kenya inaeleza kuwa Mgombea awe ameteuliwa na Chama cha Siasa au awe Mgombea Binafsi
- Katiba ya Tanzania inamtaka Mgombea awe amefikisha miaka 40 huku Kenya akitakiwa kuwa na miaka 35
Zaidi, soma https://jamii.app/Katiba-KenyaVsTanzania
#Katiba
- Moja ya sifa katika Katiba ya Tanzania ni kuwa Mgombea awe Mwanachama wa Chama cha Siasa na ateuliwe na chama
- Katiba ya Kenya inaeleza kuwa Mgombea awe ameteuliwa na Chama cha Siasa au awe Mgombea Binafsi
- Katiba ya Tanzania inamtaka Mgombea awe amefikisha miaka 40 huku Kenya akitakiwa kuwa na miaka 35
Zaidi, soma https://jamii.app/Katiba-KenyaVsTanzania
#Katiba
TANZANIA vs KENYA: KUHOJI UHALALI WA UCHAGUZI WA RAIS BAADA YA MGOMBEA KUTANGAZWA
- Katiba ya Tanzania: Hakuna Mahakama yenye Mamlaka ya kuhoji Uchaguzi wake
- Katiba ya Kenya: Mtu anaweza kutoa ombi katika Mahakama Kuu la kupinga Uchaguzi huo ndani ya siku 7
Zaidi, soma https://jamii.app/Katiba-KenyaVsTanzania
#Katiba
- Katiba ya Tanzania: Hakuna Mahakama yenye Mamlaka ya kuhoji Uchaguzi wake
- Katiba ya Kenya: Mtu anaweza kutoa ombi katika Mahakama Kuu la kupinga Uchaguzi huo ndani ya siku 7
Zaidi, soma https://jamii.app/Katiba-KenyaVsTanzania
#Katiba
JE, LUGHA YA KUFUNDISHIA NI KIKWAZO AU KUNA SABABU NYINGINE?
> Ukiangalia matokeo ya Darasa la Saba 2019, shule za 'English Medium' zimeongoza kwa ufaulu kwenye somo la Kiswahili kuliko shule zinazotumia lugha ya Kiswahili kwenye masomo yote
> Pia, ukiangalia mfano wa Raia wa China Congcong Wang aliyepata Alama “B” ya Kiswaili katika Matokeo ya Kidato cha Nne ya mwaka 2016 na kushika Nafasi ya Pili Kitaifa
Kwa mjadala zaidi Soma https://jamii.app/EnglishMediumKufauluKiswahili
> Ukiangalia matokeo ya Darasa la Saba 2019, shule za 'English Medium' zimeongoza kwa ufaulu kwenye somo la Kiswahili kuliko shule zinazotumia lugha ya Kiswahili kwenye masomo yote
> Pia, ukiangalia mfano wa Raia wa China Congcong Wang aliyepata Alama “B” ya Kiswaili katika Matokeo ya Kidato cha Nne ya mwaka 2016 na kushika Nafasi ya Pili Kitaifa
Kwa mjadala zaidi Soma https://jamii.app/EnglishMediumKufauluKiswahili
Februari 11, 2019 Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa alisema nchi za Bara la Afrika zimeitaja Tanzania kuwa ni miongoni mwa nchi zinazofanya vizuri katika mapambano dhidi ya Rushwa
- Aliyasema hayo wakati akitoa muhtasari wa yaliyojiri kwenye Mkutano wa 32 wa Wakuu wa nchi za Afrika (AU) uliofanyika Addis Ababa, Ethiopia
#KemeaRushwa
- Aliyasema hayo wakati akitoa muhtasari wa yaliyojiri kwenye Mkutano wa 32 wa Wakuu wa nchi za Afrika (AU) uliofanyika Addis Ababa, Ethiopia
#KemeaRushwa
MADHARA YA MICHORO MWILINI (TATTOOS)
> Unaweza kukosa fursa mbalimbali kama kuajiriwa Jeshini
> Madhara mengine ni Saratani ya Ngozi, kuwa na aleji/mzio, matatizo kipindi cha kufanya kipimo cha MRI na kushindwa kuchangia damu
Soma https://jamii.app/MadharaTattoo
> Unaweza kukosa fursa mbalimbali kama kuajiriwa Jeshini
> Madhara mengine ni Saratani ya Ngozi, kuwa na aleji/mzio, matatizo kipindi cha kufanya kipimo cha MRI na kushindwa kuchangia damu
Soma https://jamii.app/MadharaTattoo
DEWJI AJIUZULU UENYEKITI WA BODI YA WAKURUGENZI YA SIMBA
- Mohamed Dewji ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo baada ya Simba kupoteza Fainali ya Kombe la Mapinduzi
- Amesema atabaki kama Mwekezaji, akiendeleza miundombinu na Soka la Vijana
Soma https://jamii.app/DewjiAjiuzuluSimba
- Mohamed Dewji ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo baada ya Simba kupoteza Fainali ya Kombe la Mapinduzi
- Amesema atabaki kama Mwekezaji, akiendeleza miundombinu na Soka la Vijana
Soma https://jamii.app/DewjiAjiuzuluSimba
BARCELONA YAMTUPIA VIRAGO KOCHA WAKE
- Klabu ya Barcelona imemfukuza Kocha Ernesto Valverde (55) na kumtangaza Kocha wa Zamani wa Real Betis, Quique Setien (61) kuchukua nafasi yake
- Inaelezwa kuwa, Barcelona chini ya Valverde, mara kadhaa imecheza Soka lisiloshawishi
#JFLeo
- Klabu ya Barcelona imemfukuza Kocha Ernesto Valverde (55) na kumtangaza Kocha wa Zamani wa Real Betis, Quique Setien (61) kuchukua nafasi yake
- Inaelezwa kuwa, Barcelona chini ya Valverde, mara kadhaa imecheza Soka lisiloshawishi
#JFLeo
TAKUKURU ARUSHA: WATUHUMIWA 22 WALIPANDISHWA KIZIMBANI OKTOBA HADI DESEMBA, 2019
> Miongoni mwa watuhumiwa ambao walishtakiwa kipindi hicho ni Askari Polisi, Wafanyabiashara na Watumishi wa Umma na mashauri yao bado yanaendelea Mahakamani
Soma https://jamii.app/Mbaroni22-TakukuruAR
> Miongoni mwa watuhumiwa ambao walishtakiwa kipindi hicho ni Askari Polisi, Wafanyabiashara na Watumishi wa Umma na mashauri yao bado yanaendelea Mahakamani
Soma https://jamii.app/Mbaroni22-TakukuruAR
MAREKANI YAIONDOA CHINA KWENYE ORODHA YA WADHIBITI WA KIWANGO CHA KUBADILISHA FEDHA
> Ripoti iliyotolewa na Wizara ya Fedha ya Marekani inasema, kwa sasa hakuna Nchi Mshirika wa Kibiashara wa Marekani anayefikia vigezo vya kisheria vya kudhibiti thamani ya sarafu yake
Soma - https://jamii.app/USCurrencyExchangeChina
> Ripoti iliyotolewa na Wizara ya Fedha ya Marekani inasema, kwa sasa hakuna Nchi Mshirika wa Kibiashara wa Marekani anayefikia vigezo vya kisheria vya kudhibiti thamani ya sarafu yake
Soma - https://jamii.app/USCurrencyExchangeChina